1Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, alitoka Galilaya, akaenda katika mkoa wa Yudea, ng'ambo ya mto Yordani.
1Ja sündis, et kui Jeesus oli need kõned lõpetanud, lahkus ta Galileast ja tuli Juudamaa alale sinnapoole Jordanit.
2Watu wengi walimfuata huko, naye akawaponya.
2Ja talle järgnesid rahvahulgad, ning ta tegi nad seal terveks.
3Mafarisayo kadhaa walimjia, wakamwuliza kwa kumtega, "Je, ni halali mume kumpa talaka mkewe kwa kisa chochote?"
3Ja Jeesuse juurde astus varisere, kes küsisid teda kiusates: 'Kas tohib oma naist minema ajada mis tahes põhjusel?'
4Yesu akawajibu, "Je, hamkusoma katika Maandiko Matakatifu kwamba Mungu aliyemuumba mtu tangu mwanzo alimfanya mwanamume na mwanamke,
4Tema aga vastas: 'Kas te ei ole lugenud, et loomise algul tegi Looja inimese meheks ja naiseks?'
5na akasema: Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja?
5ja ütles: 'Seepärast jätab mees oma isa ja ema ning hoiab oma naise poole ja need kaks saavad üheks.
6Kwa hiyo wao si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asikitenganishe."
6Nõnda ei ole nad enam kaks, vaid üks liha. Mis nüüd Jumal on ühte pannud, seda ärgu inimene lahutagu!'
7Lakini wao wakamwuliza, "Kwa nini basi, Mose alituagiza mwanamke apewe hati ya talaka na kuachwa?"
7Nad ütlesid talle: 'Mispärast siis Mooses on käskinud anda lahutustunnistuse, kui tahetakse naist minema ajada?'
8Yesu akawajibu, "Mose aliwaruhusu kuwaacha wake zenu kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu.
8Jeesus vastas neile: 'Teie kõva südame pärast lubas Mooses teid oma naist minema ajada, algul aga ei olnud see nõnda.
9Lakini haikuwa hivyo tangu mwanzo. Basi nawaambieni, yeyote atakayemwacha mke wake isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, akaoa mke mwingine, anazini."
9Aga mina ütlen teile: Kes iganes ajab minema oma naise muidu kui liiderdamise pärast ja abiellub teisega, rikub abielu [ja kes abiellub minema aetud naisega, rikub abielu].'
10Wanafunzi wake wakamwambia, "Ikiwa mambo ya mume na mkewe ni hivyo, ni afadhali kutooa kabisa."
10Jüngrid ütlesid talle: 'Kui naisevõtmisega on lugu nõnda, siis on kasulikum jätta abiellumata.'
11Yesu akawaambia, "Si wote wanaoweza kulipokea fundisho hili, isipokuwa tu wale waliojaliwa na Mungu.
11Tema aga ütles neile: 'Seda sõna ei taipa igaüks, vaid ainult need, kellele antakse.
12Maana kuna sababu kadhaa za kutoweza kuoa: wengine ni kwa sababu wamezaliwa hivyo, wengine kwa sababu wamefanywa hivyo na watu, na wengine wameamua kutooa kwa ajili ya Ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea fundisho hili na alipokee."
12On ju abieluks kõlbmatuid, kes nõnda on sündinud emaihust, ja on kohitsetuid, kes on inimeste kohitsetud, ja on kohitsetuid, kes on ise end taevariigi pärast kohitsenud. Kes suudab taibata, taibaku!'
13Kisha watu wakamletea Yesu watoto wadogo ili awawekee mikono na kuwaombea. Lakini wanafunzi wakawakemea.
13Siis toodi Jeesuse juurde lapsi, et ta paneks oma käed nende peale ja palvetaks. Jüngrid sõitlesid toojaid.
14Yesu akasema, "Waacheni hao watoto waje kwangu, wala msiwazuie; maana Ufalme wa mbinguni ni wa watu walio kama watoto hawa."
14Aga Jeesus ütles: 'Laske lapsed olla ja ärge keelake neid minu juurde tulemast, sest selliste päralt on taevariik!'
15Basi, akawawekea mikono, kisha akaondoka mahali hapo.
15Ja ta pani oma käed laste peale. Ning läks sealt ära.
