1Napenda kumjulisha kwenu dada yetu Foibe ambaye ni mtumishi katika kanisa la Kenkrea.
1Ma jätan teie hoolde meie õe Foibe, kes on Kenkrea koguduse teenistuses.
2Mpokeeni kwa ajili ya Bwana kama iwapasavyo watu wa Mungu. Mpeni msaada wowote atakaohitaji kutoka kwenu, maana yeye amekuwa mwema sana kwa watu wengi na kwangu pia.
2Võtke ta vastu Issandas nagu pühadele kohane ning toetage teda, milles tal iganes teid vaja läheb, sest tema isegi on olnud paljudele toeks, ka minule endale!
3Salamu zangu ziwafikie Priska na Akula, wafanyakazi wenzangu katika utumishi wa Kristo Yesu.
3Tervitage minu kaastöölisi Kristuses Jeesuses, Priskat ja Akvilat,
4Wao walihatarisha maisha yao kwa ajili yangu. Wanastahili shukrani; si tu kutoka kwangu, bali pia kutoka kwa makanisa yote ya watu wa mataifa mengine.
4kes minu hinge eest oma pea on pannud kaalule, keda ei täna üksnes mina, vaid ka kõik paganate kogudused;
5Salamu zangu pia kwa kanisa linalokutana nyumbani kwao. Salamu zangu zimfikie rafiki yangu Epaineto ambaye ni kwa kwanza katika mkoa wa Asia kumwamini Kristo.
5tervitage ka kogudust nende kojas! Tervitage mu armast Epainetost, kes oli Aasia provintsis esimene pöörduma Kristuse poole!
6Nisalimieni Maria ambaye amefanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu.
6Tervitage Maarjat, kes on teie eest palju vaeva näinud!
7Salamu zangu kwa Androniko na Yunia, wananchi wenzangu waliofungwa gerezani pamoja nami; wao wanajulikana sana kati ya mitume; tena walikuwa Wakristo kabla yangu mimi.
7Tervitage Andronikost ja Juniast, mu sugulasi ja vanglakaaslasi, kes on silmapaistvad apostlite seas; nemad olid kristlased juba enne mind.
8Salamu zangu kwa Ampliato, rafiki yangu katika kuungana na Bwana.
8Tervitage Ampliatust, mu armast Issandas!
9Salamu zangu zimfikie Urbano, mfanyakazi mwenzangu katika utumishi wa Kristo; salamu zangu pia kwa rafiki yangu Staku.
9Tervitage Urbanust, meie kaastöölist Issandas, ja mu armast Stahhüst!
10Nisalimieni Apele ambaye uaminifu wake kwa Kristo umethibitishwa. Salamu zangu kwa wote walio nyumbani mwa Aristobulo.
10Tervitage Apellest, kes on tunnustatud kristlane! Tervitage Aristobulose omi!
11Salamu zangu kwa Herodiana, mwananchi mwenzangu; na kwa jamaa yote ya Narkisi iliyojiunga na Bwana.
11Tervitage Heroodioni, mu sugulast! Tervitage Narkissose omadest neid, kes on Issandas!
12Nisalimieni Trufena na Trufosa wanaofanya kazi katika utumishi wa Bwana, na rafiki yangu Persi ambaye amefanya mengi kwa ajili ya Bwana.
12Tervitage Trüfainat ja Trüfoosat, kes näevad vaeva Issandale! Tervitage armast õde Persist, kes on palju vaeva näinud Issandale!
13Nisalimieni Rufo, mtu hodari sana katika kazi ya Bwana, na mama yake ambaye ni mama yangu pia.
13Tervitage Issandas valitud Ruufust ja tema ema, kes on ka minu emaks olnud!
14Nisalimieni Asunkrito, Flegoni, Herme Patroba, Herma na ndugu wote walio pamoja nao.
14Tervitage Asünkritost, Flegonit, Hermest, Patrobast, Hermast ja vendi, kes on nendega!
15Nisalimieni Filologo na Yulia, Nerea na dada yake, na Olumpa, pamoja na watu wote wa Mungu walio pamoja nao.
