Swahili: New Testament

Paite

Matthew

14

1Wakati huo, mtawala Herode alisikia sifa za Yesu.
1Huai laitakin kumpipa Herodin Jesu tanchin a na ja a, a sikhate kiangah.
2Basi, akawaambia watumishi wake, "Mtu huyu ni Yohane mbatizaji, amefufuka kutoka wafu; ndiyo maana nguvu za miujiza zinafanya kazi ndani yake."
2Tua tuh Baptispa Johan ahi ve; misi laka kipan thou nawn te ei ve; huaijiakin huai thilhihtheihnaten amah sem ei ve, a chi a.
3Herode ndiye aliyekuwa amemtia Yohane nguvuni, akamfunga minyororo na kumtia gerezani kwa sababu ya Herodia, mke wa Filipo, ndugu yake. Sababu hasa ni
3Herodin a unau Philip ji Herodia jiakin Johan a man a, a hena, suangkulh ah a na khumta hi.
4kwamba alikuwa amemwambia Herode, "Si halali kwako kuishi na huyo mwanamke!"
4Johanin a kiangah, Amah na neih a siang kei e, a chihsak jiakin.
5Herode alitaka kumwua Yohane, lakini aliogopa watu kwa sababu kwao Yohane alikuwa nabii.
5Huan, Johan tuh hihlup ut mahleh mipi a kihta a, jawlneia a bawl jiak un.
6Katika sherehe za sikukuu ya kuzaliwa kwake Herode, binti ya Herodia alicheza mbele ya wageni. Herode alifurahiwa,
6himahleh, Herod pianni a hongtunin Herodia tanu tuh a lai ah a lama, Herod a kipaksakta a.
7hata akaahidi kwa kiapo kumpa huyo msichana chochote atakachoomba.
7Huai a hihjiakin a ngetpeuh mah pe dingin kichiamin thu achiamta.
8Naye, huku akichochewa na mama yake, akaomba, "Nipe papahapa katika sinia kichwa cha Yohane mbatizaji."
8Huan, aman tuh a nu hasotin, hiai ah kuangin Baptispa Johan lutang honpia in, achia.
9Mfalme alihuzunika, lakini kwa sababu ya kile kiapo chake na kwa sababu ya wale wageni karamuni, akaamuru apewe.
9Huan, kumpipa tuh a lungkhamta a, himahleh a thuchiamte leh a ankuang umpihte jiakin piakding thu a pia a,
10Basi, Herode akatuma mtu gerezani amkate kichwa Yohane.
10Huchiin mi a sala, Johan lutang a tansak a.
11Kichwa chake kikaletwa katika sinia, wakampa yule msichana, naye akampelekea mama yake.
11huan a lutang tuh kuangin a honla ua, numei naupang kiang ah a pia ua, amah tuh a nu kiang ah a paipihta.
12Wanafunzi wa Yohane wakaja, wakauchukua mwili wake, wakauzika. Kisha wakaenda kumpasha habari Yesu.
12Huan, a nungjuite a luang a hongla ua, a vui ua, huan Jesu a vahilh uh.
13Yesu alipopata habari hiyo, aliondoka mahali pale kwa mashua, akaenda mahali pa faragha peke yake. Lakini watu walipata habari, wakamfuata kwa miguu toka mijini.
13Huan, Jesun huai a jak in, hiai akipan longin gamkeu lamah a pai tuamta a. Himahleh, mipin a jak tak un khua a kipan khea paiin a juita ua
14Basi, aliposhuka pwani, aliona umati mkubwa wa watu, akawaonea huruma, akawaponya wagonjwa wao.
14Huchiin amah tuh a hongpai khiak leh mipi thupi tak a mu a, a hehpih mahmah a, a damlou uh a hihdam saka.
15Kulipokuwa jioni, wanafunzi wake walimwendea wakamwambia, "Mahali hapa ni nyikani, na saa zimepita. Basi, uwaage watu ili waende vijijini wakajinunulie chakula."
15Huan, nitak lam a honghihin nungjuite a kiangah a hongpai ua. Hiai mun gamkeu ahi a, ni lah a kaita ngala, khua khawngah paiin amau a ding nek ding a lei theihna ding un mipite paisak tanla, a chi ua.
16Yesu akawaambia, "Si lazima waende, wapeni ninyi chakula."
16Jesun bel a kianguah, A pai mang uh kiphamoh kei, noumau nek ding pia un, a chi a.
17Lakini wao wakamwambia, "Tunayo mikate mitano tu na samaki wawili."
17Huan, amau tuh a kiangah. Hiai ah tanghou phel nga leh nga nih kia i nei uh, a chi ua.
18Yesu akawaambia, "Nileteeni hapa."
18Huan, aman tuh. Hiai ah ka kiangah honla un, a chi a.
19Akawaamuru watu waketi katika nyasi. Kisha akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akamshukuru Mungu. Halafu akaimega hiyo mikate, akawapa wanafunzi wake, nao wakawapa watu.
