Swahili: New Testament

Paite

Mark

6

1Yesu aliondoka hapo akaenda katika kijiji chake, akifuatwa na wanafunzi wake.
1Huan, huaia kipanin a pawta, a omna kholam a tungta a; a nungjuiten a jui jel uh.
2Siku ya Sabato ilipofika, alianza kufundisha katika sunagogi. Wengi waliomsikia walishangaa, wakasema, "Je, ameyapata wapi mambo haya? Ni hekima gani hii aliyopewa? Tena, anatendaje maajabu haya anayoyafanya?
2Huan, Khawlni a honghi a, kikhopna in ah thu a hilh a; huan, mi tampi a thu zaten, Hiai min hiai thu koia kipana a muh ahia? Hiai mi kianga pilna piak bang pilna ahia? A khutin hichi tela thillamdang a hih bangchidan ahia?
3Je, huyu si yule seremala mwana wa Maria, na ndugu yao kina Yakobo, Yose, Yuda na Simoni; Je, dada zake si wanaishi papa hapa kwetu?" Basi, wakawa na mashaka naye.
3Hiai mi Mari tapa, Jakob, Jose, Juda leh Simon sanggampa, singlem bawlpa ahi ka hia? A sanggamnute leng hiaia i kiang ua om ahi kei ua hia? a chi ua, lamdang a sa mahmah ua. Huchiin, a tungah a lungkimta kei uh.
4Yesu akawaambia, "Nabii hakosi heshima isipokuwa katika nchi yake, kwa jamaa zake na nyumbani mwake."
4Huan, Jesun, a kiang uah, Jawlnei jaw amah kholam ah, amah behte lakah, amah in kia loungal ah pahtawi louhin a om ngei kei, a chi a.
5Hakuweza kutenda miujiza hapo, ila aliwawekea mikono wagonjwa wachache, akawaponya.
5Huan, mi damlou tawm chikte tunga khut koiha a hihdam kia loungal huai ah jaw thil thupi himhim a hih theikei.
6Alishangaa sana kwa sababu ya kutoamini kwao. Kisha Yesu alivitembelea vijiji vya pale karibu akiwafundisha watu.
6A gin louhna jiak un lamdang a sa mahmah hi. Huan, thu a hilh kawm jelin khuate a tawn vialvial hi.
7Aliwaita wale wanafunzi kumi na wawili, akaanza kuwatuma wawiliwawili. Aliwapa uwezo wa kuwatoa pepo wachafu,
7Huan, sawm leh nihte a sama, nih nihin a sawl khia a; dawi ninte tunga thuneihna leng a pia a.
8na kuwaamuru, "Msichukue chochote mnapokwenda isipokuwa fimbo tu. Msichukue mkate, wala mkoba, wala fedha kibindoni.
8Huan, a zinna ua dingin chiangkhun kia loungal bangmah tanghou leng, kawljal leng, a kawng gak ua dangka leng tawi louh ding a chi bikbek a.
9Vaeni viatu lakini msivae kanzu mbili."
9Khedap bel but ding a chi a; puannak nih silh kei un, a chi lai a.
10Tena aliwaambia, "Popote mtakapokaribishwa nyumbani, kaeni humo mpaka mtakapoondoka mahali hapo.
10Huan, amahmahin, a kiang uah, Koi peuh ah leng na tunna in uah, huaia kipana na pawt mateng uh tung kinken un
11Mahali popote ambapo watu watakataa kuwakaribisheni au kuwasikiliza, ondokeni hapo na kuyakung'uta mavumbi miguuni mwenu kama onyo kwao."
11Huan koi khua peuhin leng a honkipahpih kei ua, na thu uh a ngaihkhiak kei ua leh, huai akipan na pawt chiang un, amau mohpaih dingin, na khepek nuai ua leivui kai na tatkhe ding uh, a chi a.
12Basi, wakaondoka, wakahubiri watu watubu.
12Huchiin a pai khia ua, mite a kisik ding uh ahi chih a gen ua
13Waliwafukuza pepo wengi wabaya; wakawapaka mafuta wagonjwa wengi, wakawaponya.
13Dawi tampi leng a delhkhia ua, damlou tampi leng thau a nilh ua, a hihdam jel uh.
14Basi, mfalme Herode alisikia juu ya hayo yote, maana sifa za Yesu zilienea kila mahali. Baadhi ya watu walikuwa wakisema, "Yohane Mbatizaji amefufuka kutoka wafu, ndiyo maana nguvu za miujiza zinafanya kazi ndani yake."
