Swahili: New Testament

Paite

Luke

7

1Baada ya kusema yale aliyotaka watu wasikie, Yesu alikwenda Kafarnaumu.
1Huan, mite jaka a thu gen tengteng a khitin Kapernaum khuaah a luta,
2Huko kulikuwa na jemadari mmoja Mroma ambaye alikuwa na mtumishi wake aliyempenda sana. Huyu mtumishi alikuwa mgonjwa karibu kufa.
2Huan, sepaih zaheutu kuahiam a sikha deihtak a chi a na a, a si dekdeka.
3Yule jemadari aliposikia habari za Yesu, aliwatuma wazee fulani Wayahudi waende kumwomba aje amponye mtumishi wake.
3Huchiin, Jesu tanchin a jak takin a sikha honghihdam dinga ngen dingin a kiangah Juda upate a sawla.
4Walipofika kwa Yesu, walimsihi sana, wakasema: "Huyu anastahili afanyiwe jambo hilo,
4Huan, amau tuh Jesu kiang a vatung ua, limtakin a ngen ua,
5maana analipenda taifa letu, na ndiye aliyetujengea lile sunagogi."
5Amah jaw hiai na hihsak tak ahi; ka nam uh a it a, ka kikhopna in uh leng amah honlamsak ahi, a chi ua.
6Basi, Yesu akaenda pamoja nao. Alipokuwa karibu kufika nyumbani kwa yule jemadari Mroma, yule jemadari aliwatuma marafiki zake wamwambie Yesu: "Bwana, usijisumbue zaidi, maana mimi sistahili uingie nyumbani mwangu.
6Huchiin, Jesu tuh amau toh a hongpai a. Huan, in a tun dekdekin sepaih zaheutun a kiangah, a lawmte a sawla, ka in sung na lutna tak ahi kei,
7Ndio maana sikujiona nastahili hata kuja kwako; amuru tu, na mtumishi wangu atapona.
7Huaijiakin na kianga hong tak hiin leng ka kisimkei, thu leltak gen lechin, ka naupang a dam mai ding.
8Mimi pia ni mtu niliye chini ya mamlaka, na ninao askari chini yangu. Namwambia mmoja, Nenda!, naye huenda; namwambia mwingine, Njoo! naye huja; na nikimwambia mtumishi wangu, Fanya hiki!, hufanya."
8Kei leng mi thua om ka hi a, ka nuaiah sepaihte a om ua; huai mipa, hiai mipa, Pai in, ka chih leh a paia, mi dang kiangah leng, hongpai in, ka chih leh, a hongpai a; ka sikha kiangah leng, Hiai hih in, ka chih leh a hih jel, a chi a.
9Yesu aliposikia hayo, alishangaa; halafu akauelekea ule umati wa watu uliokuwa unamfuata, akasema, "Sijaona imani kubwa namna hii hata katika Israeli."
9Huan, Jesun huai thu a jakin amah tuh lamdang a sa mahmah a, a kihei a, mipi amah juite kiangah, Ka honhilh ahi, Israelte lakah leng hichi tela ginna thupi ka mu kha mahmah kei, a chi a.
10Wale watu walipowasili nyumbani walimkuta yule mtumishi hajambo kabisa.
10Huan, a misawlte in ah a painawn ua, sikha tuh damin a muta uh.
11Baadaye kidogo Yesu alikwenda katika mji mmoja uitwao Naini, na wafuasi wake pamoja na kundi kubwa la watu waliandamana naye.
11Huan, sawtlou chikin khua khat Nain kichi ah a hoha; a nungjuite leh mipi tampitak a kiang ah a hoh sam ua.
12Basi, alipokuwa anakaribia lango la mji, walitokea watu wamebeba maiti ya kijana mmoja, mtoto wa pekee wa mama mjane. Watu wengi wa mji ule walikuwa pamoja na huyo mama.
12Huan, khopi kongkhak kiang a tunin, ngai in, misi a honjawng khia ua, a nu tapa neihsun ahi a, amah lah meithai ahi ngala; a khuate tampi a kiangah a om uh.
13Bwana alipomwona mama huyo, alimwonea huruma, akamwambia, "Usilie."
13Huan, Toupan meithainu a muh takin, a hehpih mahmaha, Kap ken, a chi a.
