Swahili: New Testament

Paite

Matthew

12

1Wakati huo, Yesu alikuwa anapita katika mashamba ya ngano siku ya Sabato. Basi, wanafunzi wake wakaona njaa, wakaanza kukwanyua masuke ya ngano, wakala punje zake.
1Huchihlaiin, Jesun tuh Khawlniin buhlei khawng kanin a paia; a nungjuite tuh a gil uh a kiala, buhvui khawng a khiak ua, a neta uh.
2Mafarisayo walipoona hayo, wakamwambia Yesu, "Tazama, wanafunzi wako wanafanya jambo ambalo si halali siku ya Sabato."
2Huan, Pharisaiten a muh un, a kiangah, En dih, na nungjuiten Khawlniin hih sianglou a hih uh, a chi ua.
3Yesu akawajibu, "Je, hamjasoma alivyofanya Daudi pamoja na wenzake wakati walipokuwa na njaa?
3Aman bel a kiang uah, Davidin a gilkial laia a lawmte toh a thil hih uh na sim kei ua hia?
4Yeye aliingia katika Nyumba ya Mungu pamoja na wenzake, wakala ile mikate iliyowekwa mbele ya Mungu. Yeye wala hao wenzake hawakuruhusiwa kula mikate hiyo isipokuwa tu makuhani peke yao.
4Huchia Pathian in a a lut a, amah leh a lawmten nek sianglouh, siampute kia nek siang tanghou koih a nek thu uh?
5Au je, hamjasoma katika Sheria kwamba kila siku ya Sabato makuhani huivunja Sheria Hekaluni, lakini hawafikiriwi kuwa na hatia?
5Ahihkeileh, Khawlniin Pathian biakina siampu omten Khawlni a hihthang ua leng siamtanin a om jel uh chih dan thu ah na simkei ua hia?
6Basi, nawaambieni kwamba hapa pana kikuu kuliko Hekalu.
6Abang abang hileh, Pathian biakin sanga thupijaw hiai ah a om chih ka honhilh ahi.
7Kama tu mngejua maana ya maneno haya: Nataka huruma wala si dhabihu, hamngewahukumu watu wasio na hatia.
7Himahleh, Kithoihna deih louin, zahngaihna ka deih, chih, a omdan na natheita hi le uchin, mi siamtangte tuh siam louh tangsak lou ding hive uchin.
8Maana Mwana wa Mtu ni Bwana wa Sabato."
8Mihing Tapa jaw Khawlni Toupa ahi ngala, a chi a.
9Yesu alitoka hapo, akaenda katika sunagogi lao.
9Huan, huaia kipanin a paia, a kikhopna in uah a valuta.
10Kulikuwa na mtu mmoja mwenye mkono uliopooza. Basi, watu wakamwuliza Yesu, "Je, ni halali kumponya mtu siku ya Sabato?" Walimwuliza hivyo wapate kisa cha kumshtaki.
10Huan, ngaidih, mi khat khut jaw a na oma, Huan a hek theihna ding un. Khawlnia hihdam a siang hia? chiin Jesu a dong ua.
11Lakini Yesu akawaambia, "Tuseme mmoja wenu ana kondoo wake ambaye ametumbukia shimoni; je, hatamshika na kumtoa humo siku ya Sabato?
11Huan, aman tuh a kiangah uah, Noute lakah kuapeuhin belam khat nei unla, huai tuh Khawlniin kokhuk ah keta leh, kua ahia lena kaikhe lou ding?
12Mtu ana thamani kuliko kondoo! Basi, ni halali kutenda mema siku ya Sabato."
12Belam khat sangin mihing khat tuh bangchi lela manpha jaw ahia? Huaijiakin Khawlniin hihhoih a siang hi, a chi a.
13Kisha akamwambia yule mtu, "Nyosha mkono wako." Akaunyosha, nao ukawa mzima kabisa kama ule mwingine.
13Huaitakin, huai mi kiangah tuh, Na khut zanin, a chi a. Huchiin, a zana, alangkhat bangin a dam siangta.
14Basi, Mafarisayo wakatoka nje, wakashauriana jinsi watakavyomwangamiza Yesu.
