1Si lazima kuandika zaidi kuhusu huduma hiyo yenu kwa ajili ya watu wa Mungu.
1Pühade abistamisest ei ole mul ju vaja teile kirjutada,
2Ninajua jinsi mlivyo na moyo wa kusaidia, na nilijivuna juu yenu kuhusu jambo hilo mbele ya watu wa Makedonia. Niliwaambia: "Ndugu zetu wa Akaya wako tayari tangu mwaka jana." Hivyo, moto wenu umekwisha wahimiza watu wengi zaidi.
2sest ma tean teie valmidust, mille pärast ma kiidan teid makedoonlaste ees, et Ahhaia on juba mullu olnud valmis ja et teie innukus on paljusid innustanud.
3Basi, nimewatuma ndugu zetu hao, ili fahari yetu juu yenu ionekane kwamba si maneno matupu, na kwamba mko tayari kabisa na msaada wenu kama nilivyosema.
3Ma olen läkitanud need vennad, et meie kiitlemine teie üle ei läheks selles osas tühja, vaid et te oleksite valmis, nagu ma olen rääkinud,
4Isije ikawa kwamba watu wa Makedonia watakapokuja pamoja nami tukawakuta hamko tayari, hapo sisi tutaaibika--bila kutaja aibu mtakayopata ninyi wenyewe--kwa sababu tutakuwa tumewatumainia kupita kiasi.
4et mitte siis, kui makedoonlasi tuleb minuga kaasa ja kui nad leiavad, et te ei ole valmis, meie - ma ei tahaks öelda 'teie' - ei jääks häbisse selles usalduses.
5Kwa hiyo, nimeona ni lazima kuwaomba hawa ndugu watutangulie kuja kwenu, wapate kuweka tayari zawadi yenu kubwa mliyoahidi; nayo ionyeshe kweli kwamba ni zawadi iliyotolewa kwa hiari na si kwa kulazimishwa.
5Olen siis pidanud hädavajalikuks julgustada vendi, et nad tuleksid enne meid teie juurde ja valmistaksid ette teie varem tõotatud tänuandi, et see oleks valmis nagu tänu ja mitte nagu ihnutsemine.
6Kumbukeni: "Apandaye kidogo huvuna kidogo; apandaye kwa wingi huvuna kwa wingi."
6Aga see on nii: kes kasinasti külvab, see ka lõikab kasinasti, ja kes rohkesti külvab, see ka lõikab rohkesti.
7Kila mmoja, basi, na atoe kadiri alivyoamua, kwa moyo na wala si kwa huzuni au kwa kulazimishwa, maana Mungu humpenda yule mwenye kutoa kwa furaha.
7Igaüks andku nii, nagu ta süda on lubanud, mitte nördinult või sunnitult, sest Jumal armastab rõõmsat andjat.
8Mungu anaweza kuwapeni ninyi zaidi ya yale mnayoyahitaji, mpate daima kuwa na kila kitu mnachohitaji, na hivyo mzidi kusaidia katika kila kazi njema.
8Jumal on vägev andma teile kogu armu rikkalikult, et teil ikka oleks kõike küllaldaselt ning et te oleksite rikkad iga teo tarvis,
9Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Yeye hutoa kwa ukarimu, huwapa maskini, wema wahudumu milele."
9nagu on kirjutatud: 'Ta on jaganud, andnud vaestele, tema õigus kestab igavesti.'
10Na Mungu ampaye mkulima mbegu na mkate kwa chakula, atawapa ninyi pia mbegu mnazohitaji, na atazifanya ziote, ziwe na kuwapa mavuno mengi ya ukarimu wenu.
10Tema, kes annab seemne külvajale, annab ka leiva toiduseks, teeb rohkeks teie külvi ja kasvatab teie õiguse vilja.
11Yeye atawatajirisha ninyi daima kwa kila kitu, ili watu wapate kumshukuru Mungu kwa ajili ya zawadi zenu wanazozipokea kwa mikono yetu.
11Te saate kõigiti rikkaks igasuguse siira headuse poolest, mis meie läbi valmistab tänu Jumalale,
12Maana huduma hii takatifu mnayoifanya si tu kwamba itasaidia mahitaji ya watu wa Mungu, bali pia itasababisha watu wengi wamshukuru Mungu.
12sest selle teenistuse kaudu antud abi mitte ainult ei leevenda pühade puudust, vaid muutub ka rikkalikuks Jumalale antud rohke tänu kaudu.
13Kutokana na uthibitisho unaoonyeshwa kwa huduma hii yetu, watu watamtukuza Mungu kwa sababu ya uaminifu wenu kwa Habari Njema ya Kristo mnayoiungama, na pia kwa sababu ya ukarimu mnaowapa wao na watu wote.
13Selle abistamise ehtsuse tõttu te ülistate Jumalat oma kuulekuses Kristuse evangeeliumi tunnistamisel ja oma osaduse siiruses nende ja kõikidega.
14Kwa hiyo watawaombea ninyi kwa moyo kwa sababu ya neema ya pekee aliyowajalieni Mungu.
14Oma palvetes teie eest nad igatsevad teie järele Jumala võrratu armu tõttu, mis teie peal on.
15Tumshukuru Mungu kwa ajili ya zawadi yake isiyo na kifani!
15Tänu olgu Jumalale tema ütlemata suure anni eest!