Swahili: New Testament

Estonian

Luke

21

1Yesu alitazama kwa makini, akawaona matajiri walivyokuwa wanatia sadaka zao katika hazina ya Hekalu,
1Aga vaadates ümber nägi Jeesus rikkaid oma ande ohvrikirstu panevat.
2akamwona pia mama mmoja mjane akitumbukiza humo sarafu mbili ndogo.
2Ta nägi ka üht vaest lesknaist panevat sinna kaks leptonit
3Basi, akasema, "Nawaambieni kweli, mama huyu mjane ametia zaidi katika hazina kuliko wote.
3ja ütles: 'Tõesti, ma ütlen teile, see vaene lesknaine pani rohkem kui kõik muud,
4Kwa maana, wengine wote wametoa sadaka zao kutokana na ziada ya mali zao, lakini huyu mama, ingawa ni maskini, ametoa kila kitu alichohitaji kwa kuishi."
4sest need kõik panid oma küllusest Jumalale anniks, kuid tema pani oma kehvusest kogu elatise, mis tal oli.'
5Baadhi ya wanafunzi walikuwa wanazungumza juu ya Hekalu, jinsi lilivyopambwa kwa mawe ya thamani, pamoja na sadaka zilizotolewa kwa Mungu. Yesu akasema,
5Ja kui mõned ütlesid pühakoja kohta, et see on ilusate kividega ja tõotusandidega ehitud, siis Jeesus ütles:
6"Haya yote mnayoyaona--zitakuja siku ambapo hakuna hata jiwe moja litakalosalia juu ya lingine; kila kitu kitaharibiwa."
6'Päevad tulevad, mil sellest kõigest, mida te näete, ei jäeta kivi kivi peale, mida maha ei kistaks!'
7Basi, wakamwuliza, "Mwalimu, mambo hayo yatatokea lini? Na ni ishara gani zitakazoonyesha kwamba karibu mambo hayo yatokee?"
7Aga nad küsisid temalt: 'Õpetaja, millal need siis tulevad ja mis on tunnustäheks, kui need peavad sündima?'
8Yesu akawajibu, "Jihadharini, msije mkadanganyika. Maana wengi watatokea na kulitumia jina langu wakisema: Mimi ndiye, na, Wakati ule umekaribia. Lakini ninyi msiwafuate!
8Jeesus ütles: 'Vaadake, et teid ei eksitataks! Sest paljud tulevad minu nimel, öeldes: 'Mina see olen!' ja 'Aeg on lähedal!' Ärge minge nende järel!
9Basi, mtakaposikia habari za vita na misukosuko, msitishike; maana ni lazima hayo yatokee kwanza, lakini mwisho wa yote, bado."
9Aga kui te kuulete sõdadest ja rahutustest, siis ärge kartke, sest see kõik peab enne sündima, kuid lõpp ei ole veel niipea käes.'
10Halafu akaendelea kusema: "Taifa moja litapigana na taifa lingine, na ufalme mmoja utapigana na ufalme mwingine.
10Siis ta ütles neile: 'Rahvas tõuseb rahva vastu ja kuningriik kuningriigi vastu.
11Kila mahali kutakuwa na mitetemeko mikubwa ya ardhi, kutakuwa na njaa na tauni. Kutakuwa na vituko vya kutisha na ishara kubwa angani.
11Tuleb suuri maavärinaid ning kohati näljahäda ja katku ning hirmsaid ja suuri tunnustähti taevast.
12Lakini kabla ya kutokea hayo yote, watawatieni nguvuni, watawatesa na kuwapelekeni katika masunagogi na kuwatia gerezani; mtapelekwa mbele ya wafalme na watawala kwa ajili ya jina langu.
12Aga enne seda kõike panevad nad oma käed teie külge ja kiusavad teid taga, andes teid ära sünagoogidesse ja vanglatesse, teid veetakse kuningate ja maavalitsejate ette minu nime pärast.
13Hii itawapeni fursa ya kushuhudia Habari Njema.
13See annab teile võimaluse tunnistamiseks.
14Muwe na msimamo huu mioyoni mwenu: hakuna kufikiria kabla ya wakati juu ya jinsi mtakavyojitetea,
14Jätke siis meelde, et te ette ei muretseks, mida eneste eest kosta,
15kwa sababu mimi mwenyewe nitawapeni ufasaha wa maneno na hekima, hivyo kwamba zenu hawataweza kustahimili wala kupinga.
15sest mina ise annan teile suu ja tarkuse, mille vastu ei saa seista ega rääkida keegi teie vastastest.
16Wazazi wenu, ndugu, jamaa na rafiki zenu watawasaliti ninyi; na baadhi yenu mtauawa.
16Aga ka teie vanemad ja vennad ja sugulased ja sõbrad reedavad teid ja lasevad mõned teie seast surmata,
17Watu wote watawachukieni kwa sababu ya jina langu.
17ning teie saate kõikide vihaalusteks minu nime pärast.
18Lakini, hata unywele mmoja wa vichwa vyenu hautapotea.
18Ent juuksekarvgi ei saa hukka teie peast.
19Kwa uvumilivu wenu, mtayaokoa maisha yenu.
19Oma vastupidavusega kannatustes te pärite oma hinge.