14Kisha akaenda, akaligusa lile jeneza, na wale waliokuwa wanalichukua wakasimama. Halafu akasema, "Kijana! Nakuamuru, amka!"
14Huan, a vanaiha, lang a khoiha; huchiin, a jawngte a khawlta ua. Huan, Tangval, thou in, ka honchi, a chi a.
15Yule aliyekufa akaketi, akaanza kuongea. Na Yesu akamkabidhi kwa mama yake.
15Huan, misi tuh a tu khia a, a hongpauta a. Huan, Jesun a nu kiangah a peta.
16Watu wote walishikwa na hofu, wakawa wanamtukuza Mungu wakisema: "Nabii mkuu ametokea kati yetu. Mungu amekuja kuwakomboa watu wake."
16Huan, mi tengtengin a lau ua, Pathian a phat ua, I lak ah jawlnei thupi tak a hongsuakta, a chi ua, Pathianin a mite hongvehta ahi, a chi uh.
17Habari hizo zikaenea kote katika Uyahudi na katika nchi za jirani.
17Huan, huai mi tungtang thu tuh Judia gam tengtengah leh a kiang vel gam tengah a thang kheta a.
18Wanafunzi wa Yohane walimpa habari Yohane juu ya mambo hayo yote. Naye Yohane, baada ya kuwaita wawili kati ya wanafunzi wake,
18Huan, Johan nungjuiten huai thu tengteng Johan a hilh ua.
19aliwatuma kwa Bwana wamwulize: "Wewe ndiye yule ajaye, au tumtazamie mwingine?"
19Huchiin, Johanin a nungjuite nih a sama, Toupa kiangah a sawla, Hongpai dingpa na hi hia, mi dang hungaih lailai ding ka hi uhia? chiin.
20Wale wanafunzi walipomfikia Yesu wakamwambia, "Yohane Mbatizaji ametutuma kwako tukuulize: Wewe ndiye yule ajaye, au tumtazamie mwingine?"
20Huan, mite tuh a kiang a hongtun un, Baptispa Johanin, Hongpai dingpa na hi hia, mi dang hungaihlailai ding ka hi uhia? chiin, na kiangah kou a honsawl, a chi ua.
21Wakati huohuo, Yesu alikuwa anawaponya watu wengi waliokuwa wanateseka kwa magonjwa na waliopagawa na pepo wabaya, akawawezesha vipofu wengi kuona tena.
21Huan, huailai takin Jesun chinate, hipi veite, dawi matte tampi a hihdama, mittaw tampite leng a mit uh a hihvaka.
22Basi, Yesu akawajibu, "Nendeni mkamwambie Yohane yale mliyojionea na kuyasikia: vipofu wanaona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa Habari njema.
22Huan, a kiang uah, Pai nawnta unla, thil na muh uleh na jak uh Johan vahilh un; mittawte a mit uh a hongvakta, khebaite khein a hongpaita ua, phakte a hongsiangthouta uh, bengngongte leng a bil uh a hongvakta, misite kaihthohin a omta uh, ajawngten Tanchin Hoih hilh a tangta uh.
23Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami!"
23Huan, kuapeuh ka tunga lunghihlouhna mu loutuh a hampha hi, a chi a, a dawnga.
24Hapo wajumbe wa Yohane walipokwisha kwenda zao, Yesu alianza kuyaambia makundi ya watu juu ya Yohane: "Mlikwenda kule jangwani, hivi mlitaka kuona kitu gani? Mlitaka kuona unyasi unaotikiswa na upepo?
24Huan, Johan sawltakte a pai nung un Jesun mipite kiangah Johan thu a genta a, Bang en dinga gamdaia pai khia neita ua? Sialluang huih mut ling maw?
25Basi, mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumwona mtu aliyevalia mavazi maridadi? La hasha! Wanaovaa mavazi maridadi na kuishi maisha ya anasa, hukaa katika majumba ya wafalme!
25A hihkeileh, bang en dingpena pai khia neita ua? Puan nem silhmi maw? Ngai un, puan thupi silh leh mi nuamsate kumpipate in khawngah eive a om uh.
26Basi, niambieni, mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumwona nabii? Naam, hakika ni zaidi ya nabii.
