1Tulipokwisha agana nao, tulipanda meli tukaenda moja kwa moja mpaka Kosi. Kesho yake tulifika Rodo, na kutoka huko tulikwenda Patara.
1Huan, amaute toh ka kikhen ua, longin ka pawt ua, huai khitin tangtakin Kos tuikulh ka tung ua, huan, a jingin Rodi tuikulh ka tung nawn ua, huai akipanin ka pai jel ua, Patara khua ka tung ua.
2Huko, tulikuta meli iliyokuwa inakwenda Foinike, hivyo tulipanda, tukasafiri.
2Huan, Phinisia gam kai ding long khat ka mu ua, ka tuang ua, ka pai jel ua,
3Baada ya kufika mahali ambapo tuliweza kuona Kupro, tulipitia upande wake wa kusini tukaelekea Siria. Tulitia nanga katika mji wa Tiro ambapo ile meli ilikuwa ipakuliwe shehena yake.
3Huan, Kupra tuikulh ka mu ua, veilam pangah ka kheng ua, Suria gam lamah ka pai jel ua, Tair khua ah ka kumta dih ua; huaiah long van nawn khiak ding ahi a.
4Tulikuta waumini huko, tukakaa pamoja nao kwa muda wa juma moja. Waumini hao wakawa waongea kwa nguvu ya Roho, wakamwambia Paulo asiende Yerusalemu.
4Huan, nungjuite ka zongkhia ua, huaiah ni sagih ka tam ua; huan, amau Kha hilhin, Paula kiangah, Jerusalem khua tot louh ding chih, a chi ua.
5Lakini muda wetu ulipokwisha tuliondoka. Wote pamoja na wanawake na watoto wao walitusindikiza mpaka nje ya mji. Tulipofika pwani, sote tulipiga magoti tukasali.
5Himahleh, huai ni khitin ka pawt ua, ka paita ua, unauten a vek un, a ji a tate utoh dainawl phain hongkha ua; huan, tuipi geiah ka khukdin ua, ka thum uhi.
6Kisha tuliagana; sisi tukapanda meli nao wakarudi makwao.
6Huan, Mangpha, ka kikhak ua, long ah ka tuang ua, amau bel a in uah a pai nawnta uh.
7Sisi tuliendelea na safari yetu kutoka Tiro tukafika Tolemai ambapo tuliwasalimu ndugu zetu, tukakaa nao siku moja.
7Huan, Tair khua akipan longa ka pai khit un Tolemai khua ka tung ua, unaute chibai ka buk ua, a kiang uah ni khat ka nituang uh.
8Kesho yake tuliondoka tukaenda Kaisarea. Huko Kaisarea tulikwenda nyumbani kwa mhubiri Filipo. Yeye alikuwa mmoja wa wale saba waliochaguliwa kule Yerusalemu.
8Huan, a jingin ka pawt ua, Kaisaria khua ka tung ua, huan, Tanchin Hoih genpa, Philip in ah ka lut ua, amah tuh sagihte laka khat ahi a, a kiangah ka tam ua.
9Alikuwa na binti watatu ambao walikuwa na kipaji cha unabii.
9Huai miin tanu li a neia, nungak siangthou ahi ua, Pathian thu a gen jel uhi.
10Baada ya kukaa huko siku kadhaa, nabii mmoja aitwaye Agabo alifika kutoka Yudea.
10Huan, huaiah ni tampi tak ka tam ua, huai lain Judia gam akipan a min Agaba jawlnei khat a hongsuk a.
11Alitujia, akachukua mkanda wa Paulo, akajifunga mikono na miguu, akasema "Roho Mtakatifu asema hivi: Wayahudi kule Yerusalemu watamfunga namna hii mtu mwenye ukanda na kumtia mikononi mwa watu wa mataifa."
11Huan, ka kiang uah a honga, Paula kawnggak a la a, a khete, a khutte amahin a kigaka, huan, Jerusalem khua a Judaten hichi bangin hiai kawnggak neipa a gak ding uh, Jentelte khut ah a pe lai ding uhi, Kha Siangthouin a chi hi, a chi a.
