Swahili: New Testament

Estonian

Mark

1

1Habari Njema ya Yesu Kristo, Mwana wa Mungu.
1Jeesuse Kristuse [Jumala Poja] evangeeliumi algus.
2Ilianza kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: "Tazama, namtuma mjumbe wangu akutangulie; yeye atakutayarishia njia yako.
2Nõnda nagu on kirjutatud prohvet Jesaja raamatus: 'Vaata, ma saadan sinu palge eele oma käskjala, kes valmistab su teed.
3Sauti ya mtu imesikika jangwani: Mtayarishieni Bwana njia yake, nyoosheni mapito yake."
3Hüüdja hääl on kõrbes: Valmistage Issandale tee, tehke tasaseks tema teerajad!',
4Yohane Mbatizaji alitokea jangwani, akahubiri kwamba ni lazima watu watubu na kubatizwa ili Mungu awasamehe dhambi zao.
4nii sündis, et Ristija Johannes oli kõrbes ja kuulutas meeleparandusristimist pattude andeksandmiseks.
5Watu kutoka sehemu zote za Yudea na wenyeji wote wa Yerusalemu walimwendea, wakaziungama dhambi zao, naye akawabatiza katika mto Yordani.
5Ja tema juurde läks kogu Juudamaa ja kõik Jeruusalemma linna rahvas ning kui nad olid oma patud üles tunnistanud, ristis Johannes nad Jordani jões.
6Yohane alikuwa amevaa vazi lililofumwa kwa manyoya ya ngamia, na mkanda wa ngozi kiunoni mwake. Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni.
6Ja Johannese riided olid kaamelikarvadest ja ta niuete ümber oli nahkvöö ning ta sõi rohutirtse ja metsmett.
7Naye alihubiri akisema, "Baada yangu anakuja mwenye uwezo zaidi kuliko mimi, ambaye mimi sistahili hata kuinama na kufungua kamba za viatu vyake.
7Ja ta kuulutas: 'Pärast mind tuleb minust vägevam, kelle jalatsipaelagi ma ei kõlba kummardudes lahti päästma.
8Mimi ninawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu."
8Mina ristin teid veega, aga tema ristib teid Püha Vaimuga.'
9Siku hizo, Yesu alifika kutoka Nazareti, mji wa Galilaya, akabatizwa na Yohane katika mto Yordani.
9Neil päevil sündis, et Jeesus tuli Naatsaretist Galileamaalt ja Johannes ristis ta Jordanis.
10Mara tu alipotoka majini, aliona mbingu zimefunguliwa, na Roho akishuka juu yake kama njiwa.
10Ja veest välja tulnud, nägi ta kohe taevast avanevat ning Vaimu kui tuvi laskuvat tema peale.
11Sauti ikasikika kutoka mbinguni: "Wewe ni Mwanangu mpendwa, nimependezwa nawe."
11Ja taevast kostis hääl: 'Sina oled mu armas Poeg, sinust on mul hea meel!'
12Mara akaongozwa na Roho kwenda jangwani,
12Ja kohe ajas Vaim Jeesuse kõrbe
13akakaa huko siku arubaini akijaribiwa na Shetani. Alikuwa huko pamoja na wanyama wa porini, nao malaika wakawa wanamtumikia.
13ja ta oli kõrbes nelikümmend päeva saatana kiusata. Ja ta oli metsloomade seas ning inglid teenisid teda.
14Yohane alipokwisha fungwa gerezani, Yesu alikwenda Galilaya, akahubiri Habari Njema ya Mungu, akisema,
14Aga pärast Johannese vangistamist tuli Jeesus Galileasse ja kuulutas Jumala evangeeliumi:
15"Wakati umetimia, na Ufalme wa Mungu umekaribia. Tubuni na kuiamini Habari Njema!"
15'Aeg on täis saanud ja Jumala riik on lähedal. Parandage meelt ja uskuge evangeeliumisse!'
16Alipokuwa anapita kando ya ziwa Galilaya, aliwaona wavuvi wawili: Simoni na Andrea ndugu yake wakivua samaki kwa wavu.