26Ahihkeileh, bang en ding penin ahia na pai khiak uh? Jawlnei maw? A hi tawk vo oi, ka honchi ahi, jawlnei sanga leng thupijaw.
27Huyu Yohane ndiye anayesemwa katika Maandiko Matakatifu: Hapa ni mtumishi wangu, asema Bwana; ninamtuma akutangulie, akutayarishie njia."
27En dih, ka thangkou na ma ah ka sawl ahi, aman na ma ah na lam a bawl ding, chi-a, a tanchin kigelh, hiai mipa ahi.
28Yesu akamalizia kwa kusema, "Nawaambieni, kati ya binadamu wote hakuna aliye mkubwa zaidi kuliko Yohane Mbatizaji. Hata hivyo, yule aliye mdogo kabisa katika ufalme wa Mungu ni mkubwa zaidi kuliko yeye."
28Numei suan lakah Johan sanga thupi jaw a om kei; himahleh, Pathian gama mi neu pen leng amah sangin a thupi jaw, ka honchi a chi a.
29Waliposikia hayo watu wote na watoza ushuru waliusifu wema wa Mungu; hao ndio wale waliokuwa wameupokea ubatizo wa Yohane.
29Huan, mi tengtengin a jak un, siahkhonmite toh, Johan baptisma natangsa ahi ua, Pathian siam a tangsak uhi.
30Lakini Mafarisayo na walimu wa Sheria walikataa mpango wa Mungu uliowahusu wakakataa kubatizwa na Yohane.
30Pharisaite leh dan theimiten bel a kianga baptisma natangsa ahi kei ua, amaua dinga Pathianin a hoih dia a sehsak tuh a deih kei uh.
31Yesu akaendelea kusema, "Basi, nitawafananisha watu wa kizazi hiki na kitu gani? Ni watu wa namna gani?
31Huchiin Jesu mahin, Tulai khangthakte bang toh ka teh de aw? bangtobang ahi ua?
32Ni kama vijana waliokuwa wamekaa sokoni na kuambiana, kikundi kimoja na kingine: Tumewapigieni ngoma, lakini hamkucheza! Tumeomboleza, lakini hamkulia!
32Naupang dawlmuna tua, Tamngai hon tumsak unga, lam lou uchina; kap huphup unga, nou lah kaptuan lou uchina, chia, kichi tuah bang ahi uh.
33Kwa maana Yohane alikuja, yeye alifunga na hakunywa divai, nanyi mkasema: Amepagawa na pepo!
33Baptispa Johan a hongpaia, tanghou a ne keia, uain leng a dawn kei a, nou ten, Dawi jawl ei ve, na chi ua.
34Akaja Mwana wa Mtu; anakula na kunywa, mkasema: Mwangalieni mlafi huyu na mlevi; rafiki ya watoza ushuru na wenye dhambi!
34Mihing Tapa a hongpaia, a nein a dawna, nouten, En dih uh, anhaipa, uain haipa, siahkhonmite leh mi khialte lawm: na chi ngal ua.
35Hata hivyo, hekima ya Mungu imethibitishwa kuwa njema na wote wale wanaoikubali."
35Himahleh, pilna tuh a ta tengtengin siam a tan uh.
36Mfarisayo mmoja alimwalika Yesu kula chakula nyumbani kwake. Akaingia nyumbani mwa huyo Mfarisayo, akakaa kula chakula.
36Huan, Pharisaite laka mi khatin a kianga an ne din a deih a. Huan, huai Pharisai in ah a luta, an a um a.
37Basi, katika mji ule kulikuwa na mama mmoja aliyekuwa anaishi maisha mabaya. Alipopata habari kwamba Yesu yuko nyumbani kwa huyo Mfarisayo, alichukua chupa ya alabasta yenye marashi.
37Huan, ngai dih, huai khuaa numei khat omin Pharisai in ah an umin a tu chih a theih takin alabasta bawmin thau namtui a hontawi a,
38Akaja, akasimama karibu na miguu yake Yesu, akilia, na machozi yake yakamdondokea Yesu miguuni. Huyo mwanamke akaipangusa miguu ya Yesu kwa nywele zake. Kisha akaibusu na kuipaka yale marashi.
38A nungah a khepek bul ah kap kawmin a dinga, a khituiin a khepek a sukawt a, a samin a nula, a khepek tuh a tawp a, thau namtuiin a nuh.
