1Walipokuwa wanakaribia Yerusalemu walifika Bethfage na Bethania, karibu na mlima wa Mizeituni. Hapo aliwatuma wawili wa wanafunzi wake,
1Huan, Jerusalem khua tung dinga a kisak ua, Oliv tanga Bethphage leh Bethani kho kiang a tun un, a nungjuite laka mi nih a sawla, a kiang uah,
2akawaambia, "Nendeni katika kijiji kilicho mbele yenu. Mtakapokuwa mnaingia humo, mtakuta mwana punda amefungwa ambaye bado hajatumiwa na mtu. Mfungueni mkamlete.
2Hua na majawn ua, khua ah vahoh unla; huan, na lut tung un sabengtung nou khih, kuamah tuan ngei louhna, na vamu ding ua; huai tuh phel unla, honkai un.
3Kama mtu akiwauliza, Mbona mnafanya hivyo? Mwambieni, Bwana anamhitaji na atamrudisha hapa mara."
3Huan, kuapeuhin, Huai bangdia hih? A honchih uleh, Toupan a deih ahi; hiai lai-ah a honkoihsak nawnpah ding, na chi ding uh, a chi a.
4Basi, wakaenda, wakamkuta mwana punda barabarani amefungwa mlangoni. Walipokuwa wakimfungua,
4Huan, a hohta ua, kongzing ah kongkhak polama sabengtung nou khih a vamu ua; huan, huai tuh a phelta uh.
5baadhi ya watu waliokuwa wamesimama hapo wakawauliza "Kwa nini mnamfungua huyo mwana punda?"
5Huan, huaia ding kuate hiamin, a kiang uah, Sabengtung nou bangdia phel? a chi ua.
6Wanafunzi wakajibu kama Yesu alivyokuwa amewaambia; nao wakawaacha waende zao.
6Huan, amau Jesu gen bang takin a kiang uah a gen ua; huchiin a phalta uh.
7Wakampelekea Yesu huyo mwana punda. Wakatandika mavazi yao juu ya huyo mwana punda, na Yesu akaketi juu yake.
7Huan, sabengtung nou tuh Jesu kiangah a honkai ua, a tungah a puante uh a phah ua; huan, a tungah a tuangta hi.
8Watu wengi wakatandaza mavazi yao barabarani; wengine wakatandaza matawi ya miti waliyoyakata mashambani.
8Huan, mi tampiin lampi ah a puan uh a phah ua; mi dangin leng gama sawlnah satin a phah ua.
9Watu wote waliotangulia na wale waliofuata wakapaaza sauti zao wakisema, "Hosana! Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana!
9Huan, a ma lama paite leh a nunglama honjuiten, Hosanna! Toupa mina hongpai a hampha!
10Ubarikiwe Ufalme ujao wa baba yetu Daudi. Hosana juu mbinguni!"
10Gam hongtung ding, i Pa David gam a hampha! Tungnungpen ah Hosanna! chiin a kikou ua.
11Yesu aliingia mjini Yerusalemu akaenda moja kwa moja mpaka Hekaluni, akatazama kila kitu kwa makini. Lakini kwa vile ilikwisha kuwa jioni, akaenda Bethania pamoja na wale kumi na wawili.
11Huan, Jerusalem khuaa Pathian biakin ah a valut a; huan, bangkim a et velvel khitin nitaklam leng a honghita a, a pawt a, sawm leh nihte toh Bethani ah a hohta ua.
12Kesho yake, walipokuwa wanatoka Bethania, Yesu aliona njaa.
12Huan, a jingin Bethani akipan a pawt nungin a gil a hongkialta a.
13Basi, akaona kwa mbali mtini wenye majani mengi. Akauendea ili aone kama ulikuwa na tunda lolote. Alipoufikia, aliukuta bila tunda lolote ila majani matupu, kwa vile hayakuwa majira ya mtini kuzaa matunda.
13Huan, theipi kung nah nei gamlapia a mu a, A gah ka muh khak leh, chiin a vajuana; huan, a vatunin a nah kia loungal bangmah a mu kei a; theipi gah hun ahi kei him a.
14Hapo akauambia mtini, "Tangu leo hata milele mtu yeyote asile matunda kwako." Nao wanafunzi wake walisikia maneno hayo.
14Huchiin, Jesun sing tuh a houpihta a, Tuban khantawnin nang apat kuamahin gah ne nawnta kei hen, a chi a. A nungjuiten huai tuh a ja uh.
15Basi, wakafika Yerusalemu. Yesu akaingia Hekaluni, akaanza kuwafukuza nje watu waliokuwa wanauza na kununua vitu humo ndani. Akazipindua meza za wale waliokuwa wakibadilishana fedha na viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa.
15Huan, Jerusalem khua a tung ua, Pathian biakin ah a valut-a, biakina banghiam juakmite leimite a delh khia-a, dangka khengmite dohkante leh vakhu juakmite tutphah khawng a sawn puk sak-a;
16Hakumruhusu mtu yeyote kupitia Hekaluni akichukua kitu.
16Huan, Pathian biakina kuamahin van a lut paisuak pih uh a phalta kei hi.
17Kisha akawafundisha, "Imeandikwa: Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa ajili ya mataifa yote! Lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi!"