14Huan, kumpipa Herodin a na ja a, a min a thantak jiakin, Baptispa Johan misi laka pata hongthou nawn a, huaijiak in huai thilhihtheihnaten amaha sem ei ve, a chi a.
15Wengine walisema, "Mtu huyu ni Eliya." Wengine walisema, "Huyu ni nabii kama mmojawapo wa manabii wa kale."
15Midangten tuh, Elija eive, a chi ua; midangten, Nidanglai jawlneite bang jawlnei khat ahi, a chi ua.
16Lakini Herode alipopata habari hizi alisema, "Huyu ni Yohane! Nilimkata kichwa, lakini amefufuka."
16Herodin bel, a najakin, a lutang ka tanpa ngei, hongthou nawnta ei ve, achia.
17Hapo awali Herode mwenyewe alikuwa ameamuru Yohane atiwe nguvuni, akamfunga gerezani. Herode alifanya hivyo kwa sababu ya Herodia ambaye Herode alimwoa ingawaje alikuwa mke wa Filipo, ndugu yake.
17Herodin tuh a unau Philip ji Herodia jiakin mi a sawl khia a, Johan a mansak a, suangkulh ah henin a na khum khinta ngala. Herodia lah jiin a naneita ngala.
18Yohane alikuwa amemwambia Herode, "Si halali kwako kumchukua mke wa ndugu yako."
18Johanin, Herod kiangah, Na unaupa ji na neih sak siang lou ahi, a na chih khit jiakin,
19Basi Herodia alimchukia sana Yohane, akataka kumwua, asiweze.
19Huaijiakin Herodiain amah a mudah a, hihlup a uta, himahleh a hihthei kei hi.
20Herode alimwogopa Yohane kwa maana alijua kwamba yeye ni mtu mwema na mtakatifu, na hivyo akamlinda. Herode alipenda kumsikiliza Yohane, ingawaje baada ya kumsikiliza, alifadhaika sana.
20Herodin Johan jaw mi diktat leh siangthou tak ahi chih a theih jiakin amah a kihtaa, amah a nahumhum a; a thu a ngaihkhiakin, a mangbang mahmah hi, himahleh kipaktain a ngaikhe jel ngala.
21Ikapatikana nafasi, wakati wa sikukuu ya kuzaliwa kwake Herode. Herode aliwafanyia karamu wazee wa baraza lake, majemadari na viongozi wa Galilaya.
21Huan Herodin a pian niin a mi thupite, sepaihheutu liante, Galili gama mi liante a dinga jana ankuang a lui laiin hun lemtang a hongomta a.
22Basi, binti yake Herodia aliingia, akacheza, akawafurahisha sana Herode na wageni wake. Mfalme akamwambia huyo msichana, "Niombe chochote utakacho, nami nitakupa."
22Herodia tanu a hongluta, a lama, Herod leh a ankuang umpihte a kipaksakta a; huan, kumpipan numei naupang kiangah, Na deihdeih honngen in, kon pe ding, a chi a.
23Tena akamwapia, "Chochote utakachoniomba, nitakupa: hata ikiwa ni nusu ya ufalme wangu."
23Bangpeuh na hongnget phot tuh, ka honpe ding, ka gam kimkhat nangawn leng, chiin, a kiangah a kichiam hial hi.
24Hapo huyo msichana akatoka, akamwuliza mama yake, "Niombe nini?" Naye akamjibu, "Kichwa cha Yohane mbatizaji."
24Huan, amah a pawta, a nu kiang ah, Bang ka ngen dia? a vachi a. Huan, aman, Baptispa Johan lutang, a na chia.
25Msichana akamrudia mfalme mbio akamwomba, "Nataka unipe sasa hivi katika sinia kichwa cha Yohane mbatizaji."
25Huan, amah kintakin kumpipa kiangah a valut pah a, Kuangin Baptispa Johan lutang non piak pah mahmah ka ut, chiin, a ngen a.
26Mfalme akahuzunika sana, lakini kwa sababu ya kiapo chake, na kwa ajili ya wale wageni wake karamuni, hakutaka kumkatalia.
26Huan, kumpipa a lungkham mahmahta a; himahleh a kichiamnate leh a ankuang umpihte jiakin a nasel nuam kei a.
27Basi, mfalme akamwamuru askari kukileta kichwa cha Yohane. Askari akaenda, akamkata kichwa Yohane mle gerezani,
27Huan, kumpipan amah vengte laka sepaih khat a sawl paha, a lutang a honlak dingin thu a pia a. Huan amah suangkulh ah ava paia a lutang a vatan kheta a.