39Yule Mfarisayo aliyemwalika Yesu alipoona hayo, akawaza moyoni mwake, "Kama mtu huyu angekuwa kweli nabii angejua huyu mwanamke ni wa namna gani, ya kwamba ni mwenye dhambi."
39Huan, a sampa Pharisaiin huai a muhin, a lungsimin, Hiai mi jawlnei a hih leh akhoihnu numei kua ahia, mi bangchi ahia, theih tuaktak hi a, mi khial ahi ngala, a chi a.
40Yesu akamwambia huyo Mfarisayo, "Simoni, ninacho kitu cha kukwambia." Naye Simoni akamwambia, "Ndio Mwalimu, sema." Yesu akasema,
40Huan, Jesun, a kiangah, Simon, na kiangah thu kamkhat gen ding ka nei, a chi a, a dawnga, Huan, aman, Bang ahia, Sinsakpa? a chi a.
41"Watu wawili walikuwa wamemkopa mtu fedha: mmoja alikuwa amekopa dinari mia tano, na mwingine hamsini.
41Huan, Jesun, Dangka leitawi sak kuahiamin leibami nih a neia: khatin makhai za nga a ba a, khatin sawm nga.
42Waliposhindwa kulipa madeni yao, huyo mtu aliwasamehe wote wawili. Sasa ni yupi kati ya hao wawili atampenda zaidi huyo bwana?"
42Huan, a ditna ding a neikei a, a ngaidam tuaktuak ta. Huchiin, huai mite a kuain ahia amah it zo ding? a chi a.
43Simoni akamjibu, "Ni dhahiri kwamba yule aliyesamehewa deni kubwa zaidi atampenda zaidi yule bwana." Yesu akamwambia, "Sawa."
43Simonin, A ngaihdam diak penin hiin ka gingta, a chi a, a dawnga. Huan, aman, a kiangah, Na chi dik, a chi a.
44Halafu akamgeukia yule mwanamke na kumwambia Simoni, "Unamwona huyu mwanamke, sivyo? Basi, mimi nilipoingia hapa nyumbani kwako hukunipa maji ya kunawa miguu yangu; lakini mwanamke huyu ameniosha miguu yangu kwa machozi yake na kunipangusa kwa nywele zake.
44Huan, numei lam a nga a, Simon kiangah, Hiai numei na mu hia? Na in ah ka honglutta, nang ka khepek silna ding tui nahon pe keia, aman tuh a khituiin ka khepek a sukawta, a samin a nula.
45Wewe hukunisalimu kwa kunibusu, lakini huyu mwanamke tangu nilipoingia hapa amekuwa akiibusu miguu yangu.
45Nang tawp himhim non tawp kei; aman tuh ka honglut nungsiah ka khepek tawp a tawlnga kei.
46Wewe hukunionyesha ukarimu wako kwa kunipaka mafuta kichwani, lakini huyu mwanamke amefanya hivyo kwa kunipaka mafuta miguu yangu.
46Nang ka lutang ah thau non nilh kei; aman tuh ka khepek thau namtui a nilh.
47Kwa hiyo nakwambia amesamehewa dhambi zake nyingi kwa kuwa ameonyesha upendo mkubwa. Mwenye kusamehe kidogo, hupenda kidogo."
47Huaijiakin ka honchi ahi, A khelhna tampi ngaihdamin a omta; aman nakpitakin a it hi; a hihhangin, ngaihdam tawmin, neuchikin a it nak, a chi a.
48Basi, Yesu akamwambia yule mwanamke, "Umesamehewa dhambi zako."
48Huan, numei kiangah, Na khelhnate ngaihdam ahi ta, a chi a.
49Na hapo wale waliokuwa pamoja naye mezani wakaulizana, "Ni mtu wa namna gani huyu awezaye kusamehe dhambi?"
49Huan, a an umpihten, Mi khialte nangawn ngaidam kua ahia eita? a kichi ua.Huan, aman, numei kiangah, Na ginna hotdam na hih loh ahi, khamuang takin pai in, a chi hi.
50Naye Yesu akamwambia yule mwanamke, "Imani yako imekuokoa; nenda kwa amani."
50Huan, aman, numei kiangah, Na ginna hotdam na hih loh ahi, khamuang takin pai in, a chi hi.