12Tuliposikia hayo, sisi na wale watu wengine waliokuwa hapo tulimsihi Paulo asiende Yerusalemu.
12Huan, huai thu ka jak tak un, kou leh huai khua a miten Paula Jerusalem khua a hohtou lou dingin ka ngen chiat ua.
13Lakini yeye alijibu, "Mnataka kufanya nini? Mnataka kuvunja moyo wangu kwa machozi? Niko tayari siyo tu kutiwa ndani kule Yerusalemu, ila hata kufa kwa ajili ya Bwana Yesu."
13Huan, Paulain, a dawnga, Bangchi na hi ua, na kahlah uh, na honkhasiatsak uh? Toupa Jesu min jiakin Jerusalem khua a hen kia hilouin, sih leng ka ngap ahi, a chi a.
14Tuliposhindwa kumshawishi tulinyamaza, tukasema tu: "Mapenzi ya Bwana yafanyike"
14Huan, khem zoh vual ahih louh takin, Toupa thuthu hi heh aw, ka chi ua, ka tawpta uhi.
15Baada ya kukaa pale kwa muda, tulifunga mizigo yetu, tukaendelea na safari kwenda Yerusalemu.
15Huan, huai nungin ka van uh ka bawl ua, Jerusalem khua ah ka hohtou ua.
16Wengine kati ya wale wafuasi wa Kaisarea walienda pamoja nasi, wakatupeleka nyumbani kwa Mnasoni ambaye tulikuwa tunakwenda kukaa naye kwa muda. Mnasoni alikuwa mwenyeji wa Kupro na alikuwa amekuwa muumini kwa siku nyingi.
16Kaisaria khua a mi nungjuite kuate hiam, ka kiang uah a pai ua, amau, a min Mnason, nungjui masa pawl Kupra tuikulh a mi khat ka tuna dingpa uh a pi sam uhi.
17Tulipofika Yerusalemu, ndugu waumini walitupokea vizuri sana.
17Huan, Jerusalem khua ka tun uh unauten nuam takin a honna kipahpih ua.
18Kesho yake Paulo alikwenda pamoja nasi kumwamkia Yakobo, na wazee wote wa kanisa walikuwako pia.
18A hingin Paula toh Jakob kiangah ka lut ua; huaiah saptuam upate tengteng leng a om uh.
19Baada ya kuwasalimu, Paulo aliwapa taarifa kamili kuhusu yote Mungu aliyokuwa ametenda kati ya mataifa kwa njia ya utumishi wake.
19Huan, Paulain amau chibai a buk khitin, a nasepna zanga Pathianin Jentelte laka thil a hihsak peuhmah anen ahamin a gena.
20Waliposikia hayo, walimtukuza Mungu. Kisha wakamwambia Paulo, "Ndugu, unaweza kuona kwamba kuna maelfu ya Wayahudi ambao sasa wamekuwa waumini na wote hao wanashika kwa makini Sheria ya Mose.
20Huan, unauten huai thu a jak un Pathian a pahtawi uh; huan Paula kiangah, Unaupa, Judate laka gingta mi tamdan na mu a; a vek un dan tungah phatuam a ngai lai uhi;
21Wamepata habari zako kwamba umekuwa ukiwafundisha Wayahudi wanaoishi kati ya mataifa mengine kuwa wasiijali Sheria ya Mose, wasiwatahiri watoto wao na kwamba wasizifuate mila za Wayahudi.
21huan, nang Jentelte laka Juda omte tengteng kiangah a tate uh zeksum louh ding leh, dan banga om louh ding, chiin, Mosi paihkhiakna ding na thuhilh jel chih mi kam ah na thu a thei uh.
22Sasa, mambo yatakuwaje? Ni dhahiri kuwa watapata habari kwamba umekwisha wasili hapa.
