Swahili: New Testament

Paite

Acts

9

1Wakati huo Saulo alikuwa akizidisha vitisho vikali vya kuwaua wafuasi wa Bwana. Alikwenda kwa Kuhani Mkuu,
1Saulain bel Toupa nungjuite a vau thu leh thah a tup thu a se khe nalailai hi.
2akaomba apatiwe barua za utambulisho kwa masunagogi ya Kiyahudi kule Damasko, ili akikuta huko wanaume au wanawake wanaofuata Njia ya Bwana, awakamate na kuwaleta Yerusalemu.
2Siampu Lianpen kiangah a hoha, Damaska khua a kikhopna in tengtenga mite kianga piak dingin lai a ngena, Lama mi kuapeuh a muh leh, numei leng, pasal leng, Jerusalem khuaa hensa a a honpi theihna dingin.
3Lakini alipokuwa njiani karibu kufika Damasko, ghafla mwanga kutoka angani ulimwangazia pande zote.
3Huan, a pai lain, Damaska khua a tun kuanin, thakhatin van akipan vak a kimah a hongvak puapa.
4Akaanguka chini na kusikia sauti ikimwambia: "Saulo, Saulo! Kwa nini unanitesa?"
4Huan, lei ah a puka a kiangah, Saula, Saula, Bangachia nang honsawi na hia? Chiin, aw a ja a.
5Naye Saulo akauliza, "Ni nani wewe Bwana?" Na ile sauti ikajibu, "Mimi ni Yesu ambaye wewe unamtesa.
5Huan, aman, Toupa, kua na hia? a chi a. Huan, Toupan, Jesu, na sawi ka hi;
6Lakini simama sasa, uingie mjini na huko utaambiwa unachopaswa kufanya."
6himahleh, thou inla, khopi ah lut in, huchiin na hihding hilhin na om ding hi, a chi a.
7Wale watu waliokuwa wanasafiri pamoja na Saulo walisimama pale, wakiwa hawana la kusema; walisikia ile sauti lakini hawakumwona mtu.
7Huan, a kianga paite pau theihloin a ding ua, aw jaw a zana ua, himahleh kuamah a mu kei uhi.
8Saulo aliinuka, na alipofumbua macho yake hakuweza kuona chochote; hivyo wale watu wakamwongoza kwa kumshika mkono mpaka mjini Damasko.
8Huan, lei akipanin Saula a thou a; huan, a honghaka bangmah a mu theita keia; huchiin a khutin a kai ua, Damaska khua ah apilut uh hi.
9Saulo alikaa siku tatu bila kuona, na wakati huo hakula au kunywa chochote.
9Huan, ni thum kho mu louin a oma, bangmah a dawnin a ne kei hi.
10Basi, huko Damasko kulikuwa na mfuasi mmoja aitwaye Anania. Bwana akamwambia katika maono, "Anania!" Anania akaitika, "Niko hapa, Bwana."
10Huan, Damaska khua ah a min Anania nungjui khat a om. Huan, Toupan mengmu bangin a kiangah, Anania, a chi a.
11Naye Bwana akamwambia, "Jitayarishe uende kwenye barabara inayoitwa Barabara ya Moja kwa Moja, na katika nyumba ya Yuda umtake mtu mmoja kutoka Tarso aitwaye Saulo. Sasa anasali;
11Huan, aman, En in, Toupa, hiaiah ka om, a chi a. Huan, Toupan a kiangah, Thou inla, kongzing Tang a chih uah hoh inla, Juda in ah, Tarsa khuaa mi, a min Suala, kankhia in;
12na katika maono ameona mtu aitwaye Anania akiingia ndani na kumwekea mikono ili apate kuona tena."
12ngaiin, a thum laitak ahi; a min Anania mi khat luta, a mit hihvak dingin a tungah khut koihin a muta hi, a chi a.
13Lakini Anania akajibu, "Bwana, nimesikia habari za mtu huyu kutoka kwa watu wengi; nimesikia juu ya mabaya aliyowatendea watu wako huko Yerusalemu.
13Huan, Ananiain, Toupa huai mi Jerusalem khua a na mi siangthoute tunga a tatsiat thu mi tampi kam ah ka ja a.
14Na amekuja hapa akiwa na mamlaka kutoka kwa makuhani wakuu kuwatia nguvuni wote wanaoomba kwa jina lako."
14Huan, hiaiah leng na min lou peuhmah henna dingin siampu lalte kianga kipanin thu a mu a, a chi a, a dawng a.
15Lakini Bwana akamwambia, "Nenda tu, kwa maana nimemchagua awe chombo changu, alitangaze jina langu kwa mataifa na wafalme wao na kwa watu wa Israeli.
15Himahleh, Toupan a kiangah, Hoh mai in; Jentelte, kumpipate, Israel suante kianga ka min puaklutna dia ka bel-she ahi;
16Mimi mwenyewe nitamwonyesha mengi yatakayomlazimu kuteswa kwa ajili ya jina langu."
