Swahili: New Testament

Estonian

Hebrews

5

1Kila kuhani mkuu huchaguliwa kutoka miongoni mwa watu kwa ajili ya kumtumikia Mungu kwa niaba yao, kutolea zawadi na tambiko kwa ajili ya dhambi zao.
1Iga ülempreester, kes võetakse inimeste hulgast, seatakse inimeste asemel läbi käima Jumalaga, et ta tooks ande ja ohvreid pattude eest.
2Maadamu yeye mwenyewe yu dhaifu anaweza kuwaonea huruma wale wasiojua kitu na wanaofanya makosa.
2Ta suudab mõistvalt kohelda arutuid ja eksijaid, kuna ta isegi on nõrkusest piiratud.
3Na kwa vile yeye mwenyewe ni dhaifu, anapaswa kutolea dhabihu si tu kwa ajili ya watu, bali pia kwa ajili ya dhambi zake.
3Ja selle nõrkuse tõttu peab ta niisamuti nagu rahva, nõnda ka iseenese eest ohverdama pattude pärast.
4Hakuna mtu awezaye kujitwalia mwenyewe heshima ya kuwa kuhani mkuu. Kila mmoja huteuliwa na Mungu kuwa kuhani mkuu kama alivyokuwa Aroni.
4Ja keegi ei võta enesele seda au ise, vaid Jumala kutsel nagu Aarongi.
5Hali kadhalika naye Kristo hakujitwalia mwenyewe heshima ya kuwa kuhani mkuu, bali Mungu alimwambia: "Wewe ni Mwanangu; mimi leo nimekuwa baba yako."
5Nõnda ei ole ka Kristus austanud ennast ise ülempreestriks saamisega, vaid see, kes talle on ütelnud: 'Sina oled mu Poeg, täna ma sünnitasin sinu.'
6Alisema pia mahali pengine: "Wewe ni kuhani milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki."
6Nõnda ta ütleb ka teises kohas: 'Sina oled igavesti preester Melkisedeki korra järgi.'
7Yesu alipokuwa anaishi hapa duniani, kwa kilio kikuu na machozi, alisali na kumwomba Mungu ambaye alikuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka kifo; naye alisikilizwa kwa sababu ya kumcha Mungu.
7Oma maise elu päevil ohverdas Jeesus palumisi ja anumisi suure hüüdmise ja pisaratega selle poole, kes teda võis päästa surmast, ja teda võeti kuulda tema allaheitlikkuse tõttu.
8Lakini, ingawa alikuwa Mwana wa Mungu, alijifunza kutii kwa njia ya mateso.
8Ja olles küll Poeg, õppis ta kuulekust selle läbi, mida ta kannatas.
9Na alipofanywa mkamilifu, akawa chanzo cha wokovu wa milele kwa wale wote wanaomtii,
9Ja kui ta oli saanud täiuslikuks, sai ta igavese pääste toojaks kõigile, kes on talle kuulekad,
10naye Mungu akamteua kuwa kuhani mkuu kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.
10kuna Jumal oli kuulutanud tema ülempreestriks Melkisedeki korra järgi.
11Tunayo Mengi ya kusema juu ya jambo hili, lakini ni vigumu kuwaelezeni, kwa sababu ninyi si wepesi wa kuelewa.
11Sellest oleks meil palju rääkida, aga see on raskesti seletatav, sest te olete jäänud kuulmisele tuimaks.
12Sasa mngalipaswa kuwa tayari walimu, lakini mnahitaji bado mtu wa kuwafundisheni mafundisho ya mwanzo ya ujumbe wa Mungu. Badala ya kula chakula kigumu, mnapaswa bado kunywa maziwa.
12Teie, kes te selle aja peale peaksite olema õpetajad, vajate, et teile jälle õpetataks Jumala sõnade esmaseid algeid, te olete saanud nende väärseks, kes vajavad piima, mitte tahket toitu.
13Kila anayepaswa kunywa maziwa huyo ni mtoto bado, hajui uadilifu ni nini.
13Igaüks, kes toitub piimast, on veel vilumata õiguse sõnas, sest ta on alles väeti laps.
14Lakini chakula kigumu ni kwa ajili ya watu waliokomaa, ambao wanaweza kubainisha mema na mabaya.
14Tahke toit on aga täisealiste jaoks, kelle meeled on kogemuste varal harjunud eristama head ja kurja.