Swahili: New Testament

Paite

Luke

8

1Baada ya hayo, Yesu alipitia katika miji na vijiji akitangaza Habari Njema za Ufalme wa Mungu. Wale kumi na wawili waliandamana naye.
1Anungin Jesu a paipaha, thu hilh leh Pathian gam Tanchin Hoih tun kawmin kho lian leh kho neute a tawn vialviala; a kiangah sawm leh nihte a om ua,
2Pia wanawake kadhaa ambao Yesu alikuwa amewatoa pepo wabaya na kuwaponya magonjwa, waliandamana naye. Hao ndio akina Maria (aitwaye Magdalene), ambaye alitolewa pepo wabaya saba;
2Numei kuate hiam dawi jawl dam nawnte leh china dam nawnte toh. Huai numeite tuh Mari a sunga pat dawi sagih pawtna Magdalini a chih uh,
3Yoana, mke wa Kuza, mfanyakazi mkuu wa Herode; Susana na wengine kadhaa. Hao wanawake walikuwa wakiwatumikia kwa mali yao wenyewe.
3Herod sumkempa Chuza ji Jonna, Sussana leh mi dang tampite toh ahi uh; huaiten amau neihsain amah a khotuah jel uh.
4Kundi kubwa la watu lilikuwa linakusanyika, na watu walikuwa wanamjia Yesu kutoka kila mji. Naye akawaambia mfano huu:
4Huan, mipi tampitak a hongkikhawm ua, kho chiha mi a kianga a hong un, gentehnain thu a gena:
5"Mpanzi alikwenda kupanda mbegu zake. Alipokuwa akipanda zile mbegu, nyingine zilianguka njiani, na wapita njia wakazikanyaga, na ndege wakazila.
5Buhchithehpa a buh chi theh din a kuana; huan, a theh lain a khen lampi sikah a kia a, min a sik ua, tungleng vasaten a ne zouta uh.
6Nyingine zilianguka penye mawe, na baada ya kuota zikanyauka kwa kukosa maji.
6Huan, a khen suang tungah a kia a; huan a pout akin a kawt louh jiakin a vuai pah a.
7Nyingine zilianguka kati ya miti ya miiba. Ile miti ya miiba ilipoota ikazisonga.
7Huan, a khen loulingnei lakah a kia a, louin a pou tonpiha, a dep mangta.
8Nyingine zilianguka katika udongo mzuri, zikaota na kuzaa asilimia mia." Baada ya kusema hayo, akapaaza sauti, akasema, "Mwenye masikio na asikie!"
8Huan, a khen lei hoih ah a kia a, a hongpou a, a leh jain a gahta a, a chi a. Huan, huai thu a gen lain a kikou a, Kuapeuh jakna dinga bilneiin ja uheh, a chi hi.
9Wanafunzi wake wakamwuliza Yesu maana ya mfano huo.
9Huan, a nungjuiten a kiang ah, Hiai gentehna thu bang chihna ahia? chiin, a dong ua.
10Naye akajibu, "Ninyi mmejaliwa kujua siri za Ufalme wa Mungu, lakini hao wengine sivyo; ila hao huambiwa kwa mifano, ili wakitazama wasiweze kuona, na wakisikia wasifahamu.
10Huan, Pathian gam thugukte nou theih dia piak ahia, mi dang kiangah bel gentehna kiaa gen ahi; mu napia a muh theihlouhna ding uleh za napi-a a theihsiam louhna ding un.
11"Basi, maana ya mfano huu ni hii: mbegu ni neno la Mungu.
11Huai gentehna thu hiai ahi: Buh chi tuh Pathian thu ahi.
12Zile zilizoanguka njiani zinaonyesha watu wale wanaosikia lile neno, halafu Ibilisi akaja na kuliondoa mioyoni mwao wasije wakaamini na hivyo wakaokoka.
12Huan, lampi sika te tuh thu zasate ahi uh; huan, diabol a hongpaia, a gin louh ua, hotdam a hih theih louhna ding un a lungtang ua kipan thu tuh a lak mangsak jel.
