Swahili: New Testament

Estonian

Luke

20

1Siku moja, Yesu alipokuwa akiwafundisha watu Hekaluni na kuwahubiria juu ya Habari Njema, makuhani wakuu na walimu wa Sheria pamoja na wazee walifika,
1Ja see sündis ühel neist päevist, kui Jeesus rahvast pühakojas õpetas ja evangeeliumi kuulutas, et ülempreestrid ja kirjatundjad koos vanematega astusid ta juurde
2wakasema, "Tuambie! Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani?"
2ja küsisid temalt: 'Ütle meile, millise meelevallaga sa neid asju teed või kes on see, kes sulle selle meelevalla on andnud?'
3Yesu akawaambia, "Na mimi nitawaulizeni swali:
3Jeesus kostis neile: 'Ka mina küsin teilt ühte asja. Öelge mulle,
4mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka kwa Mungu au kwa watu?"
4kas Johannese ristimine oli taevast või inimestest.'
5Lakini wao wakajadiliana hivi: "Tukisema yalitoka mbinguni, yeye atatuuliza: Mbona hamkumsadiki?
5Aga nemad arutasid omavahel: 'Kui ütleme, et taevast, siis ta ütleb: 'Miks te siis ei uskunud teda?'
6Na tukisema yalitoka kwa binadamu, watu wote hapa watatupiga mawe, maana wote wanaamini kwamba Yohane alikuwa nabii."
6Kui me aga ütleksime: 'Inimestest', siis kogu rahvas viskab meid kividega surnuks, sest nemad on veendunud, et Johannes oli prohvet.'
7Basi, wakamwambia, "Hatujui mamlaka hayo yalitoka wapi."
7Ja nemad vastasid, et nad ei teadvat, kust see oli.
8Yesu akawaambia, "Hata mimi sitawaambia ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani."
8Siis Jeesus ütles neile: 'Ega minagi teile ütle, millise meelevallaga ma seda teen.'
9Yesu akaendelea kuwaambia watu mfano huu: "Mtu mmoja alilima shamba la mizabibu, akalikodisha kwa wakulima; kisha akasafiri hadi nchi ya mbali, akakaa huko kwa muda mrefu.
9Jeesus aga hakkas rahvale rääkima seda tähendamissõna: 'Üks inimene istutas viinamäe ja andis selle rentnike kätte ning reisis pikaks ajaks võõrsile.
10Wakati wa mavuno, mtu huyo alimtuma mtumishi wake kwa wale wakulima, akachukue sehemu ya matunda ya shamba la mizabibu. Lakini wale wakulima wakampiga mtumishi huyo wakamrudisha mikono mitupu.
10Ja parajal ajal läkitas ta sulase rentnike juurde, et need sellele annaksid viinamäe viljast. Aga rentnikud peksid teda ja saatsid ta minema tühjade kätega.
11Yule bwana akamtuma tena mtumishi mwingine; lakini wao wakampiga huyo vilevile na kumtendea vibaya, wakamrudisha mikono mitupu.
11Ja ta läkitas veel teise sulase. Nemad peksid ja solvasid tedagi ning saatsid ta minema tühjade kätega.
12Akamtuma tena wa tatu; huyu naye, baada ya kumwumiza, wakamfukuza.
12Ja ta läkitas veel kolmanda. Aga sellegi nad peksid veriseks ja viskasid välja.
13Yule mwenye shamba akafikiri: Nitafanya nini? Nitamtuma mwanangu mpenzi; labda watamjali yeye.
13Siis mõtles viinamäe isand: 'Mis ma pean tegema? Ma saadan oma armsa poja, võib-olla teda nad häbenevad.'
14Wale wakulima walipomwona tu, wakasemezana: Huyu ndiye mrithi. Basi, tumwue ili urithi wake uwe wetu.
14Aga teda nähes arutasid rentnikud omavahel: 'Tema ongi see pärija! Tapame ta ära, et pärand saaks meile!'
15Basi, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, wakamwua." Yesu akauliza, "Yule mwenye shamba atawafanya nini hao wakulima?
15Ja nad viskasid ta viinamäelt välja ning tapsid ära. Mida nüüd viinamäe isand teeb nendega?
