1Kisha, wote kwa jumla, wakasimama, wakampeleka Yesu mbele ya Pilato.
1Huan, mipi khempeuh a ding ua, Jesu Pilat kiangah a pita ua.
2Wakaanza kumshtaki wakisema: "Tulimkuta mtu huyu akiwapotosha watu wetu, akipinga kulipa kodi kwa Kaisari na kujiita ati yeye ni Kristo, Mfalme."
2Huan, Hiai miin ka chite uh a pimanga, Kaisar kiangah siah liau a kham, Kris, Kumpipa, a kichih, ka ja uh, chiin, a hekta ua.
3Pilato akamwuliza Yesu, "Wewe ni Mfalme wa Wayahudi?" Yesu akamjibu, "Wewe umesema."
3Huan, Pilatin, a kiangah, Judate kumpipa na hi hia? chiin, a donga. Hi e, chiin, a dawng a.
4Pilato akawaambia makuhani wakuu na umati wa watu, "Sioni kosa lolote katika mtu huyu."
4Huan, Pilatin siampu liante leh mipite kiangah, Hiai mi tungah bangmah khelhna ka mu kei, a chi a.
5Lakini wao wakasisitiza wakisema: "Anawachochea watu kwa mafundisho yake katika nchi yote ya Yudea; alianza Galilaya, na sasa yuko hapa."
5Himahleh, amau, Galili gamah a pana, hiai mun phain, Judia gam kho tengah thuhilhin, mi tengteng a toknok gige ahi, chiin, a pang semsem ua.
6Pilato aliposikia hayo, akauliza, "Je, mtu huyu ni mwenyeji wa Galilaya?"
6Huan, Pilatin huai a jakin, huai mi tuh Galili gama mi a hih leh hih louh a donga.
7Alipojua kwamba Yesu alikuwa chini ya utawala wa Herode, akampeleka kwa Herode, ambaye wakati huo alikuwa Yerusalemu.
7Huchiin, Herod uka mi ahi chih a theih takin Herod kiangah a sawlta a; huai laiin amah leng Jerusalem khua ah a om a.
8Herode alifurahi sana alipomwona Yesu. Alikuwa amekwisha sikia habari zake, na hivyo alikuwa anatazamia kwa muda mrefu kumwona kwa macho yake mwenyewe. Zaidi ya hayo, alikuwa anatumaini kumwona Yesu akitenda mwujiza.
8Herodin Jesu a muhin a kipak mahmah a; a tanchin a jak jiakin, tumasiah a pat muh a ut him ahi a, a thillamdang hih banghiam bek muh leng a lamen ahi.
9Basi, akamwuliza maswali mengi kwa muda mrefu, lakini Yesu hakumjibu neno.
9Huan thu tampi a donga; himahleh bangmahin a dawng tuan kei hi.
10Makuhani wakuu na walimu wa Sheria wakajitokeza mbele, wakatoa mashtaka yao kwa nguvu sana.
10Huan, siampu liante leh laigelhmiten dingin nakpi takin a hek ua.
11Basi, herode pamoja na maaskari wake, wakamwaibisha Yesu na kumfanyia mzaha; kisha wakamvika vazi la kifalme, wakamrudisha kwa Pilato.
11Huan, Herod leh a sepaihten Jesu a simmoh ua, nuihza bawlnan a zang uh, huan, puan thupi tak silh sakin Pilat kiangah a sawl nawnta hi.
12Herode na Pilato, ambao hapo awali walikuwa maadui, tangu siku hiyo wakawa marafiki.
12Huan, huai ni takin Herod leh Pilat a kihouthei ta uh; huai masiah jaw kihouthei lou hi ua.
13Basi, Pilato akaitisha mkutano wa makuhani wakuu, viongozi na watu,
13Huan, Pilatin siampu liante, heutute, mi tengteng a sam khawm a, a kiang uah,
14akawaambia, "Mmemleta mtu huyu kwangu mkisema kwamba alikuwa anawapotosha watu. Sasa sikilizeni! Baada ya kuchunguza jambo hilo mbele yenu, sikumpata na kosa lolote kuhusu mashtaka yenu juu yake.
