1Yesu na wanafunzi wake walipokaribia Yerusalemu na kufika Bethfage katika mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,
1Huan, Jerusalem khua a tun ding un, Bethphage khua, Oliv tang tuh, a tun un Jesu'n nungjuite nih a sawl a, a kiang uah,
2akawaambia, "Nendeni hadi kijiji kilicho mbele yenu na mtamkuta punda amefungwa na mtoto wake. Wafungueni mkawalete kwangu.
2Na ma jawn khua uah vahohta unla, sabengtung khih, a kiang a a nou toh, na mu ding ua; phel unla, ka kiang ah hon kai un.
3Kama mtu akiwauliza sababu, mwambieni, Bwana anawahitaji, naye atawaachieni mara."
3Huan, kuapeuh in na kiang ua banghiam a gen uleh, Toupa'n a deih a ahi, na chi ding uh; huan, aman tuh a hon sawl pah mai ding, a chi a.
4Jambo hili lilifanyika ili yale yaliyosemwa na nabii yatimie:
4Hiai tengteng tuh jawlnei kam a gen a hong tun theihna ding in a hong omta hi.
5"Uambieni mji wa Sioni: Tazama, Mfalme wako anakujia! Ni mpole na amepanda punda, mwana punda, mtoto wa punda."
5En dih, na Kumpipa, thunuailut tak in, sabengtung tungah- sabengtung nou tung ngei a tuang in na kiang ah a hong dek, chi in, Zion tanu tuh hilh in, a chih.
6Hivyo, wale wanafunzi walienda wakafanya kama Yesu alivyowaagiza.
6Huchi in, nungjuite tuh a vapai ua, Jesu'n a kiang ua thu a piak bang ngei in a hih ua,
7Wakamleta yule punda na mtoto wake, wakatandika nguo zao juu yao na Yesu akaketi juu yake.
7sabengtung leh a nou tuh a honkai ua, a tunguah a puante uh a phah ua, huai ah a tuangta a.
8Umati mkubwa wa watu ukatandaza nguo zao barabarani, na watu wengine wakakata matawi ya miti wakayatandaza barabarani.
8Huan, mipi lak a tamjaw in lampi ah a puante uh a phah ua, midang in sing sawl a sat ua, lampi ah a phah ua.
9Makundi ya watu waliomtangulia na wale waliomfuata wakapaaza sauti: "Hosana Mwana wa Daudi! Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana! Hosana Mungu juu mbinguni!"
9Huan, mipi a malam a paite leh a juite'n, David Tapa kiang ah Hosanna: Toupa min a hongpai tuh a hampha hi: tungnungpen ah Hosanna: chi in, a kikou ua.
10Yesu alipokuwa anaingia Yerusalemu, mji wote ukajaa ghasia. Watu wakawa wanauliza, "Huyu ni nani?"
10Huan, Jerusalem khua a honglut in, a khua in, Hiai mi kua ahia? Chi in, a ling souhsouh ua.
11Watu katika ule umati wakasema, "Huyu ni nabii Yesu, kutoka Nazareti katika mkoa wa Galilaya."
11Huan, mipite'n, hiai mi jawlnei Jesu, Galili gam a Nazaret khua a ahi, a chi ua.
12Basi, Yesu akaingia Hekaluni, akawafukuza nje watu waliokuwa wanauza na kununua vitu ndani ya Hekalu; akazipindua meza za wale waliokuwa wanavunja fedha, na viti vya wale waliokuwa wanauza njiwa.
12Huan, Jesu Pathian biak in ah a valut a, biakin a juakmite leh leimite tengteng a delhkhia a, dangka khengte dohkante leh vakhu juakte tutphahte leng a sawnpaih sak a;
13Akawaambia, "Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala. Lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi."
13a kiang uah, Ka in thumna in a chi ding uh, chih gelh ahi; nou bel suamhatte khuk in na bawljaw uh, a chi a.
14Vipofu na vilema walimwendea huko Hekaluni, naye Yesu akawaponya.
