Swahili: New Testament

Paite

Hebrews

12

1Sisi tunalo kundi hili kubwa la mashahidi mbele yetu. Kwa hiyo tuondoe kila kizuizi kinachotuzuia, na dhambi ile inayotung'ang'ania. Tupige mbio kwa uvumilivu katika mashindano yaliyowekwa mbele yetu.
1Huaijiakin, huchitela theihpihte-meipi thupi umsuaka I om theiin, honhihnok peuhmah leh khelhna eimaha belhte koihmang ni, huan, ima ua kitaitehna ding om ah kuhka ltakin tai ni.
2Tumwelekee Yesu ambaye ndiye aliyeianzisha imani yetu na ambaye ataikamilisha. Kwa ajili ya furaha iliyokuwa inamngojea, yeye alivumilia kifo msalabani, bila kujali juu ya aibu yake, na sasa anaketi upande wa kulia wa kiti cha enzi cha Mungu.
2Jesu, I ginna siampa leh hihkippa, a maa kipahna om jiaka zahlaknate ngaineua krosa thuakpa, Pathian mang tutphah taklama vatu, Amah lam enin.
3Fikirini juu ya mambo yaliyompata Yesu, jinsi alivyostahimili upinzani mkubwa kwa watu wenye dhambi. Basi, msife moyo, wala msikate tamaa.
3Nakha lam ua na bah ua, nalung kiak louhna dingun, mikhialte apana huchibanga selkalhna thuakpa tuh ngaihtuah dih ua leh.
4Maana katika kupambana na dhambi, ninyi hamjapigana mpaka kiasi cha kumwaga damu yenu.
4Khelhna douna sisan suak hialin na pangnai tadih kei ua; hasotna thu, tate taihilh banga nou hontaihilhna, na namangngilhta uhi.
5Je, mmesahau yale maneno ya kutia moyo ambayo Mungu anawataja ninyi kuwa wanawe? "Mwanangu, usidharau adhabu ya Bwana, wala usife moyo anapokukanya.
5Ka ta, Toupa sawina ngaineu kenla, a taihilha na om inleng lungke tuan ken;
6Maana Bwana humwadhibu kila anayempenda, humpinga kila anayekubali kuwa mwanae."
6Toupan a itte sawi naka, ta a kipahpih tuh a vo nak hi. chih.
7Vumilieni adhabu kwani ni mafundisho; Mungu huwatendea ninyi kama wanawe. Maana ni mwana gani asiyeadhibiwa na baba yake?
7Na thuak ujaw noumau ding ahi; tate tunga hih bangin Pathianin na tunguah a hiha; pa sawi louh ta kua a om ngeia?
8Lakini msipoadhibiwa kama wana wengine, basi, ninyi si wanawe, bali ni wana haramu.
8Ta chihna teng loha, sawina pen loh loua na om unbel, ta tak hilouin, sawn na hi ua kei dia.
9Zaidi ya hayo sisi tunawaheshimu wazazi wetu waliotuzaa hata wanapotuadhibu. Basi, tunapaswa kumtii zaidi Baba yetu wa kiroho ili tupate kuishi.
9Huailou leng eite hon sawi ding, I sa pate uh inei uhi, huaite lah jahtak ngal hanga; huai sanga thupijaw in, I hinna dingin, khate Pa thuthu in I om kei ding ua hia?
10Wazazi wetu hapa duniani walituadhibu kwa muda, kama wao wenyewe walivyoona kuwa vema; lakini Mungu anatuadhibu kwa ajili ya faida yetu wenyewe, tupate kuushiriki utakatifu wake.
10Amau jaw ni sawtlou chik, hoih a sak bangjel un a honsawi ngei ua, aman bel, a siangthouna I tan sam theihna dingin, I hoihna dingin a honsawi jaw ahi.
11Kuadhibiwa si jambo la kufurahisha bali la kuhuzunisha. Lakini wale waliofunzwa kuwa na nidhamu mwishowe watavuna tuzo la amani kutoka katika maisha adili!
11Huan, sawina himhim thuaklaiin kipahhuai in a lang keia, khasiathuai takin a lang jaw hi, thuaknungin tuh huchia sawijawta omte dingin gah khamuanhuaitak, diktatna tak a suah sak jel ahi.
12Basi, inueni mikono yenu inayolegea na kuimarisha magoti yenu yaliyo dhaifu.
12Huchiin, khut kaikhete liktou unla, khut jawte toh;
13Endeleeni kutembea katika njia iliyonyoka, ili kile kilicholemaa kisiumizwe, bali kiponywe.
13Huan, khebai kilawisak loua, hihdama a om jawkna dingin, na khete uh dingin lamtang bawl un.
14Jitahidini kuishi kwa amani na watu wote. Ishini maisha ya utakatifu, kwa sababu hakuna mtu atakayemwona Bwana bila ya maisha kama hayo.
14Mi tengteng toh kituahna leh siangthouna delh un, huai siangthouna louin kua mahin Toupa a mu kei ding uhi:
15Jitahidini sana mtu yeyote asije akapoteza neema ya Mungu. Muwe waangalifu ili mti mchungu usizuke kati yenu na kuwaua wengi kwa sumu yake.