22Bangchi hita ding ahia le? Na hongtung chih a za ngal ding ua.
23Basi, fanya kama tunavyokushauri. Tunao hapa watu wanne ambao wameweka nadhiri.
23Huaijiakin na kianga ka gen bang un hihin; Thuchiam nei pasal li ka kiang uah a om ua;
24Jiunge nao katika ibada ya kujitakasa, ukalipe na gharama zinazohusika, kisha wanyolewe nywele zao. Hivyo watu wote watatambua kwamba habari zile walizoambiwa juu yako hazina msingi wowote, na kwamba wewe binafsi bado unaishi kufuatana na maagizo ya Sheria za Mose.
24huai mite piin la, a kiang uah kisiangsak sam inla, a sam uh a met theihna ding un amau din sum sengin; huchiin, mi tengtengin, mi kama na thu a jak teng uh; chihtak ahi kei chih a thei ding ua, nangmah mah Dan zomin kichian takin na om jaw chih a thei ding uhi.
25Kuhusu wale watu wa mataifa mengine ambao wamekuwa waumini, tumekwisha wapelekea barua tukiwaambia mambo tuliyoamua: wasile chochote kilichotambikiwa miungu ya uongo, wasinywe damu, wasile nyama ya mnyama aliyenyongwa, na wajiepushe na uasherati."
25Jentelte laka gingtate thu jaw, milim biakna thil neklam ah, sa sisan neklam ah, sa heklup nek lam ah, kingaihlam khawng akipanin a kihulsak ding uh ahi, chiin, ka gen ua, ka gelhta uhi, a chi ua.
26Basi, kesho yake Paulo aliwachukua wale watu akafanya ibada ya kujitakasa pamoja nao. Kisha akaingia Hekaluni kutoa taarifa kuhusu mwisho wa siku za kujitakasa na kuhusu dhabihu itakayotolewa kwa ajili ya kila mmoja wao.
26Huan, a jingin Paulain pasalte a pia, a kiang uah a kisiangsaka, Pathian biakin ah a luta, amau dia sa goh chiat ding a piaksak masiah kisiansakna ni a nei phot ding uh ahi chih, siampu kiangah a hilh a.
27Wakati siku hizo saba zilipokaribia kuisha, Wayahudi waliokuwa wametoka katika mkoa wa Asia walimwona Paulo Hekaluni. Wakachochea hasira kati ya kundi lote la watu, wakamtia nguvuni
27Huan, ni sagih a chin dekdek takin Asia gama Judaten Pathian biakin ah Paula a mu ua, mipi tengteng a hasuan ua, amah a man ua, a kikou ua..
28wakipiga kelele: "Wananchi wa Israeli, msaada, msaada! Huyu ndiye yule mtu anayewafundisha watu kila mahali mambo yanayopinga watu wa Israeli, yanayopinga Sheria ya Mose na mahali hapa patakatifu. Hata sasa amewaingiza watu wa mataifa mengine Hekaluni na kupatia najisi mahali hapa patakatifu."
28Israel mite aw, honghuh un! Hiai mi, gam tenga mi tengteng kianga, Juda mite, dan te, hiai inte khawng gensepa ahi; huai lou leng, Pathian biakin ah Grik mite a lutpiha, hiai in siangthou a hihbuah khin ahi, a chi ua.
29Sababu ya kusema hivyo ni kwamba walikuwa wamemwona Trofimo mwenyeji, wa Efeso, akiwa pamoja na Paulo mjini, wakadhani kwamba Paulo alikuwa amemwingiza Hekaluni.
29Huai main khua ah Ephesa khua a mi Trophima a kiangah a mu ua, Paulain huai mi Pathian biakin ah a lutpih a gingta uhi.
30Mji wote ulienea ghasia; watu wakaja kutoka pande zote, wakamkamata Paulo, wakamburuta, wakamtoa nje ya Hekalu na papo hapo milango ya Hekalu ikafungwa.