16Ka min jiakin gimna bangchia thupi ahia a thuak ding a kiangah ka theisak ding ahi, a chi a.
17Basi, Anania akaenda, akaingia katika hiyo nyumba. Kisha akaweka mikono yake juu ya Saulo, akasema, "Ndugu Saulo, Bwana ambaye ndiye Yesu mwenyewe aliyekutokea ulipokuwa njiani kuja hapa, amenituma ili upate kuona tena na kujazwa Roho Mtakatifu."
17Huan, Anania tuh avahoha, in ah a luta, huan, a tungah a khut a koiha, Unau Saula, na mit vakna ding leh, Kha Siangthou dima na om theihna dingin, Toupa, na hongna lampia na kianga kilak Jesuin, a honsawl ahi, a chi a.
18Mara vitu kama magamba vikaanguka kutoka macho ya Saulo, akaweza kuona tena. Akasimama, akabatizwa.
18Huan, thakhatin a mit akipan lip bang a keta a, a mit a vak nawnta hi; huan, a thou a, baptisma a tangta hi.
19Na baada ya kula chakula, nguvu zake zikamrudia. Saulo alikaa siku chache pamoja na wafuasi huko Damasko.
19Huan, an a ne a, a halhta hi. Huan, Damaska khuaa nungjui omte kiangah ni bangjah hiam khawng a oma.
20Mara alianza kuhubiri katika masunagogi kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu.
20Kikhopna in khawngah Jesu tuh Pathian Tapa a hihdan thu a tangkoupih pah ngala.
21Watu wote waliomsikia walishangaa, wakasema, "Je, mtu huyu si yuleyule aliyewaua wale waliokuwa wanaomba kwa jina hili kule Yerusalemu? Tena alikuja hapa akiwa na madhumuni ya kuwatia nguvuni watu hao na kuwapeleka kwa makuhani!"
21Huan, a thu zate tengtengin lamdang a sa mahmah ua, Hiai mi Jerusalem khua ahiai min loute sawi jelpa ahi ka hia? Huai mite siampu lalte kianga hensa a pi, a hongna pen ahi, a chi ua.
22Saulo alizidi kupata nguvu, na kwa jinsi alivyothibitisha wazi kwamba Yesu ndiye Kristo, Wayahudi wa huko Damasko walivurugika kabisa.
22Saula bel a honghat diaka, huai mi tuh Kris ahi taktak chih a hilhchiana, Damaska khuaa Juda omte khawng gending beiin a koih hilhial hi.
23Baada ya siku nyingi kupita, Wayahudi walikusanyika na kufanya mpango wa kumwua Saulo.
23Huan, ni sawttak nungin Saula hihlum dingin Judate a kihou ua;
24Lakini Saulo alipata habari ya mpango huo. Usiku na mchana walilinda milango ya kuingia mjini ili wapate kumwua.
24Himahleh, aman a thutup uh a na theia. Huan, hihlum dingin kulh kong tengah a sun a janin a tang uh.
25Lakini wakati wa usiku wanafunzi wake walimchukua, wakamteremsha chini ndani ya kapu kubwa kwa kupitia nafasi iliyokuwako ukutani.
25Himahleh, a nungzuiten amah a pi ua, janin kulh tohlet ah bawmin a khaikheta uhi.
26Saulo alipofika Yerusalemu alijaribu kujiunga na wale wanafunzi. Lakini wote walimwogopa, na hawakuweza kuamini kwamba yeye amekuwa mfuasi.
26Huan, Saula Jerusalem khua a tun takin nungjuite kithuahpih a tuma; amau bel avek un amah a kihta uhi, nungjui a hih sam a ging kei uh.
27Hapo, Barnaba alikuja akamchukua Saulo, akampeleka kwa mitume na kuwaeleza jinsi Saulo alivyomwona Bwana njiani na jinsi Bwana alivyoongea naye. Aliwaambia pia jinsi Saulo alivyokuwa amehubiri bila uoga kule Damasko.
27Barnabain amah a pi a, sawltakte kiangah a honpaipiha, lampia Toupa a muha, a houpihdan bang, Damaska khua a Jesu mina hangtaka thu a hilh dan bang leng a kiang uah a genta a.
28Basi, Saulo alikaa pamoja nao, akatembelea Yerusalemu yote akihubiri neno la Bwana bila hofu.
28Huchiin, Saula tuh Jerusalem khua ah a kiang uah lut jel pawt jelin a omta hi, Toupa minin hangtakin thu a gen jel a.
29Pia aliongea na kubishana na Wayahudi wasemao Kigiriki, lakini wao walijaribu kumwua.
29Huan Grik-Judate kiangah thu a gena, a sela; amau bel amah hihlup a tum uhi.
30Wale ndugu walipogundua jambo hilo walimchukua Saulo, wakampeleka Kaisarea, wakamwacha aende zake Tarso.