13Zile zilizoanguka penye mawe zinaonyesha watu wale ambao wanaposikia juu ya lile neno hulipokea kwa furaha. Hata hivyo, kama zile mbegu, watu hao hawana mizizi maana husadiki kwa kitambo tu, na wanapojaribiwa hukata tamaa.
13Huan, suang tunga te tuh a jak tak ua thu kipak taka pom pahte ahi ua; himahleh zung himhim a neikei ua, sawtlou chik kia a ging ua, khem hunin a tawp san nak uh.
14Zile zilizoanguka kwenye miti ya miiba ni watu wale wanaosikia lile neno, lakini muda si muda, wanapokwenda zao, husongwa na wasiwasi, mali na anasa za maisha, na hawazai matunda yakakomaa.
14Huan, loulingnei laka kiate tuh thu zate ahi ua; himahleh a khosak jelna uah damsung khosak ngaihtuahnate, hauhsaknate, nuamsaknaten a depa, a gah piching kei nak uh.
15Na zile zilizoanguka kwenye udongo mzuri ndio watu wale wanaolisikia lile neno, wakalizingatia kwa moyo mwema na wa utii. Hao huvumilia mpaka wakazaa matunda.
15Lei hoih ate bel thu jaa lungtang kizen leh hoih a kem kinken a, kuhkaltaka gah suahte ahi uh.
16"Watu hawawashi taa na kuifunika kwa chombo au kuiweka mvunguni. Lakini huiweka juu ya kinara ili watu wanapoingia ndani wapate kuona mwanga.
16Kuamahin khawnvak dein belin a khuh kei uh, lupna nuaiah leng a koih kei uh; a lut peuhmahin a vak a muh theihna dingun a koihna ah a koih jaw uh.
17"Chochote kilichofichwa kitafichuliwa na siri yoyote itagunduliwa na kujulikana hadharani.
17Thang lou ding a im bangmah a om ngal kei a, theih louh ding leh lang lou dinga selguk bangmah a om sam kei.
18"Kwa hiyo, jihadharini jinsi mnavyosikia; maana aliye na kitu ataongezewa, lakini yule asiye na kitu, hata kile anachodhani kuwa anacho, kitachukuliwa."
18Huchiin, bangchibangin ahia na jak uh pilvang un; kuapeuh a nei tuh piak behlap ahi ding a, kuapeuh a neilou tuh, nei a kichih sun leng lak sak ahi ding, a chi hi.
19Hapo mama na ndugu zake Yesu wakamjia, lakini hawakuweza kumkaribia kwa sababu ya umati wa watu.
19Huan, a nu leh a unauten Jesu lam a honnaih ua, himahleh mipi jiakin a kiang a hongtung theikei ua.
20Yesu akapewa habari kwamba mama na ndugu zake walikuwa nje, wanataka kumwona.
20Huan, Na nu leh na unaute nangmah muh tumin inpua ah ding nilouh ve uh, chiin, a hilh ua.
21Lakini Yesu akawaambia watu wote, "Mama yangu na ndugu zangu ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika."
21Huan, aman a kiang uah, Hiai Pathian thu jaa gingtate ka nu leh ka unaute ahi uh, a chi a, a dawnga.
22Siku moja, Yesu alipanda mashua pamoja na wanafunzi wake, akawaambia, "Tuvuke ziwa twende mpaka ng'ambo." Basi, wakaanza safari.
22Huan, hichi ahi a, huailaiin ni khat tuh longah a tuanga, a nungjuite toh; huan, a kiang uah, Dil gal khat lamah I kai ding, a chi a. Huchiin long a phel ua, a paita ua.
23Walipokuwa wanasafiri kwa mashua, Yesu alishikwa na usingizi, akalala. Dhoruba kali ikaanza kuvuma, maji yakaanza kuingia ndani ya mashua, wakawa katika hatari.
23Huan, a pai lai un Jesu a ihmutaa; huan, dilah huihpi a hongnung suka, a long uh tuiin a dim dekdeka, lauhuai piin a omta uh.
