Swahili: New Testament

Estonian

2 John

1

1Mimi Mzee nakuandikia wewe Bimkubwa mteule, pamoja na watoto wako ninaowapenda kweli. Wala si mimi tu ninayewapenda, bali pia wote wanaoujua ule ukweli wanawapenda ninyi,
1Vanem - valitud emandale ja tema lastele, keda ma armastan tões, ja mitte üksi mina, vaid kõik, kes on tunnetanud tõde,
2kwa sababu ukweli unakaa nasi milele.
2tõe tõttu, mis püsib meis ja jääb meiega igavesti:
3Neema na huruma na amani zitokazo kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo, Mwana wa Baba, zitakuwa pamoja nasi katika ukweli na upendo.
3Olgu meiega arm, halastus, rahu Jumalalt Isalt ja Jeesuselt Kristuselt, Isa Pojalt, tões ja armastuses!
4Nilifurahi sana kuona kwamba baadhi ya watoto wako wanaishi katika ukweli kama Baba alivyotuamuru.
4Rõõmustasin väga, et leidsin sinu laste seast neid, kes käivad tões, nii nagu me oleme Isa käest saanud käsu.
5Basi, Bimkubwa, ninalo ombi moja kwako: tupendane. Ombi hili si amri mpya, bali ni amri ileile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo.
5Ja nüüd ma palun sind, emand, mitte kui uut käsku sulle kirjutades, vaid seda, mis meil on olnud algusest, et me peame üksteist armastama.
6Upendo maana yake ni kuishi kwa kuzitii amri zake Mungu. Amri niliyoisikia tangu mwanzo ndiyo hii: mnapaswa nyote kuishi katika upendo.
6Ja see ongi armastus, et me käime tema käskude järgi. See ongi käsk, nii nagu te olete kuulnud algusest, et te käiksite selles.
7Wadanganyifu wengi wamezuka duniani, watu ambao hawakiri kwamba Yesu Kristo amekuja kwetu akawa binadamu. Mtu asemaye hivyo ni mdanganyifu na ni Adui wa Kristo.
7Jah, maailma on läinud välja palju eksitajaid. Kes ei tunnista Jeesust Kristust lihasse tulnuna, seesama ongi eksitaja ja antikristus.
8Basi, jihadharini ninyi wenyewe ili msije mkapoteza kile mlichokishugulikia, bali mpate tuzo lenu kamili.
8Pange tähele iseennast, et te ei kaotaks seda, millega me oleme vaeva näinud, vaid et te saaksite kätte täie palga.
9Asiyezingatia na kudumu katika mafundisho ya Kristo, bali anayakiuka, hana Mungu. Lakini anayedumu katika mafundisho hayo anaye Baba na Mwana.
9Ühelgi, kes astub üle Kristuse õpetusest ega püsi selles, ei ole Jumalat. Kes püsib Kristuse õpetuses, sellel on nii Isa kui ka Poeg.
10Basi, kama mtu akija kwenu bila kuwaleteeni mafundisho hayo, msimkaribishe nyumbani kwenu, wala msimsalimu.
10Kui keegi tuleb teie juurde ega too seda õpetust, ärge võtke teda oma majja ja ärge öelge talle: 'Tere tulemast!'
11Maana anayemsalimu mtu huyo, anashirikiana naye katika matendo yake maovu.
11Sest kes talle ütleb: 'Tere tulemast!', saab osalejaks ta kurjades tegudes.
12Ninayo mengi ya kuwaambieni lakini sipendi kufanya hivyo kwa karatasi na wino; badala yake, natumaini kuwatembeleeni na kuzungumza nanyi ana kwa ana, ili furaha yetu ikamilike.
12Mul oleks teile palju kirjutada, aga ma ei taha seda teha paberil ja tindiga, vaid loodan ise tulla teie juurde ja rääkida silmast silma, et meie rõõm oleks täielik.
13Watoto wa dada yako mteule wanakusalimu.
13Sind tervitavad su valitud õe lapsed!