1Sheria ya Wayahudi si picha kamili ya mambo yale halisi: ni kivuli tu cha mema yanayokuja. Dhabihu zilezile hutolewa daima, mwaka baada ya mwaka. Sheria yawezaje, basi, kwa njia ya dhabihu hizo, kuwafanya wale wanaoabudu wawe wakamilifu?
1Et Moosese Seadus on vaid tulevaste hüvede vari, mitte nende hüvede täiskuju, siis see ei või mitte kunagi teha täiuslikuks neid, kes tulevad Jumala ette igal aastal nendesamade ohvritega, mida nad alatasa ohverdavad.
2Kama hao watu wanaomwabudu Mungu wangekuwa wametakaswa dhambi zao kweli, hawangejisikia tena kuwa na dhambi, na dhabihu hizo zote zingekoma.
2Eks muidu oleks ju lakanud nende ohverdamine, sest jumalateenijail ei oleks kord juba puhastatult enam mingit patust südametunnistust?
3Lakini dhabihu hizo hufanyika kila mwaka kuwakumbusha watu dhambi zao.
3Kuid nende ohvritega tuletatakse igal aastal meelde patte;
4Maana damu ya fahali na mbuzi haiwezi kamwe kuondoa dhambi.
4sest on võimatu, et härgade ja sikkude veri võtaks patud ära.
5Ndiyo maana Kristo alipokuwa anakuja ulimwenguni, alimwambia Mungu: "Hukutaka dhabihu wala sadaka, lakini umenitayarishia mwili.
5Seepärast Kristus ütleb maailma tulles: 'Tapaohvrit ja roaohvrit sa ei tahtnud, aga ihu sa oled mulle valmistanud.
6Sadaka za kuteketezwa au za kuondoa dhambi hazikupendezi.
6Põletusohvrid ja patuohvrid ei olnud sulle meelepärased.
7Hapo nikasema: Niko hapa ee Mungu, tayari kufanya mapenzi yako kama ilivyoandikwa juu yangu katika kitabu cha Sheria."
7Siis ma ütlesin: Vaata, ma tulen - rullraamatusse on minust kirjutatud - tegema sinu tahtmist, oh Jumal!'
8Kwanza alisema: "Hutaki, wala hupendezwi na dhabihu na sadaka, sadaka za kuteketezwa na za kuondoa dhambi." Alisema hivyo ingawa sadaka hizi zote hutolewa kufuatana na Sheria.
8Esmalt ta ütleb: 'Tapaohvrit ja roaohvrit ja põletusohvreid ja patuohvreid ei ole sa tahtnud ega ole need olnud sulle meelepärased, kuigi neid ohverdatakse Seaduse järgi!'
9Kisha akasema: "Niko hapa, ee Mungu, tayari kufanya mapenzi yako." Hivyo Mungu alibatilisha dhabihu za zamani na mahali pake akaweka dhabihu nyingine moja.
9Ja siis ta ütleb: 'Vaata, ma tulen tegema sinu tahtmist!' Ta kõrvaldab esimese selleks, et kehtestada teine.
10Kwa kuwa Yesu Kristo alitimiza mapenzi ya Mungu, sisi tunatakaswa dhambi zetu kwa ile dhabihu ya mwili wake aliyotoa mara moja tu, ikatosha.
10Sellessamas tahtmises oleme meiegi pühitsetud Jeesuse Kristuse ihu ühekordse ja alatiseks ohverdamise läbi.
11Kila kuhani Myahudi humhudumia Mungu kila siku, akitoa dhabibu zilezile mara nyingi, dhabibu ambazo haziwezi kuondoa dhambi.
11Iga preester seisab päevast päeva oma teenistuses ja ohverdab aina neidsamu ohvreid, mis aga kunagi ei või ära võtta patte.
12Lakini Kristo alitoa dhabihu moja tu kwa ajili ya dhambi, dhabihu ifaayo milele, kisha akaketi upande wa kulia wa Mungu.
12Aga see siin, ohverdanud üheainsa ohvri pattude eest, on jäädavalt istunud Jumala paremale käele,
13Huko anangoja mpaka adui zake watakapowekwa kama kibao chini ya miguu yake.
13nüüd ainult oodates, kuni ta vaenlased pannakse ta jalajäriks.
14Basi, kwa dhabihu yake moja tu, amewafanya kuwa wakamilifu milele wale wanaotakaswa dhambi zao.
14Sest üheainsa ohvriga on ta teinud pühitsetavad jäädavalt täiuslikuks.
15Naye Roho Mtakatifu anatupa ushahidi wake. Kwanza anasema:
15Seda tunnistab meile ka Püha Vaim pärast seda, kui ta oli öelnud:
16"Hili ndilo agano nitakalofanya nao, katika siku zijazo, asema Bwana: Nitaweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika akilini mwao."
16'See on leping, mille ma teen nendega pärast neid päevi, ütleb Issand: ma annan oma seadused nende südamesse ja kirjutan need nende mõistusesse.
17Kisha akaongeza kusema: "Sitakumbuka tena dhambi zao, wala vitendo vyao vya uhalifu."
17Ja ma ei mäleta enam nende patte ega ülekohtutegusid.'
18Basi, dhambi zikisha ondolewa, hakutakuwa na haja tena ya kutoa dhabihu za kuondoa dhambi.
18Aga kus need on andeks antud, seal ei ole vaja enam mingit ohvrit pattude eest.
19Basi, ndugu, kwa damu ya Yesu tunapewa moyo thabiti wa kuingia Mahali Patakatifu.
