1Basi, Agripa akamwambia Paulo, "Unaruhusiwa kujitetea." Hapo Paulo alinyosha mkono wake akajitetea hivi:
1Aga Agrippa ütles Paulusele: 'Sul on luba enese eest rääkida.' Siis Paulus sirutas oma käe ja kostis enese eest:
2"Mfalme Agripa, ninajiona mwenye bahati leo kujitetea mbele yako kuhusu yale mashtaka yote ambayo Wayahudi walikuwa wamesema juu yangu.
2'Ma loen end õnnelikuks, kuningas Agrippa, et ma võin täna sinu ees enese eest kosta kõige selle kohta, milles juudid mind süüdistavad,
3Hasa kwa vile wewe mwenyewe ni mtaalamu wa desturi za Wayahudi na migogoro yao, ninakuomba basi unisikilize kwa uvumilivu.
3sest sina oled kõikide juudi kommete ja vaidlusküsimuste parim tundja. Seepärast ma palun sind väga, kuula mind kannatlikult!
4"Wayahudi wanajua habari za maisha yangu tangu utoto, jinsi nilivyoishi tangu mwanzo kati ya taifa langu huko Yerusalemu.
4Minu elujärge noorusest peale, seda, mis mul algusest saadik oma rahva keskel Jeruusalemmas on olnud, teavad kõik juudid,
5Wananifahamu kwa muda mrefu, na wanaweza kushuhudia, kama wakipenda, kwamba tangu mwanzo niliishi kama mmoja wa kikundi chenye siasa kali zaidi katika dini yetu, yaani kikundi cha Mafarisayo.
5kes mind ammu tunnevad ja võivad tunnistada, kui nad seda vaid tahavad, et ma olen elanud variserina meie kõige rangema kildkonna usukommete järgi.
6Na sasa niko hapa nihukumiwe kwa sababu ninaitumainia ile ahadi ambayo Mungu aliwaahidia babu zetu.
6Ja nüüd ma seisan kohtu all lootuse pärast selle tõotuse peale, mille Jumal on andnud meie isadele.
7Ahadi hiyo ndiyo ileile inayotumainiwa na makabila kumi na mawili ya taifa letu, wakimtumikia Mungu kwa dhati mchana na usiku. Mheshimiwa mfalme, Wayahudi wananishtaki kwa sababu ya tumaini hilo!
7Selle tõotuse täitumist loodavad meie kaksteist suguharu, teenides Jumalat raugematult ööd ja päevad. Selle lootuse pärast, kuningas, süüdistavadki mind juudid.
8Kwa nini ninyi mnaona shida sana kuamini kwamba Mungu huwafufua wafu?
8Miks teil peetakse uskumatuks, et Jumal surnuid üles äratab?
9Kwa kweli mimi mwenyewe niliamini kwamba ni wajibu wangu kufanya mambo mengi kulipinga jina la Yesu wa Nazareti.
9Mina ise olin ka kunagi arvamisel, et ma pean kõigiti vastu tegutsema Jeesuse Naatsaretlase nimele.
10Mambo hayo ndiyo niliyoyafanya huko Yerusalemu. Mimi binafsi, nikiwa nimepewa mamlaka kutoka kwa makuhani wakuu, nilipata kuwatia gerezani wengi wa watu wa Mungu. Nao walipohukumiwa kuuawa, nilipiga kura ya kukubali.
10Seda ma tegingi Jeruusalemmas ning ma vangistasin palju pühi inimesi, kui ma ülempreestritelt olin saanud selleks meelevalla, ja kui neid hukati, siis ma andsin oma hääle selle poolt.
11Mara nyingi niliwafanya waadhibiwe katika masunagogi yote nikiwashurutisha waikane imani yao. Hasira yangu kwao ilikuwa kubwa hata nikawasaka mpaka miji ya mbali.
11Ja ma nuhtlesin neid sageli kõigis sünagoogides, püüdes neid sundida Jumalat teotama, ning oma pöörases raevus kiusasin neid taga ka välismaa linnades.
12"Kwa mujibu huohuo, nilikwenda Damasko wakati mmoja, nikiwa na mamlaka na maagizo kutoka kwa makuhani wakuu.
12Kui ma siis neis asjus läksin Damaskusesse ülempreestritelt saadud meelevalla ja eriloaga,
13Mheshimiwa, wakati nilipokuwa njiani, saa sita mchana, niliona mwanga mkubwa kuliko wa jua ukiangaza kutoka mbinguni, ukanizunguka mimi na wale wasafiri wenzangu.
13siis keskpäeva ajal tee peal, kuningas, ma nägin päikesest säravamat valgust taevast paistvat minu ja mu teekaaslaste ümber.
14Sisi sote tulianguka chini, nami nikasikia sauti ikiniambia kwa Kiebrania: Saulo, Saulo! Kwa nini unanitesa? Unajiumiza bure kama punda anayepiga teke fimbo ya bwana wake.
14Ja kui me kõik maha kukkusime, siis ma kuulsin üht häält mulle ütlevat heebrea keeles: 'Saul, Saul, miks sa mind taga kiusad? Raskeks läheb sul astla vastu takka üles lüüa!'
15Mimi nikauliza: Ni nani wewe Bwana? Naye Bwana akajibu: Mimi ni Yesu ambaye wewe unamtesa.
15Mina aga ütlesin: 'Kes sa oled, isand?' Aga Issand vastas: 'Mina olen Jeesus, keda sa taga kiusad.
16Haidhuru, inuka sasa; simama wima. Nimekutokea ili nikuweke rasmi kuwa mtumishi wangu. Utawathibitishia watu wengine mambo uliyoyaona leo na yale ambayo bado nitakuonyesha.
