Swahili: New Testament

Paite

Matthew

22

1Yesu alisema nao tena kwa kutumia mifano:
1Huan, Jesu'n, amaute a houpih a, a kiang uah gentehna thu a gen nawn a,
2"Ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme aliyemwandalia mwanawe karamu ya arusi.
2Vangam tuh kumpipa kua hiam a tapa a dia kitenna ankuang lui toh teh ahi.
3Basi, akawatuma watumishi kuwaita walioalikwa waje arusini, lakini walioalikwa hawakutaka kufika.
3Huan, kitenna ankuang um dia achialte tuh sam ding in a sikhate a sawl a, himahleh, a hong nuamkei uh.
4Akawatuma tena watumishi wengine, akisema, Waambieni wale walioalikwa: karamu yangu iko tayari sasa; fahali wangu na ng'ombe wanono wamekwisha chinjwa; kila kitu ni tayari, njoni arusini.
4Huan, aman, Ka chialte kiang ah, Ngai dih ua, ka ankuang ka manta; ka bawngtalte keh ka gan vak thaute ka gou a, bangteng a manta hi; kitenna ankuang um ding in hongpaita un, chi un, chi in, a sikha dangte a sawl nawn a.
5Lakini wao hawakujali, wakaenda zao; mmoja shambani kwake, mwingine kwenye shughuli zake,
5Himahleh, a na limsakkei ua, a pai mang ua, khat tuh a lou ah a kuan a, khat tuh a sumsinna ah;
6na wengine wakawakamata wale watumishi wakawatukana, wakawaua.
6mi dangte'n a sikhate a man ua, zumhuai tak in a bawl ua, a hihlumta mai ua.
7Yule mfalme akakasirika, akawatuma askari wake wakawaangamize wauaji hao na kuuteketeza mji wao.
7Huchi in, kumpipa tuh a thangpaita a; a sepaih hon a sawl a, huai tualthatte a hihmang a, a khua uh leng a halsakta.
8Kisha akawaambia watumishi wake: Karamu ya arusi iko tayari kweli, lakini walioalikwa hawakustahili.
8Huan, a sikhate kiang ah, Kitenna ankuang man a hita, ka chialte lah ne tak a hikei uh.
9Basi, nendeni kwenye barabara na wowote wale mtakaowakuta waiteni waje arusini.
9Huaiziak in, lamkathuamte khawng ah pai unla, mi na muh peuhpeuh uh kitenna ankuang um ding in chial un, a chi a.
10Wale watumishi wakatoka, wakaenda njiani, wakawaleta watu wote, wabaya na wema. Nyumba ya arusi ikajaa wageni.
10Huchi in, huai sikhate a pawt ua, lamkathuam khawng a vapai in, a muh peuhmah uh, migilou leh mihoihte leng, a pikhawmvek ua: huchi in, kitenna dantan tuh mi chialte in a hong dimta a.
11"Mfalme alipoingia kuwaona wageni, akamwona mtu mmoja ambaye hakuvaa mavazi ya arusi.
11Himahleh, kumpipa tuh mi chialte en ding a a hong lut leh, kitenna puan silhlou mi khat huai ah a mu a;
12Mfalme akamwuliza, Rafiki, umeingiaje hapa bila vazi la arusi? Lakini yeye akakaa kimya.
12Huchi in, a kiang ah, Lawm, bangchidan ahia, kitenna puan silhlou ahiai lai a nong lut? a chi a. Huan, amah tuh a dai dide a.
13Hapo mfalme akawaambia watumishi, Mfungeni miguu na mikono mkamtupe nje gizani; huko atalia na kusaga meno."
13Huan, kumpipa'n a sikhate kiang ah, A khut leh a khe gak unla, polam mial ah paikhia un; huailai ah kah leh hagawi a om ding, a chi.
14Yesu akamaliza kwa kusema, "Wengi wamealikwa, lakini wachache wameteuliwa."
14Chialte tuh tampi ahi ua, telte jaw tawmchik ahi uh, a chi a.
15Kisha, Mafarisayo wakaenda zao, wakashauriana jinsi ya kumnasa Yesu kwa maneno yake.
