1Kulikuwa na mtu mmoja huko Kaisarea aitwaye Kornelio, Jemadari wa kikosi kimoja kiitwacho "Kikosi cha Italia."
1Kaisarea linnas oli üks mees, Korneelius nimi, nõndanimetatud Itaalia kohordi pealik,
2Alikuwa mtu mwema; naye pamoja na jamaa yake yote walimcha Mungu; alikuwa anafanya mengi kusaidia maskini wa Kiyahudi na alikuwa anasali daima.
2vaga ja jumalakartlik koos terve oma perega; ta jagas rahvale palju almuseid ja palus alati Jumalat.
3Yapata saa tisa mchana, aliona dhahiri katika maono malaika wa Mungu akiingia ndani na kumwambia, "Kornelio!"
3See nägi nägemuses selgesti, umbes kell kolm pärast lõunat, Jumala ingli enese juurde sisse astuvat ja ütlevat: 'Korneelius!'
4Kornelio alimkodolea macho huyo malaika kwa hofu, akamwambia, "Kuna nini Mheshimiwa?" Huyo malaika akamwambia, "Mungu amezipokea sala na sadaka zako kwa maskini.
4Tema vaatas aga ainiti ingli otsa ja ütles kartma lüües: 'Mis on, isand?' See ütles talle: 'Sinu palved ja su almused on tõusnud Jumala ette sind meelde tuletama.
5Sasa, watume watu Yopa wakamwite mtu mmoja aitwaye Simoni, kwa jina lingine Petro.
5Ja nüüd saada mehi Joppesse ning lase kutsuda Siimon, kelle hüüdnimi on Peetrus.
6Yeye yumo nyumbani kwa Simoni mtengenezaji wa ngozi ambaye nyumba yake iko karibu na bahari."
6Tema on külaliseks nahkur Siimona juures, kellel on koda mere ääres.'
7Huyo malaika aliyesema hayo alipokwisha kwenda zake, Kornelio aliwaita watumishi wawili wa nyumbani na mmoja wa askari zake ambaye alikuwa mcha Mungu,
7Kui temaga rääkinud ingel oli lahkunud, kutsus Korneelius kaks majateenrit ja ühe jumalakartliku sõduri nende hulgast, kes alati ta juures viibisid,
8akawaeleza yote yaliyotukia, akawatuma Yopa.
8jutustas neile kõigest ning läkitas nad Joppesse.
9Kesho yake, hao watu watatu wakiwa bado safarini, lakini karibu kufika Yopa, Petro alipanda juu ya paa la nyumba yapata saa sita mchana ili kusali.
9Aga järgmisel päeval, kui nad teed käies lähenesid linnale, läks Peetrus keskpäeva ajal katusele palvetama.
10Aliona njaa, akatamani kupata chakula. Chakula kilipokuwa kinatayarishwa, alipatwa na usingizi mzito akaona maono.
10Ja talle tuli nälg ning ta tahtis midagi süüa. Aga kui talle süüa tehti, siis sündis, et ta oli nagu endast ära
11Aliona mbingu zimefunguliwa na kitu kama shuka kubwa inateremshwa chini ikiwa imeshikwa pembe zake nne.
11ja nägi taeva avatud olevat ja sealt laskuvat anuma otsekui suure lina, mida nelja nurka pidi maa peale lasti.
12Ndani ya shuka hiyo kulikuwa na kila aina ya wanyama: wanyama wenye miguu minne, wanyama watambaao na ndege wa angani.
12Selle sees oli igasuguseid ilmamaa neljajalgseid ja roomajaid ja taeva linde.
13Akasikia sauti ikimwambia: "Petro, amka uchinje, ule!"
13Ja talle kostis hääl: 'Tõuse, Peetrus, tapa ja söö!'
14Petro akajibu, "La, Bwana; mimi sijaonja kamwe chochote ambacho ni najisi au kichafu."
14Aga Peetrus ütles: 'Ei ilmaski, Issand, sest ma ei ole veel kunagi söönud seda, mis on keelatud ja rüve.'
15Ile sauti ikasikika tena ikimwambia: "Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa!"
15Ja hääl hüüdis talle teist korda: 'Mida Jumal on puhtaks tunnistanud, seda sina ära pea keelatuks!'
16Jambo hili lilifanyika mara tatu, kisha ile shuka ikarudishwa juu mbinguni.
16See sündis kolm korda, ja kohe võeti anum üles taevasse.
17Petro alipokuwa bado anashangaa juu ya maana ya hilo maono alilokuwa ameliona, wale watu waliotumwa na Kornelio, baada ya kuigundua nyumba ya Simoni, walifika mlangoni,
17Aga kui Peetrus oli eneses kahevahel, mida tema nähtud nägemus küll peaks tähendama, vaata, siis Korneeliuse läkitatud mehed, kes olid Siimona koja üles otsinud, seisid värava taga
18Wakaita kwa sauti: "Je, kuna mgeni humu aitwaye Simoni Petro?"
18ning pärisid, hüüdes: 'Kas Siimon, hüüdnimega Peetrus, on siin külas?'
