Swahili: New Testament

Paite

Matthew

23

1Kisha Yesu akauambia umati wa watu pamoja na wanafunzi wake,
1Huan, Jesu'n mipite leh a nungjuite kiang ah thu a gen a.
2"Walimu wa Sheria na Mafarisayo wana mamlaka ya kufafanua Sheria ya Mose.
2Laigelhmite leh Pharisaite Mosi tutphah ah a tu jel ua,
3Kwa hiyo shikeni na kutekeleza chochote watakachowaambieni. Lakini msiyaige matendo yao, maana hawatekelezi yale wanayoyahubiri.
3huaijiak in a hon hilh peuhmah uh hih unla jui jel unla; amau thihhih bang jaw hih tuankei un, gen jaw a gen jel ua, a hih tuankei uh.
4Hufunga mizigo mizito na kuwatwika watu mabegani, lakini wao wenyewe hawataki kunyosha hata kidole wapate kuibeba.
4Puakgik haksatak a bawl ua, mite a suan uh, amau lah a khut zung un leng a suan nuamkei uh.
5Wao hufanya matendo yao yote ili watu wawaone. Huvaa tepe zenye maandishi ya Sheria juu ya panda la uso na mikononi na hupanua pindo za makoti yao.
5A thilhih tengteng uh tuh mihing muh ding in ahi, ahih jawk nak uh, a thil but uleh a khipte uh a hih lian ua, a puan mongkai uh a sau sak ua.
6Hupenda nafasi za heshima katika karamu na viti vya heshima katika masunagogi.
6ankuangluina ah mun hoihpen bang kikhopna in ah tutphah hoihpen bang.
7Hupenda kusalimiwa kwa heshima sokoni na kupendelea kuitwa na watu: Mwalimu.
7dawl mun a chibai buk bang, min, Rabbi, a chih bang uh a deihtuam se ngal nak uh.
8Lakini ninyi msiitwe kamwe Mwalimu, maana mwalimu wenu ni mmoja tu, nanyi nyote ni ndugu.
8Nou jaw, Rabbi chih in omkei un; sinsakpa khat na nei ua, nou tengteng tuh unaute na hi ngal ua.
9Wala msimwite mtu yeyote Baba hapa duniani, maana Baba yenu ni mmoja tu aliye mbinguni.
9Huan, leitung ah kuamah, Pa, chikei un: na Pa uh khat kia ahi, van a om.
10Wala msiitwe Viongozi, maana kiongozi wenu ni mmoja tu, ndiye Kristo.
10Heutu chih in om samkei un, heutu khat na nei ua amah Kris ahi.
11Aliye mkubwa miongoni mwenu ni lazima awe mtumishi wenu.
11Na lak ua thupipen na sikha ua a om jawk ding ahi.
12Anayejikweza atashushwa, na anayejishusha atakwezwa.
12Kuapeuh kiliansak tuh a dai ding, kuapeuh kingaineu tuh pahtawi in a om ding.
13"Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnaufunga mlango wa Ufalme wa mbinguni mbele ya macho ya watu. Ninyi wenyewe hamwingii ndani, wala hamwaruhusu wanaotaka kuingia waingie.
13Himahleh nou laigelhmite leh Pharisai lepchiahte aw, na tung uh a gik hi: vangam lampi mite na khak sak ngal ua: nou lah na lut ngalkei uh, mi a lut dingte lut ding leng na phalkei jel uh.
14Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnawanyonya wajane na kujisingizia kuwa watu wema kwa kusali sala ndefu. Kwa sababu hiyo mtapata adhabu kali.
14Laigelhmite leh Pharisai lepchiahte aw, na tung uh a gik hi: meithai inte na negai ngal ua, thumna saupi mikhemna ding in na bawl ua: huaijiak in mohna liansem na mu ding uhi.
15"Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnasafiri baharini na nchi kavu ili kumpata mtu mmoja afuate dini yenu. Mnapompata, mnamfanya astahili maradufu kwenda katika moto wa Jehanamu kuliko ninyi wenyewe.