15Huailai in Pharisaite a thugen a mat theihna dingdan a vakikum ua.
16Basi, wakawatuma wafuasi wao pamoja na wafuasi wa kikundi cha Herode. Wakamwuliza, "Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mtu mwaminifu, na kwamba wafundisha njia ya Mungu kwa uaminifu; humwogopi mtu yeyote, maana cheo cha mtu si kitu kwako.
16Huan, amau tuh a nungjuite uleh Herod pawlte a kiang ah a sawl ua, huai mite'n tuh, Sinsakpa, mi diktak na hi a, diktak in Pathian lam thu na hilh a, poisak tuan kuamah na neikei chih ka thei uh; kuamah khentuam na neikei a.
17Haya, twambie maoni yako. Je, ni halali au la, kulipa Kaisari?"
17Huaijiak in, bangchi na sa a? hon hilh di aw? Kaisar kiang a siah tawi a siang hia sianglou? A chi ua.
18Lakini Yesu alitambua uovu wao, akawaambia, "Enyi
18Himahleh, Jesu'n a gitlouhdan uh a nathei a, Lepchiahte aw, bangdia hon ze-et na hi ua?
19Nionyesheni fedha ya kulipia kodi." Nao wakamtolea sarafu ya fedha. sarafu ya fedha.
19Siahsum tuh honla un, a chi a. Huan, a kiang ah makhai a honla ua.
20Basi, Yesu akawauliza, "Sura na chapa hii ni ya nani?"
20Huan, aman a kiang uah, Hiai kua lim leh kua min ahia? A chi a.
21Wakamjibu, "Ni vya Kaisari." Hapo Yesu akawaambia, "Basi, mpeni Kaisari yaliyo yake Kaisari, na Mungu yaliyo yake Mungu."
21Amau tuh a kiang ah, Kaisar a, a chi ua. Huan, aman a kiang uah, A hih nung, Kaisar thilte Kaisar kiang ah pia unla, Pathian thilte Pathian kiang ah peta unla, a chi a.
22Waliposikia hivyo wakashangaa; wakamwacha, wakaenda zao.
22Huai a jak un lamdang a sa mahmah ua, amah a paisan ua, a paimangta uh.
23Siku hiyo, baadhi ya Masadukayo walimwendea Yesu. Hao ndio wale wasemao kwamba wafu hawafufuki.
23Huai ni mah in, Saddukaite, thohnawnna a omkei chite, a kiang ah a hong ua;
24Basi, wakamwambia, "Mwalimu, Mose alisema mtu aliyeoa akifa bila kuacha watoto, lazima ndugu yake amwoe huyo mama mjane, amzalie ndugu yake watoto.
24a kiang ah, Sinsakpa, Mosi in, Mi ta neilou in si leh, a unaupa'n a ji luah in a unaupa a di'n chi a khah sak ding ahi, a chi a.
25Sasa, hapa petu palikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa kisha akafa bila kujaliwa watoto, akamwachia ndugu yake huyo mke wake mjane.
25A hi, ka lak uah sal sagih a om ua; a upapen in ji a nei a, a si a, huan, chi a khahlouh jiak in a ji tuh a unaupa luah ding in a nutsiat a;
26Ikawa vivyo hivyo kwa ndugu wa pili, na wa tatu, mpaka wa saba.
26huchimah bang in nihna in a luah a, thumna in a luah lai a, sagihna tan in a luah chiat ua.
27Baada ya ndugu hao wote kufa, akafa pia yule mama.
27Huan, a vek ua a sih nung un numei mah leng a sita a.
28Je, siku wafu watakapofufuka mama huyo atakuwa mke wa nani miongoni mwa wale ndugu saba? Maana Wote saba walimwoa."
28Huchi in, thohnawnna ah amau sagihte lak ah kua pen ji ahi dia? a vek un lah a nei chiat ngal ua, chi in, a dong ua.
29Yesu akawajibu, "Kweli mmekosea kwa sababu hamjui Maandiko Matakatifu wala nguvu ya Mungu!