16Kuid nüüd tõuse püsti ja seisa oma jalgadel, sest mina olen sulle end näidanud selleks, et sind määrata sulaseks ja kõige selle tunnistajaks, mida sa oled näinud minu juures ja näed, kui ma sulle end veel näitan.
17Nitakuokoa na watu wa Israeli na watu wa mataifa mengine ambao mimi ninakutuma kwao.
17Ma kisun su välja juutide ja paganate käest, kelle juurde ma nüüd su läkitan
18Utayafumbua macho yao na kuwawezesha watoke gizani na kuingia katika mwanga; watoke katika utawala wa Shetani, wamgeukie Mungu; ili kwa kuamini, wapate kusamehewa dhambi na kuchukua nafasi yao kati ya wale ambao wamepata kuwa watu wa Mungu.
18avama nende silmi, et nad pöörduksid pimedusest valguse poole ja saatana meelevalla alt Jumala poole, et nad saaksid pattude andeksandmise ja osa nende seas, kes on pühitsetud usu kaudu minusse.'
19"Hivyo, mfalme Agripa, sikuweza kuwa mkaidi kwa maono hilo la mbinguni.
19Selle tõttu, kuningas Agrippa, ma ei ole olnud sõnakuulmatu taevase nägemuse vastu,
20Ila nilianza kuhubiri kwanza kwa watu wa Damasko, halafu kwa wale wa Yerusalemu na nchi yote ya Yudea, na pia kwa watu wa mataifa mengine. Niliwahimiza wamgeukie Mungu na kuonyesha kwa vitendo kwamba wamebadilisha mioyo yao.
20vaid ma kuulutasin esmalt Damaskuses ja siis Jeruusalemmas ja kogu Juudamaal ning paganatelegi, et nad peavad meelt parandama ja Jumala poole pöörduma, tehes meeleparandusele kohaseid tegusid.
21Kwa sababu hiyo, Wayahudi walinikamata nikiwa Hekaluni, wakajaribu kuniua.
21Selle kõige pärast on juudid mind pühakojas kinni võtnud ja püüdnud tappa.
22Lakini Mungu alinisaidia; na hivyo mpaka siku ya leo nimesimama imara nikitoa ushuhuda kwa wote, wakubwa na wadogo. Ninayosema ni yale ambayo manabii na Mose walisema yatatukia;
22Et ma olen aga Jumalalt abi saanud tänase päevani, siis ma seisan, tunnistades nii pisikestele kui suurtele, ega ütle midagi muud kui seda, mida Prohvetid ja Mooses on rääkinud tulevikus sündivaist asjust:
23yaani ilimpasa Kristo ateseke na kuwa wa kwanza kufufuka kutoka wafu, ili atangaze kwamba mwanga wa ukombozi unawaangazia sasa watu wote, Wayahudi na pia watu wa mataifa mengine."
23et Messias pidi kannatama, et ta pidi esimesena surnuist üles tõusma ning kuulutama valgust nii juutidele kui paganaile.'
24Paulo alipofika hapa katika kujitetea kwake, Festo alisema kwa sauti kubwa, "Paulo! Una wazimu! Kusoma kwako kwingi kunakutia wazimu!"
24Aga kui ta nõnda enese eest kostis, ütles Festus valju häälega: 'Sa jampsid, Paulus! Suur kirjatarkus on su jampsima pannud!'
25Lakini Paulo akasema, "Sina wazimu mheshimiwa Festo: Ninachosema ni ukweli mtupu.
25Aga Paulus ütles: 'Ei jampsi, üliauline Festus, vaid kõnelen tõsiseid ja arukaid sõnu.
26Wewe Mfalme unayafahamu mambo haya, kwa hiyo ninaweza kuongea bila uoga mbele yako. Sina mashaka kwamba matukio hayo yanajulikana kwako maana jambo hili halikutendeka mafichoni.
26Kuningas, kellega ma nii julgesti räägin, teab küll neid asju, sest ma olen veendunud, et midagi sellest pole tema eest varjule jäänud, ei ole see ju kuskil kolkas toimunud.
27Mfalme Agripa, je, una imani na manabii? Najua kwamba unaamini."
27Kuningas Agrippa, kas sa usud prohveteid? Ma tean, et sa usud!'
28Agripa akamjibu Paulo, "Kidogo tu utanifanya Mkristo!"
28Aga Agrippa ütles Paulusele: 'Pisut veel, ja sa veenad mu koguni kristlaseks!'
29Paulo akamjibu, "Namwomba Mungu kwamba, kwa muda mfupi au mrefu, si wewe tu bali wote wanaonisikia leo wapate kuwa kama nilivyo mimi, lakini bila hii minyororo."
29Paulus vastas: 'Paluksin küll Jumalalt, olgu siis vaja pisut või palju, et mitte ainult sina, vaid ka teie kõik, kes te mind täna kuulete, saaksite niisuguseks, nagu mina olen, ainult ilma nende ahelateta!'
30Hapo mfalme Agripa, mkuu wa mkoa, Bernike na wale wote waliokuwa pamoja nao, walisimama.
30Kuningas ja maavalitseja ja Berenike ja need, kes nendega istusid, tõusid siis püsti
31Walipokwisha ondoka, waliambiana, "Mtu huyu hakufanya chochote kinachostahili adhabu ya kifo au kifungo."
31ja kõrvale astudes rääkisid omavahel: 'See inimene ei tee küll midagi, mis vääriks surma või ahelaid.'
32Naye Agripa akamwambia Festo, "Mtu huyu angeweza kufunguliwa kama asingalikuwa amekata rufani kwa Kaisari."
32Aga Agrippa lausus Festusele: 'Selle inimese oleks võinud vabaks lasta, kui ta ei oleks nõudnud keisri kohut.'