19Petro alikuwa bado anajaribu kuelewa lile maono, na hapo Roho akamwambia, "Sikiliza! kuna watu watatu hapa, wanakutafuta.
19Peetrus alles mõtiskles nägemuse üle, kui Vaim ütles talle: 'Vaata, kolm meest otsib sind.
20Shuka upesi na wala usisite kwenda pamoja nao kwa maana ni mimi niliyewatuma."
20Tõuse nüüd kohe, astu alla ja mine nendega koos ilma kõhklemata, sest mina ise olen nad läkitanud.'
21Basi, Petro akateremka chini, akawaambia hao watu, "Mimi ndiye mnayemtafuta. Kwa nini mmekuja?"
21Peetrus astus siis alla meeste juurde ja ütles: 'Ennäe, mina olen see, keda te otsite. Mis asja pärast te olete tulnud?'
22Wao wakamjibu, "Jemadari Kornelio ambaye ni mtu mwema, mcha Mungu na mwenye kuheshimika mbele ya Wayahudi wote ametutuma. Aliambiwa na malaika mtakatifu akualike nyumbani kwake ili asikilize chochote ulicho nacho cha kusema."
22Nemad vastasid: 'Rooma pealik Korneelius, õiglane ja jumalakartlik mees, kellel on hea maine kogu juuda rahva hulgas, on saanud pühalt inglilt märku sind oma majja kutsuda ja kuulata sinu sõnu.'
23Petro akawaalika ndani, akawapa mahali pa kulala usiku ule. Kesho yake, Petro alianza safari pamoja nao, na baadhi ya ndugu wa huko Yopa walifuatana naye.
23Siis ta kutsus nad sisse endale külla.Järgmisel päeval Peetrus tõusis ja läks teele koos nendega ja mõned Joppe vennad läksid temaga kaasa.
24Siku ya pili yake, walifika Kaisarea na huko Kornelio alikuwa anawangojea pamoja na jamaa na marafiki aliokuwa amewaalika.
24Aga ülejärgmisel päeval jõudis ta Kaisareasse. Korneelius ootas neid juba ja oli oma sugulased ja lähemad sõbrad kokku kutsunud.
25Petro alipokuwa anaingia, Kornelio alitoka nje kumlaki, akapiga magoti mbele yake na kuinama chini kabisa.
25Kui Peetrus sisse astus, läks Korneelius talle vastu ja kummardas teda ta jalgade ette maha heites.
26Lakini Petro alimwinua, akamwambia, "Simama, kwa maana mimi ni binadamu tu."
26Aga Peetrus tõstis ta üles ja ütles: 'Tõuse püsti, ka mina olen ju inimene!'
27Petro aliendelea kuongea na Kornelio wakiwa wanaingia nyumbani ambamo aliwakuta watu wengi wamekusanyika.
27Ja temaga vesteldes astus ta sisse ja leidis palju kokkutulnuid.
28Petro akawaambia, "Ninyi wenyewe mnajua kwamba Myahudi yeyote amekatazwa na Sheria yake ya dini kushirikiana na watu wa mataifa mengine. Lakini Mungu amenijulisha nisimfikirie mtu yeyote kuwa najisi au mchafu.
28Peetrus ütles neile: 'Küllap te teate, et juuda mehel on lubamatu suhelda muulasega või minna tema juurde. Aga Jumal on mulle selgeks teinud, et ühtegi inimest ei tohi nimetada halvaks ega rüvedaks.
29Kwa sababu hiyo, mliponiita nimekuja bila kusita. Basi, nawaulizeni: kwa nini mmeniita?"
29Seepärast ma olengi sõnalausumata tulnud, kui mind kutsuti. Nüüd ma küsin: mis asja pärast te olete mu kutsunud?'
30Kornelio akasema, "Siku tatu zilizopita saa kama hii, saa tisa alasiri, nilikuwa nikisali chumbani mwangu. Ghafla, mtu aliyekuwa amevaa mavazi yenye kun'gaa alisimama mbele yangu,
30Ja Korneelius ütles: 'Nelja päeva eest, samuti pärastlõunal kella kolme paiku, ma palvetasin oma majas. Ja vaata, mu ees seisis üks mees säravas rõivas
31akasema: Kornelio! Sala yako na sadaka zako kwa maskini vimekubaliwa na Mungu.
31ning ütles: 'Korneelius, su palvet on kuuldud ja su almuseid on tuletatud meelde Jumala ees.
32Mtume mtu Yopa akamwite mtu mmoja aitwaye Simoni, kwa jina lingine Petroi; yuko nyumbani kwa Simoni mtengenezaji wa ngozi karibu na bahari.
32Saada nüüd käskjalad Joppesse ja kutsu Siimon, kelle hüüdnimi on Peetrus; tema on külas nahkur Siimona kojas mere ääres.'
33Kwa hiyo nilikutumia ujumbe bila kuchelewa, nawe umefanya vyema kuja. Sasa, sisi tuko mbele ya Mungu, kusikiliza chochote ambacho bwana amekuamuru kusema."