14Huchiin Pharisaite tuh a pawt ua, amah a hihlup theihna dan ding uh ngaihtuahin a kihou ua.
15Lakini Yesu alipojua jambo hilo, akatoka mahali pale. Watu wengi walimfuata, akawaponya wagonjwa wote,
15Himahleh, Jesun huai a theihin huaia kipanin a kihemmangta. Huan, mitampiin amah a jui ua.
16akawaamuru wasiwaambie watu habari zake,
16a nahihdam vek a, a tanchin than het louh ding a kiang uah a chi a.
17ili yale aliyosema nabii Isaya yatimie:
17Jawlnei Isaiin,
18"Hapa ni mtumishi wangu niliyemteua, mpendwa wangu anipendezaye moyoni. Nitaiweka Roho yangu juu yake, naye atatangaza hukumu yangu kwa mataifa yote.
18En dih, ka sikha ka tel, ka deih tak ka lungsimin a pahtak mahmah, a tungah ka Kha ka koih dia, huchiin, Jentelte kiang ah dika vaihawmna thu a gen ding.
19Hatakuwa na ubishi wala kupiga kelele, wala sauti yake haitasikika barabarani.
19A sel keidinga, a kikou sam keidinga, kongzing khawng ah leng kuamahin a aw a za sam kei ding uh.
20Mwanzi uliopondeka hatauvunja, wala utambi ufukao moshi hatauzima, mpaka atakapoifanya hukumu ya haki itawale.
20Dika-vaihawmna a vualzohsak mateng sialluang gawp a hihtan khe kei dinga, thaumei kuang liakliak a hihmit sam kei ding.
21Katika jina lake mataifa yatakuwa na tumaini."
21Amah min ah Jentelten lametna a nga ding uh, chia a gen a hongtun theihna dingin.
22Hapo watu wakamletea Yesu kipofu mmoja ambaye alikuwa bubu kwa sababu alikuwa amepagawa na pepo. Yesu akamponya hata, akaweza kusema na kuona.
22Huchihlaiin dawi mat mittaw pautheilou khat a kiangah a honpi ua; huan, aman a na hihdama, huchiin, pautheilou tuh hongpau theiin, a honmu thei ta a.
23Umati wote wa watu ulishangaa ukasema, "Je, huenda ikawa huyu ndiye Mwana wa Daudi?"
23Huan, mipi tengtengin lamdang a sa mahmah ua, Hiai mipa David Tapa hilou ahi maw? a chi ua.
24Lakini Mafarisayo waliposikia hayo, wakasema, "Mtu huyu anawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo."
24Himahleh, Pharisaiten huai a jak phet un, Hiai min dawi lal Beezibul jiaklou in dawite a delhkhe kei ding, a chi ua.
25Yesu, akiwa anayajua mawazo yao, akawaambia, "Ufalme wowote uliogawanyika makundimakundi yanayopingana, hauwezi kudumu, na mji wowote au jamaa yoyote iliyogawanyika makundimakundi yanayopingana, itaanguka.
25Huan, Jesun a ngaihtuahte uh a natheia, a kiang uah, Koi gam leng amah kidoua mangthang nak; koi khua leng, hiam, koi inkuan khat leng amah kidou tuh, a ding khosuak kei ding.
26Ikiwa Shetani anamfukuza Shetani, anajipinga mwenyewe. Basi, ufalme wake utasimamaje?
26Huan, Setanin Setan mah a delhkhiakin amah kidou hi ding hi a; a gam tuh bangchin a ding dia le?
27Ninyi mnasema ati nawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli; je, watoto wenu huwafukuza kwa uwezo wa nani? Kwa sababu hiyo wao ndio watakaowahukumu ninyi.
27Huan, kei Beelzibul jiaka dawite delhkhia ka na hih leh, na tate un kua jiakin ahia leh a delhkhiak uh? Huaijiakin amaute tuh noute tunga thukhenmite ahi ding uh.
28Lakini ikiwa ninawafukuza pepo kwa nguvu ya Roho wa Mungu, basi jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekwisha fika kwenu.
28A hihhangin, kei Pathian Kha jiaka dawite delhkhia ka na hih leh, Pathian gam na kiang uah hongtungta ahi ding.
