Swahili: New Testament

Paite

Matthew

11

1Yesu alipomaliza kuwapa wanafunzi kumi na wawili maagizo, alitoka hapo, akaenda kufundisha na kuhubiri katika miji yao.
1Huan, hichi ahia, Jesun a nungjui sawm leh nihte thu a piak zoh phetin huai a kipanin a khua khawng ua hilh ding leh thugen dingin a paita a.
2Yohane mbatizaji akiwa gerezani alipata habari juu ya matendo ya Kristo. Basi, Yohane akawatuma wanafunzi wake,
2Huan, Johanin, suangkulh sunga Kris thilhihte a najakin a nungjuite tuh sawlin a kiangah,
3wamwulize: "Je, wewe ni yule anayekuja, au tumngoje mwingine?"
3Hongpai dingpa na hi hia, a hihkeileh midang hungaih lai ding ka hi uhia? a chi saka.
4Yesu akawajibu, "Nendeni mkamwambie Yohane mambo mnayoyasikia na kuyaona:
4Huan Jesun a kiang uah, Pai nawnta unla, thil na muh uh leh na jak uh Johan kiangah vahilh un.
5vipofu wanaona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa na viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na maskini wanahubiriwa Habari Njema.
5Mittawte a mit uh a hong vakta, khebaite khein a hongpai ua, phakte a hongsiangthouta ua, bengngong te leng a bil uh a hongvakta, misite leng kaihthohin a omta ua; a jawngten leng Tanchin Hoih hilh a dongta uh.
6Heri mtu yule asiyekuwa na mashaka nami."
6Huan, kuapeuh ka tunga lunghihlouhna mu lou tuh a hampha uhi, chiin a na dawnga.
7Basi, hao wajumbe wa Yohane walipokuwa wanakwenda zao, Yesu alianza kuyaambia makundi ya watu habari za Yohane: "Mlikwenda kutazama nini kule jangwani? Je, mlitaka kuona mwanzi unaotikiswa na upepo?
7Huai mite tuh a paitak un, Jesun mipite kingah Johan thu a genta a, Bang en dinga gamdai a pai khia neita ua? Sialluang huih mut ling maw?
8Lakini mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumtazama mtu aliyevaa mavazi maridadi? Watu wanaovaa mavazi maridadi hukaa katika nyumba za wafalme.
8A hihkeikeh, bang en dingpena pai khia neita ua? Puan nem silh maw? Ngai un, puan nem silhte jaw kumpipate in ah eive a om uh.
9Basi, mlikwenda kuona nini? Nabii? Naam, hakika ni zaidi ya nabii.
9A hihkeileh, bang jiakpenin ahia na pai khiak uh? jawlnei, en dngin maw? A hi tawk vo oi, ka honchi ahi, jawlnei sanga leng thupijaw.
10"Huyu ndiye anayesemwa katika Maandiko Matakatifu: Tazama, hapa namtuma mjumbe wangu, asema Bwana, akutangulie na kukutayarishia njia yako.
10en dih, ka thangkou na ma ah ka sawl ahi, aman tuh na ma ah na lam a bawl ding. chih, a tanchin a gelh uh, hiai mipa ahi.
11Kweli nawaambieni, miongoni mwa watoto wote wa watu, hajatokea aliye mkuu kuliko Yohane mbatizaji. Hata hivyo, yule aliye mdogo kabisa katika Ufalme wa mbinguni, ni mkubwa kuliko yeye.
11Chihtaktakin, ka honhilh ahi, Numei suan lakah Baptispa Johan sanga thupijaw a suak ngei kei; himahleh vangama mi neu deuh leng amah sangin a thupizo ngal ua.
12Tangu wakati wa Yohane mbatizaji mpaka leo hii, Ufalme wa mbinguni unashambuliwa vikali, na watu wakali wanajaribu kuunyakua kwa nguvu.
12Baptispa Johan om akipan tutanin vangamin hiamgamna a tuak nak, hiamgamten hat thuin a la uh.
13Mafundisho yote ya manabii na sheria yalibashiri juu ya nyakati hizi.
13Jawlneite tengteng leh dan thuin Johan a hongom tanphain a na gen khol jel uh ahi.
14Kama mwaweza kukubali basi, Yohane ndiye Eliya ambaye angekuja.
14Na pom nop uleh, huai jaw Elija, hongpai dingpa mah ahi.
15Mwenye masikio na asikie!
15Kuapeuh jakna dinga bil neiin ja heh.
16"Basi, nitakifananisha kizazi hiki na kitu gani? Ni kama vijana waliokuwa wamekaa uwanjani, wakawa wakiambiana kikundi kimoja kwa kingine:
