Swahili: New Testament

Paite

Galatians

6

1Ndugu, kama mkimwona mtu fulani amekosea, basi, ninyi mnaoongozwa na Roho mwonyeni mtu huyo ajirekebishe; lakini fanyeni hivyo kwa upole, mkiwa na tahadhari msije nanyi wenyewe mkajaribiwa.
1Unaute aw, mi takhial bangpeuh a hihlai phawkin naom leh, nou kha mite aw, Khemna ka tuak sam kha ding e, chia kiveng hoih kawmin, huchibang mi tuh nunnemna lungsim toh dingsak thak nawn un.
2Saidianeni kubeba mizigo yenu na hivyo mtatimiza sheria ya Kristo.
2Na puakgikte uh kidawn chiat un, huchiin Kris dan thu na jui uh ahi ding.
3Mtu akijiona kuwa ni kitu, na kumbe si kitu, huyo anajidanganya mwenyewe.
3Mi bangmah hi lou piin, mi lian kuama a kibawl leh, a kikhem tawm lel ahi ngala.
4Lakini kila mmoja na aupime vizuri mwenendo wake mwenyewe. Ukiwa mwema, basi, anaweza kuona fahari juu ya alichofanya bila kuwa na sababu ya kujilinganisha na mtu mwingine.
4Mi chihin amah thilhih tuh enchian chiat jaw hen; huchia midang toh kiteha-ki-uangsak lou-a amahmaha suanhuai thil ahih theihna dingin.
5Maana kila mmoja anao mzigo wake mwenyewe wa kubeba.
5Mi chihin amah puak po ding ahi ngala.
6Mwenye kufundishwa neno la Mungu na amshirikishe mwalimu wake riziki zake.
6Huan, thuhilha omin thil hoih tengteng a hilhpa kiangah pe sam hen.
7Msidanganyike; Mungu hafanyiwi dhihaka. Alichopanda mtu ndicho atakachovuna.
7Khemin om kei un; Pathian jaw zekhema mawkbawl vual ahi kei; min a tuh peuh uh huaimah a at nawn ngei ding a hih jiakin.
8Apandaye katika tamaa za kidunia, atavuna humo uharibifu; lakini akipanda katika Roho, atavuna kutoka kwa Roho uzima wa milele.
8Amah salama tuhin saa om siatna a at ding. Khalama tuhin bel khaa kipan khantawn hinna a at ding.
9Basi, tusichoke kutenda mema; maana tusipolegea tutavuna mavuno kwa wakati wake.
9Huchiin, thil hoih hih chimtak kei ni; i lungkiak keileh a hun takah i at ngei ding ahi ngala.
10Kwa hiyo, tukiwa bado na wakati, tuwatendee watu wote mema, na hasa ndugu wa imani yetu.
10Huchiin, lemtang hun i neihdan bang jelin mi tengteng tungah thil hoih hih ni, ginna inkuanpihte laka omte tungah hi khol diak hen.
11Tazameni jinsi nilivyoandika kwa herufi kubwa, kwa mkono wangu mwenyewe.
11Keimah khut mahmaha na kiang ua lai gol pipia ka hichi gelh en un.
12Wale wanaotaka kuonekana wazuri kwa mambo ya mwili ndio wanaotaka kuwalazimisha ninyi mtahiriwe. Wanafanya hivyo kwa sababu moja tu: kusudi wao wenyewe wasije wakadhulumiwa kwa sababu ya msalaba wa Kristo.
12Saa mel kilawmsak utte peuhmahin zeksuma om dingin nou a honsawl teitei nak ua; bangmah dang jiak leng ahi keia, Kris kros jiaka sawi a thuak louhna ding lel uh ahi.
13Maana, hao wenyewe waliotahiriwa hawaishiki Sheria; huwataka ninyi mtahiriwe wapate kujivunia alama hiyo mwilini mwenu.
13Zeksumte nangawnin leng dan thu a jui tuan sam kei ua, na sa uah, suan ding a neih theihna dingun na zek uh kisum leh chih a ut lel uh ahi.
14Lakini mimi sitajivunia kamwe chochote isipokuwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo; maana kwa njia ya msalaba huo ulimwengu umesulubiwa kwangu, nami nimesulubiwa kwa ulimwengu.
14Ken jaw i Toupa Jesu Kris kros loungal ka suan louh dingdan, huai kros jiakin khovel kei adingin kilhdenin ka om hi.
15Kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; cha maana ni kuwa kiumbe kipya.
15Siamthak nawnna lou jaw, zeksum chih bangmah ahi keia, zeksumlouh leng bangmah ahi sam kei hi.
16Wanaoufuata mwongozo huo nawatakia amani na huruma; amani na huruma kwa Israeli--Wateule wa Mungu.
16Huan, huai dan banga om peuhmahte tungah lemna leh hehpihna om hen, Pathian Isrealte tung ngei ah.
17Basi, sasa mtu yeyote asinisumbue tena, maana alama nilizo nazo mwilini mwangu ni zile za Yesu.
17Tubansiah kuamahin honhihbuai nawn kei hen; ka pumpi ah Jesu chiamtehnate ka pu ngala.Unaute aw, Toupa Jesu Kris hehpihna na kha kiang uah om hen. Amen.
18Ndugu, nawatakieni ninyi nyote neema ya Bwana wetu Kristo. Amina.
18Unaute aw, Toupa Jesu Kris hehpihna na kha kiang uah om hen. Amen.