Swahili: New Testament

Paite

Acts

20

1Ile ghasia ya Efeso ilipokwisha tulia Paulo aliwaita pamoja wale waumini, akawatia moyo. Kisha akawaaga, akasafiri kwenda Makedonia.
1Huan, buaina daih khit nungin, Paulain nungjuite a samsaka, a hasuana, kamphain a khaha, Masidonia gama hoh dingin a pawtta a.
2Alipitia sehemu za nchi zile akiwatia watu moyo kwa maneno mengi. Halafu akafika Ugiriki.
2Huan, thu tampia nungjuite hasuan jelin huai gam tuh a tawn suaka, Grik gam a tungta hi.
3ambako alikaa kwa miezi mitatu. Alipokuwa anajitayarisha kwenda Siria, aligundua kwamba Wayahudi walikuwa wanamfanyia mpango mbaya; hivyo aliamua kurudi kwa kupitia Makedonia.
3Huan, huaiah kha thum a tam nungin Siria gamlam ah longin a hoh deka, Judaten amah a sawm jiak un Masidonia gamah paisuak a tum nawn zota hi.
4Sopatro, mwana wa Pirho kutoka Berea, aliandamana naye; pia Aristarko na Sekundo kutoka Thesalonika, Gayo kutoka Derbe, Timotheo, Tukiko na Trofimo wa mkoa wa Asia.
4Huan, Pirha tapa Sopater Beria khuate, Thessalonia khuate Aristarkha leh Sekunda te, Darba khua te Gaia, Timothi te, Asia gama Tikika leh Trophima te a kiangah Asia gam phain a hoh uhi.
5Hao walitutangulia na kutungojea kule Troa.
5Huaiten ka ma uh a kai ua, Troasi khua ah a honna ngak uh.
6Sisi, baada ya sikukuu ya Mikate Isiyotiwa chachu, tulipanda meli kutoka Filipi na baada ya siku tatu tukawafikia kule Troa. Huko tulikaa kwa muda wa juma moja.
6Kou bel tanghou silngou sohlouh ni tengteng khitin Philippi khua akipan longin ka pawt ua, ni nga nungin Troasi khua ah a kiang uah ka tung ua; huaiah ni sagih ka tam uhi.
7Jumamosi jioni, tulikutana ili kumega mkate. Kwa vile Paulo alikuwa amekusudia kuondoka kesho yake, aliwahutubia watu na kuendelea kuongea nao hadi usiku wa manane.
7Huan, ni sagih ni masa penin, tanghou balkham dinga ka kikhop lai un, Paulain ajinga pai a tup jiakin a kiang uah chihtaktakin thu a gen a; jan lai tanin thu a gen jel uhi.
8Katika chumba tulimokuwa, ghorofani, kulikuwa na taa nyingi zinawaka.
8Huan, indan tungnung ka omkhawmna uah khawnvak tampi a om a.
9Kijana mmoja aitwaye Eutuko alikuwa ameketi dirishani wakati Paulo alipokuwa anaendelea kuhutubu. Eutuko alianza kusinzia kidogokidogo na hatimaye usingizi ukambana, akaanguka chini kutoka ghorofa ya tatu. Wakamwokota amekwisha kufa.
9Huan, a min Iutika tangval khat tohlet ah a tu a, a na lusu, a na lusa a. Huan, Paulain thu a gen sawttak jiakin aman a ihmut suak a thuakzouta keia, inchial thumna akipanin a keta a, a sisain a tawm uhi.
10Lakini Paulo alishuka chini, akainama, akamkumbatia na kusema, "Msiwe na wasiwasi maana kuna uhai bado ndani yake."
10Himahleh, Paula a kumsuka, a tungah a bohkhuma, a poma, lunglau kei un, a laitat kei lai hi, a chi a.
11Kisha akapanda tena ghorofani, akamega mkate, akala. Aliendelea kuhubiri kwa muda mrefu hadi alfajiri, halafu akaondoka.
11Huan, Paula a kahtou nawna, tanghou a balkhama, an a ne a, sawtpi, khovak pha hialin, a kiang uah thukhotang a gena, huai nungin a paita hi.
12Wale watu walimchukua yule kijana nyumbani akiwa mzima kabisa, wakapata kitulizo kikubwa.
12Huan, valnoupa tuh damin a pi ua, khamuan petmahin a khamuangta uhi.