16Himahleh, tulai khangthakte bang toh ka tehpih dia? Naupang dawlmun khawnga tua, a lawmte sama
17Tumewapigieni ngoma lakini hamkucheza; tumeimba nyimbo za huzuni lakini hamkulia!
17Tamngai hontum sak una, lam lou uchina, Kap huphup unga, sun lou uchin a. chite bang ahi uh
18Kwa maana Yohane alikuja, akafunga na wala hakunywa divai, nao wakasema: Amepagawa na pepo.
18Johan a hongpaia, a ne in a dawn kei a, dawi nei ahi, a chi ua.
19Mwana wa Mtu akaja, anakula na kunywa, nao wakasema: Mtazameni huyu, mlafi na mlevi, rafiki yao watoza ushuru na wahalifu! Hata hivyo, hekima ya Mungu inathibitishwa kuwa njema kutokana na matendo yake."
19Mihing Tapa a hongpai a, a ne in a dawn a, Endih ua, an haipa uain haipa, siahkhonte leh mikhialte lawm; a chi ngal ua. Himahleh, pilna tuh a thilhihten siam a tan uh, a chi a.
20Kisha Yesu akaanza kuilaumu miji ambayo, ingawaje alifanya miujiza mingi humo, watu wake hawakutaka kubadili nia zao mbaya:
20Huan, a kisik louh jiakun, a thil thupi hih tamna pen khuate tuh a taita a.
21"Ole wako Korazini! Ole wako Bethsaida! Maana, kama miujiza iliyofanyika kwako ingalifanyika kule Tiro na Sidoni, watu wake wangalikwisha vaa mavazi ya gunia na kujipaka majivu zamani, ili kuonyesha kwamba wametubu.
21Korazin, na tung gik e: Bethsaida, na tung gik e; noumau a thil thupi hihte Tura leh Sidon khua a hih hileh, saiip puan silha vut laka tuin akisikta ding uh.
22Hata hivyo nawaambieni, Siku ya hukumu, ninyi mtapata adhabu kubwa kuliko Tiro na Sidoni.
22Himahleh, ka honhilh ahi, thukhen ni chiangin nou thuak ding sangin Tura leh Sidon khua thuak ding a dan a om zo ding.
23Na wewe Kafarnaumu, je, utajikweza mpaka mbinguni? Utaporomoshwa mpaka Kuzimu! Maana, kama miujiza iliyofanyika kwako ingalifanyika kule Sodoma, mji huo ungalikuwako mpaka hivi leo.
23Huan, nang Kapernaum, van tana tawisang na hi dia hia? Misi khua tan a vapai ding neive, nangmah a thil thupi tak hihte Sodom khuaa hih hileh, tutanin a om lai ding.
24Lakini nawaambieni, Siku ya hukumu itakuwa nafuu zaidi kwa watu wa Sodoma, kuliko kwako wewe."
24Himahleh, ka honhilh ahi, thukhen ni chiangin na thuak ding sangin Sodom gam thuakding a dan a om zo ding, a chi a
25Wakati huo Yesu alisema, "Nakushukuru ee Baba, Bwana wa mbingu na dunia, maana umewaficha wenye hekima mambo haya, ukawafumbulia watoto wadogo.
25Huchihlaiin, Jesun a houpiha, Pa aw, leitung leh van Toupa, nang mi pil leh mi bengvakte kiangah hiai thu na ima, naungekte kianga na than jiakin ka honphat hi.
26Naam Baba, ndivyo ilivyokupendeza.
26A hi, Pa, tua bang hih tuh, nang ngaihin a hoih ahi.
27"Baba yangu amenikabidhi vitu vyote. Hakuna amjuaye Mwana ila Baba, wala amjuaye Baba ila Mwana, na yeyote yule ambaye Mwana atapenda kumjulisha.
27Ka Pan thil bangkim honkem sakta; Pa louin kuamahin Tapa a theikei; Tapa leh a kiang ua Tapain a kitheihsak utnate kia loungalin kuamahin Pa a theikei.
28Njoni kwangu ninyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
28Nou sem gim leh puakgik po tengteng aw, ka kiangah hongpai unla, keiman khawlna konpe ding.
29Jifungeni nira yangu, mkajifunze kwangu, maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo, nanyi mtatulizwa rohoni mwenu.
29Ka hakkol pua unla, keia kipan zil un; thunuailut leh lungtanga kingainiam tak ka hi; huchiin, na kha ua dingin khawlna na mu ding uh.Ka hakkol a nuama, ka puak leng a jang ahi, a chi a.
30Maana, nira niwapayo mimi ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi."
30Ka hakkol a nuama, ka puak leng a jang ahi, a chi a.