16Ja Galilea järve randa pidi kõndides nägi Jeesus Siimonat ja tema venda Andreast noota järve heitvat, nad olid ju kalurid.
17Yesu akawaambia, "Nifuateni nami nitawafanya ninyi wavuvi wa watu."
17Ja Jeesus ütles neile: 'Järgnege mulle ja ma teen teist inimesepüüdjad!'
18Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.
18Ja nad jätsid kohe oma võrgud sinnapaika ning järgnesid talle.
19Alipokwenda mbele kidogo, aliwaona Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo. Nao pia walikuwa ndani ya mashua yao wakizitengeneza nyavu zao.
19Ja kui ta oli pisut edasi läinud, nägi ta Sebedeuse poega Jaakobust ja tema venda Johannest paadis võrke parandamas
20Yesu akawaita mara, nao wakamwacha baba yao Zebedayo katika mashua pamoja na wafanyakazi, wakamfuata.
20ja ta kutsus nad otsekohe. Ja nemad jätsid oma isa Sebedeuse koos palgalistega paati ning läksid tema järel ära.
21Wakafika mjini Kafarnaumu, na mara ilipofika Sabato, Yesu akaingia katika Sunagogi, akaanza kufundisha.
21Ja nad tulid Kapernauma. Ja Jeesus läks kohe järgmisel hingamispäeval sünagoogi ja hakkas õpetama.
22Watu wote waliomsikia walishangazwa na mafundisho yake, maana hakuwa anafundisha kama walimu wao wa Sheria, bali kama mtu mwenye mamlaka.
22Ja nad olid vapustatud tema õpetusest, sest ta ei õpetanud neid nõnda nagu kirjatundjad, vaid nagu see, kellel on meelevald.
23Mara akatokea mle ndani ya sunagogi mtu mmoja mwenye pepo mchafu,
23Ja nende sünagoogis oli inimene, kelles oli rüve vaim, ja see kisendas:
24akapaaza sauti, "Una nini nasi, wewe Yesu wa Nazareti? Je, umekuja kutuangamiza? Najua wewe ni nani: wewe ni Mtakatifu wa Mungu!"
24'Mis on meil asja sinuga, Jeesus Naatsaretlane? Kas sa oled tulnud meid hukkama? Ma tean, kes sa oled: Jumala Püha!'
25Yesu akamkemea, "Nyamaza! Mtoke mtu huyu."
25Ja Jeesus sõitles teda: 'Jää vait ja mine temast välja!'
26Basi, huyo pepo mchafu akamtikisatikisa mtu huyo, kisha akalia kwa sauti kubwa, akamtoka.
26Ja rüve vaim lahkus temast teda raputades ja valju häälega kisendades.
27Watu wote wakashangaa, wakaulizana, "Ni mambo gani haya? Je, ni mafundisho mapya? Mtu huyu anayo mamlaka ya kuamuru hata pepo wachafu, nao wanamtii!"
27Ja nad kõik olid jahmunud, nii et nad arutasid omavahel: 'Mis see siis on? Kas uus meelevallaga õpetus? Tema vaid käsutab rüvedaid vaime, ja need kuulavad tema sõna!'
28Habari za Yesu zikaenea upesi kila mahali katika wilaya ya Galilaya.
28Ja kohe levis kuuldus temast kõikjale kogu Galilea ümbruskonda.
29Wakatoka katika sunagogi, wakaenda moja kwa moja hadi nyumbani kwa Simoni na Andrea; Yakobo na Yohane walikwenda pamoja nao.
29Aga nemad tulid kohe pärast sünagoogist lahkumist koos Jaakobuse ja Johannesega Siimona ja Andrease majja.
30Basi, mama mmoja, mkwewe Simoni, alikuwa kitandani ana homa kali. Wakamwarifu Yesu mara alipowasili.
30Aga Siimona ämm lamas voodis palavikus. Ja otsekohe räägiti Jeesusele temast.
31Yesu akamwendea huyo mama, akamshika mkono, akamwinua. Na ile homa ikamwacha, akaanza kuwatumikia.
