1Saulo naye alikiona kitendo hicho cha kumwua Stefano kuwa sawa. Siku hiyo kanisa la Yerusalemu lilianza kuteswa vibaya. Waumini wote, isipokuwa tu wale mitume, walilazimika kutawanyika katika sehemu za mashambani za Yudea na Samaria.
1Huan, huai niin Jerusalem khua a saptuam omte khawng, min nak pitakin a sawi panta ua; huchiin, sawltakte kia loungal Judia leh Samari gam kho tengah a dalhjakta vek uhi.
2Watu wamchao Mungu, walimzika Stefano na kumfanyia maombolezo makubwa.
2Huan, Pathian limsak kuate hiamin Stephen a vui ua, nakpi takin a kah uh.
3Wakati huohuo, Saulo alijaribu kuliangamiza kanisa. Alikwenda katika kila nyumba, akawatoa nje waumini, wanaume kwa wanawake, akawatia gerezani.
3Saulain bel saptuam pawlte a sawia, in tengah a luta, numei pasal a kaikhia a, suangkulh ah a khum hi.
4Wale waumini waliotawanyika, walikwenda kila mahali wakihubiri ule ujumbe.
4Huan, a dalhjakte kho teng ah a paita ua, thu tuh a gen jel uh.
5Naye Filipo aliingia katika mji wa Samaria na kumhubiri Kristo kwa wenyeji wa hapo.
5Huan, Samari khua ah Philip a hohsuk a, a kiang uah Kris thu a tangkoupih hi.
6Watu walijiunga kusikiliza kwa makini ule ujumbe wa Filipo na kuona ile miujiza aliyoifanya.
6Huan, a thillamdang hihte a jak ua, a muh un, mipiten lungsim mun khatin, Philip thugente a limsakta uhi.
7Maana pepo wachafu waliokuwa wamewapagaa watu wengi waliwatoka wakipiga kelele kubwa; na pia watu wengi waliokuwa wamepooza viungo na waliolemaa waliponywa.
7Banghanghiam i chih leh, dawininte mi tampi a matte sung ua kipanin aw ngaihtaka kikou in a pawt ua; jaw leh khebai tampi hihdamin a om uhi.
8Kukawa na furaha kubwa katika mji ule.
8Huchiin tua khopi ah nakpitaka kipahna a om hi.
9Basi, kulikuwa na mtu mmoja aitwaye Simoni ambaye alikuwa amekwisha fanya uchawi wake katika mji huo kwa muda na kuwashangaza watu wa Samaria, akijiona kuwa yeye ni mtu maarufu.
9Huan, mi khat a min Simon a oma; aman, Mi lian ka hi, chiin, tumalamin huai khua ah mitkhialdawiin Samari khuaa mite lamdang sa takin a bawl nilouhlouha.
10Watu wote, wadogo na wakubwa, walimsikiliza kwa makini wakisema, "Simoni ndiye ile nguvu ya kimungu inayoitwa Nguvu Kubwa."
10Mi tengtengin, tagahpen akipan lalpen tanin, Hiai mi Pathian thilhihtheihna thupi a chih uh, ahi tham, chiin, a thu a limsak chiat ua.
11Walivutiwa sana naye kwa vile alikuwa amewashangaza kwa uchawi wake kwa muda mrefu.
11A mitkhialdawiin sawtpi lamdang sa taka a bawl nak jiakin a thu a limsak uhi.
12Lakini walipouamini ujumbe wa Filipo juu ya Habari Njema ya Ufalme wa Mungu na jina la Yesu Kristo, walibatizwa, wanawake na wanaume.
12Himahleh, amau tuh Pathian gam tanchin hoih leh Jesu Kris min tanchin hoih Philip gen a gintak un, anumei apasalin baptisma a tangta ua.
13Hata Simoni aliamini; baada ya kubatizwa ilikuwa akiandamana na Filipo, akastaajabia maajabu na miujiza iliyokuwa inafanyika.
13Huan, Simon nangawnin leng a gingtata a, huan, baptisma a tan zohin Philip kiangah a omgige a, chiamtehna leh thillamdang thuipite a mu a, lamdang a sa thei mahmah.
14Wale mitume waliokuwa kule Yerusalemu walipopata habari kwamba wenyeji wa Samaria nao wamelipokea neno la Mungu, waliwatuma kwao Petro na Yohane.
