1Siku hiyohiyo, Yesu alitoka katika ile nyumba, akaenda na kuketi kando ya ziwa.
1Huai min Jesu tuh in a kipan a pai khia a, dil gei ah a tu a.
2Makundi makubwa ya watu yalimzunguka hata Yesu akapanda mashua, akaketi. Hao watu walisimama kwenye ukingo wa ziwa,
2Huan, a kiangah mipi thupitak a hongkikhawm ua, huchiin longah a tuanga, a tua, mipi tengteng piautak ah a ding ua.
3naye Yesu akawaambia mambo mengi kwa mifano. "Sikilizeni! Mpanzi alikwenda kupanda mbegu.
3Huan, gentehnain thu tampi a kianguah a gena: Ngai dih ua, buhchithehpa buhchithehin a kuana.
4Alipokuwa akipanda, nyingine zilianguka njiani, ndege wakaja wakazila.
4Huan, a theh laiin a khen lam sikah a kia a, vasaten a honne zouta a.
5Nyingine zilianguka penye mawe pasipokuwa na udongo mwingi. Zikaota mara kwa kuwa udongo haukuwa na kina.
5HUan, a khen suangsi lei lakah a kia a: lei a sah louh jiakin a hongpou paha:
6Jua lilipochomoza, zilichomeka; na kwa kuwa mizizi yake haikuwa na nguvu, zikanyauka.
6himahleh, a ni a hongsuahin hai vuaiin a hongon a: zung a neih louh jiakin, a vul mai maha.
7Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga.
7Huan, a ken loulingnei lakah a kia a, lou tuh a hongpou sanga: a dep mangta a.
8Lakini nyingine zilianguka penye udongo mzuri, zikaota, zikazaa: nyingine punje mia moja, nyingine sitini na nyingine thelathini.
8Huan, a khen lei hoihah a kia a. Khenkhat a leh ja bang, khenkhat a leh sawmguk bang, khenkhat a leh sawm thum bangin a honggah a.
9Mwenye masikio na asikie!"
9Kuapeuh bil neiin, ja heh, a chi a.
10Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwuliza, "Kwa nini unasema na watu kwa mifano?"
10Huan, nungjuite a hongpai ua, a kiangah, Bangdia gentehna a thu gen na hia? a chi ua.
11Yesu akawajibu, "Ninyi mmejaliwa kuzijua siri za Ufalme wa mbinguni, lakini wao hawakujaliwa.
11Huan, aman a dawnga. a kiangah uah, vangam thuguk nou theih jaw phal ahi a, amau theih jaw phal ahikei.
12Maana, aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa; lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
12Kuapeuh a nei tuh piak behlap ahi ding a, a hau ding; himahleh, kuapeuh a neilou tuh, a neih sun leng laksak ahi ding.
13Ndiyo maana ninasema nao kwa mifano, kwa sababu wanatazama lakini hawaoni, wanasikiliza lakini hawasikii, wala hawaelewi.
13Huchi a hih jiakin a kiang uah gentehnain thu ka gen ahi; mu napiin a mu kei nak ua, za napiin a theih siam kei nak uh.
14Kwao yametimia yale aliyosema nabii Isaya: Kusikia mtasikia, lakini hamtaelewa; Kutazama mtatazama, lakini hamtaona.
14Huan, Isai thu gen kholh a tunguah a hongtung ahi: Bilin jaw na ding ua, a theih jaw na theisiam kei hial ding uh; muh jaw na mu ding ua, theih jaw na theikei hial ding uh;
15Maana akili za watu hawa zimepumbaa, wameyaziba masikio yao, wameyafumba macho yao. La sivyo, wangeona kwa macho yao. wangesikia kwa masikio yao, wangeelewa kwa akili zao, na kunigeukia, asema Bwana, nami ningewaponya.
15Hiai chite lungtang a nanggawpta a bilte uh a ngong a, a mitsi ua, huchilou injaw a mit un a mukha ding ua, a bil un a za kha ding ua, a lungtang un a theisiam kha ding ua, a hongkik nawn kha ding ua, a mau ka nahihdam kha ding. a chi a, a chih
16"Lakini heri yenu ninyi, maana macho yenu yanaona na masikio yenu yanasikia.
16Nou mit jaw a hampha hi, a muh jiakin; na bil u leng a hampha hi, a jak jiakin.
17Kweli nawaambieni, manabii na watu wengi wema walitamani kuyaona yale mnayoyaona, wasiyaone, na kuyasikia yale mnayoyasikia, wasiyasikie.