17Huan, a kiang uah, Ka in nam chih adingin thumna in a chi ding uh, chih gelh ahi ka hia? Nou lah suamhatte khukin nabawl jaw ua, chiin, a hilhta.
18Makuhani wakuu na walimu wa Sheria waliposikia hayo, walianza kutafuta njia ya kumwangamiza. Lakini walimwogopa kwa sababu umati wa watu ulishangazwa na mafundisho yake.
18Huan, siampu liante leh laigelhmiten huai a ja ua, huan amah a hihmanthat theihna ding a zongta ua; mipi tengtengin amah a lau ngal ua, a thuhilh lamdang a sak jiakun.
19Ilipokuwa jioni, Yesu na wanafunzi wake waliondoka mjini.
19Huan, nitaklam a honghihin khopia kipanin a pawt khia uh.
20Asubuhi na mapema, walipokuwa wanapita, waliuona ule mtini umenyauka wote, hata mizizi.
20Huan, jingsanga a pai kawm un theipi kung tuh a zung tan phaa vuai khin vekin a muta ua.
21Petro aliukumbuka, akamwambia Yesu, "Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani, umenyauka!"
21Huchiin, Peterin theikhiain, a kiangah, Heutupa, en dih: theipi kung hamsiat na loh a na vuai khin vekta, a chi a.
22Yesu akawaambia, "Mwaminini Mungu.
22Huan, Jesun a kiang uah, Pathian gingta un.
23Nawaambieni kweli, mtu akiuambia mlima huu: Ng'oka ukajitose baharini bila kuona shaka moyoni mwake, ila akaamini kwamba mambo yote anayosema yanafanyika, atafanyiwa jambo hilo.
23Chihtaktakin ka honhilh ahi, kuapeuhmahin, hiai tang kiangah, Na kisuan inla, tuipi ah nakipai in, chia, a lungtanga ginglel loua a gen tuh a tung ngeingei ding chih gingta peuhmahin a gen bangbang a mu ding uh.
24Kwa hiyo nawaambieni, mnaposali na kuomba kitu, aminini kwamba mmekipokea, nanyi mtapewa.
24Huaijiakin ka honhilh ahi, bangkim na thum ua na nget peuhmah uh mu sain kiging unla huchiin, na mu ding uh.
25Mnaposimama kusali, sameheni kila mtu aliyewakosea chochote, ili Baba yenu aliye mbinguni awasamehe ninyi makosa yenu.
25Huan, thuma na din peuhmah chiang un kua tungah leng thupoi banghiam na neih uleh ngaidam un; na Pa uh vana omin leng na tatlekna uh a honngaihdam theihna dingin.
26Lakini msipowasamehe wengine, hata Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu."
26A hihhangin na ngaihdam kei uleh, na Pa uh vana omin leng na tatleknate uh honngaidam sam kei ding hi, a chi a, a dawnga.
27Basi, wakafika tena Yerusalemu. Yesu alipokuwa akitembea Hekaluni, makuhani wakuu, walimu wa Sheria na wazee walimwendea,
27Huan, Jerusalem khua a tung nawn ua; huan, Pathian biakina a vakvak laiin siampu liante, laigelhmite, upate a kiangah a hong ua,
28wakamwuliza, "Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Nani aliyekupa mamlaka ya kufanya mambo haya?"
28A kiangah, Kua thuin ahia hiai thilte na hih? Hiai thilte hih dingin kuan ahia thu nang honpia? a chi ua.
29Lakini Yesu akawaambia, "Nitawaulizeni swali moja; mkinijibu, na pia nitawaambieni ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.
29Huan, Jesun a kiang uah, Ken leng thu kam khat ka hondong sam ding, hondawng le uchin, huchiin kua thuin ahia hiai thil ka hih chih ka honhilh ding.
30Je, mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka mbinguni ama kwa watu? Nijibuni."
30Johan Baptisma vana kipan hia; mihing a kipan? hondawng un, a chi a.
31Wakaanza kujadiliana, "Tukisema, Yalitoka mbinguni, atatuuliza, Basi, mbona hamkumsadiki?
31Huan, a kingaihtuah ua, Vana kipan chi lehang, Bang achia a thu ging lou na hi ua leh? a honchi kha dia;
32Na tukisema, Yalitoka kwa watu..." (Waliogopa umati wa watu maana wote waliamini kwamba Yohane alikuwa kweli nabii.)
32mihinga kipan, i chi dia eita maw? a ki chi ua. Himahleh mipi a kihta ua; mi tengtengin Johan lah jawlnei taktakin a bawl chiat ngal ua.Huchiin, Jesu a dawng ua, Thei kei ung, a chi ua. Huan, Jesun a kiang uah, Ken leng kua thuin ahia hiai thil ka hih, ka honhilh sam kei ding, achia.
33Basi, wakamjibu Yesu, "Sisi hatujui." Naye Yesu akawaambia, "Nami pia sitawaambieni ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani."
33Huchiin, Jesu a dawng ua, Thei kei ung, a chi ua. Huan, Jesun a kiang uah, Ken leng kua thuin ahia hiai thil ka hih, ka honhilh sam kei ding, achia.