Swahili: New Testament

Paite

Matthew

10

1Yesu aliwaita wanafunzi wake kumi na wawili, akawapa uwezo wa kutoa pepo wachafu na kuponya magonjwa na maradhi yote.
1Huan, a nungjui sawm leh nihte a kiangah a sam a, a kiang uah dawi ninte tunga thuneihna a pia a, amau hawlkhe ding leh, damlouhna chiteng leh natna chiteng hihdam dingin.
2Majina ya hao mitume kumi na wawili ni haya: wa kwanza ni Simoni aitwae Petro, na Andrea ndugu yake; Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohane ndugu yake;
2Huan, sawltak sawm leh nihte min tuh hiaite ahi: A masa penin Simon, Peter kichi leh a unau Andru te: Zebedai tapa Jakob leh a unau Johan te,
3Filipo na Bartholomayo, Thoma na Mathayo aliyekuwa mtoza ushuru; Yakobo mwana wa Alfayo, na Thadayo;
3Philip leh Bartholomai te: Thoma te leh siahkhon Matthai te: Alphai tapa Jakob leh Thaddia te;
4Simoni Mkanaani, na Yuda Iskarioti ambaye alimsaliti Yesu.
4Kanan mi Simon leh juausana mansakpa Juda Iskariot te.
5Yesu aliwatuma hao kumi na wawili na kuwapa maagizo haya: "Msiende kwa watu wa mataifa mengine, wala msiingie katika mji wa Wasamaria.
5Huai sawmlehnihte tuh Jesun a sawl khia a, a kiang uah hichin thu a pia a; Jentelte lam ah pai kei unla, Samasi mite khua himhim ah leng lut kei un;
6Ila nendeni kwa watu wa Israeli waliopotea kama kondoo.
6Ahihhangin Israel nam belam mangte kaingah pai jaw un.
7Mnapokwenda hubirini hivi: Ufalme wa mbinguni umekaribia.
7Huan, na pai un, vangam a hong naita, chiin, thu gen jel un.
8Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo. Mmepewa bure, toeni bure.
8Damloute hihdam unla, misite kaithou unla, phakte hihsiangthou unla; dawite hawlkhia un, a thawnin na mu ua, a thawnin pia un.
9Msichukue mifukoni mwenu dhahabu, wala fedha, wala sarafu za shaba.
9Na kawnggak uah khawng dangkaeng hiam, dangka hiam, dal dangka hiam tawi kei unla;
10Msichukue mkoba wa kuombea njiani, wala koti la ziada, wala viatu, wala fimbo. Maana mfanyakazi anastahili riziki yake.
10zinna a dingin kawljal hiam, puannak nih hiam, khedap hiam, chiangkhun hiam tawi sam kei un; nasemmi tuh a nek ding mutak ahi ngala.
11"Mkiingia katika mji wowote au kijiji, tafuteni humo mtu yeyote aliye tayari kuwakaribisheni, na kaeni naye mpaka mtakapoondoka mahali hapo.
11Huan, kholianah hiam, khoneu ah hiam na lutna peuh ua nou hontung sak tak mi ding zong khia unla, na pawt nawn mateng uh huai ah tuh tung kinken un.
12Mnapoingia nyumbani wasalimuni wenyeji wake.
12Huan, in a na lut ding un chibai buk un.
13Kama wenyeji wa nyumba hiyo wakiipokea salamu hiyo, basi, amani yenu itakaa pamoja nao. Lakini ikiwa hawaipokei, basi amani yenu itawarudia ninyi.
13Huan, in a mite tuh chibai buk tak ahih uleh na khamuanna thu uh a tunguah hongtung heh; a tak kei uleh na khamuanna thu uh na tunguah hongkik nawn heh.
14Kama mtu yeyote atakataa kuwakaribisheni au kuwasikilizeni, basi mtokapo katika nyumba hiyo au mji huo, yakung'uteni mavumbi miguuni mwenu kama onyo kwao.
14Huan, kuapeuh nou hon kipahpih lou a, na thu uleng a ngaihkhiak kei uleh, huai in a kipan hiam, huai a kipan hiam a na pawt chiang un, na khepek ua leivui tat khia un.