17Chihtaktakin ka honhilh ahi, jawlnei tampi leh mi diktak tampin leng na thil muhte uh muh a ut ua, himahleh a mu kei uh; na thil jakte uh leng jak a ut ua, himahleh a za kei uh.
18"Basi, ninyi sikilizeni maana ya mfano huo wa mpanzi.
18Huaijiakin, buhchithehpa gentehna thu tuh ja un;
19Yeyote asikiaye ujumbe wa ufalme bila kuuelewa, ni kama zile mbegu zilizoanguka njiani; yule Mwovu huja na kunyakua kile kilichopandwa moyoni mwake.
19Kuapeuhin gam thu tuh bila a najaka, a theihsiam kei leh, migilou a hongpai a, a lungtang a thehsa tuh a sut nak. Huai tuh lam sik a theh ahi.
20Ile mbegu iliyopandwa penye mawe ni mfano wa mtu asikiaye ujumbe huo na mara akaupokea kwa furaha.
20Huan, suangsi leilaka theh tuh, thu jaa kipak taka pom ngal bang ahi;
21Lakini haumwingii na kuwa na mizizi ndani yake; huendelea kuuzingatia ujumbe huo kwa kitambo tu, na wakati taabu au udhalimu vinapotokea kwa sababu ya ujumbe huo, anakata tamaa mara.
21himahleh amah ah zung a om keia, sawtlou chik kisa a oma, huan, thu jiakin gimthuakna hiam, sawina hiam a hongom takin a puk pah ngal.
22Ile mbegu iliyoanguka kati ya miti ya miiba, ni mfano wa mtu asikiaye huo ujumbe, lakini wasiwasi wa ulimwengu huu na anasa za mali huusonga ujumbe huo, naye hazai matunda.
22Huan, loulingnei laka theh tuh thu tuh jaa, himahleh, khovel awlmohna leh hauhsakna khemnain thu tuh a dep a, gah louin a hongom hi.
23Ile mbegu iliyopandwa katika udongo mzuri ni mfano wa mtu ausikiaye ujumbe huo na kuuelewa, naye huzaa matunda; mmoja mia, mwingine sitini na mwingine thelathini."
23Huan, lei hoih tunga theh tuh, thu tuh bil a ja a, theisiam ahi; huai tuh a gah ngeia, khenkhat a leh ja bang, khenkhat a leh sawmguk bang, khenkhat a leh sawmthum bangin a pung, a chi a.
24Yesu akawaambia watu mfano mwingine: "Ufalme wa mbinguni unafanana na mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba lake.
24Gentehna dang a kiang uah a gen nawna; vangam tuh, mi a lou a chi hoih thehpa toh teh ahi;
25Lakini watu wakiwa wamelala, adui yake akaja akapanda magugu kati ya ngano, akaenda zake.
25Himahleh mi a ihmut kalin amelma a hongpaia, buh lakah buhlem a theha, a paimang nawnta.
26Basi, mimea ilipoota na kuanza kuchanua, magugu pia yakaanza kuonekana.
26Huan, buh tuh a hongpou a a hongvuihin buhlem leng a hongkilang sam a.
27Watumishi wa yule mwenye shamba wakamwendea, wakamwambia, Mheshimiwa, bila shaka ulipanda mbegu nzuri katika shamba lako. Sasa magugu yametoka wapi?
27Huan, inneipa sikhate a hongpai ua, a kiangah, Pu, na lou a chi hoih thehlou na hi maw? buhlemte kaw kipana hongom ahia? a chi ua.
28Yeye akawajibu, Adui ndiye aliyefanya hivyo. Basi, watumishi wake wakamwuliza, Je, unataka twende tukayang'oe
28Huan, aman tuh a kiang uah, Melmain nahih eive, a chi a, Huan, a sikhaten a kiangah. A hihleh, huaite va la khawm le ung hoih na sa hia? a chi ua.
29Naye akawajibu, La, msije labda mnapokusanya magugu, mkang'oa na ngano pia.
29Aman bel, Sa lou e, buhlem na lak khawm nalam uah buh na bot khawm kha ding uh.
30Acheni vikue pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati huo nitawaambia wavunaji: kusanyeni kwanza magugu mkayafunge mafungumafungu ya kuchomwa. Lakini ngano ikusanyeni mkaiweke ghalani mwangu."
