1Jumapili, alfajiri na mapema, wale wanawake walikwenda kaburini wakichukua yale manukato waliyotayarisha.
1Huan, Khawlniin thupiak bangin a khawlta ua; ni sagih ni masapenin; phalvakin, bang hiam gim namtui a bawlte uh tawiin, han ah a vahoh ua.
2Walikuta lile jiwe limeviringishwa mbali na kaburi.
2Huan, han a kipan suang tum khuk suanin a mu ua;
3Walipoingia ndani, hawakuona mwili wa Bwana Yesu.
3huan, a lut ua, Toupa Jesu luang lah a mu ngal kei ua.
4Walipokuwa bado wanashangaa juu ya jambo hilo, mara watu wawili waliovaa mavazi yenye kung'aa sana, wakasimama karibu nao.
4Huan, hichi ahia, tua jiaka a mangbat laiun, ngai in, mi nih puan mileng thei silh a kiangah a hongding ua;
5Hao wanawake wakaingiwa na hofu, wakainama chini. Ndipo wale watu wakawaambia, "Kwa nini mnamtafuta aliye hai kati ya wafu?
5huan, a lau ua a khupboh lai un, amau a kianguah, Bang dia misi laka mi hing zong?
6Hayuko hapa; amefufuka. Kumbukeni aliyowaambieni alipokuwa kule Galilaya:
6Hiai ah a omta kei hi, a thou nawnta; Galili gama a om laia na kiang ua a thu gen thei un,
7Ni lazima Mwana wa Mtu atolewe kwa watu waovu, nao watamsulubisha, na siku ya tatu atafufuka."
7Mihing Tapa mikhialte khuta mat sakin a om dinga, kros ah a kilhden ding uh, ni thum niin a thou nawn ding ahi, a chih, a chi ua.
8Hapo wanawake wakayakumbuka maneno yake,
8Huan, a thu a honthei nawnta ua,
9wakarudi kutoka kaburini, wakawapa mitume wale kumi na mmoja na wengine habari za mambo hayo yote.
9han akipan a pai nawnun, sawm leh khatte leh mi dang tengtengte kiangah huai thil tengteng a hilh uh.
10Hao waliotoa habari hizo kwa mitume ni: Maria Magdalene, Yoana na Maria mama wa Yakobo, pamoja na wanawake wengine walioandamana nao.
10Mari Magdalini te, Mari te, Joanna te, Jakob nu Mari te leh a kiang ua numei dangte ahi uh, sawltakte kiangah huai thu hilh te.
11Mitume waliyachukua maneno hayo kama yasiyo na msingi, hivyo hawakuamini.
11Himahleh, huai thu tuh thu maimai bangin a sep ua, a taksan sak kei uhi.
12Lakini Petro alitoka, akaenda mbio hadi kaburini. Alipoinama kuchungulia ndani, akaiona tu ile sanda. Akarudi nyumbani huku akiwa anashangaa juu ya hayo yaliyotokea.
12Himahleh Peter a thou a, han ah a taita a; huan, a kun a, a en a, puan mal ngat omte kia a mu a, huchiin, thil omdan tuh lamdang sa takin a in lamah a paita hi.
13Siku hiyohiyo, wawili kati ya wafuasi wake Yesu wakawa wanakwenda katika kijiji kimoja kiitwacho Emau, umbali wa kilomita kumi na moja kutoka Yerusalemu.
13Huan, ngai in, huai ni mahmahin a lak ua mi nih khua khat Emmau a chi uah a hoh dek ua, huai khua tuh Jerusalem khua a patin ching sawmguk ahi a.
14Wakawa wanazungumza juu ya hayo yote yaliyotukia.
14Huan, thil hongtung tengteng a gen khawm jel ua.
15Walipokuwa wakizungumza na kujadiliana, Yesu mwenyewe akatokea, akatembea pamoja nao.
15Huan, agen ua, a kisel lai un, Jesu ngeiin a honjuana, a kianguah a pai samta a.
16Walimwona kwa macho, lakini hawakumtambua.
16Himahleh, amah a theihtheihlouhna ding un, a mit uh hihvaihin a om hi.
17Akawauliza, "Mnazungumza nini huku mnatembea?" Nao wakasimama kimya, nyuso zao wamezikunja kwa huzuni.
17Huan, a kiang uah, Pai kawma na gen khawm uh, bang thu ahia? a chi a. Huan, dah takin a ding kinken ta ua.
18Mmoja, aitwaye Kleopa, akamjibu, "Je, wewe ni mgeni peke yako Yerusalemu ambaye hujui yaliyotukia huko siku hizi?"
18Huan, a min Kleopa penin, a kiangah, Jerusalem khua ah nangmah kiain hia na ten, tulaia thil omdan na theih louh? a chi a, a dawng a.