16Atakuja kuwaangamiza wakulima hao, na atawapa wakulima wengine hilo shamba la mizabibu." Watu waliposikia maneno hayo, walisema: "Hasha! Yasitukie hata kidogo!"
16Ta tuleb ja hukkab need rentnikud ja annab viinamäe teiste kätte.' Seda kuuldes nad ütlesid: 'Taevas hoidku selle eest!'
17Lakini Yesu akawatazama, akawaambia, "Maandiko haya Matakatifu yana maana gani basi? Jiwe walilokataa waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi!
17Tema aga ütles neile otsa vaadates: 'Mida siis tähendab see kirjasõna: Kivi, mille ehitajad tunnistasid kõlbmatuks - seesama on saanud nurgakiviks?
18Mtu yeyote akianguka juu ya jiwe hilo, atavunjika vipandevipande; na likimwangukia mtu yeyote, litamsaga kabisa."
18Igaüks, kes selle kivi peale kukub, kukub end puruks, aga kelle peale iganes see kivi langeb, selle teeb see pihuks ja põrmuks.'
19Walimu wa Sheria na makuhani wakuu walifahamu kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu, na hivyo walitaka kumkamata palepale, ila tu waliogopa watu.
19Ja kirjatundjad ja ülempreestrid otsisid võimalust selsamal tunnil pista käsi tema külge, kuid nad kartsid rahvast. Nad ju mõistsid, et Jeesus oli selle tähendamissõna rääkinud nende kohta.
20Basi, wakawa wanatafuta wakati wa kufaa. Wakawahonga watu fulani wajisingizie kuwa wema, wakawatuma wamnase Yesu kwa maswali, na hivyo waweze kumtia nguvuni na kumpeleka kwa wakuu wa serikali.
20Ja nad läkitasid Jeesust varitsema nuhke, kes pidid teesklema õigeid, et teda tabada mõne sõna pealt, nii et nad võiksid ta anda maavalitseja võimusesse ja meelevalda.
21Hao wapelelezi wakamwambia, "Mwalimu, tunajua kwamba unasema na kufundisha mambo ya kweli; tunajua kwamba wewe huna ubaguzi; wewe wafundisha ukweli juu ya njia ya Mungu.
21Ja need küsisid temalt: 'Õpetaja, me teame, et sa räägid ja õpetad õigesti ega otsusta näo järgi, vaid õpetad Jumala teed tõepäraselt.
22Basi, twambie kama ni halali, au la, kulipa kodi kwa Kaisari!"
22Kas me peame keisrile andma pearaha või ei?'
23Yesu alitambua mtego wao, akawaambia,
23Aga et Jeesus märkas nende salakavalust, ütles ta neile:
24"Nionyesheni sarafu. Je, sura na chapa ni vya nani?"
24'Näidake mulle teenarit! Kelle pilt ja kiri sellel on?' Nemad ütlesid: 'Keisri.'
25Nao wakamjibu, "Ni vya Kaisari." Yesu akawaambia, "Basi, mpeni Kaisari vilivyo vyake Kaisari, na Mungu vilivyo vyake Mungu."
25Jeesus ütles neile: 'Andke siis nüüd keisri oma keisrile tagasi ja Jumala oma Jumalale!'
26Hawakufaulu kumnasa kwa neno lolote pale mbele ya watu na hivyo wakakaa kimya wakilistaajabia jibu lake.
26Ja nad ei suutnud teda millestki tema kõnes tabada rahvahulga ees ja tema vastust imetledes jäid nad vait.
27Kisha Masadukayo, ambao husema kwamba wafu hawafufuki, wakamjia Yesu, wakasema:
27Jeesuse juurde astusid mõned saduserid, kes ütlesid, et surnuist ülestõusmist ei ole olemas, ja küsisid temalt:
28"Mwalimu, Mose alituandikia kwamba kama ndugu ya mtu fulani akifa na kumwacha mjane wake bila watoto, ni lazima ndugu yake amchukue huyo mama mjane, amzalie watoto ndugu yake marehemu.
28'Õpetaja, Mooses on meile kirjutanud: Kui sureb kellegi vend, kel on naine, ja tal ei ole olnud lapsi, siis ta vend peab võtma oma surnud venna naise ja soetama sugu vennale.
29Sasa, wakati mmoja kulikuwa na ndugu saba. Yule wa kwanza alioa na baadaye akafa bila kuacha mtoto.
