Swahili: New Testament

Paite

James

1

1Mimi Yakobo, mtumishi wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo, nawaandikia ninyi, makabila kumi na mawili, yaliyotawanyika ulimwenguni! Salaam!
1Jakob, Pathian leh Toupa Jesu Kris sikha in, Nam Sawm leh Nih dalhte chibai a buk hi.
2Ndugu zangu, muwe na furaha mnapopatwa na majaribu mbalimbali,
2Ka unaute aw, na ginna uh zeetnain kuhkalna a siam chih theiin, khemna chiteng na tuah chiang un, kipahna ngenin sim un,
3kwani mwajua kwamba imani yenu ikisha stahimili, itawapatieni uvumilivu.
3Hiai, na ginna zeetna un kuhkalna a siam chih theiin.
4Muwe na hakika kwamba uvumilivu wenu utawategemeza mpaka mwisho, mpate kuwa wakamilifu na watimilifu, bila kupungukiwa chochote.
4Huan, bangmah tasam loua na kim ua, na pum ua na bit theihna ding un, kuhkalna in semkim hen.
5Lakini kama mmoja wenu ametindikiwa hekima, basi, anapaswa kumwomba Mungu ambaye atampatia; kwani Mungu huwapa wote kwa wingi na kwa ukarimu.
5Na lak ua kuapeuhin pilna a taksap leh, mi tengteng kianga tai lou leh it loua pepa Pathian tuh ngen hen, huchiin a kiangah piaka hi ding hi.
6Lakini anapaswa kuomba kwa imani bila mashaka yoyote. Mtu aliye na mashaka ni kama mawimbi ya bahari ambayo husukumwa na kutupwatupwa na upepo.
6Himahleh, ginglel het louin ginna neiin ngen hen, ginglelmi tuh tuipi kihot huih mutleng leh sep banga hi ngala.
7Mtu wa namna hiyo, mwenye nia mbili na asiye na msimamo katika mwenendo wake wote,
7Huchibang min tuh Toupa kiangah bangmah muh kiging kei hen.
8asidhani ya kwamba atapata chochote kile kutoka kwa Bwana.
8Lungsim det neilou tuh a thilhih tengtengah a kip kei hi.
9Ndugu aliye maskini anapaswa kufurahi wakati Mungu anapomkweza,
9Unau daikilkala om, pahtawia a om jiakin kipak hen;
10naye tajiri anapaswa kufurahi anaposhushwa na Mungu. Maana tajiri atatoweka kama ua la porini.
10Mihau tuh, hihneua a om jiakin kipak jaw hen; loupa pak banga a man ding jiakin.
11Jua huchomoza na kwa joto lake kali hukausha mimea, nayo maua yake huanguka, na uzuri wake wote huharibika. Vivyo hivyo, tajiri ataangamizwa katika shughuli zake.
11Ni a hongsuaka huihlum tak a hongnunin loupa tuh a vuaisaka; huai pak tuh a kia a; a omdan hoih tuh a mangthang hi; huchibang maha mihau tuh a paina a vuai ding ahi ngala.
12Heri mtu anayebaki mwaminifu katika majaribu, kwani akisha stahimili atapewa tuzo la uzima ambalo Mungu aliwaahidia wale wanaompenda.
12Khemna thuak teitei mi a hampha hi; zeeta om nungin hinna lallukhu, Toupan amah itte kianga achiam a muh ding jiakin.
13Kama mtu akijaribiwa, asiseme: "Ninajaribiwa na Mungu." Maana Mungu hawezi kujaribiwa na uovu, wala yeye hamjaribu mtu yeyote.
13Kuamahin, khemna a tuah laiin, Pathian khem ka hi, chi kei hen. Pathian tuh gitlouha khem vual ahi kei, aman leng kua mah a khem ngei kei hi.
14Lakini mtu hujaribiwa anapovutwa na kunaswa na tamaa zake mbaya.
14Mi chih amau utnaa pimang leh hipa a om un, khemna a tuak uh ahi jaw hi.
15Tamaa ikiiva huzaa dhambi; nayo dhambi ikikomaa huzaa kifo.
