1Basi, tukiwa wafanyakazi pamoja na Mungu, tunawasihi msikubali ile neema mliyopokea kutoka kwa Mungu ipotee bure.
1Aga olles kaasabilised me manitsemegi teid, et te Jumala armu ilmaasjata vastu ei võtaks,
2Mungu asema hivi: "Wakati wa kufaa nimekusikiliza, wakati wa wokovu nikakusaidia." Basi, sasa ndio wakati wa kufaa, sasa ndiyo siku ya wokovu!
2ta ütleb ju: 'Ma olen sind kuulnud soodsal ajal ja aidanud sind päästepäeval.' Ennäe, nüüd on ülisoodus aeg! Ennäe, nüüd on päästepäev!
3Kusudi tusiwe na lawama yoyote katika utumishi wetu, hatupendi kumwekea mtu yeyote kizuio chochote.
3Me ei anna mitte milleski põhjust komistamiseks, et seda ametit ei laimataks,
4Badala yake, tunajionyesha kuwa kweli watumishi wa Mungu kwa kila kitu: kwa uvumilivu mwingi wakati wa mateso, shida na taabu.
4vaid näitame end Jumala abilistena kõiges: suures kannatlikkuses, ahistustes, hädades, kitsikustes,
5Tumepigwa, tumetiwa gerezani na kuzomewa hadharani; tumefanya kazi tukachoka; tumekesha na kukaa bila kula.
5hoopide all, vangis, mässudes, vaevanägemistes, valvamistes, paastumistes,
6Tunajionyesha kuwa watumishi wa Mungu kwa usafi wa moyo, elimu, uvumilivu na wema; kwa Roho Mtakatifu, kwa upendo usio na unafiki,
6puhtuses, tunnetuses, pikameelsuses, helduses, Pühas Vaimus, siiras armastuses,
7kwa ujumbe wa kweli na kwa nguvu ya Mungu. Uadilifu ndiyo silaha yetu upande wa kulia na upande wa kushoto.
7tõe sõnas, Jumala väes, õiguse relvadega paremas ja vasakus käes,
8Tuko tayari kupata heshima na kudharauliwa, kulaumiwa na kusifiwa. Twadhaniwa kuwa waongo, kumbe twasema kweli;
8aus ja häbis, laituse all ja kiituse all; kui eksitajad, ja siiski tõerääkijad;
9kama wasiojulikana, kumbe twajulikana kwa wote, kama waliokufa, lakini mwonavyo, sisi ni wazima kabisa.
9kui tundmatud, ent ometi tuntud; kui surijad - ja ennäe, me elame!; kui karistatud, aga mitte surmatud;
10Ingawa tumeadhibiwa, hatukuuawa; ingawa tunayo huzuni, twafurahi daima; ingawa tu maskini hohehahe, lakini twatajirisha watu wengi; twaonekana kuwa watu tusio na chochote, kumbe tuna kila kitu.
10kui kurvad, aga ikka rõõmsad; kui vaesed, kes siiski paljusid rikkaks teevad; kui need, kellel ei ole midagi ja kelle päralt on kõik.
11Ndugu Wakorintho, tumezungumza nanyi kwa unyofu; mioyo yetu iko wazi kabisa.
11Meie suu on teile avatud, korintlased, meie süda on avardunud.
12Kama mnaona kuna kizuizi chochote kile, kizuizi hicho kiko kwenu ninyi wenyewe, na si kwa upande wetu.
12Teil ei ole meie sees kitsas, vaid teil on kitsas teie oma südames.
13Sasa nasema nanyi kama watoto wangu, wekeni mioyo yenu wazi kama nasi tulivyofanya.
13Ma ütlen teile kui lastele: Vastutasuks avarduge teiegi!
14Msiambatane na watu wasioamini. Je, wema na uovu vyapatana kweli? Mwanga na giza vyawezaje kukaa pamoja?
14Ärge hakake vedama võõras ikkes koos uskmatutega! Mis ühist on õigusel ja ülekohtul või mis osadust valgusel pimedusega?
15Kristo anawezaje kupatana na Shetani? Muumini ana uhusiano gani na asiyeamini?
15Mis kooskõla on Kristusel Beliariga või mis osa on usklikul uskmatuga?
16Hekalu la Mungu lina uhusiano gani na sanamu za uongo? Maana sisi ni hekalu la Mungu aliye hai. Kama Mungu mwenyewe alivyosema: "Nitafanya makao yangu kwao, na kuishi kati yao; Nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu."
16Kuidas sobib Jumala tempel kokku ebajumalatega? Meie oleme ju elava Jumala tempel, nõnda nagu Jumal on öelnud: 'Ma tahan nende seas elada ja käia ja olla nende Jumal, ja nemad on minu rahvas.
17Kwa hiyo Bwana asema pia: "Ondokeni kati yao, mkajitenge nao, msiguse kitu najisi, nami nitawapokea.
17Seepärast minge ära nende keskelt ja eralduge neist,' ütleb Issand, 'ja ärge puudutage rüvedat, siis ma võtan teid vastu
18Mimi nitakuwa Baba yenu, nanyi mtakuwa watoto wangu, waume kwa wake, asema Bwana Mwenye Uwezo."
18ja olen teile Isaks, ja teie olete mulle poegadeks ja tütardeks,' ütleb Kõigeväeline Issand.