15Kweli nawaambieni, Siku ya hukumu mji huo utapata adhabu kubwa kuliko ile iliyoipata miji ya Sodoma na Gomora.
15Chihtaktakin ka honhilh ahi, Thukhen ni chiangin huai khuate sangin Sodom leh Gomorra gam thuak ding tuh a dan a om zo ding.
16"Sasa, mimi nawatuma ninyi kama kondoo kati ya mbwa mwitu. Muwe na busara kama nyoka, na wapole kama njiwa.
16Ngaidih ua, nge laka belam om bangin ka honsawl khia ahi: huchiin, gul banga pila, vakhu banga poi khoih lou in om un.
17Jihadharini na watu, maana watawapeleka ninyi mahakamani na kuwapiga viboko katika masunagogi yao.
17Himahleh, mihing lakah pilvang un: vaihawmmite a honmansak ding-ua, kikhopnain bangah a honvuak ding jiakun;
18Mtapelekwa mbele ya watawala na wafalme kwa sababu yangu, mpate kutangaza Habari Njema kwao na kwa mataifa.
18A hi, keimah jiakin gamukte leh kumpipate ma ah amaute leh Jentelte theihsakna dingin a honpi ding uh.
19Basi, watakapowapeleka ninyi mahakamani, msiwe na wasiwasi mtasema nini au namna gani; wakati utakapofika, mtapewa la kusema.
19Himahleh, a honmatsak chiangun, Bang chi ding ahia, bang thu ka gen dia? chiin, lungkham kei un; na gen ding uh tuh a hun takin a hontheisak ding ahi ngala.
20Maana si ninyi mtakaosema, bali ni Roho wa Baba yenu asemaye ndani yenu.
20A genpa tuh noumau na hi kei ding ua, na Pa uh Khain noumau ah a gen zo ding ahi ngal a.
21"Ndugu atamsaliti ndugu yake auawe, na baba atamsaliti mwanawe, nao watoto watawashambulia wazazi wao na kuwaua.
21Huan, hihlup dingin unaupa leh unaupa a kimansak ding ua, pan leng a ta a mansak ding; taten leng a nu leh a pate uh a dou ding uh, a hihlumsak ding uh.
22Watu wote watawachukieni kwa sababu ya jina langu. Lakini atakayevumilia mpaka mwisho, ataokolewa.
22Ka min jiakin mi tengteng huat na hi ding uh; himahleh, a tawp phaa thuak ngap peuhmah tuh hotdamin a om ding.
23"Watu wakiwadhulumu katika mji mmoja, kimbilieni mji mwingine. Kweli nawaambieni, hamtamaliza ziara yenu katika miji yote ya Israeli kabla Mwana wa Mtu hajafika.
23Huchiin, hiai khuaa hon gawt chiangun, kho dangah taisan un; chihtaktakin ka honhilh ahi, Mihing Tapa a hongpai main Israel khuate tuh na na sik suak kei ding uh.
24"Mwanafunzi si mkuu kuliko mwalimu wake, wala mtumishi si mkuu kuliko bwana wake.
24Nungjui a heutu tungah a om kei; sikha leng a pu tungah a om kei.
25Yatosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumishi kuwa kama bwana wake. Ikiwa wamemwita mkubwa wa jamaa Beelzebuli, je hawatawaita watu wengine wa jamaa hiyo majina mabaya zaidi?
25Nungjui tuh a heutu banga a hongom leh, sikha tuh a pu banga a hongom tuh a hun e. In neipa bawn, Beelzibul a chih uleh, a inkuanpihte tuh nak chihna tel un chia;
26"Basi, msiwaogope watu hao. Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, na kila kilichofichwa kitafichuliwa.
26Huaijiakin, amaute kihta kei un; lang lou dinga sel bangmah a om kei, theih louh dinga im leng bangmah a om kei hi.
27Ninalowaambieni ninyi katika giza, lisemeni katika mwanga; na jambo mlilosikia likinong'onezwa, litangazeni hadharani.
27Miala nou ka honhilh vak ah na gen ding ua; bil bula na jak uh in tunga tuangin tangkoupih un.