19Naye akawajibu, "Mambo gani?" Wao wakamjibu, "Mambo yaliyompata Yesu wa Nazareti. Yeye alikuwa nabii mwenye uwezo wa kutenda na kufundisha mbele ya Mungu na mbele ya watu wote.
19Huan, aman, a kiang uah, Bang thil eita? a chi a. Huan, amau a kiangah, Nazaret Jesu, Pathian leh mi tengteng mitmuha a thu leh a thilhiha jawlnei minthangtak tanchin thu:
20Makuhani na watawala wetu walimtoa ahukumiwe kufa, wakamsulubisha.
20Siampu liante leh ka heutute un thah thu piak dingin a pi ua, krosa a kilhden thute khawng uh.
21Lakini sisi tulitumaini kwamba yeye ndiye angeikomboa Israeli. Zaidi ya hayo yote, leo ni siku ya tatu tangu mambo hayo yalipotendeka.
21Kou Israelte tanpading a hih ka lametet utoh, Abangabang hita leh, huai thil tunnung siah tuni toh ni thum a hita.
22Tena, wanawake wengine wa kwetu wametushtua. Walikwenda kaburini mapema asubuhi,
22Huailou leng kapawlte uh numei kuate hiam jingsangin, a hanah a vahoh ua, honghihmangbang uh;
23wasiukute mwili wake. Wakarudi wakasema kwamba walitokewa na malaika waliowaambia kwamba alikuwa hai.
23a luang mu lou piin, Pathian angelte kilak ka mu uh, huai miten a hing nawnta chih a gen uh, a hongchi ua.
24Wengine wetu walikwenda kaburini wakashuhudia yale waliyosema hao wanawake; ila yeye hawakumwona."
24Huan, ka ompih lak ua kuate hiam hanah a hoh ua, numeite genbang ngeiin a mu ua; himahleh, amah a mu sam kei uh, a chi ua.
25Kisha Yesu akawaambia, "Mbona mu wapumbavu kiasi hicho na mioyo yenu ni mizito hivyo kusadiki yote yaliyonenwa na manabii?
25Huan, aman, a kianguah, Mi haite aw: jawlneite thu gen tengteng gintak thu-a ngongte aw:
26Je, haikumpasa Kristo kuteswa, na hivyo aingie katika utukufu wake?"
26Krisin huai thil thuakin a thupinaa a lut ding him ahi ka hia? a chi a.
27Akawafafanulia mambo yote yaliyomhusu yeye katika Maandiko Matakatifu kuanzia Mose hadi manabii wote.
27Huan, Mosi leh jawlneite tengteng a panin, laisiangthou tengtenga amah tanchin gelh peuhmah, amau a hilhchian jel hi.
28Walipokikaribia kile kijiji walikokuwa wanakwenda, Yesu akafanya kana kwamba anaendelea na safari;
28Huan, a hohna ding khua uh atung dek ta ua; huan, amah gam la deuha hoh tum bangin a om a.
29lakini wao wakamsihi wakisema, "Kaa pamoja nasi, maana kunakuchwa, na usiku unakaribia." Basi, akaingia kijijini, akakaa pamoja nao.
29Huan, kamin a khou ua, Ka kiang uah tam tanla; nitaklam leng hi ding hita a, ni leng tum dekta aka, chiin. Huan a kiang ua tam dingin a lutta hi.
30Alipoketi kula chakula pamoja nao, akachukua mkate, akaubariki, akaumega, akawapa.
30Huan, hichi ahi a, a kiang ua an uma a tutin tanghou a la a, a vualzawla, a balkhama, a kiang uah a pia a.
31Mara macho yao yakafumbuliwa, wakamtambua; lakini yeye akatoweka kati yao.
31Huan, a mit uh a hongvakta a, a mel a hontheita uh. Huan, amah a mangta mai hi.
32Basi, wakaambiana, "Je, mioyo yetu haikuwa inawaka ndani yetu wakati alipokuwa anatufafanulia Maandiko Matakatifu kule njiani?"
32Huan, amau, Lampi a honhoupih laia laisiangthou thute honhilhchet lai in i lungtang a vak huai him hilou hia? a kichi ua.
33Wakaondoka saa ileile, wakarudi Yerusalemu: wakawakuta wale mitume kumi na mmoja na wale wengine waliokuwa pamoja nao, wamekusanyika
33Huan, huai laitakin, a thou ua, Jerusalem khua ah a kik nawn ua, sawm leh khatte leh a lawmte om khawm a mu ua,
34wakisema, "Hakika Bwana amefufuka, amemtokea Simoni."
34Toupa a na thou nawn taktak ahi, Simon kiangah leng a kilakta, a na chi ua.
