1Wakati watu kwa maelfu walipokuwa wamekusanyika hata wakawa wanakanyagana, Yesu aliwaambia kwanza wanafunzi wake, "Jihadharini na chachu ya Mafarisayo, yaani unafiki.
1Huchih laia mipi sang tampi kiphumuimui zou hiala hongkikhop un, Jesun a masapenin a nungjuite kiangah, Pharisaite silngou, lepchiahna lakah pilvang un,
2Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, kila kilichofichika kitafichuliwa.
2Lang lou dinga selguk bangmah a om ngal keia; theih louh dinga im leng bangmah a om sam kei.
3Kwa hiyo, kila mliyosema gizani, watu watayasikia katika mwanga, na kila mliyonong'ona faraghani milango imefungwa, yatatangazwa juu ya nyumba.
3Huaijiakin miala na gen peuh uh vaka jakin a om ding; dantan sunggila bil bula na thu gen uh intungvuma tangkoupihin a om ding.
4"Nawaambieni ninyi rafiki zangu: msiwaogope wale wanaoua mwili, wasiweze kufanya kitu kingine zaidi.
4Huan, ka lawmte aw, ka honhilh ahi, Sapum hihlum a, huai nunga bangmah dang hihnawn theiloute jaw, kihta kei un,
5Nitawaonyesheni yule ambaye ni lazima kumwogopa: mwogopeni yule ambaye baada ya kuua ana uwezo wa kumtupa mtu katika moto wa Jehanamu. Naam, ninawaambieni, mwogopeni huyo.
5Ahihhangin kua ahia na kihtak ding uh ka honhilh khol ahi; a hihlup nunga leng Gihennaa paih theihna thu neipa kihta un.
6Inajulikana kwamba shomoro watano huuzwa kwa senti kumi, au sivyo? Lakini mbele ya Mungu hasahauliki hata mmoja.
6Kawlgit nga dal dangka nihin a juak sek kei ua hia? Himahleh, a lak ua khat leng Pathianin a mangngilh ngei ngal keia.
7Lakini hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote. Msiogope, basi, ninyi mna thamani zaidi kuliko shomoro wengi!
7Na lu ua samzangte nangawn leng sim vek ahi uh. Lau kei un; kawlgit tampi sangin na manpha jaw uhi.
8"Nawaambieni kweli, kila mtu anayekiri hadharani kwamba yeye ni wangu, Mwana wa Mtu naye atakiri mbele ya malaika wa Mungu kwamba mtu huyo ni wake.
8Huan ka honhilh ahi, Mite maa hon gum peuhmah Pathian angelte maah Mihing Tapain a gum sam ding a.
9Lakini, mtu yeyote anayenikana mbele ya watu, naye atakanwa mbele ya malaika wa Mungu.
9Himahleh mite maa honkitheihmoh bawl peuhmah Pathian angelte maah kitheihmoh bawl a hisam ding.
10"Yeyote anayesema neno la kumpinga Mwana wa Mtu atasamehewa; lakini anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa.
10Huan, Mihing Tapa kalha thugen peuhmah a genkalhna uh ngaihdam sak ahi ding a; himahleh Kha Siangthou hilhial gensia tuh a gensiatna ngaihdam sak ahi kei ding.
11"Watakapowapeleka ninyi mbele ya masunagogi na mbele ya wakuu na watawala msiwe na wasiwasi juu ya jinsi mtakavyojitetea au jinsi mtakavyosema.
11Huan, kikhopna in a mite, vaihawmte, heutute maa a honpi hun chiangun, Bang chiin, bang thuin ka dawng dia, bang thu ka gen dia chiin lungkham kei un;
12Kwa maana wakati huo Roho Mtakatifu atawafundisheni kile mnachopaswa kusema."
12huchih huntakin, bang ahia na gen ding uh, Kha Siangthouin a honhilh ding hi, a chi a.
13Mtu mmoja katika ule umati wa watu akamwambia, "Mwalimu, mwambie ndugu yangu tugawane urithi aliotuachia baba."
13Mipi laka khatin, Jesu kiangah, Sinsakpa, ka u kiangah gou honhawm sam dingin hilh in, a chi a.
14Yesu akamjibu, "Rafiki, ni nani aliyeniweka mimi mwamuzi au msuluhishi kati yenu?"
14Himahleh, aman, a kiangah, Mihing, noumau tungah kuan ahia kei thukhenpa hiam tanseppa hiam a honbawl? a chi a.
15Basi, akawaambia wote, "Jihadharini na kila aina ya tamaa; maana uzima wa mtu hautegemei wingi wa vitu alivyo navyo."
