1Sasa, kwa vile tumekubaliwa kuwa wadilifu kwa imani, basi, tunayo amani na Mungu kwa ajili ya Bwana wetu Yesu Kristo.
1Et me nüüd oleme saanud õigeks usust, siis on meil rahu Jumalaga meie Issanda Jeesuse Kristuse läbi,
2Kwa imani yetu, yeye ametuleta katika hali hii ya neema ya Mungu ambamo sasa tunaishi. Basi, tunajivunia tumaini tulilo nalo la kushiriki utukufu wa Mungu.
2kelle läbi me oleme usus saanud ligipääsu ka sellele armule, milles me seisame, ja me kiitleme oma lootusest Jumalalt saadavale kirkusele.
3Naam, si hayo tu, bali tunafurahi pia katika taabu tukijua kwamba taabu huleta saburi,
3Aga mitte ainult sellest, vaid me kiitleme ka viletsusest, teades, et viletsus toob kannatlikkuse,
4nayo saburi huleta uthabiti, na uthabiti huleta tumaini.
4kannatlikkus läbikatsutuse, läbikatsutus lootuse.
5Tumaini hilo haliwezi kutuhadaa, maana Mungu amekwisha miminia mioyoni mwetu upendo wake kwa njia ya Roho Mtakatifu aliyetujalia.
5Aga lootus ei jäta häbisse, sest Jumala armastus on välja valatud meie südamesse Püha Vaimu läbi, kes meile on antud.
6Tulipokuwa bado wanyonge, Kristo, wakati ulipotimia, alikufa kwa ajili yetu sisi waovu.
6Sest juba siis, kui me alles nõrgad olime, on Kristus surnud nende eest, kes tollal veel jumalakartmatud olid.
7Si rahisi mtu kufa kwa ajili ya mtu mwadilifu; labda mtu anaweza kuthubutu kufa kwa ajili ya mtu mwema.
7Vaevalt, et keegi läheb surma isegi õige eest, kuigi hea sõbra eest mõni ehk julgeks surra.
8Lakini Mungu amethibitisha kwamba anatupenda, maana wakati tulipokuwa bado wenye dhambi, Kristo alikufa kwa ajili yetu.
8Ent Jumal teeb nähtavaks oma armastuse meie vastu sellega, et Kristus suri meie eest, kui me olime alles patused.
9Kwa kuwa sasa tumekubaliwa kuwa waadilifu kwa damu ya Kristo, ni dhahiri zaidi kwamba atatuokoa katika ghadhabu ya Mungu.
9Seda kindlamini meid päästetakse tema kaudu viha eest nüüd, kui me tema vere läbi oleme saanud õigeks.
10Maana, tulipokuwa bado adui zake, Mungu alitupatanisha naye kwa kifo cha Mwanae. Na kwa vile sasa tumepatanishwa naye, ni dhahiri zaidi kwamba tutaokolewa kwa uzima wa Kristo.
10Sest kui me juba vaenlastena saime lepituse Jumalaga tema Poja surma läbi, kui palju kindlamini meid päästetakse tema elu läbi nüüd, kui me oleme juba lepitatud.
11Wala si hayo tu, ila tunafurahi pia katika Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo ambaye ametupatanisha na Mungu.
11Aga mitte ainult seda, vaid me ka kiitleme Jumalast meie Issanda Jeesuse Kristuse läbi, kelle kaudu me oleme nüüd saanud lepituse.
12Kwa njia ya mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, nayo ikasababisha kifo. Hivyo kifo kimeenea katika jumuiya yote ya binadamu, kwa maana wote wametenda dhambi.
12Sellepärast, nii nagu üheainsa inimese kaudu on patt tulnud maailma ja patu kaudu surm, nõnda on ka surm tunginud kõikidesse inimestesse, kuna kõik on pattu teinud.
13Kabla ya Sheria kuwako, dhambi ilikuwako ulimwenguni; lakini dhambi haiwekwi katika kumbukumbu bila sheria.