14Huan, Pathian biak in ah mittawte leh khebaite a kiang ah a hong ua; amau a na hihdam.
15Basi, makuhani wakuu na walimu wa Sheria walipoyaona maajabu aliyoyafanya Yesu, na pia watoto walipokuwa wanapaaza sauti zao Hekaluni wakisema: "Sifa kwa Mwana wa Daudi," wakakasirika.
15Himahleh, siampu lalte leh laigelhmite'n a thil lamdang hihte leh biakin a, David Tapa Hosanna: chi a naupang kikoute a muh un, a lungkimkei mahmah ua,
16Hivyo wakamwambia, "Je, husikii wanachosema?" Yesu akawajibu, "Naam, nasikia! Je hamjasoma Maandiko haya Matakatifu? Kwa vinywa vya watoto wadogo na wanyonyao unajipatia sifa kamilifu."
16a kiang ah, Hiaite thugen na ja hia? a chi ua. Huan, Jesu'n a kiang uah, Ja e; Naungekte leh nawi nelaite kam a pawt in pahtawina na hihkimta, chih na sim ngeikei ua hia? A chi a.
17Basi, akawaacha, akatoka nje ya mji na kwenda Bethania, akalala huko.
17Huan, amau tuh a paisan a, khopi apat a pawt a, Bethani ah a pai a; huai ah a giakta.
18Yesu alipokuwa anarudi mjini asubuhi na mapema, aliona njaa.
18Huan, jing a khopi lam a akik nawnlai in a gil a hong kialta a.
19Akauona mtini mmoja kando ya njia, akauendea; lakini aliukuta hauma chochote ila majani matupu. Basi akauambia, "Usizae tena matunda milele!" Papo hapo huo mtini ukanyauka.
19Huan, lamsik ah theipi kung a mu a, a va naih a, a nah kia loungal bangmah a mukei a. Huan, a kiang ah, Khantawn in na gah nawnta ken a chi a.
20Wanafunzi walipouona walishangaa wakisema, "Kwa nini mtini huu umenyauka ghafla?"
20Huan, theipi tuh a vul pah ngal a. Huan, nungjuite'n huai amuh un, Bangchidan ahia theipi a vulpah tel? chi in lamdang a sa mahmah ua.
21Yesu akawajibu, "Kweli nawaambieni, kama mkiwa na imani bila kuwa na mashaka, mnaweza si tu kufanya hivyo, bali hata mkiuambia mlima huu: Ng'oka ukajitose baharini, itafanyika hivyo.
21Huan, Jesu'n a kiang uah, Chihtaktakin, ka hon hilh ahi, ginna na neih ua, na gin lah kei uleh, theipi tung a hih bang phet leng na hihkei ding ua, hiai tang kiang ah leng, Na kisuan inla, tuipi ah na kipai in, chi le uchin, na chih bang un, a hong om ding.
22Na mkiwa na imani, chochote mtakachoomba katika sala, mtapata."
22Huan, bang peuh gingta a thum a na nget uh na mu ding uh, a chi a, a dawng a.
23Yesu aliingia Hekaluni, akawa anafundisha. Alipokuwa akifundisha, makuhani wakuu na wazee wa watu wakamwuliza, "Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Nani amekupa mamlaka haya?"
23Huan, Pathian biakin a lut nung a, thu a hilhlai in, siampu lalte leh vantang upate a kiang ah a hong ua, a kiang ah, Kua thu in ahia hiai thil na hih? Kuan thu a hon pai a? A chi ua.
24Yesu akawajibu, "Na mimi nitawaulizeni swali moja; mkinijibu, basi nami nitawaambieni ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.
24Huan, Jesu'n a kiang uah, Ken leng thu kam khat kon dong sam ding, huai tuh na hon hilh uleh, kua thu in ahia hiai thil ka hih, ka hon hilh sam ding.