15Huan, a kiang uah, Pilvang unla, enna himhim lakah kiveng un; hauhna mihing dam san ahi kei hi, a chi a.
16Kisha akawaambia mfano: "Kulikuwa na tajiri mmoja ambaye shamba lake lilizaa mavuno mengi.
16Huan, a kiang uah gentehna thu a gen a, Mi hau kuahiam a hongpung mahmah a,
17Tajiri huyo akafikiri moyoni mwake: Nitafanyaje nami sina mahali pa kuhifadhia mavuno yangu?
17huchiin a kingaihtuah a, Bangchi bangin ka hih de aw? Ka buh leh bal koih khawmna ka nei ngal kei a.
18Nitafanya hivi: nitabomoa ghala zangu na kujenga kubwa zaidi, na humo nitahifadhi mavuno yangu yote na mali yangu.
18Huan, Hichi bang in ka hih ding e; ka buhin te ka phel dinga, a sanga lianin ka lam dia, huai ah tuh ka buh leh ka van tengteng ka koih khawm ding.
19Hapo nitaweza kuiambia roho yangu: sasa unayo akiba ya matumizi kwa miaka na miaka. Ponda mali, ule, unywe na kufurahi.
19Huan, ka kha kiangah, Kha, kum tampi sunga ding tampi na khol a; khawl inla, nein dawn inla, nuam takin omin, ka chi ding, a chi a.
20Lakini Mungu akamwambia: Mpumbavu wewe; leo usiku roho yako itachukuliwa. Na vitu vile vyote ulivyojilundikia vitakuwa vya nani?"
20A hihhangin, Pathianin a kiangah, Nang mihai, tu jan chiah na kha a honlak sak ding uh, huai nalam khiakte, kuaa ahi ta dia?
21Yesu akamaliza kwa kusema "Ndivyo ilivyo kwa mtu anayejilundikia mali kwa ajili yake mwenyewe, lakini si tajiri mbele ya Mungu."
21Amau adinga gou khola, Pathian lama haulou tuh huchi ahi nak uh, a chi a.
22Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, "Kwa sababu hiyo nawaambieni, msiwe na wasiwasi juu ya chakula mnachohitaji ili kuishi, wala juu ya mavazi mnayohitaji kwa ajili ya miili yenu.
22Huan, a nungjuite kiangah, Huaijiakin ka honhilh ahi, Bang ka ne diam aw? Chiin, na hinna thu uh leh, Bang ka silhin ka teng diam aw? Chiin, na sapum thu uh lunghimoh kei un.
23Kwa sababu uzima ni bora kuliko chakula, na mwili ni bora kuliko mavazi.
23Nek ding sangin hinna a thupi jaw hi, puansilh sangin leng sapum a thupi jaw ahi.
24Chukueni kwa mfano, kunguru: hawapandi, hawavuni wala hawana ghala yoyote. Hata hivyo, Mungu huwalisha. Ninyi mna thamani zaidi kuliko ndege!
24Vaakte khawng ngaihtuah dih uh, buh a tuh kei ua, a at samkei uh; pang bang, buh in bang leng a neikei uh; himahleh Pathianin amau a vak ngala; nou tuh vasate sanga na manphat jawk dan uh.
25Ni nani kati yenu kwa kuwa na wasiwasi anaweza kuongeza urefu wa maisha yake?
25Huan, nou lakah lunghimoh jiaka kuain ahia amah dunglam tong khata hihsang thei tuan?
26Basi, kama hamwezi kufanya jambo dogo kama hilo, kwa nini kuwa na wasiwasi juu ya yale mengine?
26Hiai lel leng hih theiloute bangin, bang dia thil dang lunghimoh nak na hi ua?
27Angalieni maua jinsi yanavyomea. Hayafanyi kazi wala hayafumi. Hata hivyo, nawahakikishieni kwamba hata Solomoni mwenyewe na fahari zake zote hakupata kuvikwa vizuri kama ua mojawapo.
27Lilite khandan ngaihtuah dih uh; na a sem kei ua, khau leng a khek kei uh; himahleh, ka honhilh ahi, Solomon hial leng a thupina tengtenga a kizepin, hiai lilite laka khat banga zepin a om kei.
28Lakini, kama Mungu hulivika vizuri jani la shambani ambalo leo liko na kesho latupwa motoni, je, hatawafanyia ninyi zaidi? Enyi watu wenye imani haba!
28Huchiin, gama loupa, tuni banga hinga, a jinga thuka khul nawn mai ding bawn, Pathianin hichi tela a zep leh, aw, nou mi gin tawmte aw, huai sangin puansilh honpe zo natel inchia:
29"Basi, msivurugike akili, mkihangaika daima juu ya mtakachokula au mtakachokunywa.
