Swahili: New Testament

Estonian

Matthew

3

1Siku hizo Yohane Mbatizaji alitokea, akaanza kuhubiri katika jangwa la Yudea:
1Neil päevil tuli Ristija Johannes ja kuulutas Juuda kõrbes:
2"Tubuni, maana Ufalme wa mbinguni umekaribia."
2'Parandage meelt, sest taevariik on lähedal!'
3Huyu Yohane ndiye yule ambaye nabii Isaya alinena juu yake aliposema: "Sauti ya mtu imesikika jangwani: Mtayarishieni Bwana njia yake, nyoosheni vijia vyake."
3Tema ongi see, kellest on räägitud prohvet Jesaja kaudu: 'Hüüdja hääl on kõrbes: Valmistage Issandale tee, tehke tasaseks tema teerajad!'
4Yohane alivaa vazi lililoshonwa kwa manyoya ya ngamia, na ukanda wa ngozi kiunoni mwake. Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni.
4Johannesel oli kaamelikarvadest kuub, ja ta niuete ümber oli nahkvöö, aga roaks olid talle rohutirtsud ja metsmesi.
5Basi, watu kutoka Yerusalemu, kutoka mkoa wote wa Yudea na sehemu zote za kandokando ya mto Yordani, walimwendea,
5Siis läks tema juurde Jeruusalemma ja terve Juudamaa ja kogu Jordani ümbruskonna rahvas,
6wakaziungama dhambi zao, naye akawabatiza katika mto Yordani.
6ning kui nad olid oma patud üles tunnistanud, ristis Johannes nad Jordani jões.
7Lakini alipowaona Mafarisayo wengi na Masadukayo wanamjia ili awabatize, aliwaambia, "Enyi kizazi cha nyoka! Ni nani aliyewadokezea kwamba mnaweza kuiepuka ghadhabu inayokuja?
7Aga kui ta nägi palju varisere ja sadusere ristimisele tulevat, ütles ta neile: 'Rästikute sugu, kes teid on hoiatanud põgenema tulevase viha eest?
8Onyesheni basi kwa matendo, kwamba mmetubu kweli.
8Kandke nüüd meeleparandusele kohast vilja
9Msidhani kwamba mtaweza kujitetea kwa kusema, Baba yetu ni Abrahamu! Nawaambieni hakika, Mungu anaweza kuyafanya mawe haya yawe watoto wa Abrahamu.
9ja ärge hakake iseenestes ütlema: 'Meie isa on ju Aabraham!', sest ma ütlen teile: Jumal võib siinsetest kividest äratada Aabrahamile lapsi.
10Basi, shoka liko tayari kuikata mizizi ya miti; hivyo, kila mti usiozaa matunda mazuri, utakatwa na kutupwa motoni.
10Kirves on juba pandud puude juurte külge. Iga puu, mis ei kanna head vilja, raiutakse nüüd maha ja visatakse tulle.
11Mimi ninawabatizeni kwa maji kuonyesha kwamba mmetubu. Lakini yule anayekuja baada yangu ana uwezo kuliko mimi. Mimi sistahili hata kubeba viatu vyake. Yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
11Mina ristin teid veega, et te meelt parandaksite, aga see, kes tuleb pärast mind, on minust vägevam. Mina ei kõlba tooma talle jalatseidki. Tema ristib teid Püha Vaimu ja tulega.
12Yeye anashika mkononi chombo cha kupuria nafaka, ili aipure nafaka yake; akusanye ngano ghalani, na makapi ayachome kwa moto usiozimika."
12Tal on visklabidas käes ja ta puhastab oma rehealuse ning kogub oma nisud aita, aga aganad põletab ta ära kustutamatu tulega.'
13Wakati huo Yesu alitoka Galilaya akafika katika mto Yordani, akamwendea Yohane ili abatizwe naye.
13Siis tuli Jeesus Galileast Jordani äärde, et lasta ennast Johannesel ristida.
14Lakini Yohane alijaribu kumzuia akisema, "Je, wewe unakuja kwangu? Mimi hasa ndiye ninayehitaji kubatizwa nawe."
14Aga Johannes püüdis teda igati keelata: 'Mul on vaja lasta ennast sinul ristida - ja sina tuled minu juurde!'
15Lakini Yesu akamjibu, "Acha tu iwe hivyo kwa sasa, maana kwa namna hii inafaa tuyatekeleze yale yote Mungu anayotaka." Hapo Yohane akakubali.
15Jeesus aga kostis talle: 'Olgu pealegi; sest nõnda on meile kohane täita kõike õigust!' Siis Johannes andis talle järele.
16Mara tu Yesu alipokwisha batizwa, alitoka majini; na ghafla mbingu zikafunguka, akaona Roho wa Mungu akishuka kama njiwa na kutua juu yake.
16Kui nüüd Jeesus oli ristitud, tuli ta kohe veest välja. Ja vaata, taevad avanesid ning ta nägi, kuidas Jumala Vaim laskus otsekui tuvi ja tuli tema peale,
17Sauti kutoka mbinguni ikasema, "Huyu ndiye Mwanangu mpendwa, nimependezwa naye."
17ja ennäe, hääl taevast ütles: 'See on minu armas Poeg, kellest mul on hea meel!'