14Mite a pimang, chiin, hiai mi ka kiangah na honpi uh ahi a; huan, ngai un, na ma ua ka etchet nungin na hekna thu uah hiai mi tungah bangmah khelhna ka mu kei ahi;
15Wala si mimi tu, bali hata Herode hakuona kosa lolote, kwa maana amemrudisha kwangu. Ni dhahiri kwamba mtu huyu hakufanya chochote kinachostahili adhabu ya kifo.
15Herodin leng a mu sam kei; i kiang uah a honsawl nawnta ahi; ngai un, sihna khop hial bangmah a hih kei hi.
16Hivyo, nitaamuru apigwe viboko, halafu nitamwachilia."
16Huchiin ka vo dinga, ka pawt sak mai ding, a chi a.
17Kila sikukuu ya Pasaka, ilimlazimu Pilato kuwafungulia mfungwa mmoja.
17(Ankuanglui nia mikhat amau laka a pawt sak teitei ding ahi ngala. )
18Lakini wote wakapiga kelele pamoja: "Mwondoe huyo, utufungulie Baraba!"
18Himahleh, kituaktakin a kikou ua, Hiai mi hihmangthang inla, Barabba pen honpawt sak jawin, a chi ua.
19(Baraba alikuwa ametiwa ndani kwa kusababisha uasi katika mji na pia kwa sababu ya kuua.)
19Huai mi tuh khopia helna bang ahi hiam jiak leh, tual a thah jiaka suangkulha tang ahi.
20Pilato alitaka kumwachilia Yesu, hivyo akasema nao tena;
20Pilatin bel, Jesu khah a uta, a kiang uah thu a gen nawna.
21lakini wao wakapiga kelele: "Msulubishe, msulubishe!"
21Himahleh, a kikou ua, Kros ah kilhden in, kros ah kilhden in, a chi ua.
22Pilato akawaambia mara ya tatu, "Amefanya kosa gani? Sioni kosa lolote kwake linalomstahili auawe; kwa hiyo nitampiga viboko, halafu nimwachilie."
22Huan, aman, a thum veina ah a kiang uah, Bang dingin maw? hiai min bang ahia ahihkhelh? sihna khop hial a tungah bangmah ka mu kei; huchiin ka vo dinga, ka khah mai ding, a chi a.
23Lakini wao wakazidi kupiga kelele kwa nguvu sana, kwamba Yesu ni lazima asulubiwe. Mwishowe, sauti zao zikashinda.
23Amau bel aw ngaihtakin kros a kilhden dingin a ngen teitei uh. Huan, a aw un a vau daita hi.
24Basi, Pilato akaamua kwamba matakwa yao yatimizwe.
24Huan, Pilatin a nget bang ua hih dingin thu a hihpukta a.
25Akamfungua kutoka gerezani yule waliyemtaka, ambaye alikuwa ametiwa gerezani kwa sababu ya uasi na kuua; akamtoa Yesu kwao, wamfanyie walivyotaka.
25Helna leh tualthah jiaka suangkulha tang a nget uh a khaha; Jesu bel a ut ut ua lohdingin a peta hi.
26Walipokuwa wakimpeleka, walikutana na mtu mmoja, aitwaye Simoni wa Kurene, aliyekuwa anatoka shambani. Basi, walimkamata, wakamtwika ule msalaba auchukue nyuma ya Yesu.
26Huan, a pi mang lai un, Simon Kurini khua a mi, gam lam a kipana hong a man ua, Jesu nunglama po dingin a tungah kros tuh a nga ta uhi.
27Watu, umati kwa umati, walimfuata; miongoni mwao wakiwemo wanawake waliokuwa wanaomboleza na kumlilia.
27Huan, mi nazong leh numei amah kaha mau jeljul, mipi tampitakin a jui ua.
28Yesu akawageukia, akasema, "Enyi kina mama wa Yerusalemu! Msinililie mimi, ila lieni kwa ajili yenu wenyewe na kwa ajili ya watoto wenu.
28Jesu bel amau lam a nga a, Jerusalem tanute aw, honkah kei un, noumau leh na tate uh dingin kap jaw un.