29Jesu'n a kiang uah, Laisiangthou leh Pathian thilhihtheihna na theihlouh jiak un na ngai khial nak uhi.
30Maana wafu watakapofufuliwa hawataoa wala kuolewa, watakuwa kama malaika mbinguni.
30Thohnawnna ah ji leh pasal a kitenna om nawnkei a, van a angelte bang ahi zota ding uh.
31Lakini kuhusu suala la wafu kufufuka, hamjasoma yale aliyowaambieni Mungu?
31Ahihhang in, misi thohnawnna thu Pathian in na kiang ua a gen na simkei ua hia?
32Aliwaambia, Mimi ni Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo! Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai."
32Kei Abraham Pathian, Isaak Pathian, Jakob Pathian ka hi, chi in, Pathian jaw misi Pathian a hikei a, mihing Pathian ahi jaw, a chi a, a dawng a.
33Ule umati wa watu uliposikia hivyo ukayastaajabia mafundisho yake.
33Huan, mipite'n huai a jak un a thuhilh tuh lamdang a sa mahmah ua.
34Mafarisayo waliposikia kwamba Yesu alikuwa amewanyamazisha Masadukayo, wakakutana pamoja.
34Pharisaite'n bel, Jesu'n Saddukaite a selkhia chih a zak un a kikhawmta ua.
35Mmoja wao, mwanasheria, akamwuliza Yesu kwa kumjaribu,
35Huan, a lak ua dansiammi khat in, amah ze-et in thu a dong a,
36"Mwalimu, ni amri ipi iliyo kuu katika Sheria ya Mose?"
36Sinsakpa, dan thu ah bang thupiak pen ahia thupipen? chi in,
37Yesu akamjibu, "Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote na kwa akili yako yote.
37Huan, aman a kiang ah, Toupa na Pathian tuh na lungtang tengteng in, na kha tengteng in, na lungsim tengteng in na it ding ahi, chih.
38Hii ndiyo amri kuu ya kwanza.
38Huai tuh thupiak thupipen leh poimoh pen ahi.
39Ya pili inafanana na hiyo: Mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe.
39Huan, a zom in, a kibatpih tuh hiai ahi, Nangmah na ki-it bang in na vengte leng na it ding ahi, chih.
40Sheria yote ya Mose na mafundisho ya manabii vinategemea amri hizi mbili."
40Huai thupiak nih ah dan thu leh jawlneite thu tengteng a kikhaikhawm vek ahi, a chi a.
41Mafarisayo walipokusanyika pamoja, Yesu aliwauliza,
41Huan, Pharisaite a kikhoplai un. Jesu'n amaute thu a dong a.
42"Ninyi mwaonaje juu ya Kristo? Je, ni mwana wa nani?" Wakamjibu, "Wa Daudi."
42Kris tuh bangchi na sa ua? kua tapa ahia? A chi a. Amau tuh a kiang ah, David tapa, a chi ua.
43Yesu akawaambia, "Basi, inawezekanaje kwamba kwa nguvu ya Roho Mtakatifu Daudi anamwita yeye Bwana? Maana alisema:
43Aman tuh a kiang uah, Bangchidan in ahia David in Kha a amah Toupa, a chih a.
44Bwana alimwambia Bwana wangu: keti upande wangu wa kulia, mpaka niwaweke adui zako chini ya miguu yako.
44Toupa'n, ka Toupa kiang ah, Na melmate na khepek nuai a ka koih ka taklam ah tu in, chia, a chih?
45Basi, ikiwa Daudi anamwita Kristo Bwana, anawezaje kuwa mwanawe?"
45David in amah, Toupa, a chih ngal leh, bangchin a tapa ahi dia? a chi a.Huan, kuamah in kam khat in leng a mah a dawng theikei ua, huai ni a kipan tuh kuamah in thu dang himhim a dong ngam nawnta kei uh.
46Hakuna mtu yeyote aliyeweza kumjibu neno. Na tangu siku hiyo hakuna aliyethubutu tena kumwuliza swali.
46Huan, kuamah in kam khat in leng a mah a dawng theikei ua, huai ni a kipan tuh kuamah in thu dang himhim a dong ngam nawnta kei uh.