31Ja Jeesus astus ta juurde, võttis tema käest kinni ja aitas ta üles. Ja palavik lahkus Siimona ämmast ning ta teenis neid.
32Jioni, jua lilipokwisha tua, wakamletea Yesu wagonjwa wote na watu waliopagawa na pepo.
32Aga õhtu jõudes, kui päike oli loojunud, toodi Jeesuse juurde kõik haiged ja kurjast vaimust vaevatud;
33Watu wote wa mji ule wakakusanyika nje ya mlango.
33terve linn oli kogunenud maja ukse ette.
34Naye Yesu akawaponya watu wengi waliokuwa na magonjwa mbalimbali; aliwafukuza pepo wengi, lakini hakuwaruhusu kusema kitu maana walikuwa wanamjua yeye ni nani.
34Ja ta tervendas paljusid, kes põdesid mitmesuguseid haigusi, ning ajas välja palju kurje vaime ega lubanud kurjadel vaimudel rääkida, sest need teadsid, kes ta on.
35Kesho yake, kabla ya mapambazuko, Yesu alitoka, akaenda mahali pa faragha kusali.
35Ja vara hommikul enne valget tõusis Jeesus üles, väljus ning läks tühja paika ja palvetas seal.
36Simoni na wenzake wakaenda kumtafuta.
36Ja Siimon ja ta kaaslased ruttasid talle järele
37Walipomwona wakamwambia, "Kila mtu anakutafuta."
37ning leidsid ta. Ja nad ütlesid talle: 'Kõik otsivad sind!'
38Yesu akawaambia, "Twendeni katika miji mingine ya jirani nikahubiri huko pia, maana nimekuja kwa sababu hiyo."
38Tema aga ütles neile: 'Läki mujale, naaberküladesse, et ma sealgi kuulutaksin, sest selleks olen ma tulnud!'
39Basi, akaenda kila mahali Galilaya akihubiri katika masunagogi na kufukuza pepo.
39Ja Jeesus käis läbi kogu Galilea, jutlustades sealsetes sünagoogides ja ajades välja kurje vaime.
40Mtu mmoja mwenye ukoma alimwendea Yesu, akapiga magoti, akamwomba, "Ukitaka, waweza kunitakasa!"
40Ja Jeesuse juurde tuli pidalitõbine, palus teda ja põlvili heites ütles talle: 'Kui sa tahad, siis sa võid mu puhtaks teha!'
41Yesu akamwonea huruma, akanyosha mkono wake, akamgusa na kumwambia, "Nataka, takasika!"
41Ja Jeesusel hakkas temast hale, ta sirutas oma käe välja, puudutas teda ja ütles: 'Ma tahan, saa puhtaks!'
42Mara ukoma ukamwacha mtu huyo, akatakasika.
42Ja otsekohe lahkus pidalitõbi temast ja ta sai puhtaks.
43Kisha Yesu akamwambia aende zake upesi na kumwonya vikali,
43Ja Jeesus hoiatas meest ja saatis ta kohe minema.
44"Usimwambie mtu yeyote jambo hili, ila nenda ukajionyeshe kwa kuhani; kisha utoe sadaka kwa ajili ya kutakasika kwako kama alivyoamuru Mose, iwe uthibitisho kwao kwamba umepona."
44Jeesus ütles talle: 'Vaata, et sa kellelegi midagi ei räägi, vaid mine näita ennast preestrile ja ohverda oma puhtaks saamise eest, mis Mooses on käskinud, neile tunnistuseks!'
45Lakini huyo mtu akaenda, akaanza kueneza habari hiyo kila mahali na kusema mambo mengi hata Yesu hakuweza tena kuingia katika mji wowote waziwazi; ikamlazimu kukaa nje, mahali pa faragha. Hata hivyo, watu wakamwendea kutoka kila upande.
45See aga läks ja hakkas igal pool kõnelema ja seda uudist levitama, nii et Jeesus ei saanud enam avalikult minna ühtegi linna, vaid pidi viibima eemal asustamata paigus. Ja kõikjalt tuldi tema juurde.