1Endeleeni kupendana kidugu.
1Unau kiitna om jel hen,
2Msisahau kuwakaribisha wageni; maana kwa kufanya hivyo watu wengine walipata kuwakaribisha malaika bila kujua.
2Mikhualte tungah itna suah ding mangngilh kei un; huchibang hihin khenkhat in theilou in angelte ana zintun ngal ua.
3Wakumbukeni wale waliofungwa kana kwamba mmefungwa pamoja nao. Wakumbukeni wale wanaoteseka kana kwamba nanyi mnateseka kama wao.
3Hen a awmte tuh hen hisam bangin thei gige unla; gimthuakte tuh sa a awmsam nahih ziakun thei gige un.
4Ndoa inapaswa kuheshimiwa na watu wote, na haki zake zitekelezwe kwa uaminifu. Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.
4Mi tengteng lak ah kitenna pahtawi in awm henla, lupna leng hihbuah louh in awm hen; kingaite leh angkawmte tuh Pathian in a ngaihtuah dek ngala.
5Msiwe watu wa kupenda fedha; toshekeni na vile vitu mlivyo navyo. Mungu mwenyewe amesema: "Sitakuacha kamwe, wala sitakutupa."
5Na lungsim putdan uh tuh dangka deihtakna panglou hihen; na thil neih sun tunguah lungkim un; amah mah in, bangchikmah in kawn dawn lou kei ding a, paileng ka hon paisan kei hial ding, a chi ngal a.
6Ndiyo maana tunathubutu kusema: "Bwana ndiye msaada wangu, sitaogopa. Binadamu atanifanya nini?"
6Huchiin, hangtakin Toupa tuh hon panpihpa ahi, ka lau kei ding; mihing in bang a hon chih thei dia? Ichi uhi.
7wakumbukeni viongozi wenu waliowatangazieni ujumbe wa Mungu. Fikirieni juu ya mwenendo wao, mkaige imani yao.
7Nou hon heu, Pathian thu honhilhte, theigige unla, a awmdan ua thil suakte ngaihtuah in a hindan uh ching un.
8Yesu Kristo ni yuleyule, jana, leo na milele.
8Jesu Kris tuh zan tawh, tuni tawh, chiklai peuh inleng angeingei in a awm gige ding hi.
9Msipeperushwe huku na huku kwa mafundisho tofauti ya kigeni. Neema ya Mungu ndiyo inayoimarisha roho zetu na wala si masharti juu ya chakula; masharti hayo hayakumsaidia kamwe mtu yeyote aliyeyafuata.
9Ki sinsakna tuamtuam leh lamdang mutleng in awmkei un; lungtang hehpihna a hihkip a awm tuh a hawih ngal a, nekdingte bang a hihkip a awmlou in; huchibang lam lungkhamten huaite ah phattuamna a mu tuan kei uhi.
10Sisi tunayo madhabahu ambayo wale wanaotumikia bado katika hema la Wayahudi, hawana haki ya kula vitu vyake.
10Enzaw maitam khat inei; huaituh biakbuk nasemten anek theihlouhna mun uh ahi.
11Kuhani Mkuu wa Kiyahudi huleta damu ya wanyama katika Mahali Patakatifu na kuitoa dhabihu kwa ajili ya dhambi; lakini nyama za hao wanyama huteketezwa nje ya kambi.
11Gan, asisan Siampu Lianpenin Mun Siangthou a khelhna a dia lana a lutpih zel luangte tuh, dainawl ah a hal zel uhi.
12Ndiyo maana Yesu pia, kusudi apate kuwatakasa watu kwa damu yake mwenyewe, aliteswa na kufa nje ya mji.
12Huchiin, Jesu in leng amah sisan mahmah a mite a hih siangthou theihna ding in, kulh kongkhak pawlam ah ana thuakta hi.
13Basi, tumwendee huko nje ya kambi tukajitwike laana yake.
13Huchiin, amah a muhsitna uh pu in dainawl ah a kianglam ah ipai khe ding uhi.
