1Wakati huo watu fulani walikuja, wakamweleza Yesu juu ya watu wa Galilaya ambao Pilato alikuwa amewaua wakati walipokuwa wanachinja wanyama wao wa tambiko.
1Samal ajal tulid mõned sinna ja jutustasid Jeesusele galilealastest, kelle vere Pilaatus oli seganud nende ohvritega.
2Naye Yesu akawaambia, "Mnadhani Wagalilaya hao walikuwa wahalifu zaidi kuliko Wagalilaya wengine, ati kwa sababu wameteseka hivyo?
2Ja Jeesus ütles neile vastuseks: 'Kas te arvate, et need galilealased olid suuremad patused kui kõik muud galilealased, et nad seda on kannatanud?
3Nawaambieni hakika sivyo; lakini nanyi, hali kadhalika, msipotubu, mtaangamia kama wao.
3Ma ütlen teile, ei sugugi, vaid kui teie ei paranda meelt, hukkute kõik nõndasamuti.
4Au wale kumi na wanane walioangukiwa na mnara kule Siloamu wakafa; mnadhani wao walikuwa wakosefu zaidi kuliko wengine wote walioishi Yerusalemu?
4Või arvate, et need kaheksateist, kelle peale langes Siiloahi torn ja nad ära tappis, olid suuremad võlglased kui kõik muud inimesed, kes Jeruusalemmas elavad?
5Nawaambieni sivyo; lakini nanyi msipotubu, mtaangamia kama wao."
5Ma ütlen teile, ei sugugi, vaid kui teie ei paranda meelt, hukkute kõik nõndasamuti.'
6Kisha, Yesu akawaambia mfano huu: "Mtu mmoja alikuwa na mtini katika shamba lake. Mtu huyu akaenda akitaka kuchuma matunda yake, lakini akaukuta haujazaa hata tunda moja.
6Ja Jeesus rääkis selle tähendamissõna: 'Ühel inimesel oli viigipuu istutatud viinamäele. Ja ta tuli sellelt vilja otsima, ent ei leidnud.
7Basi, akamwambia mfanyakazi wake: Angalia! Kwa miaka mitatu nimekuwa nikija kuchuma matunda ya mtini huu, nami nisiambulie kitu. Ukate! Kwa nini uitumie ardhi bure?
7Siis ta ütles viinamäe aednikule: 'Vaata, juba kolm aastat käin ma sellelt viigipuult vilja otsimas, ent ei leia. Raiu see siis maha! Milleks ta raiskab maad?'
8Lakini naye akamjibu: Bwana, tuuache tena mwaka huu; nitauzungushia mtaro na kuutilia mbolea.
8Aga aednik vastas: 'Isand, jäta ta veel sellekski aastaks, kuni ma ta ümber kaevan ja talle sõnnikut panen,
9Kama ukizaa matunda mwaka ujao, vema; la sivyo, basi utaweza kuukata."
9ehk ta hakkab tuleval aastal vilja kandma, aga kui mitte, siis raiu ta maha!''
10Yesu alikuwa akifundisha katika sunagogi moja siku ya Sabato.
10Ja Jeesus oli õpetamas ühes sünagoogis hingamispäeval.
11Na hapo palikuwa na mwanamke mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa miaka kumi na minane kutokana na pepo aliyekuwa amempagaa. Kwa sababu hiyo, mwili wake ulikuwa umepindika vibaya hata asiweze kusimama wima.
11Ja vaata, seal oli naine, kel oli haiguse vaim kaheksateist aastat ja kes käis kõveras ega saanud ennast päris sirgeks ajada.
12Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, "Mama, umeponywa ugonjwa wako."
12Teda nähes kutsus Jeesus ta enese juurde ja ütles talle: 'Naine, sa oled lahti oma haigusest!'
13Akamwekea mikono, na mara mwili wake ukawa wima tena, akawa anamtukuza Mungu.
