Swahili: New Testament

Estonian

Hebrews

8

1Basi, jambo muhimu katika hayo tunayosema ni hili: sisi tunaye Kuhani Mkuu wa namna hiyo, ambaye anaketi upande wa kulia wa kiti cha enzi cha Mwenyezi Mungu mbinguni.
1Aga peaasi selles, millest siin räägitakse, on see: meil on selline ülempreester, kes on istunud Ausuuruse trooni paremale poole taevas,
2Yeye hutoa huduma ya Kuhani Mkuu katika Mahali Patakatifu sana, yaani ndani ya ile hema ya kweli iliyojengwa na Bwana, siyo na binadamu.
2kes talitab pühamus ja tõelises lepingutelgis, mida ei ole püstitanud inimene, vaid Issand.
3Kila Kuhani Mkuu ameteuliwa kumtolea Mungu vipawa na dhabihu, na hivyo Kuhani Mkuu wetu lazima pia awe na kitu cha kutolea.
3Iga ülempreester seatakse ju ohverdama ande ja ohvreid; seepärast on tingimata vaja, et temalgi oleks midagi ohverdada.
4Kama yeye angekuwa wa hapa duninani, asingekuwa kamwe kuhani, kwani wako makuhani wengine wanaotoa sadaka kufuatana na Sheria.
4Kui ta nüüd oleks maa peal, siis ta ei olekski preester, sest siin on juba olemas neid, kes ohverdavad ande Seaduse järgi
5Huduma zao za kikuhani ni mfano tu na kivuli cha yale yaliyoko mbinguni. Ndivyo pia ilivyokuwa kwa Mose. Wakati alipokuwa karibu kuitengeneza ile hema, Mungu alimwambia: "Tengeneza kila kitu kufuatana na ule mfano ulioonyeshwa kule mlimani."
5ja teenivad pühamus, mis on ainult taevase kuju ja vari. Moosest ju juhendati, kui ta hakkas valmistama telki: 'Vaata, et sa teed kõik selle kuju järgi, mida sulle näidati mäel!'
6Lakini sasa Yesu amepewa huduma ya kikuhani iliyo bora zaidi kuliko yao, kama vile agano alilothibitisha kati ya watu na Mungu ni bora zaidi, kwani lina msingi wake katika ahadi za mambo yaliyo bora zaidi.
6Nüüd on aga Jeesus saanud seda ülevama ameti, mida parema lepingu vahemees ta on, mis on seadustatud paremate tõotuste alusel.
7Maana kama lile agano la kwanza halingalikuwa na dosari, hakungalikuwa na haja ya agano la pili.
7Sest kui esimene leping oleks olnud laitmatu, siis ei oleks otsitud kohta teisele.
8Lakini Mungu aliwalaumu watu wake aliposema: "Siku zinakuja, asema Bwana, ambapo nitafanya agano jipya na watu wa Israeli na kabila la Yuda.
8Kuid tema ütleb neid laites: 'Vaata, päevad tulevad, ütleb Issand, mil ma sõlmin Iisraeli kojaga ja Juuda kojaga uue lepingu,
9Agano hili halitakuwa kama lile nililofanya na babu zao siku ile nilipowaongoza kwa mkono kutoka nchi ya Misri. Hawakuwa waaminifu kwa agano langu; na hivyo mimi sikuwajali, asema Bwana.
9mitte selle lepingu sarnase, mille ma tegin nende esiisadega tol päeval, kui ma nad kättpidi võtsin, et neid viia välja Egiptusemaalt; aga et nad ei jäänud minu lepingusse, siis minagi ei hoolinud neist, ütleb Issand.
10Na hili ndilo agano nitakalofanya na watu wa Israeli siku zijazo, asema Bwana: Nitaweka sheria zangu akilini mwao, na kuziandika mioyoni mwao. Mimi nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
10Sest see leping, mille ma teen Iisraeli kojaga pärast neid päevi, ütleb Issand, on niisugune: ma annan oma seadused nende mõistusesse ja kirjutan need nende südamesse ja ma olen neile Jumalaks ja nemad saavad mulle rahvaks.
11Hakuna mtu atakayemfundisha mwananchi mwenzake, wala atakayemwambia ndugu yake: Mjue Bwana. Maana watu wote, wadogo na wakubwa, watanijua mimi.
11Ja kunagi enam ei õpeta keegi oma kaaskodanikku ega keegi oma venda, öeldes: 'Tunne Issandat!', sest kõik tunnevad mind, nende pisikestest kuni suurteni,
12Nitawasamehe makosa yao, wala sitakumbuka tena dhambi zao."
12sest ma olen armuline nende ülekohtuste tegude vastu ja ei tuleta enam meelde nende patte.'
13Kwa kusema juu ya agano jipya, Mungu alilichakaza lile la kwanza; na chochote kinachochakaa na kuwa kikuukuu kitatoweka karibuni.
13Nimetades uut on ta esimese tunnistanud vananenuks. Aga mis vananeb ja raugastub, see on hääbumise äärel.