19Vennad, et meil on siis Jeesuse vere varal julgus sisse minna kõige pühamasse paika -
20Yeye ametufungulia njia mpya na yenye uzima kupitia lile pazia, yaani kwa njia ya mwili wake mwenyewe.
20selle tee on ta avanud meile uuena ja elavana vahevaiba, see on oma ihu kaudu -
21Basi, tunaye kuhani maarufu aliye na mamlaka juu ya nyumba ya Mungu.
21ja et meil on suur preester Jumala koja üle,
22Kwa hiyo tumkaribie Mungu kwa moyo mnyofu na imani timilifu, kwa mioyo iliyotakaswa dhamiri mbaya, na kwa miili iliyosafishwa kwa maji safi.
22siis mingem Jumala ette siira südamega usukülluses, olles südame poolest piserdamisega puhastatud kurjast südametunnistusest ja ihu poolest pestud puhta veega!
23Tushikilie imara tumaini lile tunalokiri, maana Mungu aliyefanya ahadi zake ni mwaminifu.
23Pidagem vankumatult kinni lootuse tunnistusest, sest ustav on, kes seda on tõotanud.
24Tujitahidi kushughulikiana kwa ajili ya kuongezeana bidii ya kupendana na kutenda mema.
24Ja mõtelgem üksteisele, kuidas üksteist virgutada armastusele ja headele tegudele.
25Tusiache ile desturi ya kukutana pamoja, kama vile wengine wanavyofanya. Bali tunapaswa kusaidiana kwani, kama mwonavyo, Siku ile ya Bwana inakaribia.
25Ärgem jätkem unarusse oma koguduse kooskäimist, nõnda nagu mõnel on kombeks, vaid julgustagem selleks üksteist - ja seda enam, mida rohkem te näete seda päeva lähenevat.
26Maana, tukiendelea kutenda dhambi makusudi baada ya kufahamu ukweli, hakuna dhabihu iwezayo kutolewa tena kwa ajili ya kuondoa dhambi.
26Sest kui me tahtlikult teeme pattu pärast seda, kui oleme õppinud tundma tõde, siis ei ole enam ohvrit pattude eest,
27Linalobaki ni kungojea tu kwa hofu hukumu ya Mungu na moto mkali utakaowaangamiza wote wanaompinga.
27vaid ainult mingi hirmus kohtu ootamine ja äge tuli, mis neelab vastased.
28Mtu yeyote asiyeitii Sheria ya Mose, huuawa bila ya huruma kukiwa na ushahidi wa watu wawili au watatu.
28Kui keegi hülgab Moosese Seaduse, siis peab ta ilma armuheitmiseta surema kahe või kolme tunnistaja sõna peale.
29Je, mtu yule anayempuuza Mwana wa Mungu na kuidharau damu ya agano la Mungu iliyomtakasa, mtu anayemtukana Roho wa Mungu, anastahili kupata adhabu kali ya namna gani?
29Kui palju rängema nuhtluse väärib siis teie arvates see, kes Jumala Poega on jalgadega tallanud ega ole pühaks pidanud lepingu verd, millega ta on pühitsetud, ja kes on teotanud armu Vaimu?
30Maana tunamfahamu yule aliyesema, "Mimi nitalipiza kisasi, mimi nitalipiza," na ambaye alisema pia, "Bwana atawahukumu watu wake."
30Me ju tunneme teda, kes ütleb: 'Minu päralt on kättemaks, mina tasun kätte.' Ja taas: 'Küll Issand mõistab kohut oma rahva üle.'
31Kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai ni jambo la kutisha mno!
31Hirmus on langeda elava Jumala kätte!
32Kumbukeni yaliyotokea siku zile za kwanza mlipoangaziwa mwanga wa Mungu. Ingawa siku zile mlipatwa na mateso mengi, ninyi mlistahimili.
32Tuletage meelde endisi päevi, mil teie, olles valgustatud, pidite taluma rohket võitlust kannatustes!
33Mara nyingine mlitukanwa na kufedheheshwa hadharani; mara nyingine mlikuwa radhi kuungana na wale walioteswa namna hiyohiyo.
33Mõned teist tehti rahva avaliku teotamise ja tagakiusamise aluseks, teised said osa nende kannatustest, kelle käsi nõnda käis.
34Mlishiriki mateso ya wafungwa, na mliponyang'anywa mali yenu mlistahimili kwa furaha, maana mlijua kwamba mnayo mali bora zaidi na ya kudumu milele.
34Te olete ju koos vangidega kannatanud ja rõõmuga talunud oma vara riisumist, teades, et teil endal on parem ja jäädav varandus.
35Basi, msipoteze uhodari wenu, maana utawapatieni tuzo kubwa.
35Ärge siis heitke ära oma julgust, mis saab suure palga!
36Mnahitaji kuwa na uvumilivu, ili mweze kufanya anayotaka Mungu na kupokea kile alichoahidi.
36Teile läheb vaja kannatlikkust, et te Jumala tahtmist täites saaksite kätte tõotuse.
37Maana kama yasemavyo Maandiko: "Bado kidogo tu, na yule anayekuja, atakuja, wala hatakawia.
37'Sest veel ainult pisut, pisut, siis tuleb see, kes peab tulema, ega viivita.
38Lakini mtu wangu aliye mwadilifu ataamini na kuishi; walakini akirudi nyuma, mimi sitapendezwa naye."
38Aga minu õige jääb usust elama, kui ta taganeb, siis ei ole minu hingel temast head meelt.'
39Basi, sisi hatumo miongoni mwa wale wanaorudi nyuma na kupotea, ila sisi tunaamini na tunaokolewa.
39Aga meie ei ole need, kes taganevad hukatuseks, vaid need, kes usuvad ja päästavad hinge.