Swahili: New Testament

Estonian

2 Corinthians

8

1Ndugu, tunapenda kuwapa habari juu ya neema ambazo Mungu ameyajalia makanisa ya Makedonia.
1Vennad, ma tahan teile teatada, mida Jumala arm Makedoonia kogudustes on korda saatnud.
2Waumini wa huko walijaribiwa sana kwa taabu; lakini furaha yao ilikuwa kubwa hivi hata wakawa wakarimu kupita kiasi, ingawaje walikuwa maskini sana.
2Rohked katsumused, millega neid on läbi proovitud, on andnud neile ohtrasti rõõmu ning nende põhjatu vaesus on kasvanud siira headuse rohkeks rikkuseks.
3Naweza kushuhudia kwamba walikuwa wakarimu kadiri ya nguvu zao na hata zaidi. Kwa hiari yao wenyewe,
3Nad on ju andnud oma jõudu mööda - mina olen tunnistaja -, koguni üle oma jõu. Nad ise on vabatahtlikult
4walitusihi sana wapewe nafasi ya kushiriki katika huduma hii ya kuwasaidia watu wa Mungu.
4anunud meilt paljude palvetega, et neil võiks olla osa eesõigusest aidata pühasid.
5Hilo lilikuwa jambo ambalo hatukulitazamia kabisa! Kwanza walijitolea wao wenyewe kwa Bwana, kisha wakajitolea wenyewe kwetu pia, kufuatana na mapenzi ya Mungu.
5Ja nende annid ületasid kõik meie lootused, sest nad andsid Jumala tahtmise läbi iseendid, esmalt Issandale ja siis ka meile.
6Kwa sababu hiyo, tulimsihi Tito aliyeianza kazi hiyo awasaidieni pia muitekeleze huduma hii ya upendo miongoni mwenu.
6Nii me siis julgustasime Tiitust, et ta teie keskel viiks lõpule selle korjanduse, nii nagu ta seda kord on alustanud.
7Ninyi mna kila kitu: imani, uwezo wa kusema, elimu; bidii yote ya kutenda mema, na upendo wenu kwetu. Hivyo, tunatazamia muwe wakarimu katika huduma hii ya upendo.
7Jah, nii nagu te olete ülevoolavad usult ja sõnalt ja tunnetuselt ja innukuselt ja meie armastuselt teie vastu, olge ülevoolavad ka selles armastustöös.
8Siwapi ninyi amri, lakini nataka tu kuonyesha jinsi wengine walivyo na bidii ya kusaidia ili nipate kujua jinsi upendo wenu ulivyo wa kweli.
8Ma ei ütle seda käsuna, vaid proovides teiste innukuse varal ka teie armastuse ehtsust.
9Maana, ninyi mnajua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo: yeye, ingawa alikuwa na kila kitu, alijifanya maskini kwa ajili yenu, ili kutokana na umaskini wake, awatajirishe.
9Te ju teate meie Issanda Jeesuse Kristuse armu, et tema, kuigi ta oli rikas, sai teie pärast vaeseks, et teie saaksite rikkaks tema vaesusest.
10Kuhusu jambo hili, basi, nawapeni shauri hili: inafaa kwenu kutekeleza sasa yale mliyoanza mwaka jana. Ninyi mlikuwa wa kwanza kuchukua hatua na kuamua kufanya hivyo.
10Ma annan selles asjas vaid nõu: see oleks ju teile kasulik, kui te nüüd lõpetaksite oma tegemise, mida te alustasite juba mullu. Tollal olite teie esimesed nii tegema kui tahtma.
11Basi, kamilisheni shughuli hiyo; na kama vile mlivyokuwa na hamu kubwa ya kusaidia, basi, fanyeni bidii vivyo hivyo, kadiri ya uwezo wenu, kuikamilisha.
11Lõpetage nüüd oma tegemine, et nõnda nagu teil oli valmidust tahta, nõnda oleks seda ka lõpetamiseks oma võimalusi mööda.
12Maana ikiwa mtu ana moyo wa kusaidia, Mungu hupokea kila anachoweza kutoa: hadai zaidi.