19Huan, loupa tunga tu dingin mipite tuh thu a pia a, tanghou phel nga leh nga nih tuh a la a, van lam enin a vualjawl a, a balkhama, tanghoute tuh nungjuite kiangah a pia a, huan nungjuiten mipite kiangah a pia ua
20Watu wote wakala, wakashiba. Kisha wanafunzi wakakusanya mabaki, wakajaza vikapu kumi na viwili.
20Huan, a vek un a ne ua, a vah chiatta ua; a nek val neng khawng uh leng bawmpi sawm leh nih dim a ngah uh.
21Jumla ya waliokula ilikuwa wanaume wapatao elfu tano, bila kuhesabu wanawake na watoto.
21A nete tuh, numei leh naupang sim louhin, piching ngen leng sangnga khawng ahi uh.
22Mara, Yesu akawaamuru wanafunzi wake wapande mashua, wamtangulie ng'ambo ya ziwa wakati yeye anawaaga watu.
22Huan, mipite a sawl mang khit in a pai maa gal khat lama napai masa dingin nungjuite longah a tuangsak teitei a.
23Baada ya kuwaaga, alipanda mlimani peke yake kusali. Ilipokuwa jioni, yeye alikuwa huko peke yake,
23Huan, mipite tuh a sawl mang nungin thum dingin tang ah a tuamin a pai tou a, huan nitaklam a honghihin huai lai ah tuh amah kiain a omta a.
24na wakati huo ile mashua ilikwishafika karibu katikati ya ziwa, lakini ilikuwa inakwenda mrama kwa sababu upepo ulikuwa unaipinga.
24Long tuh dil lai takah a omta a; huihin a hilou lama a sawn jiakin tuikihawtin a septa a.
25Usiku, karibu na mapambazuko, Yesu aliwaendea wanafunzi akitembea juu ya maji.
25Huan, phalvak ding kuan laiin, dil tungah khein a paia a kiang lam uh a honjuan a.
26Wanafunzi wake walipomwona akitembea juu ya maji waliingiwa na hofu, wakasema, "Ni mzimu!" Wakapiga kelele kwa hofu.
26Huan, nungjuiten amah dil tunga khe a a pai a muh un, Sikha ahi; chiin a buai ua, lauin a kikou ta uh.
27Mara, Yesu akasema nao, "Tulieni, ni mimi. Msiogope!"
27Himahleh, Jesun amau a houpih paha, Khamuang takin om un, keimah ka hi, lau kei un, a chi a.
28Petro akamwambia, "Bwana, ikiwa ni wewe kweli, amuru nitembee juu ya maji nije kwako."
28Huan, Peterin a dawnga, Toupa, nang na hih leh, tui tungah nang kianga hongpai thu honpia in, a chi a.
29Yesu akasema, "Haya, njoo." Basi, Petro akashuka kutoka ile mashua, akatembea juu ya maji, akamwendea Yesu.
29Huan aman, Hongpai ve, a chi a, Peter tuh longa kipan a kuma, Jesu kiang lam juanin tui tungah khein a paia.
30Lakini alipouona ule upepo, aliogopa, akaanza kuzama; akalia kwa sauti, "Bwana, niokoe!"
30Himahleh, huih nung tuh a muhin a lau a, huan, tum din a kisa a. Toupa, honhondam in chiin a kikouta a.
31Hapo, Yesu akaunyosha mkono wake, akamshika na kumwambia, "Ewe mwenye imani haba! Kwa nini uliona shaka?"
31Huan, Jesun a sawk paha, amah a lena a kiang ah Nang gin tawm, bangdia ging lah na hia? achia.
32Basi, wakapanda mashuani, na upepo ukatulia.
32Huan longa a tuan uh leh huih tuh a daita maia.
33Wote waliokuwa ndani ya mashua walimsujudia, wakasema, "Hakika wewe ni Mwana wa Mungu."
33Huan, longa omten, Pathian Tapa na na hi taktak ve, chiin, amah a bia uh.
34Walivuka ziwa, wakafika nchi ya Genesareti.
34Huan, gal khat lama a kai uleh, Genesaret gam a hongtung ua.
35Watu wa huko walipomtambua, wakaeneza habari pote katika sehemu hizo. Basi, wakamletea Yesu wagonjwa wote,
35Huan, huai muina miten amah a theih tak un, huai kim gam tengteng ah mi a sawl ua, damloutengteng a kiangah a honpi ua;Huan, a puan mong bek khoih theih a ngen ngutngut ua; huan a khoih peuhmah tuh a hongdam jel uh.
36wakamwomba awaruhusu waguse tu pindo la vazi lake; wote waliomgusa walipona.
36Huan, a puan mong bek khoih theih a ngen ngutngut ua; huan a khoih peuhmah tuh a hongdam jel uh.