29Oli kord seitse venda: ja esimene võttis naise ja suri lapseta,
30Yule ndugu wa pili akamwoa yule mjane, naye pia, akafa;
30ja teine,
31na ndugu wa tatu vilevile. Mambo yakawa yaleyale kwa wote saba--wote walikufa bila kuacha watoto.
31ja kolmas võttis tema, ja nõndasamuti kõik seitse - nad ei jätnud lapsi järele ja surid.
32Mwishowe akafa pia yule mwanamke.
32Pärast suri ka naine.
33Je, siku wafu watakapofufuliwa, mwanamke huyo atakuwa mke wa nani? Alikuwa ameolewa na wote saba."
33See naine - kelle naiseks nende seast ta saab ülestõusmisel? Ta on olnud naiseks ju neile seitsmele.'
34Yesu akawaambia, "Watu wa nyakati hizi huoa na kuolewa;
34Ja Jeesus ütles neile: 'Selle ajastu lapsed võtavad naisi ja lähevad mehele,
35lakini wale ambao Mungu atawawezesha kushiriki ule wakati wa ufufuo, hawataoa wala kuolewa.
35aga kes on väärt arvatud saama tolle ajastu osaliseks ja surnuist üles tõusma, need ei võta naist ega lähe mehele,
36Ama hakika, hawawezi kufa tena, kwa sababu watakuwa kama malaika, na ni watoto wa Mungu kwa vile wamefufuliwa katika wafu.
36sest nad ei saa enam surra, nad on ju inglite sarnased ja on Jumala pojad, olles ülestõusmise pojad.
37Lakini, kwamba kuna kufufuka kutoka wafu, hata Mose alithibitisha jambo hilo katika Maandiko Matakatifu. Katika sehemu ya Maandiko Matakatifu juu ya kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto, anamtaja Bwana kama Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo.
37Aga et surnud tõusevad üles, seda osutab ka Mooses kibuvitsapõõsa loos, kui ta nimetab Issandat Aabrahami Jumalaks ja Iisaki Jumalaks ja Jaakobi Jumalaks.
38Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa wale walio hai; maana wale aliowaita kwake, wanaishi naye."
38Jumal ei ole surnute, vaid elavate Jumal, sest kõik elavad temale.'
39Baadhi ya wale walimu wa Sheria wakasema, "Mwalimu, umejibu vema kabisa."
39Siis mõned kirjatundjaist kostsid: 'Õpetaja, sa rääkisid hästi',
40Walisema hivyo kwa sababu hawakuthubutu kumwuliza tena maswali mengine.
40sest nad ei julgenud temalt enam midagi küsida.
41Yesu akawauliza, "Yasemekanaje kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?
41Jeesus aga ütles neile: 'Kuidas nad ütlevad Messia olevat Taaveti poja?
42Maana Daudi mwenyewe anasema katika Zaburi: Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti upande wangu wa kulia
42Taavet ise ju ütleb Laulude raamatus: Issand ütles mu Issandale: Istu mu paremale käele,
43mpaka niwafanye adui zako kama kiti cha kuwekea miguu yako.
43kuni ma panen su vaenlased su jalgealuseks järiks!
44Ikiwa Daudi anamwita yeye, Bwana, basi atakuwaje mwanawe?"
44Seega nimetab Taavet teda Issandaks - kuidas on ta siis tema poeg?'
45Yesu aliwaambia wanafunzi wake mbele ya watu wote,
45Aga Jeesus ütles kogu rahva kuuldes jüngritele:
46"Jihadharini na walimu wa Sheria ambao hupenda kupitapita wamevalia kanzu. Hupenda kusalimiwa na watu kwa heshima masokoni, huketi mahali pa heshima katika masunagogi na kuchukua nafasi za heshima katika karamu.
46'Hoiduge kirjatundjatest, kes tahavad kõndida pikkades kuubedes ning armastavad teretusi turgudel ja esimesi istmeid sünagoogides ja esimesi kohti pidusöökidel,
47Huwadhulumu wajane huku wakisingizia kuwa wema kwa kusali sala ndefu. Hao watapata hukumu kali zaidi!"
47kes neelavad alla lesknaiste majad ja silmakirjaks venitavad palvetused pikaks! Nemad saavad seda rängema kohtuotsuse.'