1Mimi Paulo mwenyewe ambaye naonekana kuwa mpole nikiwa pamoja nanyi, lakini mkali wakati nikiwa mbali nanyi, nawasihini kwa huruma na wema wake Kristo.
1Aga mina, Paulus, julgustan teid Kristuse tasaduse ja leebuse läbi, mina, kes ma teie palge ees olevat alandlik, kuid eemal viibides julge teie vastu.
2Nawaombeni msinisababishe kuwa mkali wakati nitakapokuja, maana nina hakika naweza kuwa mkali kwa wote wale wanaotudhania kwamba tunaishi kidunia.
2Ma palun teid, et ma teie juures viibides ei peaks olema julge selles meelekindluses, millega ma kavatsen vastata nendele, kes arvavad meid lihaliku loomuse järgi kõndivat.
3Kweli tunaishi duniani, lakini hatupigani vita kidunia.
3Sest ka lihalikus ihus elades ei sõdi me selle loomuse järgi,
4Maana, silaha tunazotumia katika vita vyetu si silaha za kidunia, ila ni nguvu za Mungu zenye kuharibu ngome zote. Tunaharibu hoja zote za uongo,
4meie võitluse relvad ei ole ju lihalikud, vaid need on Jumalas vägevad kindluste mahalõhkumiseks. Me kummutame targutused
5na kubomoa kila kizuizi cha majivuno kilichowekwa kuipinga elimu ya Mungu; tunaziteka fikira zote na kuzifanya zimtii Kristo.
5ja purustame iga kõrkuse, mis tõstab end jumalatunnetuse vastu, ja me võtame vangi Kristuse sõnakuulmisse kõik mõtted
6Mkisha kuwa wakamilifu katika kutii, sisi tuko tayari kuadhibu kila namna ya kutotii.
6ja oleme valmis nuhtlema iga sõnakuulmatust, kui teie sõnakuulelikkus on saanud täielikuks.
7Ninyi hutazama mambo kwa nje tu. Je, yupo mtu yeyote anayedhani kwamba yeye ni wa Kristo? Sawa! Basi, afikirie vilevile kwamba sisi pia ni wa Kristo kama yeye alivyo wa Kristo.
7Vaadake silmanähtavat! Kui keegi on veendunud, et ta on Kristuse päralt, arvestagu siis eneses ka seda, et nagu tema ise on Kristuse päralt, nii oleme seda ka meie.
8Hata kama nimezidi katika kujivuna kwangu juu ya ule uwezo aliotupa--uwezo wa kuwajenga na sio wa kubomoa--hata hivyo sijutii hata kidogo.
8Sest kui ma ka kiitleksin meie meelevallast, mille Issand on andnud teie ehitamiseks ja mitte mahalõhkumiseks, siis ma ei jääks häbisse.
9Sipendi mfikiri kwamba nataka kuwatisha ninyi kwa barua zangu.
9Aga ma ei taha jätta muljet, nagu püüaksin ma teid kirjadega hirmutada.
10Mtu anaweza kusema: "Barua za Paulo ni kali na zenye maneno mazito, lakini yeye mwenyewe anapokuwa pamoja nasi ni mtu dhaifu, na hata anapoongea maneno yake ni kama si kitu."
10'Jah, tema kirjad,' öeldakse, 'on küll kaalukad ja võimsad, kuid ihulikult meie juures olles on ta nõder ja ta sõna on armetu.'
11Mtu asemaye hivyo heri akumbuke kwamba hakuna tofauti ya yale tunayoandika katika barua wakati tuko mbali, na yale tutakayofanya wakati tutakapokuwa nanyi.
11Niisugused arvestagu, et me oleme kohal olles samasugused kui eemalt oma kirjade sõnades.
12Kwa vyovyote hatungethubutu kujiweka au kujilinganisha na wale watu wanaojisifia wenyewe. Watu wenye kujifanya wao kuwa kipimo cha kujipimia, na watu wanaojilinganisha wenyewe kwa wenyewe, ni wapumbavu.
12Me ei söanda endid nende sekka arvata või nendega kõrvutada, kes end ise teile soovitavad, sest nemad ei mõista, et nad mõõdavad end iseendaga ja kõrvutavad end iseendaga.
13Lakini sisi hatutajivuna kupita kiasi; kujivuna huko kutabaki katika kile kipimo cha kazi aliyotukabidhi Mungu, kazi ambayo tunaifanya pia kwenu.
13Aga me ei taha kiidelda mõõtu pidamata, vaid selle korra mõõdu kohaselt, mille Jumal meile on mõõduks määranud, et jõuda ka teieni.
14Na kwa vile ninyi mu katika mipaka hiyo, hatukuipita tulipokuja kwenu, tukiwaleteeni Habari Njema juu ya Kristo.
14Ei ole ju nõnda, et me end küllalt ei pinguta, nagu me ei olekski teieni ulatunud, sest me oleme ju Kristuse evangeeliumiga teieni jõudnud.
15Basi, hatujivunii kazi waliyofanya wengine zaidi ya kipimo tulichopewa; ila tunatumaini kwamba imani yenu itazidi miongoni mwenu kufuatana na kipimo alichotuwekea Mungu.
15Me ei kiitle mõõtu pidamata võõraste vaevaga, meil on aga lootus, et kui teie usk teie sees kasvab, siis kasvame ka meie üliväga meile määratud korra kohaselt,
16Hapo tutaweza kuihubiri Habari Njema katika nchi nyingine, mbali nanyi; na haitakuwa shauri la kujivunia kazi waliyofanya watu wengine mahali pengine.
16nii et me võime kuulutada evangeeliumi teist kaugematele maadele, kiitlemata sellega, mis on juba valmis kellelegi teisele antud korra kohaselt.
17Lakini kama yasemavyo Maandiko: "Mwenye kuona fahari na aone fahari juu ya alichofanya Bwana."
17Kes tahab kiidelda, kiidelgu Issanda üle!
18Anayekubaliwa si yule anayejisifu mwenyewe, bali yule anayesifiwa na Bwana.
18Kõlblik ei ole ju see, kes ennast ise soovitab, vaid see, keda soovitab Issand.