13Sisi tulipanda meli tukatangulia kwenda Aso ambako tungemchukua Paulo. Ndivyo alivyopanga; maana alitaka kufika huko kwa kupitia nchi kavu.
13Huan, kou bel, long ah ka napaita ua, Asso khua juan dingin longin ka napawt masa ua, huaiah Paula tuansak ding ka tum ua; aman khea hong a tup jiakin huchi bangin aman a chi him ahia.
14Basi, alitukuta kule Aso, tukampandisha melini, tukaenda Mitulene.
14Huan, Asso khua a a hontuah chiangin, ka tuangsakta ua, Mitilini khua ka tung ua.
15Kutoka huko tulisafiri tukafika Kio kesho yake. Siku ya pili, tulitia nanga Samo na kesho yake tukafika Mileto.
15Huan, huai akipanin longin ka pain awn ua, a jingin Kio tuikulh jawn ka tung ua; huan, a jing nawnin Samo tuikulh ka tawn ua, huan, a jing nawn in Milita khua ka tung nawn uh.
16Paulo alikuwa amekusudia kuendelea na safari kwa meli bila kupitia Efeso ili asikawie zaidi huko Asia. Alikuwa na haraka ya kufika Yerusalemu kwa sikukuu ya Pentekoste kama ingewezekana.
16Huan, Paulain Asia gam a om sawt a ut louh jiakin, Ephesa khua longin khen a tupsa him ahia, a theih leh Jerusalem khua ah Pentikost ni huam a tuma, a kin pai ahi.
17Kutoka Mileto Paulo alituma ujumbe kwa wazee wa Efeso wakutane naye.
17Huan, Milita khua akipanin Ephesa khua ah mi a sawla, saptuam upate a kiangah a samsaka.
18Walipofika kwake aliwaambia, "Mnajua jinsi nilivyotumia wakati wote pamoja nanyi tangu siku ile ya kwanza nilipofika Asia.
18Huan, a kiang a hongtun un, aman, a kiang uah, Asia gam ka tot chil ni akipan na kiang ua ka om sung tengin ka omdan na thei ua;
19Mnajua jinsi nilivyomtumikia Bwana kwa unyenyekevu wote, kwa machozi na matatizo yaliyonipata kutokana na mipango ya hila ya Wayahudi.
19thunuailut pen kawm leh, Judaten hon sawm jiak ua khitui kai leh, thil haksa ka tunga tungte thuak kawmin,
20Mnajua kwamba sikusita hata kidogo kuwahubiria hadharani na nyumbani mwenu na kuwafundisha chochote ambacho kingewasaidieni.
20Toupa na ka sem hi; huchibangin a phatuam ding thu na kiang uah bangmah im ka neikeia, vantang lakah bang, in tengah bang thu kon hilh jel,
21Niliwaonya wote--Wayahudi kadhalika na watu wa mataifa, wamgeukie Mungu na kumwamini Bwana wetu Yesu.
21Judate leh Grikte kiangah leng Pathian lama lungsim ngat thu leh, i Toupa Jesu Kris lama ginna thu ka theisak jel ahi.
22Sasa, sikilizeni! Mimi, nikiwa ninamtii Roho, nakwenda Yerusalemu bila kufahamu yatakayonipata huko.
22Huan, thei un, tuin, lungsima hoh lou theiloua ka kitheih jiakin, Jerusalem khua a hoh dia kisa ka hi, huaiah ka tunga thil hongtung ding khawng ka theikei;
23Ninachojua tu ni kwamba Roho Mtakatifu ananithibitishia katika kila mji kwamba vifungo na mateso ndivyo vinavyoningojea.
23Kha Siangthouin, Henna leh haksatnain nang hondawn hi, chiin, kho tengah a honhilh jel hi, tuate kia ka theih ahi.
24Lakini, siuthamini uhai wangu kuwa ni kitu sana kwangu. Nataka tu nikamilishe ule utume wangu na kumaliza ile kazi aliyonipa Bwana Yesu niifanye, yaani nitangaze Habari Njema ya neema ya Mungu.
24Himahleh, ka kitaitehna lam ka maban tun ding leh, Toupa Jesu kianga huai nasepna ka muh, sem khin phot leng, ka hinna leng khiaklah tuakin ka sep kei hi.
25"Nimekuwa nikienda huko na huko kati yenu nikiuhubiri Ufalme wa Mungu. Sasa lakini, najua hakuna hata mmoja wenu atakayeniona tena.