25Je, mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka kwa nani? Je, yalitoka mbinguni ama kwa watu?" Lakini wakajadiliana wao kwa wao hivi: "Tukisema, Yalitoka mbinguni, atatuuliza, Basi, mbona hamkumsadiki?
25Johan baptisma, hiai kaw kipan ahia? Van a kipan hia, a hihkeileh mihing a kipan? A chi a, a dong a. Huan, a kingaihtuah ua. Van a kipan, chi lehang, Bang dia amah ginglou na hi ua leh? A hon chi kha dia.
26Na tukisema, Yalitoka kwa watu, tunaogopa umati wa watu maana wote wanakubali kwamba Yohane ni nabii."
26Huan, Mihing a kipan, chi lehang, mipi i kihta ngal a; mi tengteng in lah Johan jawlnei in a sim ngal ua, a chi ua.
27Basi, wakamjibu, "Hatujui!" Naye Yesu akawaambia, "Nami pia sitawaambieni ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.
27Huchi in, Jesu a dawng ua, Theikei ung, a chi ua. Aman leng a kiang uah, Ken leng kua thu in ahia hiai thil ka hih ka hon hilh samkei ding, a chi a.
28"Ninyi mnaonaje; mtu mmoja alikuwa na wana wawili. Akamwambia yule wa kwanza, Mwanangu, leo nenda ukafanye kazi katika shamba la mizabibu.
28Himahleh, nou bang chi na sa ua? Mi kuahiam in tapa nih a nei a, Khatpa kiang ah a vahoh a, Ta aw, tuni'n grep huan ah vasem ve, a chi a.
29Yule kijana akamwambia, Sitaki! Lakini baadaye akabadili nia, akaenda kufanya kazi.
29Aman, Ka utkei, a chi a, a dawng a; himahleh a denchiang in a lungsim a kheng a, a kuanta a.
30Yule baba akamwambia mtoto wake wa pili vivyo hivyo, naye akamjibu, Naam baba! Lakini hakwenda kazini.
30Huan, khatpa kiang ah leng a vahoh a, tua bangmah in a vachi a. Huan, aman, Pu, ka kuan ding, a chi a, a dawng a; himahleh a kuanta kei.
31Je, ni nani kati ya hawa wawili aliyetimiza matakwa ya baba yake?" Wakamjibu, "Yule mtoto wa kwanza." Basi, Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, watoza ushuru na waasherati wataingia katika Ufalme wa Mungu kabla yenu.
31Huai mi nihte a kua jaw in, a pa uh deihlam a hih aleh a chi a. Amau tuh, A masapen in, a chi ua. Jesu'n a kiang uah, Chihtaktakin ka hon hilh ahi, siahkhonte leh kijuakte'n Pathian gamah nou a hon lut khalh ding uh.
32Maana Yohane alikuja kwenu akawaonyesha njia njema ya kuishi, nanyi hamkumwamini; lakini watoza ushuru na waasherati walimwamini. Hata baada ya kuona hayo yote ninyi hamkubadili mioyo yenu, na hamkusadiki."
32Johan tuh diktatna lam tawn in na kiang uah a hong a, amah lah na gingta ngalkei ua: siahkhonmite leh kijuakte'n bel amah a gingta ua; noute'n huai na muh nung un leng amah na gintak theihna ding un na kisik nuam tuankei uh.
33Yesu akasema, "Sikilizeni mfano mwingine. Mtu mmoja mwenye nyumba alilima shamba la mizabibu; akalizungushia ukuta, akachimba kisima cha kusindikia divai, akajenga humo mnara pia. Kisha akalikodisha kwa wakulima, akasafiri kwenda nchi ya mbali.
33Gentehna thu dang ngaikhia un: Mi kuahiam, in nei a om a, huai min tuh grephuan a bawl a, gawl in a um suak a, grep sukna khuk a tou a, in sang a lam a; huan, lou kemte kiang ah khoh loh ding in a pia a, gam dang ah a paita a.