29Huan, na nek ding uh, na dawn ding uh, zong kei un; ginlahna lungsim neiin leng om sam kei un.
30Kwa maana hayo yote ndiyo yanayohangaikiwa na watu wasiomjua Mungu. Baba yenu anajua kwamba mnahitaji vitu hivyo.
30Khovela namten huai thil tengteng a zong uh; huai bang na kiphamoh uh chih na Pa un a thei gige ngala.
31Shughulikieni kwanza Ufalme wa Mungu, na hayo yote mtapewa kwa ziada.
31Amah gam zong jaw un, huchiin huai thilte leng a honpiak behlap ding ahi.
32"Msiogope, enyi kundi dogo! Maana Baba yenu amependa kuwapeni Ufalme.
32Pawl tawmte aw, lau kei un; nou kianga gam piak ding tuh na Pa uh kipah lamtak ahi.
33Uzeni mali yenu mkawape maskini misaada. Jifanyieni mifuko isiyochakaa, na jiwekeeni hazina mbinguni ambako haitapungua. Huko wezi hawakaribii, wala nondo hawaharibu.
33Na neih peuh uh juak unla, mi gentheite kiangah pia un; vanah guta hohlouhna ah, leikha neksiat louh na ah, dangka ip lui theiloute, gou bei theiloute kibawl un.
34Pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo wako.
34Na gou omna peuh ua na lungtang uleng a om ding jiakin.
35"Muwe tayari! Jifungeni mkanda kiunoni, na taa zenu ziwe zinawaka;
35Na kawng uh gak unla, na khawnvak uh leng de sain om un;
36muwe kama watumishi wanaomngojea bwana wao arudi kutoka arusini, ili wamfungulie mara atakapobisha hodi.
36min a pu uh kitenna ankuang luina akipana a hongpai chianga, kongkhak a honkiuh taka, na nahonthei pah dinga a na ngak nilouh bangun, om un.
37Heri yao watumishi wale ambao bwana wao atakaporudi atawakuta wanakesha! Nawaambieni hakika, huyo bwana atajifunga mkanda kiunoni, atawaketisha mezani na kuwahudumia.
37A pu uh a hongpai chiangin sikha na ngak nilouha a muhte a hampha uhi; chihtaktakin ka honhilh ahi, Aman a kawng a gak dia, amau tuh an um dingin a tu sakdinga, ana uh a sep sakding.
38Heri yao watumishi hao ikiwa bwana wao atawakuta wanakesha hata ikiwa atarudi usiku wa manane au alfajiri.
38Jan laiin hiam, thoh hunin hiam a honga, huchi banga a honmuh, huai sikhate tuh a hampha uh.
39Jueni kwamba, kama mwenye nyumba angejua saa ambayo mwizi atakuja, angekesha, wala hangeiacha nyumba yake ivunjwe.
39A hihhangin, hiai thei un, guta a hongpai ding inneipan thei leh, a vengdia, a in a phen vang sak kei ding.
40Nanyi, kadhalika muwe tayari, maana Mwana wa Mtu atakuja saa msiyoitazamia."
40Nou leng mansa in om un, na gintak louhlai tak un Mihing Tapa hongpai ding ahi ngala, a chi a.
41Petro akamwambia, "Bwana, mfano huo ni kwa ajili yetu tu, au ni kwa ajili ya watu wote?"
41Huan, Peterin, Toupa, hiai gentehna thu koumau kia hia non hilh, mi tengteng? achi a.
42Bwana akajibu, "Ni nani basi, mtumishi aliye mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake atamweka juu ya watumishi wake ili awape chakula wakati ufaao?
42Huan, Toupan, sumkempa ginom, piltak, a puin a hun teng a a tan ding uh hawm sak dinga a inkuanpihte tunga heutua a bawl ding tuh kuapen ahi dia le?
43Heri yake mtumishi huyo ikiwa bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.
43A pu a hongpai chiangin sikha huchibanga hih a hon muhdingpa tuh a hampha.
44Hakika atampa madaraka juu ya mali yake yote.
44Diktakin ka honhilh ahi, a neih tengteng tunga heutu dingin a bawl ding.
45Lakini, kama mtumishi huyo atafikiri moyoni mwake: na kusema: Bwana wangu amekawia sana kurudi halafu aanze kuwapiga watumishi wenzake, wa kiume au wa kike, na kula, kunywa na kulewa,
45Ahihhangin huai sikhain, a lungtangin, Ka pu a hong zok kei ding e, chiin, a sikhanu, a sikhapa, na vo ta leh, nein dawnin na nakham leh.
