1"Ndugu zangu na akina baba, nisikilizeni sasa nikijitetea mbele yenu!"
1Unaute aw, pate aw, tun ah na kiang uah ka siamna thu ka honhilh ding hi, ngaikhia un, a chi a.
2Waliposikia akiongea nao kwa Kiebrania wakazidi kukaa kimya zaidi kuliko hapo awali. Naye Paulo akaendelea kusema,
2Huan, Hebru pauin a kiang uah thu a gen chih a jak tak un, a dai nawn sem ua; huan, aman,
3"Mimi ni Myahudi, mzaliwa wa Tarso katika Kilikia. Lakini nililelewa papa hapa mjini Yerusalemu chini ya mkufunzi Gamalieli. Nilifundishwa kufuata kwa uthabiti Sheria ya wazee wetu. Nilijitolea kwa moyo wote kwa Mungu kama ninyi wenyewe mlivyo hivi leo.
3Juda mi ka hia, Silisia gama Tarsa khua a piang ka hi a, himahleh hiai khua ah Gamaliel khe bula zila khanglian ka hi, i pipute Dan omdan kimtak zil jela om ka hia, tunia noumau tengteng bangtakin Pathian adinga phatuam ngai sam jel ka hi.
4Niliwatesa hata kuwaua wale watu waliofuata Njia hii. Niliwatia nguvuni wanaume kwa wanawake na kuwafunga gerezani.
4Huan, hiai Lama mite hihlum hial khopin ka sawi jela, numei-pasal ka hena, suangkulh ah ka khumsak jel ahi.
5Kuhani Mkuu na baraza lote la wazee wanaweza kushuhudia jambo hilo. Kutoka kwao nilipokea barua walioandikiwa wale ndugu Wayahudi waliokuwa huko Damasko. Nilikwenda Damasko ili niwatie nguvuni watu hao na kuwaleta wamefungwa mpaka Yerusalemu ili waadhibiwe.
5Siampu Lianpen leh upate tengtengin leng huai thu hontheihpih thei hi, amau akipanin leng unaute piak dingin lai ka mu hi, huan, Damaska khua a om peuhmah, a sawi ding un, hensa a Jerusalem khua a pi dingin ka hoh hi.
6"Basi, nilipokuwa njiani karibu kufika Damasko, yapata saa sita mchana, mwangu mkubwa kutoka mbinguni ulitokea ghafla ukaniangazia pande zote.
6Huan, kapaia, Damaska khua kiang ka tunin, sun annek hun lain, thakhatin van akipan vak thupitak ka kim ah a hongvak puapa,
7Hapo nilianguka chini, nikasikia sauti ikiniambia: Saulo, Saulo! Kwa nini unanitesa?
7lei ah ka puka, ka kiangah, Salua, Saula, nang bangachia honsawi? chiin aw ka ja a.
8Nami nikauliza: Nani wewe, Bwana? Naye akaniambia: Mimi ni Yesu wa Nazareti ambaye wewe unamtesa.
8Huan, ken, Toupa kua na hia? chiin, ka donga. Huan, aman ka kiangah, Nazarit Jesu na sawi ka hi, a chi a.
9Wale wenzangu waliuona ule mwanga lakini hawakusikia sauti ya yule aliyeongea nami.
9Huan, ka lawmten vak jaw a mu ua, honhoupihpa aw jaw a za kei uhi.
10Basi, mimi nikauliza: Nifanye nini Bwana? Naye Bwana akaniambia: Simama, nenda Damasko na huko utaambiwa yote ambayo umepangiwa kufanya.
10Huan, ken, Toupa, bang ka hih dia? ka chi a. Huan, Toupan, ka kiangah, Thou inla, Damaska khua ah lutin, thil tengteng na hihding a chih peuhmah a honhilh ding uh, a chi a.
11Kutokana na ule mwanga mkali sikuweza kuona na hivyo iliwabidi wale wenzangu kuniongoza kwa kunishika mkono mpaka nikafika Damasko.
11Huan, huai vak thupi jiakin khua ka mu theita keia, ka lawmten khutin a honkai ua, Damaska khua ah ka lutta ahi.
12"Huko kulikuwa na mtu mmoja aitwaye Anania, mtu mcha Mungu, mwenye kuitii Sheria yetu na aliyeheshimika sana mbele ya Wayahudi waliokuwa wanaishi Damasko.
12Huan, mi khat, Anania, Dan lama Pathian limsak leh, huai Juda omte tengteng kianga min hoih,
13Yeye alikuja kuniona, akasimama karibu nami, akasema: Ndugu Saulo! Ona tena. Papo hapo nikaona tena, nikamwangalia.
13ka kiangah a honga, ka kiangah a dinga, ka kiangah, Unau Suala, mit vak nei in, a honchi a. Huan, huai laitakin amah ka mu touta hi.
14Halafu Anania akasema: Mungu wa babu zetu amekuchagua upate kujua matakwa yake na kumwona yule mtumishi wake mwadilifu na kumsikia yeye mwenyewe akiongea.
14Huan, aman I pipute Pathianin a deihlam thei leh Mi Kichian mu a, a kamsuak za dingin a honsepta hi.
15Kwa maana utamshuhudia kwa watu wote ukiwaambia yale uliyoyaona na kuyasikia.
15Na muh leh na jak thu ah mi tengteng kiangah amah thutheihpihpa na hi ding.
16Sasa basi, ya nini kukawia zaidi? Simama ubatizwe na uondolewe dhambi zako kwa kuliungama jina lake.
16Huan, bangdia omom na hia? thou inla, amah min lou kawmin baptisma tang inla, na khelhna hihsiang tanla, a honchi hi.