14Maana hapa duniani hatuna mji wa kudumu; lakini tunautafuta ule unaokuja.
14Hialai a zaw khaw munkip inei ngalkei a, khaw hong awm ding izong ahizaw hi.
15Basi, kwa njia ya Yesu, tumtolee Mungu dhabihu ya sifa daima, yaani sifa zinazotolewa na midomo inayoliungama jina lake.
15Huchiin, amah vangin phatna kithawihna Pathian kiang ah ilan gige ding uh, huaituh amin gupna mukte gah ahi.
16Msisahau kutenda mema na kusaidiana, maana hizi ndizo dhabihu zinazompendeza Mungu.
16Himahleh, thil hihhawih leh thil phal khawng mangngilh kei un; tuabang kithawihna tungah Pathian a lunghi mahmah ngal a.
17Watiini viongozi wenu na kushika amri zao; wao huchunga roho zenu usiku na mchana, na watatoa ripoti ya utumishi wao mbele ya Mungu. Kama mkiwatii watafanya kazi zao kwa furaha, la sivyo, watazifanya kwa huzuni, na hiyo haitakuwa na faida kwenu.
17Nou hawn heutute thu mang unla, a thuthu un awm un, anasepte uh tanchin gen nawn ngei dinga, na khate uh ching a hon veng ahi hi, kipak takin lungkham kawm hilou in, semsak un; huchilouinzaw nou-a ding a khawk ahi zaw ding hi.
18Tuombeeni na sisi. Tuna hakika kwamba tunayo dhamiri safi, maana twataka kufanya lililo sawa daima.
18Hon thumsak un; bangkima diktat taka awm tuma, sia leh pha theihna siangtak nei ka hi uh chih diktak in ka kithei ngal ua.
19Nawasihi sana mniombee ili Mungu anirudishe kwenu upesi iwezekanavyo.
19Huan, kintak a nakiang ua sawlnawna ka awm theihna ding in, huai tuh hih ding in ka hon ngennawn diak ahi.
20Mungu amemfufua Bwana wetu Yesu Kristo ambaye ni Mchungaji Mkuu wa kondoo kwa sababu ya kumwaga damu yake iliyothibitisha agano la milele.
20Huan lemna Pathian belam Chingpa thupi tak, I Toupa Jesu mah, khantawna thukhun na sisan vang a misi lak a kipan a pikhenawn pan,
21Mungu wa amani awakamilishe katika kila tendo jema ili mtekeleze mapenzi yake; yeye na afanye ndani yetu kwa njia ya Kristo yale yanayompendeza mwenyewe. Utukufu uwe kwake, milele na milele! Amina.
21amitmuha a kipahlam peuhmah, Jesu Kris ziakin eimah a sem in, a deihlam hih ding in thil hoih chiteng lam ah nou hawn hihkim hen: Jesu Kris kiang ah thupina khantawn in awm hen. Amen.
22Basi, ndugu, nawasihi mpokee kwa utulivu ujumbe huu wa kuwatieni moyo. Hii ni barua fupi tu ambayo nimewaandikieni.
22Himahleh, unaute aw, ka hawnngen hi, hasawtna thu ngai thei teitei un; na kiang uah thu tawmchik ka gelh ngal ua,
23Napenda kuwajulisheni kwamba ndugu yetu Timotheo amekwisha funguliwa gerezani. Kama akifika hapa mapema, nitakuja naye nitakapokuja kwenu.
23I unaupa Timothi apawtsak ta uh chih na nathei sam un; ahongpai ma deuh in, amah tawh nou ka hon mu ding hi.
24Wasalimieni viongozi wenu wote pamoja na watu wa Mungu! Ndugu wa Italia wanawasalimuni.
24Nou hawn heute tengteng leh, misiangthoute tengteng chibai hon buksak un. Italy gam a mi ten chibai a hon buk uhi.Navek ua kiangah hehpihna awm hen. Amen.
25Tunawatakieni nyote neema ya Mungu.
25Navek ua kiangah hehpihna awm hen. Amen.