28Msiwaogope wale wauao mwili, lakini hawawezi kuiua roho. Afadhali zaidi kumwogopa yule awezaye kuuangamiza mwili pamoja na roho katika moto wa Jehanamu.
28Huan, sapum hihluma kha hihlum theiloute kihta kei unla; Gehenna a kha leh sapum hihmang theipa kihtajaw un.
29Shomoro wawili huuzwa kwa senti tano. Lakini hata mmoja wao haanguki chini bila kibali cha Baba yenu.
29Kawlgit nih dal dangka khatin a juak jel uh hi lou hiam? himahleh, a lak ua khat leng na Pa uh theih louhin lei ah a ke kei ding.
30Lakini kwa upande wenu, hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote.
30Na sam zangte uh nangawn leng sim vek ahi.
31Kwa hiyo msiogope; ninyi mu wa thamani kuliko shomoro wengi.
31Huaijiakin lau kei un; kawlgit tampi sangin na manpha jaw uh ahi.
32"Kila mtu anayekiri hadharani kwamba yeye ni wangu, mimi pia nitamkiri mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.
32Huchiin, mite maa hon gum peuhmah tuh, ka Pa van a ma ah ka gum sam ding.
33Lakini yeyote atakayenikana hadharani, nami nitamkana mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.
33Himahleh, kuapeuh mite maa honkitheihmohbawl tuh, ka Pa vana ma ah ka kitheihmohbawl sam ding.
34"Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga.
34Lei tungah lem lengsak dinga hongpai hiam honsa kei un; lem lengsak dinga hongpai ka hi kei a, namsau leng sak dinga hongpai ka hi jaw.
35Maana nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mkwe na mkwe wake.
35Mi a pa dousak dingin, tanu a nu dousak dingin, mou a nu dousak dinga hongpai ka hi.
36Na maadui wa mtu ni watu wa nyumbani mwake.
36Mi a melma tuh amah inkuanpih te laka mi mah ahi ding.
37"Ampendaye baba au mama yake kuliko anipendavyo mimi, hanistahili. Ampendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili.
37Kuapeuh a nu hiam, a pa hiam, kei sanga it jaw tuh, ka mi hi tak ahi kei; kuapeuh a tanu hiam a tapa hiam kei sanga it jaw leng, ka mi hi tak ahi kei.
38Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hanistahili.
38Kuapeuh a kros pua honjui lou tuh ka mi hi tak ahi kei.
39Anayeyashikilia maisha yake, atayapoteza; lakini anayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu, atayapata.
39Kuapeuh a hinna muin a tan dinga, keimah jiaka a hinna tanin a mu ding.
40"Anayewakaribisha ninyi, ananikaribisha mimi; na anayenikaribisha mimi, anamkaribisha yule aliyenituma.
40Kuapeuh nou honkipahpihin kei honkipahpih ahi a, kuapeuh kei honkipahpih tuh a honsawlpa kipahpih ahi.
41Anayemkaribisha nabii kwa sababu ni nabii, atapokea tuzo la nabii. Anayemkaribisha mtu mwema kwa sababu ni mtu mwema, atapokea tuzo la mtu mwema.
41Kuapeuh jawlnei tuh jawlnei a hih jiaka kipahpihin jawlnei kipahman a mu ding; kuapeuh mi diktat tuh mi diktat a hih jiaka kipahpihin mi diktat kipahman a mu ding.Huan, kuapeuh, hiai mi neu chikte laka khat kianga, nungjui a hih jiaka tuisik nou khat kia pia leng, chihtaktakin ka honhilh ahi. A kipahman uh a tan kei hial ding uh, a chi a.
42Kweli nawaambieni, yeyote atakayempa mmojawapo wa wadogo hawa kikombe cha maji baridi kwa sababu ni mfuasi wangu, hatakosa kamwe kupata tuzo lake."
42Huan, kuapeuh, hiai mi neu chikte laka khat kianga, nungjui a hih jiaka tuisik nou khat kia pia leng, chihtaktakin ka honhilh ahi. A kipahman uh a tan kei hial ding uh, a chi a.