35Basi, hao wafuasi wawili wakawajulisha yale yaliyowapata njiani, na jinsi walivyomtambua katika kumega mkate.
35Huan, amau leng lampia thil hongtung leh, tanghou a balkhapa, a mel a natheih takdante uh a hilh sam uh.
36Wanafunzi wote wawili walipokuwa wakiwaambia hayo, Yesu mwenyewe akasimama kati yao, akawaambia "Amani kwenu."
36Huan, huai thu a gen lai un amah mah a lak uah a hongdinga, a kiang uah, Na tunguah khamuanna om heh, a chi a.
37Wakashtuka na kushikwa na hofu wakidhani wameona mzimu.
37Himahleh, mulkimhuai a sa mahmah ua, a lau ua, sikha mu hiin a kingaihtuah ua.
38Lakini yeye akawaambia, "Kwa nini mnafadhaika? Mbona mnakuwa na mashaka mioyoni mwenu?
38Huan, aman, a kiang uah, Bang achia mangbang na hi ua? Bangdia na lungsim ua ginlahna hongom ahia?
39Angalieni mikono na miguu yangu, ya kwamba ni mimi mwenyewe. Nipapaseni mkanione, maana mzimu hauna mwili na mifupa kama mnionavyo."
39Ka khutte ka khepekte en un, kei mahmah ka hi a keihiam! honkhoih unla, thei un; sa leh guh neia non muh bang un khain jaw sa leh guh a nei ngal keia, a chi a.
40Baada ya kusema hayo, akawaonyesha mikono na miguu.
40Huan, huai a gen khitin a khutte a khepekte amau a laka.
41Wakiwa bado katika hali ya kutosadiki kwa sababu ya furaha yao, na wakiwa wanastaajabu, akawauliza, "Mnacho chakula chochote hapa?"
41Huan, a kipah luat jiak ua a gin ngam louh a, lamdang a sak lai un, a kiang uah, Hiai ah banghiam nek ding na nei uhia? a chi a.
42Wakampa kipande cha samaki wa kuokwa.
42Huan, nga hou, bak khat a pia ua.
43Akakichukua, akala, wote wakimwona.
43Huan, a la a, a ma uah a neta hi.
44Halafu akawaambia, "Hii ndiyo maana ya maneno niliyowaambia nilipokuwa pamoja nanyi: kwamba ilikuwa lazima kukamilisha yote yaliyoandikwa juu yangu katika Sheria ya Mose na katika vitabu vya manabii na katika kitabu cha Zaburi."
44Huan, a kiang uah, Hiaite ka thu ahi, Mosi Dan khawngah, Jawlnei Laibu khawngah ka tanchin gelh peuhmah a hongtun dingdan na kiang ua ka om laia ka honhilhhilhte, a chi a.
45Kisha, akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa Maandiko Matakatifu.
45Huchiin, laisiangthou thu theihna din a lungtang uh a vaksakta hi;
46Akawaambia, "Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na siku ya tatu atafufuka kutoka wafu,
46huan, a kiang uah, Hichibanga gelh ahi, Krisin gim a thuak dinga, ni thum niin misi lak a kipan a thou nawn ding a,
47na kwamba ni lazima, kwa jina lake, mataifa yote kuanzia na Yerusalemu yahubiriwe juu ya kutubu na kusamehewa dhambi.
47Amah minin lungsim kikhekna thu leh khelh ngaihdamna thu Jerusalem khua apatin, nam chih kiangah hilh ahi ding, chiin.
48Ninyi ni mashahidi wa mambo hayo.
48Huai thil tengteng a theihpihte na hi uh.
49Nami mwenyewe nitawapelekeeni yule ambaye Baba aliahidi kumtuma, lakini ngojeni huku mjini mpaka mtakapopewa ile nguvu itokayo juu."
49Huan, ngai un, ka Pa thil chiam na tunguah ka honsawl dinga; himahleh, tunglam akipan thilhihtheihnaa silhsaka naom masiah uh khopi ah om kinken un, a chi a.
50Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki.
50Huan, Bethani phain a mau a pi khia a; huan, a ban a jak a, a vualjawl a,
51Alipokuwa anawabariki, akawaacha; akachukuliwa mbinguni.
51Huan, hichi ahi a, a vualjawl lai takin amau a paisanta a, van ah pi touhin a omta hi.
52Wao wakamwabudu, wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kubwa:
52Huan, amah a bia ua, kipak petpetin Jerusalem khua ah a kik nawnta uh;huan, Pathian biakin ah Pathian phatin a omom uhi.
53wakakaa muda wote Hekaluni wakimsifu Mungu.
53huan, Pathian biakin ah Pathian phatin a omom uhi.