24Wale wanafunzi wakamwendea Yesu, wakamwamsha wakisema, "Bwana, Bwana! Tunaangamia!" Yesu akaamka, akaikemea dhoruba na mawimbi, navyo vikatulia, kukawa shwari.
24Huan, a kiangah a vahoh ua, a phawng ua, Heutupa, Heutupa, mangthang ding ka kei umaw, a chi ua. Huan amah a khanglou-a huih leh tuikihot a taita a; huan, a tawp ua, a daita mai uhi.
25Kisha akawaambia, "Iko wapi imani yenu?" Lakini wao walishangaa na kuogopa huku wakiambiana, "Huyu ni nani basi, hata anaamuru dhoruba na mawimbi, navyo vinamtii?"
25Huan, a kiang uah, Na ginna uh kaw om ahia? a chi a. Huan, a lau ua, lamdang a sa mahmah ua, Hiai mi kua ahia leh? huih leh tui nangawn thu a piaka, a thu a man uh? a kichi uhi.
26Wakaendelea na safari, wakafika pwani ya nchi ya Wagerase inayokabiliana na Galilaya, ng'ambo ya ziwa.
26Huan, Gaili gam jawn Gerasinte gam a tung ua.
27Alipokuwa anashuka pwani, mtu mmoja aliyekuwa amepagawa na pepo alimjia kutoka mjini. Kwa muda mrefu mtu huyo, hakuwa anavaa nguo, wala hakuwa anaishi nyumbani bali makaburini.
27Huan, gama a pai khiakin, khuaa mi dawi mat kuahiamin a nadawna; huai mi tuh sawtpi puan himhim silh louin a oma, in himhim ah leng a om keia, han khawng ngen ah a om jaw a.
28Alipomwona Yesu, alipiga kelele na kujitupa chini mbele yake, na kusema kwa sauti kubwa "We, Yesu Mwana wa Mungu Aliye Juu una shauri gani nami? Ninakusihi usinitese!"
28Huan, Jesu a muh takin a kikou a, a maah a khupboha, aw ngaih piin, Jesu, Pathian Tungnungpen Tapa, kei leh nang bang i kizolhna a om a? honhihgim mahmah lou dingin ka honngen ahi, a chi a.
29Alisema hivyo kwa kuwa Yesu alikwishamwambia huyo pepo mchafu amtoke mtu huyo. Pepo huyo mchafu alikuwa anamvamia mtu huyo mara nyingi, na ingawa watu walimweka ndani na kumfunga kwa minyororo na pingu, lakini kila mara alivivunja vifungo hivyo, akakimbizwa na pepo huyo mchafu hadi jangwani.
29Jesun dawi nin tuh huai mi sunga kipana pawt dingin thu a nape khin ngala. Huai mi tuh dawiin a man gige ahi; min khainiang leh kol a bun sak ua, a ching ngitnget ua; himahleh a gakna uh a hihtata, dawiin gamkeu khawngah a delhkhe jel hi.
30Basi, Yesu akamwuliza, "Jina lako nani?" Yeye akajibu, "Jina langu ni Jeshi" --kwa sababu pepo wengi walikuwa wamempagaa.
30Huan, Jesun, Na min bang ahia? chiin, a donga. Huan, aman, Nuai, a chi a, a sunga dawi tampi a lut jiakin.
31Hao pepo wakamsihi asiwaamuru wamtoke na kwenda kwenye shimo lisilo na mwisho.
31Huan, kokhuk toneiloua pai thu a kiang ua pe lou dingin Jesu kiangah a ngen uh.
32Kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe wakilisha mlimani. Basi, hao pepo wakamsihi awaruhusu wawaingie. Naye Yesu akawapa ruhusa.
32Huan, huailaiah tangah vok hon tampi a ta ua; huan, vok sunga lut theihna thu a kiangah a ngen ua. Huan, aman thu a pia a.
