Swahili: New Testament

Estonian

Romans

13

1Kila mtu anapaswa kuwatii wenye mamlaka katika serikali; maana mamlaka yote hutoka kwa Mungu; nao wenye mamlaka wamewekwa na Mungu.
1Iga hing alistugu valitsemas olevaile võimudele, sest ei ole võimu, mis ei oleks Jumala käest, olemasolevad on aga Jumala seatud.
2Anayepinga mamlaka ya viongozi anapinga agizo la Mungu; nao wafanyao hivyo wanajiletea hukumu wenyewe,
2Nõnda siis, kes paneb vastu võimule, paneb vastu Jumala antud korraldusele, vastupanijad aga tõmbavad enese peale nuhtluse.
3Maana, watawala hawasababishi hofu kwa watu wema, ila kwa watu wabaya. Basi, wataka usimwogope mtu mwenye mamlaka? Fanya mema naye atakusifu;
3Ülemused ei ole ju hirmuks headele tegudele, vaid kurjadele. Kui sa aga ei taha tunda hirmu võimu ees, siis tee head, ja sa saad tema käest kiitust,
4maana yeye ni mtumishi wa Mungu anayefanya kazi kwa faida yako. Lakini ukifanya mabaya, basi, huna budi kumwogopa, maana anao kweli uwezo wa kutoa adhabu. Yeye ni mtumishi wa Mungu na huitekeleza ghadhabu ya Mungu kwao watendao maovu.
4sest ta on Jumala teener sinu heaks. Kui sa aga teed kurja, siis tunne hirmu, sest ta ei kanna mõõka asjata, ta on ju Jumala teener, kättemaksja nuhtluseks sellele, kes teeb kurja.
5Kwa hiyo ni lazima kuwatii wenye mamlaka, si tu kwa sababu ya kuogopa ghadhabu ya Mungu, bali pia kwa sababu dhamiri inadai hivyo.
5Niisiis on alistumine vajalik, seda mitte ainult nuhtluse, vaid ka südametunnistuse pärast.
6Kwa sababu hiyohiyo ninyi hulipa kodi; maana viongozi hao humtumikia Mungu ikiwa wanatimiza wajibu wao.
6Seepärast te maksate ka makse. Nemad on ju Jumala ametnikud, kes just sellega pidevalt tegelevad.
7Mpeni kila mtu haki yake; mtu wa ushuru, ushuru; wa kodi, kodi; na astahiliye heshima, heshima.
7Täitke kõigi vastu oma kohustused: maksu, kellele maksu; tolliraha, kellele tolliraha; kartust, kellele kartust; au, kellele au!
8Msiwe na deni kwa mtu yeyote, isipokuwa tu deni la kupendana. Ampendaye jirani yake ameitekeleza Sheria.
8Ärgu olgu teil ühtki muud võlga kellegi vastu kui ainult võlg üksteist armastada; sest kes armastab teist, on Seaduse täitnud.
9Maana, amri hizi: "Usizini; Usiue; Usitamani;" na nyingine zote, zimo katika amri hii moja: "Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe."
9Sest käsk: 'Sa ei tohi rikkuda abielu, sa ei tohi tappa, sa ei tohi varastada, sa ei tohi himustada', ja mis tahes muu käsk on kokku võetud selles sõnas: 'Armasta oma ligimest nagu iseennast!'
10Ampendaye jirani yake hamtendei vibaya. Basi, kwa mapendo Sheria yote hutimizwa.
10Armastus ei tee ligimesele kurja. Nii on armastus Seaduse täitmine.
11Zaidi ya hayo, ninyi mnajua tumo katika wakati gani: sasa ndio wakati wa kuamka usingizini; naam, wokovu wetu u karibu zaidi sasa kuliko wakati ule tulipoanza kuamini.
11Ja tehke seda, teades aega: käes on tund unest virguda, sest nüüd on meie pääste lähemal kui siis, kui me usklikuks saime.
12Usiku unakwisha na mchana unakaribia. Basi, tutupilie mbali mambo yote ya giza, tukajitwalie silaha za mwanga.
12Öö on lõpule jõudmas ja päev on lähedal. Pangem siis maha pimeduse teod, rõivastugem valguse relvadega!
13Mwenendo wetu uwe wa adabu kama inavyostahili wakati wa mchana; tusiwe na ulafi na ulevi, uchafu na uasherati, ugomvi na wivu.
13Elagem kombekalt nagu päeva ajal, mitte prassimises ega purjutamises, mitte kiimaluses ega kõlvatuses, mitte riius ega kadeduses,
14Bwana Yesu Kristo awe vazi lenu; msishughulikie tena tamaa zenu za maumbile na kuziridhisha.
14vaid rõivastuge Issanda Jeesuse Kristusega ja ärge tehke ihu eest hoolitsemisest himude rahuldamist!