13Ja ta pani käed tema peale ja otsekohe ajas naine enese sirgeks ja ülistas Jumalat.
14Lakini mkuu wa sunagogi alikasirika kwa sababu Yesu alikuwa amemponya siku ya Sabato. Hivyo akawaambia wale watu walikusanyika pale, "Mnazo siku sita za kufanya kazi. Basi, fikeni siku hizo mkaponywe magonjwa yenu; lakini msije siku ya Sabato."
14Aga sünagoogi ülem, kelle meel läks pahaseks, et Jeesus tervendas hingamispäeval, ütles rahvahulgale: 'Kuus päeva on, mil tööd peab tegema, tulge siis neil päevil ja laske endid terveks teha, aga ärge tulge hingamispäeval!'
15Hapo Bwana akamjibu, "Enyi wanafiki! Nani kati yenu hangemfungua ng'ombe au punda wake kutoka zizini ampeleke kunywa maji, hata kama siku hiyo ni ya Sabato?
15Aga Issand vastas talle: 'Te silmakirjatsejad, eks igaüks teie seast päästa ka hingamispäeval oma härja või eesli sõime küljest lahti ja vii jooma?
16Sasa, hapa yupo binti wa Abrahamu ambaye Shetani alimfanya kilema kwa muda wa miaka kumi na minane. Je, haikuwa vizuri kumfungulia vifungo vyake siku ya Sabato?"
16Kas siis teda, kes on Aabrahami tütar, keda saatan, ennäe, juba kaheksateist aastat on hoidnud ahelais, ei oleks tohtinud sellest köidikust lahti päästa hingamispäeval?'
17Alipokwisha sema hayo, wapinzani wake waliona aibu lakini watu wengine wote wakajaa furaha kwa sababu ya mambo yote aliyotenda.
17Ja kui ta seda ütles, häbenesid kõik ta vastased, ent kogu rahvahulk rõõmustas kõigi auliste tegude üle, mis sündisid Jeesuse läbi.
18Yesu akauliza: "Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini?
18Siis ta ütles: 'Mille sarnane on Jumala riik ja millega ma teda võrdleksin?
19NI kama mbegu ya haradali aliyotwaa mtu mmoja na kuipanda shambani mwake; ikaota hata ikawa mti. Ndege wa angani wakajenga viota vyao katika matawi yake."
19Ta on sinepiivakese sarnane, mille inimene võttis ja külvas oma aeda. See kasvas ja sai puuks ja taeva linnud pesitsesid tema okstes.'
20Tena akauliza: "Nitaulinganisha Ufalme wa Mungu na nini?
20Ja Jeesus ütles taas: 'Millega ma võrdleksin Jumala riiki?
21Ni kama chachu aliyoitwaa mama mmoja na kuichanganya pamoja na unga debe moja kisha unga wote ukaumuka wote."
21See on haputaigna sarnane, mille naine võttis ja segas kolme vaka jahu sekka, kuni kõik läks hapnema.'
22Yesu alindelea na safari yake kwenda Yerusalemu huku akipitia mijini na vijijini, akihubiri.
22Ja Jeesus rändas mööda linnu ja külasid, õpetades ja käies teed Jeruusalemma poole.
23Mtu mmoja akamwuliza, "Je, Mwalimu, watu watakaookoka ni wachache?"
23Aga keegi ütles temale: 'Issand, kas neid on pisut, kes pääsevad?' Tema aga ütles neile:
24Yesu akawaambia, "Jitahidini kuingia kwa kupitia mlango mwembamba; maana nawaambieni, wengi watajaribu kuingia lakini hawataweza.
24'Võidelge, et minna sisse kitsast uksest, sest paljud, ma ütlen teile, püüavad minna, aga ei suuda!
25"Wakati utakuja ambapo mwenye nyumba atainuka na kufunga mlango. Ninyi mtasimama nje na kuanza kupiga hodi mkisema: Bwana, tufungulie mlango. Lakini yeye atawajibu: Sijui mmetoka wapi.
