1"Ufalme wa mbinguni unafanana na mtu mwenye shamba la mizabibu, ambaye alitoka asubuhi na mapema kuwaajiri wafanyakazi katika shamba lake.
1Vangam tuh, in neipa grephuana semdingte chial ding a jinga pawt bang ahi.
2Akapatana nao kuwalipa dinari moja kwa siku, kisha akawapeleka katika shamba lake la mizabibu.
2Huan, aman tuh nasemte toh ni khata makhai loh dia a kituah tak un a grep huan ah a sawl chiat ta a.
3Akatoka mnamo saa tatu asubuhi, akaona watu wengine wamesimama sokoni, hawana kazi.
3Huan, dak thumna ding khawng in a vapawt a, midang dawl mun a ding maimaite a mu a;
4Akawaambia, Nendeni nanyi mkafanye kazi katika shamba la mizabibu, nami nitawapeni haki yenu.
4huan, a kiang uah, Nou leng grep huan ah va pai sam ve ua, a kilawm hun ka honpe de, a chi a.
5Basi, wakaenda. Huyo mwenye shamba akatoka tena mnamo saa sita na saa tisa, akafanya vivyo hivyo.
5Huchi in, a paita ua. Huan, dak gukna ding khawng in leh dak kuana ding khawng in a va pawt nawna, huchi bangmah in a hih nawn a.
6Hata mnamo saa kumi na moja jioni, akatoka tena; akakuta watu wengine wamesimama pale sokoni. Basi, akawauliza, Mbona mmesimama hapa mchana kutwa bila kazi?
6Huan, dak sawm leh khatna khawng ding in a va pawt a, mi dang dingte a mu a; huan, a kiang uah, Bangdia ni tum ahiai lai a ding maimai na hi ua? A chi a.
7Wakamjibu: Kwa sababu hakuna mtu aliyetuajiri. Yeye akawaambia, Nendeni nanyi mkafanye kazi katika shamba la mizabibu.
7Amau tuh a kiangah, Kuamahin a honchial louh jiakun, a chi ua. Aman tuh a kiang uah, Nou leng grep huan ah va hoh sam un, a chi a.
8"Kulipokuchwa, huyo mwenye shamba alimwambia mtunza hazina wake, Waite wafanyakazi ukawalipe mshahara wao, ukianzia na wale walioajiriwa mwisho, na kumalizia na wale wa kwanza.
8Huan, nitaklam a honghih in, grep huan neipan, a sum kempa kiangah, Nasemte sam inla, a nanungpen a kipanin a masapen tan in aloh uh pia in, a chi a.
9Basi, wakaja wale walioajiriwa mnamo saa kumi na moja, wakapokea kila mmoja dinari moja.
9Huan, dak sawm leh khatna ding khawng a achialte a hong uh leh makhai a mu chiat ua.
10Wale wa kwanza walipofika, walikuwa wanadhani watapewa zaidi; lakini hata wao wakapewa kila mmoja dinari moja.
10Huan, a masapente a hong un, muh tam deuh a kiging ua; himahleh amau leng makhai mah a mu chiat uh.
11Wakazipokea fedha zao, wakaanza kumnung'unikia yule bwana.
11Huan, a sum a san takun, in neipa tungah a phunta ua,
12Wakasema, Watu hawa walioajiriwa mwisho walifanya kazi kwa muda wa saa moja tu, mbona umetutendea sawa na wao hali sisi tumevumilia kazi ngumu kutwa na jua kali?
12Hiai nanungpenten dak kal khat kia a sem ua, kou sun haksa leh khoul thuakte toh kibangin na bawla, chi in.
13"Hapo yule bwana akamjibu mmoja wao, Rafiki, sikukupunja kitu! Je, hukupatana nami mshahara wa denari moja?
13Aman bel, a lak ua mi khat kiangah, Lawm, na tungah bangmah ka hihkhial sama; makhai loh dingin i kituak ka hia?
14Chukua haki yako, uende zako. Napenda kumpa huyu wa mwisho sawa na wewe.
14Nanga la inla pai mai in; nang ka honpiak bangmah hiai nanungpen kiangah ka pe nuam ahi.
15Je, sina haki ya kufanya na mali yangu nipendavyo? Je, unaona kijicho kwa kuwa mimi ni mwema?"
15Kei a hiven, ka utut a ka hih a siang ka hia? A hihkeileh, kei ka hoih jiakin nang na haja ahia? chi in, a dawng a.
16Yesu akamaliza kwa kusema, "Hivyo, walio wa mwisho watakuwa wa kwanza na wa kwanza watakuwa wa mwisho."
16Huchi in, a nanungpente tuh a masapente a honghi ding ua, amasapente leng a nanungpente a honghi ding uh, a chi a.
17Yesu alipokuwa anakwenda Yerusalemu, aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili faraghani, na njiani akawaambia,
17Huan, Jesu Jerusalem khua a a hohtouh lai in nungjui sawm leh nihte a pituam a, lampi ah a kiang uah,
18"Sikilizeni! Tunakwenda Yerusalemu, na huko Mwana wa Mtu atakabidhiwa kwa makuhani wakuu na walimu wa Sheria, nao watamhukumu auawe.