30Huan, unauten huai a theih tak un, Kaisari khua ah a pi suk ua, Tarsa khua ah a sawl mangta uh.
31Wakati huo kanisa likawa na amani popote katika Yudea, Galilaya, na Samaria. Lilijengwa na kukua katika kumcha Bwana, na kuongezeka likitiwa moyo na Roho Mtakatifu.
31Huchiin, saptuamte tuh Judia gam kimah, Galili gam kimah, Samari gam kimah a kip deuhdeuh ua, muangtakin a omta uhi; huan, Toupa laudan siamin, Kha Siangthou khamuanin, a om ua, a hongpung deuhdeuh uhi.
32Petro alipokuwa anasafirisafiri kila mahali alifika pia kwa watu wa Mungu waliokuwa wanaishi Luda.
32Huan, Peterin khokim a tot vialvial kawmin, Lidda khua a mi siangthou omte kiangah leng a hoh suk a.
33Huko alimkuta mtu mmoja aitwaye Enea ambaye kwa muda wa miaka minane alikuwa amelala kitandani kwa sababu alikuwa amepooza.
33Huaiah mi khat a min Ainisi a jawt jiaka kum giat lupna a lum nilouh a mu a.
34Basi, Petro akamwambia, "Enea, Yesu Kristo anakuponya. Amka utandike kitanda chako." Enea akaamka mara.
34Huan Peterin a kiangah, Ainisi aw, Jesu Krisin a honhihdam, thou inla, na awngphah jial in, a chi a. Huchiin, a thou pahta ngala.
35Wakazi wote wa Luda na Saroni walimwona Enea, na wote wakamgeukia Bwana.
35Huan, Lidda khua leh Saron phaia omte tengtengin Ainisi a mu ua, Toupa lam a nga duam uhi.
36Kulikuwa na mfuasi mmoja mwanamke mjini Yopa aitwaye Tabitha (kwa Kigiriki ni Dorka, maana yake, Paa). Huyo mwanamke alikuwa akitenda mema na kuwasaidia maskini daima.
36Huan, Joppa khua ah a min Tabitha nungjui khat a oma, (Tabitha omdan tuh Dorka ahi); huai numeiin thilhih hoih leh thilpiak a hau mahmah hi.
37Wakati huo ikawa kwamba aliugua, akafa. Watu wakauosha mwili wake, wakauzika katika chumba ghorofani.
37Huan, huai lain, a chi a na a, a sita a; huan, a silsiang ua, indan tungnung ah a lumsak ua.
38Yopa si mbali sana na Luda; kwa hiyo wafuasi waliposikia kwamba Petro alikuwa Luda, wakawatuma watu wawili kwake na ujumbe: "Njoo kwetu haraka iwezekanavyo."
38Huan, Lidda khua tuh Joppa khokiang ahihjiakin, nungjuiten Peter huaiah a om chih a ja ua, sawt hal louin ka kiang uah hongpai in, chia vathum dingin a kiangah mi nih a sawl ua.
39Basi, Petro akaenda pamoja nao. Alipofika alipelekwa ghorofani katika kile chumba. Huko wajane wengi walimzunguka Petro wakilia na kumwonyesha makoti na nguo ambazo Dorka alikuwa akitengeneza wakati alipokuwa hai.
39Huan, Peter a thou a, a kiang uah a paita hi. Huan, a tun takin indan tungnung ah a pi ua; meithai tengteng dingin Dorka a kiang ua a om laia a puannak bawlte a puan bawlte lak kawmin a kap chiat ua.
40Petro aliwatoa nje wote, akapiga magoti, akasali. Kisha akamgeukia yule maiti, akasema, "Tabitha, amka" Naye akafumbua macho yake na alipomwona Petro, akaketi.
40Himahleh, Peterin a vek un a pawtsaka, a khukdina, a thumta hi; huan, luang lam a nga a, Tabitha, thou in, a chi a. Huchiin, a mit a honghaka, Peter a muh takin a tu touta a.
41Petro akamsaidia kusimama, halafu akawaita wale watu wa Mungu na wale wajane, akamkabidhi kwao akiwa mzima.
41Huan, Peterin a khut a pia a, a kaithouta a; huan, mi siangthoute leh meithaite a sama, damin a peta hi.
42Habari ya tukio hili ilienea kila mahali huko Yopa, na watu wengi wakamwamini Bwana.
42Huan, huai tuh Joppa khua tengtengin a thei vek ua; mi tampiin Toupa a gingta uh.Huan, Joppa khuaah savun bawlpa Simon in ah ni tampi tak Peter a tam nilouh a.
43Petro alikaa siku kadhaa huko Yopa, akiishi kwa mtu mmoja mtengenezaji wa ngozi aitwaye Simoni.
43Huan, Joppa khuaah savun bawlpa Simon in ah ni tampi tak Peter a tam nilouh a.