29Maana, hakika siku zitakuja ambapo watasema: Heri yao wale walio tasa, ambao hawakupata kuzaa wala kunyonyesha watoto!
29Ngai un, a ni a hongtung dinga, huai niin, numei chingte, naupai ngei louhna gilte, naunek ngei louh nawite a hampha uh, a honchi ding uh.
30Wakati huo, ndipo watu wataanza kuiambia milima: Tuangukieni! na vilima, Tufunikeni!
30Huai hun chiangin, miten, tangte kiangah, Hondelh un, a chi ding uh, mualte kiangah, Honkhuh un, a chi ding uhi.
31Kwa maana, kama watu wanautendea mti mbichi namna hiyo, itakuwaje kwa mti mkavu?"
31Sing a hinlaia bawn hichi banga a hih u leh; a keu chiangin bang a kilohta phet dia? a chi a.
32Waliwachukua pia watu wengine wawili, wahalifu, wauawe pamoja naye.
32Huan, a kiangah mi dang nih, mi gilou, hihlup dingin a pi sam ua.
33Walipofika mahali paitwapo, "Fuvu la Kichwa," ndipo wakamsulubisha Yesu pamoja na wale wahalifu wawili, mmoja upande wake wa kulia na mwingine upande wake wa kushoto.
33Huan, Lu Guh, a chih mun uh a tun un, huaiah kros ah a kilhden ua, mi giloute toh, a taklam ah khat, a vei lam ah khat.
34Yesu akasema, "Baba, uwasamehe kwa maana hawajui wanalofanya." Kisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura.
34Huan, Jesun, Pa, amau ngaidam in; a thil hih uh a theikei ua hi, a chi a. Huan a puansilhte kihawmin, ai a san uh.
35Watu wakawa wamesimama pale wakitazama. Nao viongozi wakamdhihaki wakisema: "Amewaokoa wengine; sasa na ajiokoe mwenyewe, kama yeye ndiye Kristo, mteule wa Mungu!"
35Huan, vantang honin dingin a en ua. Huchiin vaihawmmiten bel Midang bawn a hihdam jel aka; Pathian tel kris tuh a hih taktak leh amah leng kihihdam leh ake, chiin, a enghou ua.
36Askari nao walimdhihaki pia; walimwendea wakampa siki
36Huan, sepaihten leng amah nuihza bawlnan a nei ua, a kiangah a hong ua, zu thuk a pia ua,
37wakisema: "Kama kweli wewe ni Mfalme wa Wayahudi, jiokoe mwenyewe."
37Judate kumpipa na hih taktak leh, kihihdam in, a chi ua.
38Vilevile maandishi haya yalikuwa yameandikwa na kuwekwa juu yake: "Huyu ndiye Mfalme wa Wayahudi."
38Huan, a tung lamah, HIAI MI JUDATE KUMPIPA A HI, chiin, lai a kisuang hi.
39Mmoja wa wale wahalifu waliotundikwa msalabani, alimtukana akisema: "Je, si kweli kwamba wewe ndiwe Kristo? Basi, jiokoe mwenyewe, utuokoe na sisi pia."
39Huan, a mi gilou kilh khat un Jesu a taia, Kris na hi ka hia? kihihdam inla, kou leng honhihdam tanla, a chi a.
40Lakini yule mhalifu mwingine akamkemea mwenzake akisema: "Wewe humwogopi Mungu hata kidogo? Wewe umepata adhabu hiyohiyo.
40Himahleh, khatpan tuh dawn kawmin, a taihilh a, Pathian na ngawn leng na kihta ka hia? kibang sapa hongawt uh.
41Wewe na mimi tunastahili, maana haya ni malipo ya yale tuliyotenda. Lakini mtu huyu hakufanya chochote kibaya."
41Ei jaw gawttuak him i hi; i thil hih man lel mu i hi a; hiai miin bel bangmah a hihkhial ngal keia, a chi a.
42Kisha akasema, "Ee Yesu! Unikumbuke wakati utakapoingia katika ufalme wako."
42Huan, aman, Jesu, thuneihna toh Kumpipa-a na hongpai chiangin hontheigige in, a chi a.