14Huan, sawltak Jerusalem khuaa omten Samari khuaa miten Pathian Thu a gingta ta uh chih a jak un, a kiang uah Peter leh Johan a sawl ua;
15Walipofika waliwaombea hao waumini ili wampokee Roho Mtakatifu;
15huai mite tuh a vatun suk uleh Kha Siangthou a muh theihna ding un a thumsak ua.
16maana wakati huo Roho Mtakatifu hakuwa ameshukia yeyote kati yao; walikuwa wamebatizwa tu kwa jina la Bwana Yesu.
16Huai main a lak uah kuamah tungah a tung nai kei; Toupa minin baptisma a tang phet uh ahi.
17Basi, Petro na Yohane wakawawekea mikono hao waumini, nao wakampokea Roho Mtakatifu.
17Huan, sawltakten a tunguah a khut uh a koih ua, Kha Siangthou a muta uhi.
18Hapo Simoni aling'amua kwamba kwa kuwekewa mikono ya mitume waumini walipewa Roho Mtakatifu. Hivyo aliwapa Petro na Yohane fedha akisema,
18Huan, sawltakte khut koih jiaka Kha Siangthou piak ahi chih Simonin a muhin.
19"Nipeni na mimi uwezo huo ili yeyote nitakayemwekea mikono, apokee Roho Mtakatifu."
19Hichibang thuneihna honpe sam un, kua tung peuh aleng khut ka koihnain Kha Siangthou a muh samna dingin, chiin, a kiang uah dangka piak a tum hi.
20Lakini Petro akamjibu, "Potelea mbali na fedha zako kwa vile unafikiri kwamba unaweza kununua karama ya Mungu kwa fedha!
20Himahleh Peterin a kiangah, Na dangka nang toh mang heh, Pathian thilpiak dangka suma lei na tup jiakin.
21Huna sehemu yoyote wala haki katika kazi hiyo kwa maana moyo wako hauko sawa mbele ya macho ya Mungu.
21Hiai thu ah nang jaw na pang kei, tan leng na neikei hi; na lungtang Pathian ngaihin a dikkei ahi.
22Kwa hiyo, tubu ubaya wako huu na umwombe Bwana naye anaweza kukusamehe fikira kama hizo.
22Huaijiakin, hiai na gitlouhna tawp san inla, Toupa kiangah thumin, huchiin na lungtanga na ngaihtuah a honngaidam kha moh ding hiam.
23Ni dhahiri kwangu kwamba umejaa wivu mkali na mfungwa wa dhambi!"
23Thil khakna sinkha ah leh gitlouh gaklopna ah na om chih ka thei hi, a chi a.
24Simoni akajibu, "Tafadhali, niombeeni kwa Bwana lisije likanipata lolote kati ya hayo mliyosema."
24Huan, Simonin, Na thil gen uh bangmah ka tunga hongtun louhna dingin noumauin Toupa kiangah honthumsak un, a chi a, a dawnga.
25Baada ya Petro na Yohane kutoa ushuhuda wao na kuutangaza ujumbe wa Bwana, walirudi Yerusalemu. Walipokuwa wanarudi walihubiri Habari Njema katika vijiji vingi vya Samaria.
25Huchiin, amau Toupa thu a theihsak ua, a gen zoh nung un. Samari gama mite kho tampi kianga Tanchin Hoih a gen jel in, Jerusalem khua ah a pai nawn uh hi.
26Malaika wa Bwana alimwambia Filipo, "Jitayarishe uende kusini kupitia njia inayotoka Yerusalemu kwenda Gaza." (Njia hiyo hupita jangwani.)
26Huan, Toupa angel khatin Philip a houpiha, Thou inla, simlama Jerusalem khua akipana Gaza kho sunsuk lampi huai gamdai ah hoh in, a chi a.
27Basi, Filipo akajiweka tayari, akaanza safari. Wakati huohuo kulikuwa na Mwethiopia mmoja, towashi, ambaye alikuwa anasafiri kuelekea nyumbani. Huyo mtu alikuwa ofisa maarufu wa hazina ya Kandake, malkia wa Ethiopia. Alikuwa amekwenda huko Yerusalemu kuabudu na wakati huo alikuwa anarudi akiwa amepanda gari la kukokotwa.
27Huchiin, a thou a, a paita. Huan, ngaiin, Ethiopia gama mi khat, Ethiopia kumpipa Kanda nuaia mi chilgeh laltak, a gou tengteng kempa, Jerusalem khua ah Pathian be dingin a hoh tou a,
28Alipokuwa anasafiri, alikuwa akijisomea kitabu cha nabii Isaya.
28a pai lamin a kangtalaia tu kawmin jawlnei Isai laibu a simsim hi.