33Kwa hiyo pepo hao wakamtoka yule mtu, wakawaingia wale nguruwe, nao wakaporomoka kwenye ule mteremko mkali, wakatumbukia ziwani, wakazama majini.
33Huan, Dawite tuh huai mi sung akipan a pawt ua, vok sungah a lut ua; huan, vok hon tuh tuigei ken ah a tai suk duamduam ua, dil ah a tai lut ua, tuihakin a sita uh.
34Wale wachungaji walipoona yote yaliyotokea walikimbia, wakaenda kuwapa watu habari, mjini na mashambani.
34Huan, a vulten huai thil omdan a mu ua, a tai ua, khuaah leh gamahte khawng a gen ua.
35Watu wakaja kuona yaliyotokea. Wakamwendea Yesu, wakamwona yule mtu aliyetokwa na pepo ameketi karibu na Yesu, amevaa nguo, ana akili zake, wakaogopa.
35Huan, Bang a hita a? chia, en dingin a pawt chiat ua; huan, Jesu kiang a hongtun un, dawi pawtsan nung puan silha, lungsim ngeingei puin, Jesu khe bula tu a hongmu ua, huchiin a lauta ua.
36Wale watu walioshuhudia tukio hilo waliwaeleza hao jinsi yule mtu alivyoponywa.
36Huan, a theiten dawi mat a hihdamdan thu a maute a na hilh ua.
37Wakazi wa nchi ya Gerase walishikwa na hofu kubwa. Kwa hiyo wakamwomba Yesu aondoke, aende zake. Hivyo Yesu alipanda tena mashua, akaondoka.
37Huan a kim Gerasinte gama mi tengtengin, a lau mahmah jiak un, amah tuh a kiang ua kipan pai mang dingin a ngen ua; huan, longah a tuanga, a kik nawnta.
38Yule mtu aliyetokwa na wale pepo akamsihi aende pamoja naye. Lakini Yesu hakumruhusu, bali akamwambia,
38Huan, dawi pawtsan miin Jesu kianga om den a ngena.
39"Rudi nyumbani ukaeleze yote Mungu aliyokutendea." Basi, yule mtu akaenda akitangaza kila mahali katika mji ule mambo yote Yesu aliyomtendea.
39Himahleh, Jesun, Na in ah pai inla, Pathianin nang dia thil a honhihsak a thupidan vahilh in, chiin a sawl khia hi. Huchiin, a paia, khopi sung tengteng ah Jesun amah adia thil a hihsak thupidan a tangkou pihta hi.
40Yesu aliporudi upande mwingine wa ziwa, kundi la watu lilimkaribisha, kwa maana wote walikuwa wanamngojea.
40Huan, Jesu a hongkik nawnin Mipiin amah a kipahpih ua; amah a nangak nilouh ngal ua.
41Hapo akaja mtu mmoja aitwaye Yairo, ofisa wa sunagogi. Alijitupa miguuni pa Yesu, akamwomba aende nyumbani kwake,
41Huan, ngai dih, mi khat a min Jaira kikhopna in vaihawmpa a hongpaia, Jesu khebul ah a khupboha, a ina hoh dingin a ngen ngutnguta.
42kwa kuwa binti yake wa pekee, mwana wa pekee mwenye umri wa miaka kumi na miwili, alikuwa mahututi. Yesu alipokuwa akienda, watu wakawa wanamsonga kila upande.
42Tanu tangkhat kum sawm leh kum nih hiam phial ding a neia, huai tuh laitatin a lum ngala. Huan Jesu a pai laiin mipi honin a boh lutlut ua.
43Kulikuwa na mwanamke mmoja kati ya lile kundi la watu, ambaye alikuwa na ugonjwa wa kutokwa damu kwa muda wa miaka kumi na miwili, ingawa alikuwa amekwisha tumia mali yake yote kwa waganga, hakuna aliyefaulu kumponya.
43Huan, numei khat kum sawm leh kum nih si pawt a china a sum neih tengteng daktorte lakah zang khintaa, kuamahin a hihdam theih tuan;
44Huyo mwanamke alimfuata Yesu nyuma, akagusa pindo la vazi lake. Papo hapo akaponywa ugonjwa wake wa kutokwa damu.