46bwana wake atarudi siku asiyoitazamia na saa asiyoijua; atamkatilia mbali na kumweka fungu moja na wasioamini.
46huai sikha pu tuh, a gin louh niin, a theih louh laiin, a hong dinga, tum nih a honsuah dinga, mi ginom loute tan bang a tangsak ding hi.
47Mtumishi ambaye anajua matakwa ya bwana wake lakini hajiweki tayari kufanya anavyotakiwa, atapigwa sana.
47Sikha a pu deihlam theigige na pia na nakiging tuan lou-a, a pu deihlama leng gamta loupan nakpitaka vuak a tuak ding.
48Lakini yule afanyaye yanayostahili adhabu bila kujua, atapigwa kidogo. Aliyepewa vingi atatakiwa vingi; aliyekabidhiwa vingi zaidi atatakiwa kutoa vingi zaidi.
48A hihhangin, theiloupi-a vuakna thama gamtapan awlchika vuak a tuak ding. Tampi piaka ommi peuhmah kiangah tampi phutin om ding; tampi a kepsakpa uh kiangah a tamsem a phut ding uh.
49"Nimekuja kuwasha moto duniani, laiti ungekuwa umewaka tayari!
49Khovela mei khe suk dinga hongpai ka hi; tu inleng kang pah leh china tel ing e!
50Ninao ubatizo ambao inanipasa niupokee; jinsi gani ninavyohangaika mpaka ukamilike!
50Himahleh, baptisma tan ding ka nei, huai hihtangtun mateng tuh ka om nuam lou hina mahmah tel e:
51Mnadhani nimekuja kuleta amani duniani? Hata kidogo; si amani bali utengano.
51Khovela lem leng sak dinga hongpai hiam honsa nahi umaw? Hi dek lou, ka honhilh ahi, kidou leng sak dinga hongpai ka hi jaw.
52Na tangu sasa, jamaa ya watu watano itagawanyika; watatu dhidi ya wawili, na wawili dhidi ya watatu.
52Tunung chiangin inkuan khat ah mi nga a kidou ding uh, thumin nih, nihin thum.
53Baba atakuwa dhidi ya mwanawe, mwana dhidi ya baba yake; mama dhidi ya bintiye, binti dhidi ya mama yake; mama mkwe dhidi ya mke wa mwanawe na huyo dhidi ya mama mkwe wake."
53A kidou dingua, pain a tapa, a tapain a pa; a nuin a tanu, a tanuin a nu; a piin a mou, a mouin a pi, a chi a.
54Yesu akayaambia tena makundi ya watu, "Mnapoona mawingu yakitokea upande wa magharibi, mara mwasema: Mvua itanyesha, na kweli hunyesha.
54Huan, mipi kiangah leng, Tumlama mei kai na muh uleh, vuah a zu ding, na chi pahngal ua; huan a hongzu ngei jela.
55Mnapoona upepo wa kusi unavuma, mwasema Kutakuwa na hali ya joto na ndivyo inavyokuwa.
55Huan, sim huih nung na muh chiang un, Khua lum ding ei ve, na chi uh, huan, a honglum ngei jela.
56Enyi wanafiki! Mnajua kutabiri hali ya hewa kwa kuangalia dunia na anga; kwa nini basi, hamwezi kujua maana ya nyakati hizi?
56Nou lepchiah te aw, khovel leh van omdan leng na genchian thei ngal ua, bangchia tulai hun gen chian siam lou na hi ua?
57"Na kwa nini hamwezi kujiamulia wenyewe jambo jema la kufanya?
57Bang achia noumauin thu adik kikhen lou na hi ua?
58Maana kama mshtaki wako anakupeleka mahakamani, ingekuwa afadhali kwako kupatana naye mkiwa bado njiani, ili asije akakupeleka mbele ya hakimu, naye hakimu akakutoa kwa polisi, nao wakakutia ndani.
58Honhekpa toh thukhenpa kiang na zot laiun, lampi ah kilep theihna khat zong teitei in; huchilouin jaw thukhenpa mai ah honkai lut dinga, thukhenpan miman heutu honmansak dinga. Miman heutupan suangkulh ah honkhum kha ding.Ka honhilh ahi, paihsasan khat nangawn na piak kim masiah, huai akipan na pawt kei hilhial ding, a chi a.
59Hakika hutatoka huko nakwambia, mpaka utakapomaliza kulipa senti ya mwisho."
59Ka honhilh ahi, paihsasan khat nangawn na piak kim masiah, huai akipan na pawt kei hilhial ding, a chi a.