25Huan, thei un, nou tengteng, Pathian gam thu tangkoupih jela ka vakvaknaten ka mel na mu nawnta kei ding uh chih ka thei hi.
26Hivyo, leo hii ninawathibitishieni rasmi kwamba ikijatokea akapotea mmoja wenu, mimi sina lawama yoyote.
26Huaijiakin, mi tengteng sisan ah ka hula hi chih tuniin ka hontheisak hi.
27Kwa maana sikusita hata kidogo kuwatangazieni azimio lote la Mungu.
27Pathian vaihawm tengteng avekin na kiang uah im ka nei hi.
28Jihadharini wenyewe; lilindeni lile kundi ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi muwe walezi wake. Lichungeni kanisa la Mungu ambalo amejipatia kwa damu ya Mwanae.
28Pathian saptuamte, amah sisana a leite, vak dingin, noumau leh na heute uh tengteng tungah pilvang un, Kha Siangthouin a tunguah nou heutuin a honbawl hi.
29Nafahamu vizuri sana kwamba baada ya kuondoka kwangu mbwa mwitu wakali watawavamieni, na hawatakuwa na huruma kwa kundi hilo.
29Ka pai nungin nge hangte na lak uah a honglut ding ua, pawlte a hawi kei ding uh chih ka thei hi.
30Hata kutoka miongoni mwenu watatokea watu ambao watasema mambo ya uongo ili kuwapotosha watu na kuwafanya wawafuate wao tu.
30Noumau laka mi nangawn, nungjui pawlte amau lama kai mang dingin thu tuam gen na hongom ding uhi.
31Kwa hiyo, muwe macho mkikumbuka kwamba kwa muda wa miaka mitatu, usiku na mchana, sikuchoka kumwonya kila mmoja wenu kwa machozi.
31Huaijiakin limsak unla; kum thum hilhial, khitui ke kawma, sun leh jana mi chih taihilh ka tawp louhdan, thei gige un.
32"Na sasa basi, ninawaweka ninyi chini ya ulinzi wa Mungu na ujumbe wa neema yake. Yeye anao uwezo wa kuwajenga ninyi na kuwawezesha mzipate zile baraka alizowawekea watu wake.
32Tunah Pathian leh a hehpihna thu kiangah nou ka honkemsak hi, huaiin nou a honbawllian theia, mi lungsim siangthoute lakah goutan a honneisak thei lai hi.
33Mimi sikutamani hata mara moja fedha, wala dhahabu, wala nguo za mtu yeyote.
33Kuamah dangkate, dangkaengte, puansilhte ka eng ngeikei hi.
34Mnajua ninyi wenyewe kwamba nimefanya kazi kwa mikono yangu mwenyewe, ili kujipatia mahitaji yangu na ya wenzangu.
34Hiai khutten keimah leh ka lawmte taksap a khoihkhiak jel dan, noumau ngeiin na thei uhi.
35Nimekuwa nikiwapeni daima mfano kwamba kwa kufanya kazi mithili hiyo tunapaswa kuwasaidia walio dhaifu, tukikumbuka maneno ya Bwana Yesu mwenyewe: Heri zaidi kutoa kuliko kupokea."
35Bangkim ka hih peuhmah na chinding ua ka hih ahi, huchibanga sem gim leh, Toupa Jesu thu theigige kawmin mi hatloute na panpih ding uh ahi; amah mahin, Bangkhat lak sangin, piakin lukhawng a nei jaw, a chih, a chi a.
36Baada ya kusema hayo, Paulo alipiga magoti pamoja nao wote, akasali.
36Huan, huchibang thu a gen khitin, a khukdina, a vek un a thumpih ua.
37Wote walikuwa wanalia; wakamwaga kwa kumkumbatia na kumbusu.
37Huan, a vek un a kap huphup ua, Paula ngawng ah kunin amah a tawp ua,a mel a muh nawn tak louh ding uh, thu a gen tuh a lungkhamna pen uh ahi. Huan, long phain amah a vakhata uhi.
38Jambo lililowahuzunisha zaidi lilikuwa neno alilosema kwamba hawangemwona tena. Basi, wakamsindikiza hadi melini.
38a mel a muh nawn tak louh ding uh, thu a gen tuh a lungkhamna pen uh ahi. Huan, long phain amah a vakhata uhi.