33Ma saatsin siis otsekohe sinu järele ja sa oled hästi teinud, et sa tulid. Nüüd me oleme siis kõik üheskoos Jumala ees kuulamas kõike, mida Issand sulle on käskinud.'
34Hapo Petro akaanza kusema: "Sasa nimetambua kwamba hakika Mungu hana ubaguzi.
34Nüüd avas Peetrus oma suu ja ütles: 'Tõepoolest, nüüd ma mõistan, et Jumal ei ole erapoolik,
35Mtu wa taifa lolote anayemcha Mungu na kutenda haki anapokelewa naye.
35vaid talle on vastuvõetav iga rahva hulgast see, kes teda kardab ja teeb õigust.
36Huu ndio ule ujumbe Mungu alioupeleka kwa watu wa Israeli, akitangaza Habari Njema iletayo amani kwa njia ya Yesu Kristo ambaye ni Bwana wa wote.
36See on sõna, mille ta on läkitanud Iisraeli lastele, kuulutades evangeeliumi rahust Jeesuse Kristuse kaudu, kes on kõikide Issand.
37Ninyi mnajua jambo lililotukia katika nchi yote ya Wayahudi kuanzia Galilaya baada ya ule ubatizo aliohubiri Yohane.
37Te teate seda, mis on sündinud algul Galileas ja siis kogu Juudamaal pärast ristimist, mida kuulutas Johannes -
38Mnajua Yesu wa Nazareti na jinsi Mungu alivyomteua kwa kummiminia Roho Mtakatifu na nguvu. Mungu alikuwa pamoja naye; yeye alikwenda huko na huko akitenda mema na kuwaponya wote waliokuwa wamevamiwa na Ibilisi.
38kuidas Jeesus Naatsaretist, keda Jumal oli võidnud Püha Vaimu ja väega, käis mööda maad head tehes ja parandades kõiki kuradi poolt rõhutuid, sest Jumal oli temaga.
39Sisi ni mashahidi wa mambo yote aliyotenda katika nchi ya Wayahudi na katika Yerusalemu. Walimuua kwa kumtundika msalabani;
39Ja meie oleme kõige selle tunnistajad, mis ta on teinud juutide maal ja Jeruusalemmas. Nemad aga hukkasid tema, riputades ta ristipuu külge.
40lakini Mungu alimfufua siku ya tatu, akamfanya aonekane
40Sellesama on Jumal kolmandal päeval üles äratanud ja lasknud tal saada avalikuks;
41si kwa watu wote ila kwa wale Mungu aliokwisha wachagua wawe mashahidi wake, yaani sisi tuliokula na kunywa pamoja naye baada ya kufufuka kwake kutoka wafu.
41mitte kogu rahvale, vaid Jumala poolt ette märgitud tunnistajaile, meile, kes me oleme temaga koos söönud ja joonud pärast seda, kui ta oli üles tõusnud surnuist.
42Alituamuru kuihubiri Habari Njema kwa watu wote na kushuhudia kwamba yeye ndiye aliyeteuliwa na Mungu awe Mwamuzi wa wazima na wafu.
42Ja tema on käskinud meid rahvale kuulutada ja tunnistada, et tema on Jumala poolt määratud elavate ja surnute kohtumõistja.
43Manabii wote waliongea juu yake kwamba kila mtu atakayemwamini atasamehewa dhambi zake zote kwa jina lake."
43Temast tunnistavad kõik prohvetid, et igaüks, kes temasse usub, saab tema nime läbi pattude andeksandmise.'
44Wakati Petro alipokuwa bado anasema maneno hayo, Roho Mtakatifu aliwashukia wote waliokuwa wanasikiliza ujumbe huo.
44Kui Peetrus alles neid sõnu rääkis, langes Püha Vaim kõikide peale, kes seda sõna kuulsid.
45Wale Wayahudi waumini waliokuja pamoja na Petro kutoka Yopa walishangaa kuona kuwa Mungu aliwamiminia zawadi ya Roho Mtakatifu watu wa mataifa mengine pia;
45Ja kõik need usklikud ümberlõigatute hulgast, kes olid Peetrusega kaasa tulnud, jahmusid sellest, et Püha Vaimu andi valati ka paganate peale,
46maana waliwasikia wakiongea kwa lugha mbalimbali wakimtukuza Mungu. Hapo Petro akasema,
46sest nad kuulsid neid võõraid keeli rääkivat ja Jumala suurust ülistavat. Siis hakkas Peetrus rääkima:
47"Watu hawa wamempokea Roho Mtakatifu kama sisi wenyewe tulivyompokea. Je, kuna yeyote atakayeweza kuwazuia wasibatizwe kwa maji?"
47'Kas keegi võib vett keelata, et ei ristitaks neid, kes on saanud Püha Vaimu nõnda nagu meiegi?'
48Basi, akaamuru wabatizwe kwa jina la Yesu Kristo. Kisha wakamwomba akae nao kwa siku chache.
48Ta käskis nad ristida Jeesuse Kristuse nimesse. Siis nad palusid teda jääda mõneks päevaks nende juurde.