28akakileta katika sinia, akampa msichana naye msichana akampa mama yake.
28a lutang tuh kuangin a honla-a, numei naupang kiang ah a pia a, huan numei naupang kiang ah a pia a, huan numei naupangin a nu kiangah a peta hi.
29Wanafunzi wa Yohane walipopata habari, walikwenda wakachukua mwili wake, wakauzika kaburini.
29Huan, a nung juiten a jak takun, a luang a vala ua, hanah a vuita uh.
30Wale mitume walirudi, wakakusanyika mbele ya Yesu wakamwarifu yote waliyotenda na kufundisha.
30Huan, sawltakte Jesu kiangah a hongkikhawm ua, bangkim, a thil hih peuh u leh, a thuhilh peuh uh, a hong hilh ua.
31Alisema hivyo kwa kuwa kulikuwa na watu wengi mno walikuwa wanafika hapo na kuondoka hata Yesu na wanafunzi wake hawakuweza kupata nafasi ya kula chakula. Basi, Yesu akawaambia, "Twendeni peke yetu mahali pa faragha kula chakula, mkapumzike kidogo."
31Huan, aman a kiang uah, Noumau kiain gamdai mun ah tuamin hong unla, khawl tadih un, a chi a. Mi lah tampi a hongkuan leh a pai a kiphamat ua, an nangawn leng a ne man kei uhi.
32Basi, Wakaondoka peke yao kwa mashua, wakaenda mahali pa faragha.
32Huchiin gamdai mun ah longin a vapaimangta uh.
33Lakini watu wengi waliwaona wakienda, wakawatambua. Hivyo wengi wakatoka katika kila mji, wakakimbilia huko Yesu na wanafunzi wake walikokuwa wanakwenda, wakawatangulia kufika.
33Huan, miten apailai uh a mu ua, mi tampi in amau a thei ua, kho chiha pat huaiah khein a tai khawm ua, a na makhelhta uh
34Waliposhuka pwani, Yesu aliona umati mkubwa wa watu, akawahurumia, kwa sababu walikuwa kama kondoo wasio na mchungaji. Akaanza kuwafundisha mambo mengi.
34Huchiin, amah hongpai khiak takin mipi tampitak a muta a, chingding neilou belamte bang a hih jiakun a hehpihta mahmah a, thu tampi a hilhta hi.
35Saa za mchana zilikwisha pita. Basi, wanafunzi wakamwendea Yesu, wakamwambia, "Hapa ni nyikani, na sasa kunakuchwa.
35Huan, ni a kai mahmahta a, a nungjuite a kiangah a hong ua, Hiai gamdai mun ahi a, ni lah a kaita mahmah ngala;
36Afadhali uwaage watu waende mashambani na katika vijiji vya jirani, wanunue chakula."
36I kiam loute khawngah leh khuate khawng ah hoha, a nek ding uh banghiam bek a lei theihna ding un amaute pai sak tanla, a chi ua.
37Lakini Yesu akawaambia, "Wapeni ninyi chakula." Nao wakamwuliza, "Je, twende kununua mikate kwa fedha dinari mia mbili, na kuwapa chakula?"
37Aman bel a kiang uah, Noumau nek ding pia un, chiin, a dawnga. Huan, amau a kiangah, Tanghou makhai za nih man valeiin nek ding pe ding ka ding uam? a chi ua.
38Yesu akawauliza, "Mnayo mikate mingapi? Nendeni mkatazame." Walipokwisha tazama, wakamwambia, "Kuna mikate mitano na samaki wawili."
38Huan, aman, a kiang uah, Tanghou phel bangzah na nei ua? Honen dih ua, a chi a. Huan, a neih zah uh a theih tak un, Nga, ngasa nih toh, a chi ua.
39Basi, Yesu akawaamuru wanafunzi wawaketishe watu wote makundimakundi penye nyasi.
39Huan, aman, a vek un, loupa hing tungah a pawlpawla tusak ding in a kiang uah thu a pia a.
40Nao wakaketi makundimakundi ya watu mia moja na ya watu hamsini.
40Huan, a vual in za khat khawng, sawmnga khawng jelin a tu phengphung ua.
41Kisha Yesu akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akamshukuru Mungu, akaimega mikate, akawapa wanafunzi wake wawagawie watu. Na wale samaki wawili pia akawagawia wote.