15Pilvang takin enun, huchilouin jaw Pathian hehpihna ngah zoulou kuahiam a om dinga, khakna zung banghiam hongsela nou honhihbuaiin, huaiin tuh mi tampi hihnitin a om ding ua;
16Jihadharini ili miongoni mwenu pasiwe na mtu mwasherati au mtu asiyemcha Mungu kama Esau, aliyeuza haki yake ya mzaliwa wa kwanza kwa mlo mmoja.
16kingaihhat hiam, Esau banga Pathian zahlou mi hiam a hawngawm kha ding hi. Amantuh a tamasahihna an khatvei nek in khawngta hi.
17Ninyi mnafahamu kwamba hata alipotaka kuipata tena ile baraka iliyokuwa yake, alikataliwa, maana hakupata tena nafasi ya kutubu, ingawa aliitafuta kwa machozi.
17Huainung in vualzawlna tuh gouluah a ut inleng, khitui kekawm in phatuamngai takin zawng mahleh, kisikna hun amuh louh ziak in paih in a awmta chih na thei ngal ua.
18Ninyi hamkuwasili mlimani Sinai, ambao unaweza kushikika kama walivyofanya watu wa Israeli, hamkufika kwenye moto uwakao, penye giza, tufani,
18Nouzaw tangkhawlh theih, meia kangte, mei vomte, mialte, huihpite,
19mvumo wa tarumbeta na sauti ya maneno. Wale waliosikia sauti hiyo waliomba wasisikie tena neno jingine,
19pengkul ginnate, thugen ging awmnate tung nahi ngal kei ua; hua ging za tentuh thudang himhim a kiang a gen nawnlou ding in angen ua;
20kwani hawakuweza kustahimili amri iliyotolewa: "Atakayegusa mlima huu, hata kama ni mnyama, atapigwa mawe."
20sa nangawn in huai tang a khawih aleh suang a denlup in a awm ding ahi, chih, thupiakpen a thuak thei ta ngalkei ua;
21Hayo yote yalionekana ya kutisha mno, hata Mose akasema, "Naogopa na kutetemeka."
21A thil muh peuhmah uh a kihtakhuai mahmah, huchi in, Mosi in, ka lau a, ka naklin mahmah achi hial hi.
22Lakini ninyi mmefika katika mlima wa Sioni, kwenye mji wa Mungu aliye hai. Mmefika Yerusalemu, mji wa mbinguni, ambapo wamekusanyika malaika elfu nyingi wasiohesabika.
22Himahleh Ziontangte, Pathian hing khua, van Jerusalemte, sim zawhloh angel hawn ki khawmpite,
23Mmefika kwenye kusanyiko kubwa la wazaliwa wa kwanza wa Mungu, ambao majina yao yameandikwa mbinguni. Mnasimama mbele ya Mungu aliye hakimu wa wote, na mbele ya roho za watu waadilifu waliofanywa kuwa wakamilifu.
23Tamasa van a min tuang saptuam hawn kiangte, Pathian, mitengteng naihtuah pa kiang bang, midiktat hihhawihkimte kha kiang bang,
24Mmefika kwa Yesu ambaye ameratibisha agano jipya, na ambaye damu yake iliyomwagika inasema mambo mema zaidi kuliko ile ya Abeli.
24Jesu, thukhunthak palai kiang bang, sisan theh, Abel sisan sang a thu hoih zaw genpa kiang bang tung nahi zaw uhi.
25Basi, jihadharini msije mkakataa kumsikiliza yeye ambaye anasema nanyi. Kama wale walikataa kumsikiliza yule aliyewaonya hapa duniani hawakuokoka, sisi tutawezaje kuokoka kama tukikataa kumsikiliza yule anayetuonya kutoka mbinguni?
25Thugenpa tuh nana deihkei kha ding uh, pilvang un. Lei a amaute taihilh khawlpa a deihlouh ua bawn, gimthuakna a pelh louh ngal un tuh, eite, van a kipan a hon taihilhpa ki lehheisante, ipel kei hawldiak ding hi.
26Wakati ule sauti ilitetemesha nchi, lakini sasa ameahidi: "Nitatetemesha nchi tena, lakini si nchi tu bali pia mbingu."
26Huchihlaiin huai aw inlei a hihling a; himahleh tunzaw, Khatvei lei kia hilou in, van leng ka hih ling nawn ding chi in, a kichiam zawta hi.
27Neno hili: "tena" linatuonyesha kwamba vitu vyote vilivyoumbwa vitatetemeshwa na kutoweka ili vibaki vile visivyotetemeshwa.
27Huan, Khatvei ka hihling nawn ding chihin, thil lingloute tuh a om gige theihna ding in, thil nalingte tuh thil siamte bang phet in, suanmang in a om ding chih atheisak hi.
28Sisi basi, na tushukuru kwani tunapokea utawala usiotikisika. Tuwe na shukrani na kumwabudu Mungu kwa namna itakayompendeza, kwa ibada na hofu;
28Huchiin, gam hih lin vuallouh itan ziakin, hehpihna inei ding ua, huaziakin zah leh laudan siam kawm in, Pathian pahtaklam na isem thei ding uh a nahi;Pathian zaw mi katmang hat mei ahi ngala.
29maana Mungu wetu kweli ni moto mkali unaoteketeza.
29Pathian zaw mi katmang hat mei ahi ngala.