1Mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, nawaandikia ninyi watu wa Mungu huko Efeso, mlio waaminifu katika kuungana na Kristo Yesu.
1Paula, Pathian deihlama Kris Jesu sawltakin, misiangthou Ephesa khuaa om Kris Jesu-a mi ginomte kiangah:
2Nawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo.
2Pathian i Pa leh Toupa Jesu Kris kianga kipan hehpihna leh lemna na kiang uah om hen.
3Atukuzwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Maana, katika kuungana na Kristo ametubariki kwa kutujalia zawadi zote za kiroho mbinguni.
3I Toupa Jesu Kris Pa leh Pathian phatin om hen. Aman vanmun khawnga khalam vualjawlna chitengin eite kris ah honvualjawlta,
4Kabla ya kuumbwa ulimwengu, Mungu alituteua tuwe wake katika kuungana na Kristo ili tuwe watakatifu na bila hitilafu mbele yake. Kwa sababu ya upendo wake,
4Amah maia siangthou leh dembeia om dinga leitung pian maa eite honnateltak bang ngeiin.
5Mungu alikuwa ameazimia tangu zamani kutuleta kwake kama watoto wake kwa njia ya Yesu Kristo. Ndivyo alivyopenda na kunuia.
5Aman a deiha a tup bangbangin, eite Jesu Kris vanga a tate hi dingin, itna jiakin honnasepkhol khinta,
6Basi, tumsifu Mungu kwa sababu ya neema yake tukufu katika Mwanae mpenzi!
6Huchi-a It-a a honpiak hondeihsakna thupi mahmah pahtawina i hih theihna dingin.
7Maana kwa damu yake Kristo sisi tunakombolewa, yaani dhambi zetu zinaondolewa. Ndivyo ulivyo ukuu wa neema yake
7A sisan jiakin Amah ah tatkhiakna, huai a hehpihna hauhdan bangbanga i tatleknate ngaihdamna ngei i tangta hi,
8aliotukirimia bila kipimo! Kwa hekima na ujuzi wake wote
8Tua hehpihna tuh chillou hialin aman eite a honpeta.
9Mungu alitekeleza kile alichonuia, akatujulisha mpango wake uliofichika, ambao alikuwa ameazimia kuutekeleza kwa njia ya Kristo.
9A thiltup, Kris-a a gelkhiak, bangbangin a deihlam thuguk tuh pilna leh theihsiamna ngenin eite hontheisakta ngala;
10Mpango huo ambao angeutimiza wakati utimiapo ni kukusanya pamoja viumbe vyote, kila kitu mbinguni na duniani, chini ya Kristo.
10Huai a deihlam thilgel bel; hunbi hongkim chianga, thil tengteng-vana omte leh leitunga omte-Kris-a gawmkhawma a suktuah vek ding tuh ahi.
11Kila kitu hufanywa kufuatana na mpango na uamuzi wa Mungu; naye Mungu ametuteua sisi tuwe watu wake kwa mapenzi yake katika kuungana na Kristo, kufuatana na azimio alilofanya tangu mwanzo.
11Amah deihlam, a lunggel bangbanga thilbangkim semkhepa tup bang ngeiin, amah mah-ah
12Basi, sisi tuliotangulia kumtumainia Kristo tunapaswa kuusifu utukufu wa Mungu!
12Koute, Kris-a ana lamen masate, a thupina pahtawina dinga hing dingin sehkholhin kana omkhinta uhi.
13Nanyi pia watu wa mataifa mengine, mliusikia ujumbe wa kweli yaani Habari Njema iliyowaletea wokovu, mkamwamini Kristo; naye Mungu, ili kuonyesha kuwa ninyi ni wake, akawapiga mhuri kwa kuwapeni yule Roho Mtakatifu aliyetuahidia.
13Huan, noute, thutak thu, na hotdamna tanchinhoih uh ngaikhiaa gin leng gingtate leng, amah ah chiamsa Kha Siangthou-a chiamtehin na om uhi;
14Huyu Roho ni dhamana ya kurithi yote yale Mungu aliyowaahidia watu wake, na jambo hili latuhakikishia kwamba Mungu atawakomboa kabisa wote walio wake. Tuusifu utukufu wake!
14Huai Kha Siangthou bel i gouluah ding tatna kim i luah matenga, Pathian thupina dinga, khamna ahi.
15Kwa sababu hiyo, tangu niliposikia juu ya imani yenu kwa Bwana Yesu na mapendo yenu kwa watu wa Mungu,
15Huaijiakin ken leng Toupa Jesua ginna na lak ua om, misiangthoute tengteng tunga na kitheihsak jel uh ka najakin,
16sijaacha kamwe kumshukuru Mungu kwa ajili yenu. Ninawakumbuka katika sala zangu
16Ka thumnate ah na min uh lou-in nou jiaka kipahthu gen ka tawp kei hi;
17ili Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo Baba mtukufu, awajalieni Roho wake atakayewapa hekima na kuwafunulieni Mungu mpate kumjua.
17I Toupa Jesu Kris Pathian, thupina Pan Amah theihna lam thu-a pilna leh kilakna kha nou a honpiak theihna dingin,
18Namwomba Mungu aifunue mioyo yenu iweze kuuona mwanga wake, mpate kutambua lile tumaini alilowaitieni na utukufu mkuu wa zawadi alizowawekea watu wake,
18Huchia, na lungsim mitte uh hihvaka hongoma, na theihna ding un-huaibel, Aman nou a honsapna lametna bang; misianthoute-a a gouluah hauhsaknate bang;
19mpate kutambua jinsi uwezo wake ulivyo mkuu mno kwa ajili yetu sisi tunaoamini. Uwezo huo unaofanya kazi ndani yetu, ni sawa na nguvu ile kuu mno
19Huan, a gingta eite-a A thilhihtheihna thupina tehvuallouh, huai A hatna thupi sep bang jela,
20aliyomfufua nayo Kristo kutoka wafu, akamketisha kulia kwake mbinguni.
20Kris-a a sepzohtak, huchia amah misi lak akipana a kaihthoha, vanmun khawnga A taklama a tutsaka,
21Huko, Kristo anatawala juu ya kila tawala, mamlaka, enzi na ukuu; anatawala juu ya kila cheo kiwezacho kutajwa katika ulimwengu huu na katika ulimwengu ujao.
21Lalnate, thuneihnate, thilhihtheihnate, vaihawmna tengteng tung leh tu khovel kia hilou-a khovel hongtung ding nangawna minsak chiteng tung tham peka a koih laia a sepzoh chih bang.
22Mungu ameweka vitu vyote chini ya miguu yake, akamkabidhi kwa kanisa akiwa mkuu wa vitu vyote.
22Huan Aman bangkim a khe nuai ah a koiha, amah tuh bangkim tengteng tunga Suptuam lutangin a bawl,Huai saptuam tuh a pumpi a hi-a, amah bang kima bangkim hihdimpa tangchinna ngei.
23Kanisa ni mwili wa Kristo, na ukamilifu wake yeye anayekamilisha vitu vyote kila mahali.
23Huai saptuam tuh a pumpi a hi-a, amah bang kima bangkim hihdimpa tangchinna ngei.