17"Basi, nilirudi Yerusalemu, na nilipokuwa nikisali Hekaluni, niliona maono.
17Huan, Jerusalem khua a ka pain awn nungin, Pathian biakina ka thum laiin, mengmu bangin ka oma.
18Nilimwona Bwana akiniambia: Haraka! Ondoka Yerusalemu upesi kwa maana watu wa hapa binadamu hawataukubali ushuhuda wako juu yangu.
18Huan, Kin inla, Jerusalem khua akipan pawtin; ka tanchin nag en ding a pom tuak kei uh, a honchih lai ka mu a.
19Nami nikamjibu: Bwana, wao wanajua wazi kwamba mimi ni yule aliyekuwa anapitapita katika masunagogi na kuwatia nguvuni na kuwapiga wale waliokuwa wanakuamini.
19Huan, ken, Toupa kikhopna in tenga nang gingta peuhmah ka hentasak a, ka vuak jel dan a thei ngal ua.
20Na kwamba wakati shahidi wako Stefano alipouawa, mimi binafsi nilikuwako pale nikakubaliana na kitendo hicho na kuyalinda makoti ya wale waliokuwa wanamuua.
20Huan, na thu theihpihpa Stephen sisan a suah lai un kei leng a kiang uah ka dinga, ka nalemsa a, a hihlumte puan khawng leng ka nakem ahi, ka chi a.
21Naye Bwana akaniambia: Nenda; ninakutuma mbali kwa mataifa mengine."
21Huan, aman, Pai in, hiai akipanin gamla taka Jentelte kiangah ka honsawl ding ahi, a honchita a, a chi a.
22Mpaka hapa, wale watu walikuwa wanamsikiza, lakini aliposema maneno haya, walianza kusema kwa sauti kubwa, "Mwondoe duniani! Mtu wa namna hiyo hastahili kuishi."
22Huan, huai thu tanin a ngaikhia ua; huan, aw ngaihtakin, Mi hichi bang phiangsan khovel akipan hihmangthang un; hingtak ahi kei hi, a chita ua.
23Waliendelea kupayukapayuka huku wakitikisa makoti yao na kurusha vumbi angani.
23Huan, a kikou ua, a puan khawng uh a hawk ua, a pai ua, leivui a vik ua,
24Mkuu wa jeshi aliwaamuru watu wake wampeleke Paulo ndani ya ngome, akawaambia wamchape viboko ili wapate kujua kisa cha Wayahudi kumpigia kelele.
24huchiin, sepaih heutu lalpenin Paula kulh sunga pilot thu a pia a, a tungah huchi tela a kikouna uh a theihna dingin vuak kawma dottel ding, a chi a.
25Lakini walipokwisha mfunga ili wamchape viboko, Paulo alimwuliza jemadari mmoja aliyesimama hapo, "Je, ni halali kwenu kumpiga viboko raia wa Roma kabla hajahukumiwa?"
25Huan, savun khaua a lehhensawm khit un, Paulain, a kianga ding sepaih zaheutu kiangah, Rome mi himhim na vo thei ua hia? siamlouh tansak nung leng lah hilouin? a chi a.
26Yule jemadari aliposikia hayo, alimpasha habari mkuu wa jeshi akisema, "Unataka kufanya nini? Mtu huyu ni raia wa Roma!"
26Huan, sepaih zaheutuin huai a jak takin, sepaih zaheutu lianpen kiangah a hoh a, na thilhih ding pilvang dih aw; hiai mi Rome mi a na hi e, a chi a, a hilh a.
27Basi, mkuu wa jeshi alimwendea Paulo, akamwambia, "Niambie; je, wewe ni raia wa Roma?" Paulo akamjibu, "Naam."
27Huan, sepaih heutu lianpen a honga, a kiangah, Rome mi na hi maw? honhilh in, a chi a.
28Mkuu wa jeshi akasema, "Mimi nami nimekuwa raia wa Roma kwa kulipa gharama kubwa." Paulo akasema, "Lakini mimi ni raia wa Roma kwa kuzaliwa."
28Huan, aman, Hi e, a chi a. Huan, sepaih heutu lianpenin, hiai khomi hihna ken sum tampia ka lei ahi, chiin, a dawnga. Huan, Paulain, kei jaw Romemi a piang him kahi, a chi a.
29Wale watu ambao walikuwa tayari kumchunguza Paulo walitoweka mara. Hata yule mkuu wa jeshi aliogopa alipojua kwamba Paulo ni raia wa Roma na kwamba alikuwa amekwisha mfunga minyororo.
29Huchiin, dottel tumten amah a paisan pah ngal ua; sepaih heutu lianpenin leng Rome mi ahi chih a theihin a kihta a, a hen jiakin a lau hi.Huan, a jingin, Judaten bangjiakin ahia Paula a hek uh chih theihtel tumin, sepaih heutu lianpenin amah a phela, siampu liante leh vaihawm tengteng kikhop ding thu a pia a, Paula a pi suka, a ma uah a dingsakta hi.
30Kesho yake, mkuu wa jeshi alitaka kujua mashtaka kamili ambayo Wayahudi walikuwa wamemwekea Paulo. Hivyo, alimfungua Paulo minyororo, akaamuru makuhani wakuu na Baraza lote wafanye kikao. Kisha alimleta Paulo, akamsimamisha mbele ya Baraza.
30Huan, a jingin, Judaten bangjiakin ahia Paula a hek uh chih theihtel tumin, sepaih heutu lianpenin amah a phela, siampu liante leh vaihawm tengteng kikhop ding thu a pia a, Paula a pi suka, a ma uah a dingsakta hi.