29"Au, anawezaje mtu kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kumnyang'anya mali yake, bila kwanza kumfunga huyo mtu mwenye nguvu? Hapo ndipo atakapoweza kumnyang'anya mali yake.
29Huchi a hih keingalin, min mi hat tuh a gak masak phot kei leh bangchin ahia mi hat ina a lut dia a sum a laksak theih ding? huai nungin tuh a in tuh a lohsak mai ding ahi.
30"Yeyote asiyejiunga nami, anapingana nami; na yeyote asiyekusanya pamoja nami, hutawanya.
30Kuapeuh ka lama pang lou tuh, hon dou ahi; kuapeuh honlak khawm pih lou tuh, a hihjak ahi.
31Kwa sababu hiyo, nawaambieni, watu watasamehewa dhambi na kufuru zao zote, lakini hawatasamehewa dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu.
31Huai jiakin ka honhilh ahi, mi a khelhna chiteng uah leh Pathian a gensiatna chiteng ua ngaihdam a hin dinguh: Kha hilhial gensiatna tuh ngaihdamsak ahi kei ding.
32Tena, asemaye neno la kumpinga Mwana wa Mtu atasamehewa, lakini yule asemaye neno la kumpinga Roho Mtakatifu, hatasamehewa, wala katika ulimwengu huu, wala katika ulimwengu ujao.
32Huan, kuapeuh Mihing Tapa kalh tuh a kalhna uh ngaihdamsak ahi ding: kuapeuh Kha Siangthou hilhial kalh jaw huai a kalhna uh, tu damsung in leng, hun hongtung ding ah leng, ngaihdamsak a hikei ding.
33"Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake yatakuwa mema; ufanyeni kuwa mbaya na matunda yake yatakuwa mabaya. Mti hujulikana kwa matunda yake.
33Sing tuh a hoih, a gah leng a hoih, na chih kei ngal uleh, sing tuh a sia, a gah leng a sia, chi vanglak un: sing tuh a gaha a kitheih ngal jiakin,
34Enyi kizazi cha nyoka! Mnawezaje kusema mambo mema hali ninyi ni waovu? Maana mtu husema kutokana na yale yaliyojaa moyoni.
34Gul suante aw, now gilou napiin bangchin ahia thu hoih na gan thieh ding uh? Lungtang a dim val tuh kamin a gen jel ahi.
35Mtu mwema hutoa mambo mema katika hazina yake njema; na mtu mbaya hutoa mambo mabaya katika hazina yake mbaya.
35Mi hoihin a goubawm hoih a kipan thil hoihte a honla khia a, mi gilou in a gou bawn hoihlou akipan thil hoihlou a honlakhe jel.
36"Basi, nawaambieni, Siku ya hukumu watu watapaswa kujibu juu ya kila neno lisilofaa wanalosema.
36Huan, ka honhilh ahi. Miten thu gina lou a gen peuh mah uh, huai thu tanchin tuh vaihawm ni chiah a gen ding uh.
37Maana kwa maneno yako, utakubaliwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako, utahukumiwa kuwa na hatia."
37Na thuin siam a hontangsak dia, na thu mahin siam louh a hontangsak ding hi, a chi a.
38Kisha baadhi ya walimu wa Sheria na Mafarisayo wakamwambia Yesu, "Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako."
38Huailaiin laigelhmite leh Pharisaite laka mi kuate hiamin amah a houpih ua, a kiangah. Heutupa, na kiang akipan chiamtehna muh ka ut uh a chi ua.
39Naye akawajibu, "Kizazi kiovu kisicho na uaminifu! Mnataka ishara; hamtapewa ishara nyingine, ila tu ile ishara ya nabii Yona.
39Aman tuh a kianguah. Khangthak gilou tak leh angkawnhat takten chiamtehna a zong ua, himahleh, jawlnei Jona chiamtehna loungal tuh a kiang uah chiamtehna himhim piak ahi kei ding.
40Jinsi Yona alivyokaa siku tatu kutwa kucha tumboni mwa nyangumi, ndivyo naye Mwana wa Mtu atakavyokaa ndani ya ardhi siku tatu kutwa kucha.