34Wakati wa mavuno ulipofika, aliwatuma watumishi wake kwa wale wakulima, ili wakachukue sehemu ya mavuno yake.
34Huan, a gah loh a hun ding kuan in a gah la ding in lou kemte kiang ah a sikhate a sawl a.
35Wale wakulima wakawakamata hao watumishi; mmoja wakampiga, mwingine wakamwua na mwingine wakampiga mawe.
35Huan, lou kemte'n tuh a sikhate a naman ua, khat a vua ua, khat a that ua, khat suang in a deng ua.
36Huyo mtu akawatuma tena watumishi wengine, wengi kuliko wa safari ya kwanza. Wale wakulima wakawatendea namna ileile.
36Huan, sikha dang, a masa pawl sang a tamjaw a sawl nawn a; amau tungah leng a ma ua mite a hih bangmah un a na hih nawn ua.
37Mwishowe akamtuma mwanawe huku akifikiri: Watamheshimu mwanangu.
37Huai nung in tuh, Ka tapa a zahtak ding uh, chi in, a tapa tuh a kiang uah a sawl a.
38Lakini wale wakulima walipomwona mwanawe wakasemezana wao kwa wao: Huyu ndiye mrithi; na tumuue ili tuuchukue urithi wake!
38Himahleh lou kemte'n a tapa a na muh tak un, Hiai mipa gouluahdingpa ahi; that ni e: a gou luah ding tansak ni, a kichi ua.
39Basi, wakamkamata, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, wakamwua.
39Huchi in, amah tuh a man ua, grephuan a kipan a pai khia ua, a thatta ua.
40"Sasa, huyo mwenye shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanyaje hao wakulima?"
40Huchi in grep huan neipa a hongpai chiang in huai lou kemte tungah bang chin a hon hih dia le? A chi a.
41Wao wakamjibu, "Atawaangamiza vibaya hao waovu, na lile shamba atawapa wakulima wengine ambao watampa sehemu ya mavuno wakati wa mavuno."
41Amau tuh a kiang ah, Huai migiloute tuh haksa tak in a hihmangthang ding a, grep huan lah lou kemmi dang a loh hun teng a a gahte a kiang a pe jel dingte kiang ah, khoh loh ding in a pe ding, a chi ua.
42Hapo Yesu akawaambia, "Je, hamkusoma jambo hili katika Maandiko Matakatifu? Jiwe walilokataa waashi sasa limekuwa jiwe kuu la msingi. Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu!
42Jesu'n a kiang uah, Laisiangthoute a, In lammite suang deihlouhpen, huai ngeingei a ning a suang phatuampen a hong hita. Huai tuh Toupa hih ahi, i mit muh in a lamdang ahi, chih, na sim ngeikei ua hia?
43"Kwa hiyo nawaambieni, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na kupewa watu wa mataifa mengine wenye kutoa matunda yake."
43Huaijiak in, Pathian gam tuh na kiang ua kipan laksak ahi dia, a gah suah ding nam dang kiang ah piak ahi ding, chih, ka hon hilh ahi.
44"Atakayeanguka juu ya jiwe hilo atavunjika vipandevipande; na likimwangukia mtu yeyote, litamponda."
44Huan, huai suang tung a puk tuh a kitam gawp dia; a delh khakte houh a gawijan ding, a chi a.
45Makuhani wakuu na Mafarisayo waliposikia hiyo mifano yake walitambua kwamba alikuwa anawasema wao.
45Huan, siampu lalte leh Pharisaite'n a gentehna thute a jak un amau tung thu a gen chih a theita ua.Huan, amah tuh mat a tum ua; himahleh mipite a kihta ngal ua, jawlnei a a sim jiak un.
46Kwa hiyo wakawa wanatafuta njia ya kumtia nguvuni, lakini waliwaogopa watu kwa sababu wao walimtambua yeye kuwa nabii.
46Huan, amah tuh mat a tum ua; himahleh mipite a kihta ngal ua, jawlnei a a sim jiak un.