43Yesu akamwambia, "Nakwambia kwa hakika, leo utakuwa pamoja nami peponi."
43Huan, aman, a kiangah, Chihtaktakin ka honhilh ahi, Tuniin ka kiangah Paradis ah na om sam ding, achia.
44Ilikuwa yapata saa sita mchana; jua likaacha kuangaza, giza likafunika nchi yote mpaka saa tisa,
44Huan, dak gukna ding khawng ahi a, huai nungsiah dak kuana hun tanin gam pumpi a hongmial vekta a, ni vak a beita hi;
45na pazia lililokuwa limetundikwa Hekaluni likapasuka vipande viwili.
45huan, Pathian biakin puanjak a lai ah a hong kekta hi.
46Yesu akalia kwa sauti kubwa: "Baba, naiweka roho yangu mikononi mwako." Alipokwisha sema hayo, akakata roho.
46Huan, Jesu aw ngaihtakin a kikou a, Pa, na khutah ka kha ka honkem sak hi a chi a. Huan, huai a chih khitin a kha a khahta hi.
47Hapo, yule jemadari alipoona yaliyotukia akamsifu Mungu akisema: "Hakika huyu alikuwa mtu mwema."
47Huan, sepaih zaheupan thil omdan a muh in, Hiai mi pel louin mi dik ahi ngeingei, chiin, Pathian a phatta.
48Watu wale wote waliokuwa wamekusanyika hapo kwa ajili ya tukio hilo, walipoona hayo yaliyotukia, walirudi makwao wakijipiga vifua kwa huzuni.
48Huan, huai etnop tuh en dinga mipi hongkikhawm tengteng ten thil omdante a muh un a awm uh tumtumin a kik nawnta uhi.
49Marafiki zake wote pamoja na wale wanawake walioandamana naye kutoka Galilaya, walisimama kwa mbali kutazama tukio hilo.
49Huan, amel theihte tengteng leh, numei Galili gama kipana honjuite, huai thilte enin gamla takah a ding uh.
50Kulikuwa na mtu mmoja jina lake Yosefu, mwenyeji wa kijiji kimoja cha Wayahudi kiitwacho Armathaya. Alikuwa mtu mwema anayeheshimika;
50Huan, ngai un, mi khat amin Joseph, vaihawmmi, mi hoih tak, diktak, Judate khua khat Arimathai a kipan a oma,
51Alikuwa akitazamia kuja kwa Ufalme wa Mungu. Ingawa alikuwa mmoja wa Baraza kuu la Wayahudi, hakuwa amekubaliana nao katika kitendo chao.
51A vaihawm uah leh a thil hih uah leng a kiawi kei him a. Pathian gam a lamen gige a.
52Basi, yeye alikwenda kwa Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu.
52Huai mi tuh Pilat kiangah a hoha, Jesu luang a ngen a.
53Kisha, akaushusha mwili huo kutoka msalabani, akauzungushia sanda ya kitani, akauweka katika kaburi lililokuwa limechongwa kwenye mwamba, ambalo halikuwa limetumika.
53Huan a la khia a, puan mal ngatin a tuama, han, suang khuakkuak, kuamah sial ngei nai louhna ah, a siala.
54Siku hiyo ilikuwa Ijumaa, na maandalio ya siku ya Sabato yalikuwa yanaanza.
54Huan, huai ni tuh kiginni ahi a, Khawlni a honghi sinsinta hi.
55Wale wanawake walioandamana na Yesu kutoka Galilaya walimfuata Yosefu, wakaliona lile kaburi na jinsi mwili wake Yesu ulivyowekwa
55Huan, numei, Galili gam akipana a kianga hongten a jui jel ua, han leh a luang sialdan a mu uh hi.Huan, a pai nawn ua, banghiam gim namtui khawng leh thau namtui khawng a bawl uhi.
56Halafu, walirudi nyumbani, wakatayarisha manukato na marashi kuyapaka mwili wa Yesu. Siku ya Sabato walipumzika kama ilivyoamriwa na sheria.
56Huan, a pai nawn ua, banghiam gim namtui khawng leh thau namtui khawng a bawl uhi.