18Ngai dih uh, Jerusalem khua ah i pai tou dia, Mihing Tapa siampu lalte leh laigelhmite khut a matsak in a om ding; huan, amau tuh si ding in a tungah thu a hihpuk ding uh,
19Watamkabidhi kwa watu wa mataifa mengine ili adhihakiwe, apigwe viboko na kusulubiwa; lakini siku ya tatu atafufuliwa."
19nuihza bawl nadia zat ding leh kros a kilhden ding in Jentelte kiang ah a pe ding uh; huan, ni thum ni a kaihthoh in a om ding, a chi a.
20Hapo mama yao wana wa Zebedayo alimjia Yesu pamoja na wanawe, akapiga magoti mbele yake na kumwomba kitu.
20Huai laitak in, Zebedai tapate nu, a tate pi in, a kiang ah a hong a, chibai a buk a, thil bang hiam a ngen a.
21Yesu akamwuliza, "Unataka nini?" Huyo mama akamwambia, "Ahidi kwamba katika Ufalme wako, hawa wanangu wawili watakaa mmoja upande wako wa kulia na mwingine upande wako wa kushoto."
21Huan aman a kiang ah, Bang ahia na deih? A chi a. Huan, aman, Hiai ka tapate nih na gamah, na taklam ah khat, na veilam ah khat a tut theihna ding un thu pia in, a chi a.
22Yesu akajibu, "Hamjui mnaomba nini. Je, mnaweza kunywa kikombe nitakachokunywa mimi?" Wakamjibu, "Tunaweza."
22Jesu'n bel, na nget theilou hi uteh. Ka nou dawn ding na dawn thei ua hia? a chi a, a dawng a. Amau a kiang ah, Thei e, a chi ua.
23Yesu akawaambia, "Kweli mtakunywa kikombe changu, lakini kuketi kulia au kushoto kwangu si kazi yangu kupanga; jambo hilo watapewa wale waliowekewa tayari na Baba yangu."
23Aman a kiang uah, Ka nou tuh na dawn ngei ding ua; himahleh ka taklam leh ka veilam a tut ding thu jaw kei piak ding a hikei, ka Pa bawlsakte a ding ahi zo ding, a chi a.
24Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, wakawakasirikia hao ndugu wawili.
24Huan, sawmte'n tuh huai a na jak un unau nihte tungah a hehta ua.
25Hivyo Yesu akawaita, akawaambia, "Mnajua kwamba watawala wa mataifa hutawala watu wao kwa mabavu na wakuu hao huwamiliki watu wao.
25Jesu'n bel amaute a sam a, Jentelte vaihawmte tuh a tunguah a lal mahmah ua, a mi liante un a tunguah thu a nei mahmah lai uh chih leng na thei uh.
26Lakini kwenu isiwe hivyo, ila yeyote anayetaka kuwa mkuu kati yenu sharti awe mtumishi wa wote;
26Himahleh, nou lak ah jaw huchi a hikei ding; kuapeuh na lak ua mi lian hih ut tuh na nasem un a om zo ding ahi;
27na anayetaka kuwa wa kwanza kati yenu sharti awe mtumishi wenu.
27kuapeuh na lak ua masapen hih ut tuh na nasem un a omlai ding ahi;
28Jinsi hiyohiyo, Mwana wa Mtu hakuja kutumikiwa, bali kutumikia na kutoa maisha yake kuwa fidia ya watu wengi."
28Mihing Tapa nasepsak a om ding in a hongpai kei a, nasem ding leh mi tampi tatna dia a hin pe ding a hongpai ahi jaw, a chi a.
29Yesu alipokuwa anaondoka mjini Yeriko, umati wa watu ulimfuata.
29Huan, Jeriko khua a kipan a pawt lai un mipi tampi tak in amah a jui ua.
30Basi, kulikuwa na vipofu wawili wameketi kando ya njia, na waliposikia kwamba Yesu alikuwa anapitia hapo, walipaaza sauti: "Mheshimiwa, Mwana wa Daudi, utuhurumie!"
30Huan, ngaidih, mittaw nih lam gei a tute'n Jesu a pai chih a jak tak un, TOUPA, nang David Tapa, ka tunguah zahngai in, chi in, a kikou ua.
31Ule umati wa watu ukawakemea na kuwaambia wanyamaze. Lakini wao wakazidi kupaaza sauti: "Mheshimiwa, Mwana wa Daudi, utuhurumie!"
31Huan, mipi'n dai ding in a tai ua; himahleh, amau tuh, Toupa, nang David Tapa, ka tunguah zahngai in, chi in, a kikou semsem ua.
32Yesu akasimama, akawaita na kuwauliza, "Mnataka niwafanyie nini?"
32Huan, Jesu a ding a, amau a sam a, Na tunguah bang chi a ka hih na ut ua? a chi a.
33Wakamjibu, "Mheshimiwa, tunaomba macho yetu yafumbuliwe."
33Amau tuh a kiang ah, Mit vak ka ut uh, a chi ua.Huchi in, Jesu'n a hehpih mahmah a, a mit uh a khoih a; huchi in, a mu thei pah ngal ua, amah tuh a juita uh.
34Basi, Yesu akawaonea huruma, akawagusa macho yao, na papo hapo wakaweza kuona, wakamfuata.
34Huchi in, Jesu'n a hehpih mahmah a, a mit uh a khoih a; huchi in, a mu thei pah ngal ua, amah tuh a juita uh.