1Kisha malaika akanionyesha mto wa maji ya uzima maangavu kama kioo yakitoka kwenye kiti cha enzi cha Mungu na Mwanakondoo.
1Ta näitas mulle eluvee jõge, säravat nagu mägikristall. See saab alguse Jumala ja Talle troonist.
2Mto huo ulitiririka kupitia katikati ya barabara kuu ya mji. Kandokando ya mto huo kulikuwa na mti wa uzima unaozaa matunda mara kumi na mbili kwa mwaka, yaani kila mwezi; na majani yake ni dawa ya kuwaponya watu wa mataifa.
2Keset linna tänavat ja mõlemal pool jõge on elupuu, mis kannab vilja kaksteist korda, andes iga kuu oma vilja, ning puu lehed annavad tervist rahvastele.
3Hapana kitu chochote kilicholaaniwa kitakachokuwa katika mji huo. Kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwanakondoo kitakuwa katika mji huo, na watumishi wake watamwabudu.
3Ja midagi äraneetut ei ole enam. Jumala ja Talle troon on seal ning ta sulased teenivad teda
4Watauona uso wake, na jina lake litaandikwa juu ya paji za nyuso zao.
4ning näevad tema palet ning tema nimi on nende otsaesisel.
5Usiku hautakuwako tena, wala hawatahitaji mwanga wa taa au wa jua, maana Bwana Mungu atawaangazia, nao watatawala milele na milele.
5Ja ööd ei ole enam ning neile ei ole vaja lambivalgust ega päikesevalgust, sest Issand Jumal ise valgustab neid, ning nemad valitsevad kuningatena igavesest ajast igavesti.
6Kisha malaika akaniambia, "Maneno haya ni ya kweli na ya kuaminika. Bwana Mungu ambaye huwapa manabii Roho wake, alimtuma malaika wake awaonyeshe watumishi wake mambo ambayo lazima yatukie punde.
6Tema ütles mulle: 'Need on ustavad ja tõelised sõnad! Issand, prohvetivaimude Jumal, on läkitanud oma ingli oma sulastele näitama, mis varsti peab sündima.
7"Sikiliza! Naja upesi. Heri yake anayeyazingatia maneno ya unabii yaliyo katika kitabu hiki."
7Ja vaata, ma tulen peagi! Õnnis on see, kes hoiab alal selle raamatu ennustuse sõnu!'
8Mimi Yohane, niliyaona na kusikia mambo haya. Nilipokwisha sikia na kuona nikajitupa chini mbele ya miguu ya huyo malaika aliyenionyesha mambo hayo, nikataka kumwabudu.
8Mina, Johannes, olen see, kes seda kuulis ja nägi. Ja kui ma seda olin kuulnud ja näinud, siis ma heitsin maha ingli jalge ette, et kummardada teda, kes mulle seda näitas.
9Lakini yeye akaniambia, "Acha! Mimi ni mtumishi tu kama wewe na ndugu zako manabii na wote wanaoyatii maagizo yaliyomo katika kitabu hiki. Mwabudu Mungu!"
9Ja tema ütles mulle: 'Vaata, ära tee seda! Sest ma olen sinu ning prohvetite, su vendade, ja nende kaassulane, kes selle raamatu sõnu alal hoiavad. Kummarda Jumalat!'
10Tena akaniambia, "Usiyafiche kama siri maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, maana wakati wa kutimizwa kwake umekaribia.
10Tema ütles mulle: 'Ära pane pitseriga kinni selle raamatu ennustuse sõnu, sest aeg on lähedal!
11Kwa sasa anayetenda mabaya na aendelee kutenda mabaya, na aliye mchafu aendelee kuwa mchafu. Mwenye kutenda mema na azidi kutenda mema, na aliye mtakatifu na azidi kuwa mtakatifu."
11Kes teeb ülekohut, tehku veel enam ülekohut, ning kes on rüve, saagu veelgi rüvedamaks! Õige tehku veel enam õigust ning püha pühitsegu ennast veel enam!
12"Sikiliza!" Asema Yesu, "Naja upesi, pamoja na tuzo nitakalompa kila mmoja kufuatana na matendo yake.
12Vaata, ma tulen varsti ning toon igaühele palga, ma tasun igaühele tema tegude järgi.
13Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho, wa kwanza na wa mwisho."
13Mina olen A ja O, esimene ja viimane, algus ja ots!
14Heri yao wale wanaoosha mavazi yao, kwani watakuwa na haki ya kula tunda la mti wa uzima, na haki ya kuingia mjini kwa kupitia milango yake.
14Õndsad on need, kes oma rüüd pesevad, et neil oleks meelevald süüa elupuust ning nad võiksid minna väravaist linna sisse!
15Lakini mbwa, wachawi, wazinzi, wauaji, waabudu sanamu na wote wanaopenda kusema uongo, watakaa nje ya mji.
15Väljaspool on koerad ja nõiad ja hoorajad ja mõrtsukad ja ebajumalateenijad ning kõik, kes valet armastavad ja teevad.
16"Mimi, Yesu, nimemtuma malaika wangu awathibitishieni mambo haya katika makanisa. Mimi ni mzawa wa ukoo wa Daudi. Mimi ni nyota angavu ya asubuhi!"
16Mina, Jeesus, saadan oma ingli seda teile tunnistama koguduste jaoks. Mina olen Taaveti juur ja sugu, särav koidutäht.'
17Roho na Bibiarusi waseme, "Njoo!" Kila mtu asikiaye hili, na aseme, "Njoo!" Kisha, yeyote aliye na kiu na aje; anayetaka maji ya uzima na apokee bila malipo yoyote.
17Vaim ja mõrsja ütlevad: 'Tule!' Ja see, kes kuuleb, öelgu: 'Tule!' Ja januneja tulgu! Kes tahab, võtku eluvett ilma tasuta!
18Mimi Yohane nawapa onyo wote wanaosikia maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki: mtu yeyote akiongeza chochote katika mambo haya, Mungu atamwongezea mabaa yaliyoandikwa katika kitabu hiki.
18Mina tunnistan kõikidele, kes kuulevad selle raamatu ennustuse sõnu: kui keegi neile midagi juurde paneb, siis paneb Jumal tema peale need nuhtlused, mis sellesse raamatusse on kirjutatud.
19Na mtu yeyote akipunguza chochote katika maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, Mungu atamnyang'anya sehemu yake katika ule mti wa uzima, na sehemu yake katika mji mtakatifu, ambavyo vimeelezwa katika kitabu hiki.
19Ja kui keegi võtab midagi ära selle prohvetiraamatu sõnadest, siis Jumal võtab ära tema osa elupuust ja pühast linnast, millest on kirjutatud selles raamatus.
20Naye anayetoa ushahidi wake juu ya mambo haya asema: "Naam! Naja upesi." Amina. Na iwe hivyo! Njoo Bwana Yesu!
20Tema, kes seda tunnistab, ütleb: 'Jah, ma tulen varsti!' Aamen. Tule, Issand Jeesus!
21Nawatakieni nyote neema ya Bwana Yesu. Amen.
21Issanda Jeesuse arm olgu kõikidega! Aamen.