30Buh lak dongin pou khawm uheh; huan, buhlak hun chiangin buh atte kiangah, Buhlem la khawm masa phot unla hal dingin lom gak un; buh pen bel ka buhin ah sek lut un, ka china ding, a chi a, a chi a.
31Yesu akawaambia watu mfano mwingine: "Ufalme wa mbinguni unafanana na mbegu ya haradali aliyotwaa mtu mmoja, akaipanda katika shamba lake.
31Gentehna dang a kianguah a gen nawna; vangam tuh ankam chi tang khat min a laka a loua a theh bang ahi.
32Yenyewe ni ndogo kuliko mbegu zote, lakini ikishaota huwa kubwa kuliko mimea yote. Hukua ikawa mti, na ndege wa angani huja na kujenga viota katika matawi yake."
32Huai tuh chi laklak ah a neupen a; himahleh a hongpou san chiangin loupa lakah a lianpen a, sing a honghi a, huchiin tungleng vasate a hongpai ua, ahiang khawngah a giak uh, a chi a.
33Yesu akawaambia mfano mwingine: "Ufalme wa mbinguni umefanana na chachu aliyotwaa mama mmoja, akaichanganya na unga pishi tatu, hata unga wote ukaumuka."
33Gentehna dang a kianguah a gen nawn a; vangam tuh, silngou numeiin a lak a, anbuang tehna thum laka a vek a thoh matenga a phum bang ahi, a chi a.
34Yesu aliwaambia watu hayo yote kwa mifano. Hakuwaambia chochote bila kutumia mifano,
34Huai tengteng tuh Jesun gentehnain mipite kiangah a gena, gentehna louin a kianguah bangmah a gen kei;
35ili jambo lililonenwa na nabii litimie: "Nitasema kwa mifano; nitawaambia mambo yaliyofichika tangu kuumbwa ulimwengu."
35Jawlnei in, Gentehnain ka kam ka ka dinga, leilung pian tunga kipat thil kisel tuh ka gen kheding, chia a gen a hongtun theihna ding in.
36Kisha Yesu aliwaaga wale watu, akaingia nyumbani. Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwambia, "Tufafanulie ule mfano wa magugu shambani."
36Huai laiin mipute a paisana, in ah a lutta a, huan, nungjuite a kiangah a hongpai ua, Loua buhlem gentehna thu honhilh chian in, a chi ua.
37Yesu akawaambia, "Mpanzi wa zile mbegu nzuri ni Mwana wa Mtu.
37Huan, aman a dawnga, Chi hoih thehpa tuh Mihing Tapa ahi a; lou tuh khovel ahi.
38Lile shamba ni ulimwengu. Zile mbegu nzuri ni watu wale ambao Ufalme ni wao. Lakini yale magugu ni wale watu wa yule Mwovu.
38Chi hoihte tuh gam tate ahi ua; buhlemte tuh migilou tate ahi uh.
39Adui aliyepanda yale magugu ni Ibilisi. Mavuno ni mwisho wa nyakati na wavunaji ni malaika.
39melma, a thehpa tuh, diabol ahi a, buh lak hun tuh khovel tawpna ding ahi; a tatte tuh angelte ahi uh.
40Kama vile magugu yanavyokusanywa kuchomwa moto, ndivyo itakavyokuwa mwishoni mwa nyakati;
40Huchiin, buhlemte tuh a la khawm ua meia a hal bang un khovel tawpna ah a om ding.
41Mwana wa Mtu atawatuma malaika wake wawakusanye kutoka katika Ufalme wake wale wote wenye kusababisha dhambi, na wote wenye kutenda maovu,
41Mihing, Tapain angelte a sawl khe ding a, a gam akipan hihkhialsakte leh thil hihkhialte tengteng a khawm khe ding ua, hal tuina mei ah a pai ding uh.
42na kuwatupa katika tanuru ya moto, na huko watalia na kusaga meno.
42Huailai ah kah leh hagawi a om ding.
43Kisha, wale wema watang'ara kama jua katika Ufalme wa Baba yao. Sikieni basi, kama mna masikio!
43Huai hun chiangin mi diktatte tuh a Pa uh gamah ni bangin a vakta ding uh. Bil neiin ja heh.
44"Ufalme wa mbinguni umefanana na hazina iliyofichika shambani. Mtu mmoja aliigundua, akaificha tena. Alifurahi sana hata akaenda kuuza yote aliyokuwa nayo, akalinunua shamba lile.