12Sest kui on olemas valmidust, siis on see meeldiv selles, mis kellelgi on, mitte selles, mida tal pole.
13Ninyi hampaswi kuongezewa taabu kusudi wengine wapunguziwe mzigo wao; sivyo, ila ni lazima tujali usawa na haki.
13Sest ei tohi olla nii, et mis teistele on kergenduseks, ahistaks teid, vaid võrdsuse saamiseks
14Kila mlicho nacho sasa cha ziada kiwasaidie wale wanaohitaji, ili nao wakati watakapokuwa na ziada, wawasaidie ninyi katika mahitaji yenu, na hivyo kuwe na usawa.
14olgu teie jõukus praegu nende puudusele toeks, et ka nende jõukus kunagi saaks toeks teie puudusele, nii et tekiks võrdsus,
15Kama Maandiko yasemavyo: "Aliyekusanya kwa wingi hakuwa na ziada, na yule aliyekusanya kidogo hakupungukiwa."
15nagu on kirjutatud: 'Kellel oli palju, sellel ei olnud liiast, ja kellel oli pisut, sellel ei olnud vähe.'
16Namshukuru Mungu aliyeweka ndani ya moyo wa Tito hamu hiyo niliyo nayo mimi ya kuwasaidia.
16Aga tänu olgu Jumalale, kes andis Tiituse südamesse niisuguse hoole teie heaks,
17Si tu kwamba alikubali ombi letu, ila pia alikuwa na hamu kubwa ya kusaidia, hata akaamua kwa hiari yake mwenyewe kuja kwenu.
17et ta võttis kuulda manitsust, aga olles veel hoolsam, on tulnud teie juurde vabatahtlikult.
18Pamoja naye, tunamtuma ndugu mmoja ambaye sifa zake katika kueneza Habari Njema zimeenea katika makanisa yote.
18Temaga koos me saatsime selle venna, keda on evangeeliumi kuulutamises kiidetud kõigis kogudustes,
19Zaidi ya hayo, yeye amechaguliwa na makanisa awe mwenzetu safarini wakati tunapopeleka huduma hii yetu ya upendo, huduma tunayoifanya kwa ajili ya utukufu wa Bwana na uthibitisho wa nia yetu njema.
19ja vähe sellest, ta on käte pealepanemisega ka valitud koguduste poolt meie reisikaaslaseks kohale viima seda andi, mida me kogume Issanda ülistuseks ja iseendi kinnitamiseks.
20Tunataka kuepa lawama zinazoweza kutokea kuhusu usimamizi wetu juu ya zawadi hii karimu.
20Me püüame teha nii, et keegi meid ei saaks laimata selle rohke anni pärast, mida me kogume.
21Nia yetu ni kufanya vema, si tu mbele ya Bwana, lakini pia mbele ya watu.
21Me ei püüa ju ainult seda, et kõik oleks hea Issanda silmis, vaid ka inimeste silmis.
22Basi, pamoja na ndugu hao, tumemtuma ndugu yetu mwingine ambaye mara nyingi tumempa majaribio mbalimbali, tukamwona kuwa ni mwenye hamu kubwa ya kusaidia; hata sasa amekuwa na moyo zaidi kwa sababu ana imani sana nanyi.
22Me saatsime aga koos nendega veel oma venna, keda me mitmes asjas sageli oleme leidnud hoolsa olevat, kes aga nüüd on veel palju hoolsam suure usalduse pärast, mis tal on teie suhtes.
23Tito ni mwenzangu; tunafanya kazi pamoja kwa ajili yenu; lakini kuhusu hawa ndugu zetu wengine, wanaokuja pamoja nao, hao ni wajumbe wa makanisa, na utukufu kwa Kristo.
23Olgu tegemist Tiitusega, kes on minu kaasosaline ja abiline teie juures, olgu meie vendadega, kes on koguduste saadikud, - nad on Kristuse kirkus!
24Basi, waonyesheni uthabiti wa upendo wenu, makanisa yapate kuona kweli kwamba fahari ninayoona juu yenu ni ya halali.
24Näidake siis nendele oma armastust ja õigustage meie kiitlemist teie üle, et seda võiksid näha kõik kogudused!