25Pärast seda kui kojaisand on tõusnud ja ukse lukku pannud, jääte te seisma õue ja uksele koputama, öeldes: Issand, ava meile! Ja tema kostab teile: Mina ei tunne teid, kust te olete tulnud.
26Nanyi mtaanza kumwambia: Sisi ndio wale tuliokula na kunywa pamoja nawe; na wewe ulifundisha katika vijiji vyetu.
26Siis ütlete teie: Me oleme sinu ees söönud ja joonud ja sina õpetasid meie tänavatel.
27Lakini yeye atasema: Sijui ninyi mmetoka wapi; ondokeni mbele yangu, enyi nyote watenda maovu.
27Ja tema ütleb teile: Ma ei tea, kust te olete tulnud, hoidke minust eemale, kõik ülekohtutegijad!
28Ndipo mtakuwa na kulia na kusaga meno, wakati mtakapowaona Abrahamu, Isaka na Yakobo, na manabii wote wapo katika Ufalme wa Mungu, lakini ninyi wenyewe mmetupwa nje!
28Seal on ulgumine ja hammaste kiristamine, kui te näete Aabrahami ja Iisakit ja Jaakobit ja kõiki prohveteid Jumala riigis, endid aga välja tõugatuina.
29Watu watakuja kutoka mashariki na magharibi, kutoka kaskazini na kusini, watakuja na kukaa kwenye karamu katika Ufalme wa Mungu.
29Ja inimesi tuleb idast ja läänest, põhjast ja lõunast ning istub lauda Jumala riigis.
30Naam, wale walio wa mwisho watakuwa wa kwanza; na wale walio wa kwanza watakuwa wa mwisho."
30Ja vaata, on viimaseid, kes saavad esimesteks, ja on esimesi, kes jäävad viimasteks!'
31Wakati huohuo, Mafarisayo na watu wengine walimwendea Yesu wakamwambia, "Ondoka hapa uende mahali pengine, kwa maana Herode anataka kukuua."
31Tolsamal ajal tulid mõned variserid ja ütlesid Jeesusele: 'Lahku siit ja mine teele, sest Heroodes tahab sind tappa!'
32Yesu akawajibu, "Nendeni mkamwambie huyo mbweha hivi: Leo na kesho ninafukuza pepo na kuponya wagonjwa, na siku ya tatu nitakamilisha kazi yangu.
32Aga tema ütles neile: 'Minge ja ütelge sellele rebasele: Vaata, ma kihutan kurje vaime välja ja teen terveks täna ja homme ning kolmandal päeval jõuan ma kõigega lõpule.
33Hata hivyo, kwa leo, kesho na kesho kutwa, ni lazima niendelee na safari yangu, kwa sababu si sawa nabii auawe nje ya Yerusalemu.
33Siiski, ma pean rändama veel täna ja homme ja ülehomme, sest ei sobi, et prohvet hukataks mujal kui Jeruusalemmas.
34"Yerusalemu! We Yerusalemu! Unawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwako! Mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wako pamoja kama kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mabawa yake, Lakini wewe umekataa.
34Jeruusalemm, Jeruusalemm, kes sa tapad prohveteid ja viskad kividega surnuks neid, kes su juurde on läkitatud! Kui palju kordi olen ma tahtnud koguda su lapsi, otsekui kana kogub oma poegi tiibade alla, aga teie ei ole tahtnud!
35Haya, utaachiwa mwenyewe nyumba yako. Naam, hakika nawaambieni, hamtaniona mpaka wakati utakapofika mseme: Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana."
35Vaata, teie koda jäetakse maha! Aga ma ütlen teile, te ei näe mind enne, kui tuleb aeg, et te ütlete: Õnnistatud olgu, kes tuleb Issanda nimel!'