20"Mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, ndipo mtambue ya kwamba wakati umefika ambapo mji huo utaharibiwa.
20Aga kui te näete Jeruusalemma sõjalaagreist piiratuna, siis mõistke, et selle laastamine on lähedal.
21Hapo walioko Yudea wakimbilie milimani; wale walio mjini watoke; na wale walio mashambani wasirudi mjini.
21Siis need, kes on Juudamaal, põgenegu mägedele, ja need, kes on linnas, mingu välja, ja kes on maal, ärgu tulgu linna,
22Kwa maana siku hizo ni siku za adhabu, ili yote yaliyoandikwa yatimie.
22sest need on kättemaksupäevad, et kõik läheks täide, mis on kirjutatud.
23Ole wao waja wazito na wanyonyeshao siku hizo! Kwa maana kutakuwa na dhiki kubwa katika nchi, na hasira ya Mungu itawajia watu hawa.
23Häda neile, kes on lapseootel, ja neile, kes imetavad neil päevil, sest suur kitsikus tuleb maa peale ja viha selle rahva vastu.
24Wengine watauawa kwa upanga, wengine watachukuliwa mateka katika nchi zote; na mji wa Yerusalemu utakanyagwa na watu wa mataifa mengine, hadi nyakati zao zitakapotimia.
24Ja nad langevad mõõgatera läbi ja nad viiakse vangi kõigi rahvaste sekka, ja Jeruusalemm jääb paganatele tallata, kuni paganate ajad saavad täis.
25"Kutakuwa na ishara katika jua na mwezi na nyota. Mataifa duniani yatakuwa na dhiki kwa sababu ya wasiwasi kutokana na mshindo wa mawimbi ya bahari.
25Ja päikeses ja kuus ja tähtedes on siis tunnustähti ja maa peal on rahvastel kitsikus ja nõutus merekohina ja veevoogude pärast.
26Watu watazirai kwa sababu ya uoga, wakitazamia mambo yatakayoupata ulimwengu; kwa maana nguvu za mbingu zitatikiswa.
26Inimesed jäävad hingetuks maailma peale tulevate sündmuste kartuses ja ootuses, sest taeva vägesid kõigutatakse.
27Halafu, watamwona Mwana wa Mtu akija katika wingu, mwenye nguvu na utukufu mwingi.
27Ja siis nad näevad Inimese Poega tulevat pilve sees väega ja suure hiilgusega.
28Wakati mambo hayo yatakapoanza kutukia, simameni na kuinua vichwa vyenu juu, kwa maana ukombozi wenu umekaribia."
28Aga kui kõik see hakkab sündima, siis tõstke oma pea ja vaadake üles, sest teie lunastus läheneb!'
29Kisha akawaambia mfano: "Angalieni mtini na miti mingine yote.
29Ja ta rääkis neile võrdumi: 'Vaadake viigipuud ja kõiki puid:
30Mnapoona kwamba imeanza kuchipua majani, mwatambua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.
30kui nad juba pakatavad, siis seda nähes te tunnete iseenesest, et suvi on juba lähedal.
31Vivyo hivyo, mtakapoona mambo hayo yanatendeka, mtatambua kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.
31Nõnda ka teie, kui te näete kõike seda sündivat, tundke, et Jumala riik on lähedal!
32Nawaambieni hakika, kizazi hiki cha sasa hakitapita kabla ya hayo yote kutendeka.
32Tõesti, ma ütlen teile, see sugupõlv ei kao, kuni kõik on sündinud.
33Mbingu na dunia vitapita, lakini maneno yangu hayatapita.
33Taevas ja maa hävivad, aga minu sõnad ei hävi.
34"Muwe macho, mioyo yenu isije ikalemewa na anasa, ulevi na shughuli za maisha haya. La sivyo, Siku ile itawajieni ghafla.
34Aga hoidke end, et teie süda ei oleks koormatud liigsöömise ega purjutamise ega argielu muredega ja et see päev ei tuleks teie peale äkitselt
35Kwa maana itawajia kama mtego, wote wanaoishi duniani pote.
35otsekui linnupael, sest see tuleb kõikide peale, kes maa peal asuvad!
36Muwe waangalifu basi, na salini daima ili muweze kupata nguvu ya kupita salama katika mambo haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele ya Mwana wa Mtu."
36Valvake siis igal ajal, paludes, et te oleksite väärilised põgenema kõige selle eest, mis tuleb, ja seisma Inimese Poja ees!'
37Wakati wa mchana, siku hizo, Yesu alikuwa akifundisha watu Hekaluni; lakini usiku alikuwa akienda katika mlima wa Mizeituni na kukaa huko.
37Aga Jeesus oli päeva ajal õpetamas pühakojas, ööseks aga läks välja ööbima mäele, mida hüütakse Õlimäeks.
38Watu wote walikuwa wanakwenda Hekaluni asubuhi na mapema, wapate kumsikiliza.
38Ja kõik rahvas tuli varahommikul tema juurde pühakotta teda kuulama.