15Huan, utnain nou a paia, gilou a hongpichinin sihna a suak sak jel hi.
16Ndugu zangu wapenzi, msidanganyike!
16Ka nau deihtakte aw, khemin om kei un.
17Kila kipaji chema na kila zawadi kamilifu hutoka mbinguni; hutoka kwa Baba, Muumba wa mianga, ambaye habadiliki wala hana alama yoyote ya ugeugeu.
17Thilpiak hoih leh thil piak buching tuh tunglama kipana vakte Pa kianga kipana hongsuk ahi a, amahah tuh lamdanna leh kiheina lim himhim a om theikei hi.
18Kwa kupenda kwake mwenyewe alituzaa kwa neno lake la ukweli, ili tuwe namna ya matunda ya kwanza miongoni mwa viumbe vyake.
18A thilsiamte makaite I honghih theihna dingin, amah deihlamin thutak lakah a honsuak sak ahi.
19Ndugu zangu wapenzi, kumbukeni jambo hili! Kila mtu na awe mwepesi wa kusikia lakini asiwe mwepesi wa kusema wala mwepesi wa kukasirika.
19Unau deihtakte aw, huaite na thei uhi; himahleh, mi chih ngaihkhiak kilawp henla, thugen kituhpih kei henla, heh hak leh:
20Mwenye hasira hawezi kutimiza matakwa ya Mungu yaliyo ya haki.
20Mihing thangpaihna in Pathian diktatna a bawl ngal kei a.
21Kwa hiyo, tupilieni mbali mwenendo mchafu na tabia zote mbovu; jiwekeni chini ya Mungu na kupokea ule ujumbe uliopandwa mioyoni mwenu, ambao waweza kuziokoa nafsi zenu.
21Huaijiakin, nin tengteng leh gilou dimval koih mang unla, thu tuh, na kha uh hondam thei, thunuai lut takin pom un.
22Msijidanganye wenyewe kwa kusikiliza tu neno lake, bali litekelezeni kwa vitendo.
22Himahleh, noumau kikhemin ngaikhete kia hi louin thujuite honghi jaw un.
23Yeyote anayesikiliza hilo neno lakini halitekelezi, huyo ni kama mtu anayejiangalia sura yake mwenyewe katika kioo.
23Kuapeuh thu ngaikhia hi a, jui hi tuan lou tuh, mi limlanga a pianpih maitang hoih taka kien bang phet tuh ahi.
24Hujiangalia mwenyewe, kisha huenda zake, na mara husahau jinsi alivyo.
24Hoih takin a kiena, a pai manga, mi bang chi ahia a hih chih a kimangngilh nawn pah ngal hi.
25Lakini mtu anayeangalia kwa makini sheria kamilifu ambayo huwapa watu uhuru, mtu anayeendelea kuizingatia, na si kuisikia tu na kuisahau baadaye, bali anaitekeleza, mtu huyo atabarikiwa katika kila kitu anachofanya.
25Himahleh kuapeuh dan kim, noplenna dan tuh, vela, huchibanga om gigea, ngaikhiaa, mangngilhnawn maimah nak bang hi loua, juia na sem gige hi jaw tuh, huai mi tuh a thilhih ah vual jawlin a om ding hi.
26Kama mtu akijiona kuwa ni mtu mwenye dini, lakini hawezi kuutawala ulimi wake, dini yake haifai kitu, na anajidanganya mwenyewe.
26Kuapeuh sabiak limsak hia kigingtaa a lei veng hoih loua, amah lungtang kikhemjaw tuh huai mi sabiak dan tuh bangmah ahi kei hi.I Pathian leh Pa mitmuha sabiak siangthou leh gilou pang lou jaw hiai ahi, tagah leh meithaite gimthuak laia veh leh, khovel buahna bang loua kibawl jel.
27Dini iliyo safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika shida zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu.
27I Pathian leh Pa mitmuha sabiak siangthou leh gilou pang lou jaw hiai ahi, tagah leh meithaite gimthuak laia veh leh, khovel buahna bang loua kibawl jel.