1Kisha nikamwona malaika mmoja anashuka kutoka mbinguni akiwa na ufunguo wa kuzimu na mnyororo mkubwa mkononi mwake.
1Ma nägin taevast alla tulevat ingli, kellel oli sügaviku võti ja suured ahelad käes.
2Akalikamata lile joka--nyoka wa kale, yaani Ibilisi au Shetani--akalifunga kwa muda wa miaka elfu moja.
2Ja ta võttis kinni lohe, selle muistse mao, kes on Kurat ja Saatan, ning aheldas ta tuhandeks aastaks
3Malaika akalitupa Kuzimu, akaufunga mlango wa kuingilia huko na kuutia mhuri ili lisiweze tena kuyapotosha mataifa mpaka hapo miaka elfu moja itakapotimia. Lakini baada ya miaka hiyo ni lazima lifunguliwe tena, lakini kwa muda mfupi tu.
3ning viskas ta sügavikku ja sulges ta luku taha ning pani pealt pitseriga kinni, et ta enam ei eksitaks rahvaid, kuni need tuhat aastat saavad täis. Pärast seda peab teda natukeseks ajaks lahti lastama.
4Kisha nikaona viti vya enzi na watu walioketi juu yake; watu hao walipewa mamlaka ya hukumu. Niliona pia roho za wale waliokuwa wamenyongwa kwa sababu ya kumtangaza Yesu na kwa sababu ya neno la Mungu. Hawa hawakumwabudu yule mnyama na sanamu yake, wala hawakupigwa alama yake juu ya paji za nyuso zao, au juu ya mikono yao. Walipata tena uhai, wakatawala pamoja na Kristo kwa muda wa miaka elfu moja.
4Ja ma nägin troone ja neid, kes nende peal istusid; ja kohus anti nende kätte; ning ma nägin nende hingi, kelle pead olid kirvega maha raiutud Jeesuse tunnistamise pärast ja Jumala sõna pärast, ja kes ei olnud kummardanud metsalist ega tema kuju ega olnud võtnud tema märki oma otsaette ega käe peale. Nad tõusid ellu ning valitsesid kuningatena koos Kristusega tuhat aastat.
5(Wale wengine waliokufa hawakupata uhai mpaka miaka elfu moja itimie.) Huu ndio ufufuo wa kwanza.
5Aga muud surnud ei tõusnud ellu, kuni need tuhat aastat said täis.See on esimene ülestõusmine.
6Wameneemeka sana, tena heri yao wote wanaoshiriki ufufuo huu wa kwanza. Kifo cha pili hakitakuwa na nguvu juu yao; watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, na watatawala pamoja naye kwa miaka elfu moja.
6Õnnis ja püha on see, kes saab osa esimesest ülestõusmisest; nende üle ei ole teisel surmal meelevalda, vaid nad on Jumala ja Kristuse preestrid ning valitsevad koos temaga kuningatena tuhat aastat.
7Wakati miaka elfu mia moja itakapotimia, Shetani atafunguliwa kutoka gerezani mwake.
7Kui need tuhat aastat otsa saavad, lastakse saatan lahti oma vanglast
8Basi, atatoka nje, ataanza kuyapotosha mataifa yote yaliyotawanyika kila mahali duniani, yaani Gogu na Magogu. Shetani atawakusanya pamoja kwa ajili ya vita; nao watakuwa wengi kama mchanga wa pwani.
8ning ta läheb välja eksitama paganaid, kes on ilmamaa neljas nurgas, Googi ja Maagoogi, koguma sõtta neid, kelle arv on nagu mereliiv.
9Walitawanyika katika nchi yote, wakaizunguka kambi ya watu wa Mungu na mji wa Mungu aupendao. Lakini moto ulishuka kutoka mbinguni, ukawaangamiza.
9Ja nad tulevad üles ilmamaa lagendikule ja piiravad ümber pühade leeri ja armastatud linna. Ja taevast langeb tuli ning sööb nad ära.
10Ibilisi, aliyekuwa anawapotosha, akatupwa ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti, walimo yule mnyama na yule nabii wa uongo, nao watateswa mchana na usiku, milele na milele.
10Ja kurat, nende eksitaja, visatakse tule- ja väävlijärve, kus on ka metsaline ja valeprohvet; ning neid piinatakse päevad ja ööd igavesest ajast igavesti.
11Kisha nikaona kiti cha enzi kikubwa cheupe, na yule aketiye juu yake. Dunia na mbingu vikatoweka mbele ya macho yake, na havikuonekana tena.
11Ma nägin suurt valget trooni ning seda, kes sellel istub, kelle palge eest põgenesid maa ja taevas, ning neile ei leidunud aset.
12Kisha nikawaona watu wakubwa na wadogo, wamesimama mbele ya kiti cha enzi, na vitabu vikafunguliwa. Halafu kitabu kingine, yaani kitabu cha uzima, kikafunguliwa pia. Wafu wakahukumiwa kadiri ya matendo yao, kama ilivyoandikwa ndani ya vitabu hivyo.
12Ja ma nägin surnuid, suuri ja pisikesi, seisvat trooni ees, ning raamatud avati. Teine raamat avati, see on eluraamat. Ja surnute üle mõisteti kohut sedamööda, kuidas raamatuisse oli kirjutatud, nende tegude järgi.
13Bahari ikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yake; kifo na kuzimu vikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yao. Kila mmoja akahukumiwa kufuatana na matendo yake.
13Ja meri andis tagasi oma surnud ning surm ja surmavald andsid tagasi oma surnud ning igaühe üle mõisteti kohut tema tegude järgi.
14Kisha kifo na kuzimu vikatupwa ndani ya ziwa la moto. Ziwa hili la moto ndicho kifo cha pili.
14Ja surm ja surmavald visati tulejärve. See on teine surm - tulejärv.
15Mtu yeyote ambaye jina lake halikupatikana limeandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika ziwa la moto.
15Keda iganes ei leitud olevat eluraamatusse kirjutatud, see visati tulejärve.