15Tervitage Filologost ja Juuliat, Neereust ja ta õde ja Olümpast ning kõiki pühasid, kes on nendega!
16Salimianeni ninyi kwa ninyi kwa ishara ya upendo. Salamu kwenu kutoka kwa makanisa yote ya Kristo.
16Tervitage üksteist püha suudlusega! Kõik Kristuse kogudused tervitavad teid!
17Ndugu zangu, nawasihi muwafichue wote wanaosababisha mafarakano na kuwafanya watu wengine waanguke, kinyume cha mafundisho mliyofundishwa. Jiepusheni na watu hao,
17Ma palun teid, vennad, pidada silmas neid, kes tekitavad lõhesid ja pahandusi õpetuse vastu, mida teie olete õppinud. Hoidke neist eemale,
18maana watu wa namna hiyo hawamtumikii Kristo Bwana wetu, bali wanayatumikia matumbo yao wenyewe. Kwa maneno yao matamu na hotuba za kubembeleza hupotosha mioyo ya watu wanyofu.
18sest niisugused ei teeni meie Issandat Jeesust Kristust, vaid oma kõhtu, ja nad petavad libedate sõnade ja ilukõnedega lihtsameelsete südameid.
19Kila mtu amesikia juu ya utii wenu na hivyo mmekuwa sababu ya furaha yangu. Nawatakeni muwe na hekima katika mambo mema, na bila hatia kuhusu mambo mabaya.
19Teie kuulekus on ju kõigile saanud teatavaks. Seepärast olen ma teie üle rõõmus, ent ma tahaksin, et te oleksite targad heale, aga jääksite puutumatuks kurjast.
20Naye Mungu aliye chanzo cha amani hatakawia kumponda Shetani chini ya miguu yenu. Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.
20Aga rahu Jumal purustab peatselt saatana teie jalge alla. Meie Issanda Jeesuse Kristuse arm olgu teiega! Aamen.
21Timotheo, mfanyakazi mwenzangu, anawasalimu. Hali kadhalika Lukio, Yasoni, na Sosipatro, wananchi wenzangu, wanawasalimu.
21Teid tervitavad mu kaastööline Timoteos, ning Luukius ja Jaason ja Soosipatros, mu sugulased.
22Nami Tertio, ninayeandika barua hii nawasalimuni katika Bwana.
22Mina, Tertius, kes ma selle kirja olen kirjutanud, tervitan teid Issandas!
23Gayo, mwenyeji wangu, pamoja na kanisa lote linalokutana kwake, anawasalimu. Erasto, mweka hazina wa mji huu, pamoja na Kwarto, wanawasalimu.
23Teid tervitab Gaius, minu ja terve koguduse võõrustaja. Teid tervitab Erastos, linna varahoidja, ja vend Kvartus.
24Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi nyote. Amina.
24[Meie Issanda Jeesuse Kristuse arm olgu teie kõikidega! Aamen.]
25Basi, sasa na tumsifu Mungu! Yeye anaweza kuwaimarisheni katika ile Habari Njema niliyohubiri juu ya ujumbe wa Yesu Kristo, na katika ile siri iliyofunuliwa na ambayo ilikuwa imefichika kwa karne nyinyi zilizopita.
25[Sellele aga, kes teid võib kinnitada minu evangeeliumi ja Jeesuse Kristuse kuulutuse kohaselt, selle saladuse ilmutuse kohaselt, millest on igavesest ajast vaikitud,
26Lakini, sasa ukweli huo umefunuliwa kwa njia ya maandiko ya manabii; na kwa amri ya Mungu wa milele umedhihirisha kwa mataifa yote ili wote waweze kuamini na kutii.
26nüüd aga on tehtud avalikuks ja prohvetite kirjade läbi igavese Jumala käsu kohaselt kõigile rahvastele antud teada kuulekuseks usule,
27Kwake Mungu aliye peke yake mwenye hekima, uwe utukufu kwa njia ya Yesu Kristo, milele na milele! Amina.
27ainsale, targale Jumalale - temale olgu kirkus igavesti Jeesuse Kristuse läbi! Aamen.]