13Sest patt oli maailmas juba enne Seadust, aga pattu ei arvestata, kui seadust ei ole.
14Lakini tangu wakati wa Adamu mpaka wakati wa Mose, kifo kiliwatawala hata wale ambao hawakutenda dhambi kama ile ya Adamu, ya kumwasi Mungu. Adamu alikuwa kielelezo cha yule ambaye atakuja baadaye.
14Ent surm valitses Aadamast Mooseseni ka nende üle, kes ei olnud pattu teinud niisuguse üleastumisega nagu Aadam, kes oli eeltähenduseks temast, kes pidi tulema.
15Lakini ipo tofauti: neema ya Mungu si kama dhambi ya Adamu. Maana, ingawa dhambi ya mtu mmoja ilisababisha kifo kwa wote, kwa fadhili ya mtu mmoja, yaani Yesu Kristo, Mungu amewazidishia wote neema na zawadi zake.
15Kuid armuanniga ei ole nõnda nagu üleastumisega! Sest kui ühe inimese üleastumise läbi paljud on surnud, siis seda kindlamini on paljudele saanud ülirohkeks Jumala arm ja and ühe inimese - Jeesuse Kristuse - armu kaudu.
16Kuna tofauti baina ya zawadi ya Mungu, na dhambi ya mtu yule mmoja. Maana, baada ya kosa la mtu mmoja, Mungu alitoa hukumu; lakini baada ya makosa ya watu wengi, Mungu aliwapa zawadi yake kwa kuwasamehe.
16Ja anniga ei ole nõnda, nagu ühe patustanu puhul võiks olla, sest üheainsa üleastumise järel sai kohtumõistmine surmamõistmiseks, armuand aga on paljude üleastumiste järel õigeksmõistmiseks.
17Kweli, kwa dhambi ya mtu mmoja kifo kilianza kutawala kwa sababu ya huyo mtu mmoja; lakini, ni dhahiri zaidi kwamba alichokifanya yule mtu mmoja, yaani Yesu Kristo, ni bora zaidi. Wote wanaopokea neema na zawadi hiyo ya kukubaliwa kuwa waadilifu, watatawala katika uzima kwa njia ya huyo mmoja, yaani Yesu Kristo.
17Jah, ühe inimese üleastumise tõttu on surm valitsenud kuningana selle ühe kaudu. Aga seda kindlamini need, kes saavad armu ülirohkesti ning õiguse anni, hakkavad valitsema kuningana elus selle ühe - Jeesuse Kristuse - kaudu.
18Basi, kama vile kosa la mtu mmoja lilivyoleta hukumu kwa binadamu wote, kadhalika kitendo kimoja kiadilifu kinawapa uhuru na uzima.
18Nõnda siis, nagu ühe üleastumise läbi tuli kõigile inimestele surmamõistmine, nii on ka selle ühe õigusteo läbi kõigile inimestele saanud õigekssaamine eluks.
19Na kama kwa kutotii kwa mtu mmoja watu wengi walifanywa wenye dhambi, kadhalika kutii kwa mtu mmoja kutawafanya wengi wakubaliwe kuwa waadilifu.
19Sest otsekui tolle ühe inimese sõnakuulmatuse tõttu on paljud saanud patuseks, nõnda saavad ka selle ühe inimese kuulekuse läbi paljud õigeks.
20Sheria ilitokea, ikasababisha kuongezeka kwa uhalifu; lakini pale dhambi ilipoongezeka, neema iliongezeka zaidi.
20Seadus on aga kõrvalt sisse tulnud, et üleastumine suureneks. Ent kus patt on suurenenud, seal on arm saanud ülirohkeks,
21Kama vile dhambi ilivyotawala kwa kifo, kadhalika neema inatawala kwa njia ya uadilifu, na kuleta uzima wa milele kwa njia ya Yesu Kristo Bwana wetu.
21et otsekui patt on kuningana valitsenud surma abil, nõnda valitseks armgi kuningana õiguse kaudu ja viiks igavesse ellu Jeesuse Kristuse, meie Issanda läbi.