30Huan, a khuain a kissing kheukhou ua, mite khawng a tai khawm ua; Paula a man ua, Pathian biakin akipan a kaikhia ua; kongkhakte a khak pah ngal uhi.
31Walikuwa tayari kumuua, lakini habari zilimfikia mkuu wa jeshi la Kiroma kuwa Yerusalemu yote ilikuwa imejaa ghasia.
31Huan, amah hihlup a tup laitak un Jerusalem khua a mi tengteng a buai uh chih sepaih pawl heutu lalpen kiang a tungtou a.
32Mara, mkuu wa jeshi akawachukua askari na jemadari, akalikabili lile kundi la watu. Nao walipomwona mkuu wa jeshi na askari, wakaacha kumpiga Paulo.
32Huan, aman sepaihte leh sepaih za heutute a pi pah ngala, a kiang uah a tai suk ua; huan, amau heutu lianpen leh sepaihte a muh tak un Paula vuak a tawpta uhi.
33Mkuu wa jeshi alimwendea Paulo, akamtia nguvuni na kuamuru afungwe minyororo miwili. Kisha akauliza, "Ni mtu gani huyu, na amefanya nini?"
33Huan, heutu lalpenin a honnaiha, Paula a lena, khainiang nih butsak ding thu a pia a; kua ahia a hih a, bang ahia a hih, a dong a.
34Wengine katika lile kundi la watu walikuwa wanapayuka kitu hiki na wengine kitu kingine. Kwa sababu ya ghasia hiyo, mkuu wa jeshi hakufaulu kujua kisa kamili. Hivyo, aliamuru watu wake wampeleke Paulo ndani ya ngome.
34Huan, mipi lakah a khen thu khatin a kikou ua, a khen thu dangin a kikou uh; huan, buai jiakin a dan a theikeia, kulha pilut thu a pia hi.
35Paulo alipofika kwenye ngazi, askari walilazimika kumbeba kwa sababu ya fujo za watu.
35Huan, Paula kellei a tun lain mipi ahiamgam jiak un sepaihten amah a domkang jel uhi;
36Kwa maana kundi kubwa la watu walimfuata wakipiga kelele, "Muulie mbali!"
36Mi tengtengin, hihmangthang un, chia kikouin, a jui huthut ngal ua.
37Walipokuwa wanamwingiza ndani ya ngome, Paulo alimwomba mkuu wa jeshi akisema, "Naweza kukwambia kitu?" Yule mkuu wa jeshi akamjibu, "Je unajua Kigiriki?
37Huan, Paula tuh kulhpi a a pilut dek laitak un, aman, sepaih heutu lalpe kiangah, na kiangah thu kam khat ka gen thei diam? a chi a.
38Kwani wewe si yule Mmisri ambaye hivi majuzi alianzisha uasi na kuwaongoza majahili elfu nne hadi jangwani?"
38Huan, aman, Grik pau na thei maw? Tuma a mite hasuana, mihing suamte sang li gamdaia pi heap Aigupta mi na hi kei maw? a chi a.
39Paulo akajibu, "Mimi ni Myahudi, mzaliwa wa Tarso katika Kilikia; mimi ni raia wa mji maarufu. Tafadhali, niruhusu niongee na watu.
39Paulain Juda mi, Silisia gama Tarsa khua a mi ka hi, kho namai a om ka hi kei; honhehpih inla, mi tengteng kiangah thu hon gensakin, a chi a.Huan, a lemsak takin, kellei ah Paula a dinga, mi tengteng daihna dingin a khutin a japa; huan, a daih duamtak un Hebru pauin a kiang uah,
40Yule mkuu wa jeshi akamruhusu. Hivyo Paulo alisimama juu ya ngazi, akawapungia mkono wale watu na walipokaa kimya, akaanza kuongea nao kwa Kiebrania.
40Huan, a lemsak takin, kellei ah Paula a dinga, mi tengteng daihna dingin a khutin a japa; huan, a daih duamtak un Hebru pauin a kiang uah,