16Mtu mmoja alimjia Yesu, akamwuliza, "Mwalimu, nifanye kitu gani chema ili niupate uzima wa milele?"
16Ja vaata, keegi ütles Jeesuse juurde astudes: 'Õpetaja, mis head ma peaksin tegema, et saaksin igavese elu?'
17Yesu akamwambia, "Mbona unaniuliza kuhusu jambo jema? Kuna mmoja tu aliye mwema. Ukitaka kuingia katika uzima, shika amri."
17Tema ütles talle: 'Miks sa minult küsid, mis on hea? On vaid üks, kes on hea. Kui sa tahad ellu minna, siis pea käsud!'
18Yule mtu akamwuliza, "Amri zipi?" Yesu akasema, "Usiue, usizini, usiibe, usitoe ushahidi wa uongo,
18Mees küsis temalt: 'Millised?' Jeesus lausus: 'Ära tapa, ära riku abielu, ära varasta, ära anna valetunnistust,
19waheshimu baba yako na mama yako; na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe."
19austa isa ja ema ning armasta oma ligimest nagu iseennast!'
20Huyo kijana akamwambia, "Hayo yote nimeyazingatia tangu utoto wangu; sasa nifanye nini zaidi?"
20Noormees ütles talle: 'Seda kõike ma olen pidanud. Mis mul veel puudub?'
21Yesu akamwambia, "Kama unapenda kuwa mkamilifu, nenda ukauze mali yako uwape maskini hiyo fedha, nawe utakuwa na hazina mbinguni, kisha njoo unifuate."
21Jeesus lausus talle: 'Kui sa tahad olla täiuslik, siis mine müü oma varandus ja anna vaestele, ja siis on sul aare taevas, ning tule, järgne mulle!'
22Huyo kijana aliposikia hayo, alienda zake akiwa mwenye huzuni, maana alikuwa na mali nyingi.
22Aga kui noormees seda sõna kuulis, lahkus ta kurvastades, sest ta oli suure varanduse omanik.
23Hapo Yesu akawaambia wanafunzi wake, "Kweli nawaambieni, itakuwa vigumu sana kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa mbinguni.
23Siis Jeesus ütles oma jüngritele: 'Tõesti, ma ütlen teile, rikas läheb taevariiki ränga vaevaga.
24Tena nawaambieni, ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano, kuliko kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa mbinguni."
24Taas ma ütlen teile, et hõlpsam on kaamelil minna läbi nõelasilma kui rikkal minna Jumala riiki.'
25Wale wanafunzi waliposikia hivyo walishangaa, wakamwuliza, "Ni nani basi, awezaye kuokoka?"
25Aga seda kuuldes jüngrid hämmastusid väga ja ütlesid: 'Kes siis küll võib pääseda?'
26Yesu akawatazama, akasema, "Kwa binadamu jambo hili haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote huwezekana."
26Jeesus aga ütles neile otsa vaadates: 'Inimeste käes on see võimatu, kõik on aga võimalik Jumala käes.'
27Kisha Petro akasema, "Na sisi je? Tumeacha yote tukakufuata; tutapata nini basi?"
27Siis kostis Peetrus: 'Vaata, meie oleme jätnud kõik maha ja järgnenud sulle. Mis siis meile saab?'
28Yesu akawaambia, "Nawaambieni kweli, Mwana wa Mtu atakapoketi katika kiti cha enzi cha utukufu wake katika ulimwengu mpya, ninyi mlionifuata mtaketi katika viti kumi na viwili mkiyahukumu makabila kumi na mawili ya Israeli.
28Aga Jeesus ütles neile: 'Tõesti, ma ütlen teile, kes olete mulle järgnenud, uuestisündimises, kui Inimese Poeg istub oma kirkuse troonile, istute ka teie kaheteistkümnele troonile Iisraeli kaheteistkümne suguharu üle kohut mõistma.
29Na kila aliyeacha nyumba, au ndugu, au dada, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili yangu, atapokea mara mia zaidi, na kupata uzima wa milele.
29Ja igaüks, kes on jätnud maha majad või vennad või õed või isa või ema või lapsed või põllud minu nime pärast, saab nad tagasi sajakordselt ja pärib igavese elu.
30Lakini walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza.
30Aga paljud esimesed jäävad viimasteks ja viimased saavad esimesteks.