44vangam tuh loua gou phum guk bang ahi; huai tuh min a mu a, asel a, a kipah jiakin a neih tengteng a juaka, huai lou tuh a leita.
45"Tena, Ufalme wa mbinguni umefanana na mfanyabiashara mmoja mwenye kutafuta lulu nzuri.
45Huan vangam tuh sumsin mi tuikepsuang hoih tak zongmi bang ahi nawna;
46Alipopata lulu moja ya thamani kubwa, alienda akauza yote aliyokuwa nayo, akainunua lulu ile.
46Huan, aman tuh tuikepsuang manpha tak khat a mu a, a neih tengteng a juaka, a leita a.
47"Tena, Ufalme wa mbinguni unafanana na wavu uliotupwa baharini, ukanasa samaki wa kila aina.
47Huan, vangam tuh lenpi, tuipi a paiha chi chih tun khawmna bang ahi nawna.
48Ulipojaa, watu waliuvuta pwani, wakaketi, wakachagua samaki wazuri wakawaweka ndani ya vikapu vyao, na wabaya wakawatupa.
48Huai tuh a dim takin a gei ah a kai khia ua, huan, a tu ua, a hoih teng bawm ah a lakhawm ua, a hoihlou a pai uh.
49Ndivyo itakavyokuwa mwishoni mwa nyakati: malaika watatokea, watawatenganisha watu wabaya na watu wema,
49Khovel tawp hun chiangin huchi bangmahin a om ding, angelte a hongpawt ding ua, mi diktat lakah, migiloute a khenkhe ding ua;
50na kuwatupa hao wabaya katika tanuru ya moto. Huko watalia na kusaga meno."
50hal tuina mei ah a pai ding uh, huai ah tuh kah leh hagawi a om ding, achia.
51Yesu akawauliza, "Je, mmeelewa mambo haya yote?" Wakamjibu, "Naam."
51Jesu mahin a king uah, Huai tengteng na theisiam uhia? a chi a, Amau tuh a kiangah, Thei e, a chi ua.
52Naye akawaambia, "Hivyo basi, kila mwalimu wa Sheria aliye mwanafunzi wa Ufalme wa mbinguni anafanana na mwenye nyumba atoaye katika hazina yake vitu vipya na vya kale."
52Huan, aman tuh a kiang uah. Huchi a hih leh, laigelhmi vangam nuaijui hi peuhmah tuh, in neipa, a gou bawm a kipana thil thakte leh thilluite pholh khepa bang ahi, a chi a.
53Yesu alipomaliza kusema mifano hiyo alitoka mahali hapo,
53Huan, hichi ahia, Jesun huai gentehnate a gen khit takin huai a kipanin a paita a.
54akaenda kijijini kwake. Huko akawa anawafundisha watu katika sunagogi hata wakashangaa, wakasema, "Huyu amepata wapi hekima hii na maajabu?
54Huan, a omna kho lam tuh a tunga, a kikhopna in uah amaute thu a hilh a, huchiin lamdang a sa mahmah ua, Hiai min hiai pilna leh hiai nasep thupi hihtheihnate khawng koi apata a muh ahia?
55Je, huyu si yule mwana wa seremala? Je, mama yake si anaitwa Maria, na ndugu zake si kina Yakobo, Yosefu, Simoni na Yuda?
55Hiai mi singlemsiampa tapa hi lou hia? a nu Mari kichi hilou hia? a unaute Jakob, Joseph, Simon, Juda kichite hilou u hia?
56Na dada zake je, si wote wako hapa pamoja nasi? Basi amepata wapi haya yote?"
56Hiai min koia kipan phiangsana hiai tengteng mu ahia? a sanggamnute leng i kiangua om vek uh hilou uhia? a chi ua.
57Basi, wakawa na mashaka naye. Lakini Yesu akawaambia, "Nabii hakosi kuheshimiwa, isipokuwa katika nchi yake na nyumbani mwake!"
57Huchiin, a tungah a lung hita kei ua. Himahleh, Jesun a kiang uah, Jawlnei jaw amah kholam leh amah in lamah loungal pahtawi louhin a om ngei kei, a chi a.Huan, a gin louh jiak un huaiah tuh nasep thupi dang tam a hih kei.
58Kwa hiyo, hakutenda miujiza mingi pale kwa sababu ya kutoamini kwao.
58Huan, a gin louh jiak un huaiah tuh nasep thupi dang tam a hih kei.