44louh uh a nungah a hongpaia, a puan mong a khoiha; thakhatin a si pawt tuh a hongkam guiha.
45Yesu akasema, "Ni nani aliyenigusa?" Wote wakasema kwamba hapakuwa na mtu aliyemgusa. Naye Petro akasema, "Mwalimu, umati wa watu umekuzunguka na kukusonga!"
45Huan, Jesun, Honkhoih kua ahia? a chi a. Huan, Kei jaw ka hi kei, a nachi chiat ua. Peter leh a lawmten, Heutupa, mipi honin a honboh lutlut ua, honvel vengvung ve ua oi, a chi ua.
46Lakini Yesu akasema, "Kuna mtu aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka."
46Himahleh, Jesun, Kua hiam in jaw honkhoih ve aw, thilhihtheihna ka sung akipan a pawt chih ka theih jiakin, a chi a.
47Yule mwanamke alipoona kwamba hawezi kujificha, akajitokeza akitetemeka kwa hofu, akajitupa mbele ya Yesu. Hapo akaeleza mbele ya wote kisa cha kumgusa Yesu na jinsi alivyoponyeshwa mara moja.
47Huan, numeiin a kisel theih louh a theihin, ling kawmin a hongpaia, a maah khupbohin a khoih san leh thakhata a damtak dan mi tengteng maah a genkhe ta.
48Yesu akamwambia, "Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani."
48Huan, aman, a kiangah, Tanu, na ginna dampih hi chia, khamuangtakin pai in, a chi a.
49Alipokuwa bado akiongea, Yairo akaletewa habari kutoka nyumbani: "Binti yako ameshakufa, ya nini kumsumbua Mwalimu zaidi?"
49A pau laitakin kikhopna in vaihawmpa in akipan mi khat a hongpaia, Na tanu a sita, Heutupa hihgim nuamdahin, a chi a.
50Yesu aliposikia hayo akamwambia Yairo, "Usiogope; amini tu, naye atapona."
50Jesun huai thu a jakin, Lau ken, gingta mai in, huchiin a dam nawn ding, a chi a, a dawnga.
51Alipofika nyumbani hakumruhusu mtu kuingia ndani pamoja naye, isipokuwa Petro, Yohane, Yakobo na wazazi wa huyo msichana.
51Huan, in a vatunin, Peter, Johan, Jakob leh naupang nu leh pate kia chih louhngal kuamah lut a phal keia.
52Watu wote walikuwa wakilia na kuomboleza kwa ajili yake. Lakini Yesu akawaambia, "Msilie, kwa maana mtoto hajafa, amelala tu!"
52Huan, a vek un a nakap kheukhou ua, a kah vengvung ua, himahleh, aman, kap kei un, a si kei, a ihmu ahi jaw, a chi a.
53Nao wakamcheka kwa sababu walijua kwamba alikuwa amekufa.
53Huan, sikhina a theih jiak un a nuihsan maimah ua.
54Lakini Yesu akamshika mkono akasema, "Mtoto amka!"
54Jesun bel a khut a lena, Nungak, thou ve, a chi a, a sam a.
55Roho yake ikamrudia, akaamka mara. Yesu akaamuru wampe chakula.
55Huan, a kha tuh a hongkik nawna, a thou paha.Huan, Banghiam nek ding piak ding thu a piaa. Huan, a nu leh a pan lamdang a sa mahmah ua. Himahleh, aman a thilhih tuh kuamah hilh lou dingin a chi bikbek hi.
56Wazazi wake walishangaa, lakini Yesu akawaamuru wasimwambie mtu yeyote hayo yaliyotendeka.
56Huan, Banghiam nek ding piak ding thu a piaa. Huan, a nu leh a pan lamdang a sa mahmah ua. Himahleh, aman a thilhih tuh kuamah hilh lou dingin a chi bikbek hi.