41Huan, aman tanghou phel nga leh ngasa nih a la-a, van lam en in a vualjawla, tanghou phelte a balkhamta-a, a ma ua lui dingin a nungjuite kiangah a pia a; ngasa nih leng huaite tengteng lakah a hawm jakta a.
42Watu wote wakala, wakashiba.
42Huan, a vek un a ne ua, a kham chiat uh.
43Wakaokota mabaki ya mikate na samaki pia, wakajaza vikapu kumi na viwili.
43Huan, tanghou neu leh ngasa nente tuh bawm sawm leh nih dimin a luak uh.
44Nao waliokula hiyo mikate walikuwa wanaume elfu tano.
44Tanghouphel nete tuh pasal piching ngen sang nga ahi uh.
45Mara Yesu akawaamuru wanafunzi wake wapande mashua, wamtangulie kwenda Bethsaida, ng'ambo ya ziwa, wakati yeye anauaga umati wa watu.
45Huan, amahmahin mipi a kikhensak sangin gal khat lama Bethsaida khuaa napai masa dingin a nungjuite longah a tuang sak teitei pah a.
46Baada ya kuwaaga watu alikwenda mlimani kusali.
46Huan, amau a kikhensak nungin thum dingin tangah a hohta a
47Ilipokuwa jioni, mashua ilikuwa katikati ya ziwa, naye alikuwa peke yake katika nchi kavu.
47Huan, nitaklam a honghihin, long tuh dil lai takah a omta a, amah kiain gamah a om a.
48Basi, akawaona wanafunzi wake wakitaabika kwa kupiga makasia, maana upepo ulikuwa unawapinga. Karibu na mapambazuko, Yesu aliwaendea akitembea juu ya maji. Alitaka kuwapita.
48Huan, a long kalh uah amau mangbangin amu a, huihin a hilou lamah a sawn ngala. Huchiin phalvak ding kuan laitakin dil tunga khea paiin amau lam a honjuan a, amau paisuaksan a tum a.
49Lakini walimwona akitembea juu ya maji, wakadhani ni mzimu, wakapiga yowe.
49Himahleh, amau amah dil tungah khea pai a muh un sikha khattou a sa ua, a kikou khia uh;
50Maana wote walipomwona waliogopa sana. Mara Yesu akasema nao, "Tulieni, ni mimi. Msiogope!"
50A vek un amah a mu ua, a lau mahmah ngalua. Himahleh aman amau a houpih pah a, a kiang uah, khamuang takin om un, keimah ka hi, lau kei un, a chi a.
51Kisha akapanda mashuani walimokuwa, na upepo ukatulia. Nao wakashangaa sana.
51Huan, longah a kiang uah a tuangtou sam a, huih tuh a dai maimah. Huan, lamdang a nak sak mahmah uh.
52maana hawakuwa bado wameelewa maana ya ile mikate. Akili zao zilikuwa bado zimepumbazika.
52Tanghou thu khawng lah a theisiam kei hial ua, a lungtang uh a tak ngala.
53Walivuka ziwa, wakafika nchi ya Genesareti, wakatia nanga.
53huan, gal khat lam a kai un Gennesaret gam a tung ua, luipiau ah long a khih ua.
54Walipotoka mashuani, mara watu wakamtambua Yesu.
54Huan, long akipana a pawt nungun miten amah a na theipah ua,
55Basi, kwa haraka wakazunguka katika nchi ile yote, wakaanza kuwachukua wagonjwa wamelala juu ya mikeka yao, wakawapeleka kila mahali waliposikia Yesu yupo.
55Huai gam kim tengtengah a tai duamduam ua, a om chih a jakna peuh uah damloute a lupna un a honjawng hial ua.Huan, kho neu ah bang, kho lian ah bang, khota ah bang, koi peuh ah leng a lut-na ah damloute dawl mun bangah a lumsak ua, a puan mong bek khoih theih a ngen ngutngut ua, huan amah khoih peuhmah bel a dam jel uh.
56Kila mahali Yesu alipokwenda, vijijini, mijini, au mashambani, watu waliwaweka wagonjwa uwanjani, wakamsihi waguse walau pindo la vazi lake. Nao wote waliomgusa walipona.
56Huan, kho neu ah bang, kho lian ah bang, khota ah bang, koi peuh ah leng a lut-na ah damloute dawl mun bangah a lumsak ua, a puan mong bek khoih theih a ngen ngutngut ua, huan amah khoih peuhmah bel a dam jel uh.