Swahili: New Testament

Estonian

Philemon

1

1Mimi Paulo, mfungwa kwa ajili ya Kristo Yesu, na ndugu Timotheo, ninakuandikia wewe Filemoni mpendwa, mfanyakazi mwenzetu
1Paulus, Kristuse Jeesuse vang, ja vend Timoteos - armsale Fileemonile, meie kaastöölisele,
2na kanisa linalokutana nyumbani kwako, na wewe dada Afia, na askari mwenzetu Arkupo.
2ja õde Appiale ja meie kaasvõitlejale Arhipposele ning kogudusele, kes käib su kojas koos:
3Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu, na kwa Bwana yesu Kristo.
3Armu teile ja rahu Jumalalt, meie Isalt, ja Issandalt Jeesuselt Kristuselt!
4Kila wakati ninaposali nakukumbuka wewe Filemoni, na kumshukuru Mungu
4Ma tänan oma Jumalat, meenutades alati sind oma palvetes.
5maana nasikia habari za imani yako kwa Bwana wetu Yesu na upendo wako kwa watu wote wa Mungu.
5Olen kuulnud sinu usust Issandasse Jeesusesse ja sinu armastusest tema ja kõigi pühade vastu.
6Naomba ili imani hiyo unayoshiriki pamoja nasi ikuwezeshe kuwa na ujuzi mkamilifu zaidi wa baraka zote tunazopata katika kuungana kwetu na Kristo.
6Ma palvetan, et su usu osadus aitaks sind kõige hea tunnetamises, mis meis on Kristuse suhtes.
7Ndugu, upendo wako yameniletea furaha kubwa na kunipa moyo sana! Nawe umeichangamsha mioyo ya watu wa Mungu.
7Mul on olnud palju rõõmu ja julgustust sinu armastuse pärast, sest sinu kaudu, vend, on pühade südamed saanud kosutust.
8Kwa sababu hiyo, ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika Kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya.
8Seepärast, kuigi mul on rohkesti julgust Kristuses sind käskida, mis on su kohus,
9Lakini kwa sababu ya upendo, ni afadhali zaidi nikuombe. Nafanya hivi ingawa mimi ni Paulo, balozi wa Kristo Yesu, na sasa pia mfungwa kwa ajili yake.
9ma siiski meelsamini palun sind armastuse pärast. Olles vana mees Paulus, aga nüüd ka Jeesuse Kristuse vang,
10Basi, ninalo ombi moja kwako kuhusu mwanangu Onesimo, ambaye ni mwanangu katika Kristo kwani nimekuwa baba yake nikiwa kifungoni.
10palun sind oma lapse Oneesimose pärast, kelle ma sünnitasin vangipõlves,
11Ni Onesimo yuleyule ambaye wakati mmoja alikuwa hakufai kitu, lakini sasa ananifaa mimi na wewe pia.
11kellest polnud sulle varem kasu, aga kes nüüd on vägagi kasuks nii sulle kui ka mulle.
12Sasa namrudisha kwako, naye ni kama moyo wangu mimi mwenyewe.
12Ma saadan ta sulle tagasi, tema, see tähendab mu oma südame.
13Ningependa akae nami hapa anisaidie badala yako wakati niwapo kifungoni kwa sababu ya Habari Njema.
13Ma oleksin tahtnud pidada teda enese juures, et ta sinu asemel oleks hooldanud mind, kui olen evangeeliumi pärast vangipõlves,
14Lakini sitafanya chochote bila kibali chako. Sipendi kukulazimisha unisaidie, kwani wema wako unapaswa kutokana na hiari yako wewe mwenyewe na si kwa kulazimika.
14aga ilma sinu nõusolekuta ei tahtnud ma teha midagi, et sinu heategu poleks sunnitud, vaid vabatahtlik.
15Labda Onesimo aliondoka kwako kwa kitambo tu, kusudi uweze tena kuwa naye daima.
15Sest seepärast ta vist oligi sinust lahutatud mõneks ajaks, et sa saaksid ta tagasi jäädavalt,
16Na sasa yeye si mtumwa tu, ila ni bora zaidi ya mtumwa: yeye ni ndugu yetu mpenzi. Na wa maana sana kwangu mimi, na kwako atakuwa wa maana zaidi kama mtumwa na kama ndugu katika Bwana.
16mitte enam orjana, vaid ülemana orjast: armsa vennana, kelleks ta on eriti minule, aga kui palju enam veel sinule, niihästi liha poolest kui ka Issandas.
17Basi, ikiwa wanitambua mimi kuwa mwenzako, mpokee tena kama vile ungenipokea mimi mwenyewe.
17Kui sa nüüd mind pead oma usukaaslaseks, siis võta ta vastu nagu mind ennast!
18Kama alikuwa amekukosea kitu, au alikuwa na deni lako, basi, unidai mimi.
18Aga kui ta sulle on teinud ülekohut või võlgneb midagi, siis pane see minu arvele.
19Naandika jambo hili kwa mkono wangu mwenyewe: Mimi Paulo nitalipa! (Tena sina haja ya kusema kwamba wewe unalo deni kwangu la nafsi yako.)
19Mina, Paulus, kirjutan oma käega: 'Mina maksan!', et sulle mitte öelda, et sa oled mulle võlgu ka iseenese.
20Haya, basi, ndugu yangu, nifanyie jambo hilo kwa ajili ya jina la Bwana; burudisha moyo wangu kama ndugu katika Kristo.
20Jah, vend, ma tahaksin sinu üle olla rõõmus Issandas! Saada mu südamele hingamist Kristuses!
21Naandika nikitumaini kwamba utanikubalia ombi langu; tena najua kwamba utafanya hata zaidi ya haya ninayokuomba.
21Veendunud sinu kuulekuses, ma kirjutan sulle, sest ma tean, et sa teed veel enamgi, kui ma ütlen.
22Pamoja na hayo, nitayarishie chumba kwani natumaini kwamba kwa sala zenu, Mungu atanijalia niwatembeleeni.
22Ühtlasi sea mulle valmis ka tuba, sest ma loodan, et mind kingitakse armust teile teie eestpalvete tõttu.
23Epafra, mfungwa mwenzangu kwa ajili ya Kristo Yesu, anakusalimu.
23Sind tervitavad Epafras, mu kaasvang Kristuses Jeesuses,
24Nao akina Marko, Aristarko, Dema na Luka, wafanyakazi wenzangu, wanakusalimu.
24ning mu kaastöölised Markus, Aristarhos, Deemas ja Luukas.
25Nawatakieni ninyi nyote neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.
25Issanda Jeesuse Kristuse arm olgu teie vaimuga!