29Basi, Roho Mtakatifu akamwambia Filipo, "Nenda karibu na gari hilo ukafuatane nalo."
29Huan, Khain, Philip kiangah, Huai kangtalai vanaih inla, vakithuahpih in, a chi a.
30Filipo akakimbilia karibu na gari, akamsikia huyo mtu akisoma katika kitabu cha nabii Isaya. Hapo Filipo akamwuliza, "Je, unaelewa hayo unayosoma?"
30Huan, Philip tuh mi chilgeh kiangah a vataia, jawlnei Isai laibu a sim a ja a, Na sim a omdan na thei hia? a chi a.
31Huyo mtu akamjibu, "Ninawezaje kuelewa bila mtu kunielewesha?" Hapo akamwalika Filipo apande juu, aketi pamoja naye.
31Huan, aman, Kuamah honhilhchet louhin bangchin ka thei dia? a chi a. Huan, a kianga tu paisuak dingin Philip tuh achialta a.
32Basi, sehemu ya Maandiko Matakatifu aliyokuwa anasoma ilikuwa hii: "Alikuwa kama kondoo anayepelekwa kuchinjwa; kimya kama vile mwana kondoo anaponyolewa manyoya, yeye naye hakutoa sauti hata kidogo.
32Huan, laisiangthou a sim lai tuh hiai ahi: Gohding belam bangin amah a pi ua; Belamnou a mulmetpa ma a a daidinden bangin aman leng a kam a ka kei;
33Alifedheheshwa na kunyimwa haki. Hakuna atakayeweza kuongea juu ya kizazi chake, kwa maana maisha yake yameondolewa duniani."
33A vuallelh laiin a tungah thu gen a phal kei uh; a suante tanchin kuan a hongen ding ua? khovel akipanin a hinna a laksak ngal ua, chiin.
34Huyo Mwethiopia akamwambia Filipo, "Niambie, huyu nabii anasema juu ya nani? Anasema mambo haya juu yake yeye mwenyewe au juu ya mtu mwingine?"
34Huan, mi chilgehin, Philip a houpiha, a kiangah, Jawlneiin hiai thu khawng kua thu a genna ahia, amah thu hia, midang thu? ka hondong ahi, a chi a.
35Basi, Filipo akianzia na sehemu hiyo ya Maandiko Matakatifu, akamweleza Habari Njema juu ya Yesu.
35Huan, Philipin a gena, huai laisiangthou thu abul ah panin, a kiangah Jesu thu a hilh a.
36Walipokuwa bado wanaendelea na safari walifika mahali penye maji na huyo ofisa akasema, "Mahali hapa pana maji; je, kuna chochote cha kunizuia nisibatizwe?"
36Huan, lampia a pai kawm un tui banghiam a tung ua; huan, mi chilgeh in, Endih, hiaiah tui a om, baptisma tanna ding bangin a hondal khola ahia? a chi a.
37Filipo akasema, "Kama unaamini kwa moyo wako wote unaweza kubatizwa." Naye akajibu, "Naam, ninaamini kwamba Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu."
37Huan, Philipin, Na lungtang tengtenga na gintak leh, na hi thei, a chi a. Huan, amah a dawnga, Jesu Kris tuh Pathian Tapa ahi chih ka gingta, a chi a.
38Basi, huyo ofisa akaamuru lile gari lisimame; na wote wawili, Filipo na huyo ofisa wakashuka majini, naye Filipo akambatiza.
38Huan, kangtalai a khawlsak ua, a nih un, Philip leh mi chilgeh, tui ah a hoh khawm suk ua; huan, Philipin amah a baptista hi.
39Walipotoka majini Roho wa Bwana akamfanya Filipo atoweke. Na huyo Mwethiopia hakumwona tena; lakini akaendelea na safari yake akiwa amejaa furaha.
39Huan, tui apat a pai touh tak un Toupa Khain Philip tuh a la mangta hi; huan, mi chilgehin amah a mu nawnta kei, nuamsa takin a paita jel hi.Himahleh, Philip tuh Azota khua ah muhin a om nawnta hi; huan, a pai suak a, Kaisaria khua a tun masiah kho tengah Tanchin Hoih a gen jeljel hi.
40Filipo akajikuta yuko Azoto, akapita katika miji yote akihubiri Habari Njema mpaka alipofika Kaisarea.
40Himahleh, Philip tuh Azota khua ah muhin a om nawnta hi; huan, a pai suak a, Kaisaria khua a tun masiah kho tengah Tanchin Hoih a gen jeljel hi.