40Jona ni thum leh jan thum ngapi gilsunga a om bangin. Mihing Tapa ni thum leh jan thum lei gil sungah a om sam ding.
41Watu wa Ninewi watatokea siku ya hukumu, nao watakihukumu kizazi hiki kwamba kina hatia. Maana Waninewi walitubu kwa sababu ya mahubiri ya Yona, na kumbe hapa kuna kikuu kuliko Yona!
41Ninevi khuaa mite tuh thukhen ni chiangin tulai khangthakte kiangah a ding sam dingua, siam louh a tangsak ding uh. Jona thu gen jiakin a kisik ngal ua: ngai dih ua. Jona sanga thupijaw hiai ah a om.
42Malkia wa kusini atatokea wakati kizazi hiki kitakapohukumiwa, naye atakihukumu kwamba kina hatia. Maana yeye alisafiri kutoka mbali akaja kusikiliza maneno ya hekima ya Solomoni, na kumbe hapa kuna kikuu kuliko Solomoni.
42Sim lam kumpinu tuh thukhen ni chiangin tulai khangthakte kiangah a thou sam ding, siam louh a tangsak ding, Solomon pilna ngaikhe dingin bawn kawlmonga kipan a hongpai ngalin bawn kawlmonga kipan a hingpai ngala; ngai dih ua, Solomon sanga thupijaw hiaiah a om hi.
43"Pepo mchafu akifukuzwa kwa mtu, huzururazurura jangwani akitafuta mahali pa kupumzika asipate.
43Huan, dawi nin mi sunga kipan a pawtin, khawlna zongin tui om louhna mun bangah a vak vak a, a mu ngal kei a.
44Hapo hujisemea: Nitarudi nyumbani kwangu nilikotoka. Lakini anaporudi na kuikuta tupu, imefagiwa na kupambwa,
44Huan, Ka pawtna in mahah ka kiknawn mai ding, a chi a: huan, a vatun leh, a vuaka, zep hoih sain a va mu a.
45huenda kuwachukua pepo wengine saba, wabaya kuliko yeye; na wote huja wakamwingia huyo mtu. Na hali ya mtu huyo sasa huwa mbaya kuliko hapo mwanzo. Ndivyo itakavyokuwa kwa watu hawa waovu."
45Huai takin a vapaia, amah sanga gilou jaw dawi dang sagih a honpi a, huaiah a lut ua, a tengta ua: huai mihing omdan nanung tuh a masa sangin a honghoih kei zo nak ahi. Tuamah bangin, tulai kangthak giloutakte tunga a hongom ding, chiin a dawnga.
46Yesu alikuwa bado anasema na umati wa watu wakati mama yake na ndugu zake walipofika na kusimama nje, wakitaka kusema naye.
46Mipite kianga thu a gen laiin ngai dih, a nu leh a unaute tuh amah houpih tumin, inpua ah a ding ua.
47Basi, mtu mmoja akamwambia, "Mama yako na ndugu zako wako nje, wanataka kusema nawe."
47Huan, mi khatin a kiangah. Ngaidih. na ni leh na unaute nang hohhoupih tumin inpua ah a ding nilouh uh, a chi a.
48Lakini Yesu akamjibu mtu huyo, "Mama yangu ni nani? Na ndugu zangu ni kina nani?"
48Aman tuh a hilhpa kiangah. Ka nu kua ahia? Ka unaute leng kuate ahia ua? chiin a dawnga.
49Kisha akaunyosha mkono wake kuelekea wanafunzi wake, akasema, "Hawa ndio mama yangu na ndugu zangu!
49Huan, a nungjui lamah a khut zan a. En un, ka nu leh ka unaute:Kuapeuh ka Pa vana om deihlam hih phot tuh ka unaute ka sanggam nute, ka nute ahi uh a chi a.
50Maana yeyote anayefanya anavyotaka Baba yangu aliye mbinguni, huyo ndiye ndugu yangu, dada yangu na mama yangu."
50Kuapeuh ka Pa vana om deihlam hih phot tuh ka unaute ka sanggam nute, ka nute ahi uh a chi a.