15Nou laigelhmite leh Pharisaite, lepchiahte aw, na tung uh a gik hi: phungkai khat lel leng bawl ding in tuipi leh gam na pai kimvel ngal ua, huan huchi bang a a hong om tak in, amah tuh noumau lehnih in gawtmun ta in na bawl jel uh.
16"Ole wenu viongozi vipofu! Ninyi mwasema ati mtu akiapa kwa Hekalu, kiapo hicho si kitu; lakini akiapa kwa dhahabu ya Hekalu, kiapo hicho kinamshika.
16Nou makai mittaw, Kuapeuh Pathian biakin lou a kichiam, huai bangmah ahikei; kuapeuh Pathian biakin a dangka-eng lou a kichiam jaw tangtunsak ding ahi, chite aw, na tung uh a gik hi:
17Enyi vipofu wapumbavu! Kipi kilicho cha maana zaidi: dhahabu au Hekalu linalofanya hiyo dhahabu kuwa takatifu?
17Nou mihai mittawte aw: a bang a thupi jaw a dangka-eng hia, dangka-eng siangthousak Pathian biakin?
18Tena mwasema ati mtu akiapa kwa madhabahu si kitu; lakini akiapa kwa zawadi iliyowekwa juu ya madhabahu, kiapo hicho humshika.
18Huan, Kuapeuh maitam lou a kichiam tuh, bangmah ahikei: a tung a thil piak om lou a kichiam peuh bel tangtunsak ding ahi, na chi uh.
19Enyi vipofu! Ni kipi kilicho cha maana zaidi: ile zawadi, au madhabahu ambayo hufanya hiyo zawadi kuwa takatifu?
19Nou mittawte aw, a bang a thupi jaw a, thil piak hia thilpiak siangthousak maitam?
20Anayeapa kwa madhabahu ameapa kwa hiyo madhabahu, na kwa chochote kilichowekwa juu yake.
20Huchi in, maitam lou a kichiam peuhmah jaw maitam leh a tung a om tengteng lou a kichiam hi ahi;
21Na anayeapa kwa Hekalu ameapa kwa hilo Hekalu na pia kwa yule akaaye ndani yake.
21huan, Pathian biakin lou a kichiam peuhmah jaw Pathian biakin leh a sung a teng pa lou a kichiam hi ahi:
22Na anayeapa kwa mbingu ameapa kwa kiti cha enzi cha Mungu, na kwa huyo aketiye juu yake.
22huan, van lou a kichiam peuhmah leng Pathian tutphah leh a tung a tupa lou a kichiam hi ahi.
23Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnatoza watu zaka, hata juu ya majani yenye harufu nzuri, bizari na jira, na huku mnaacha mambo muhimu ya Sheria kama vile haki, huruma na imani. Haya ndiyo hasa mliyopaswa kuyazingatia bila kusahau yale mengine.
23Nou laigelhmi leh Pharisai, lepchiahte aw, na tung uh a gik hi: pudinate, mohurite, zirate sawm ah khat na pe jel ua, dan thu khawk jaw- diktatna te, hehpihna te, ginomna te- na limsak ngalkei ua; himahleh hiaite eive na hih ding uh, a dangte hihlou tuanlou in.
24Viongozi vipofu! Mnatoa nzi katika kinywaji, lakini mnameza ngamia!
24Nou makai mittawte, thousi khisiang a sangawngsau valhte aw!
25"Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnasafisha kikombe na bakuli kwa nje, lakini ndani mnaacha kumejaa vitu mlivyopata kwa unyang'anyi na uchoyo.
25Laigelhmi leh Pharisai, lepchiahte aw, na tung uh a gik hi: nou leh kuang polam na hihsiang ua, a sung lah lepgukna leh kideklouhna in a dim ngal a.
26Mfarisayo kipofu! Kisafishe kikombe ndani kwanza na nje kutakuwa safi pia.
26Nou Pharisai mittaw, nou leh kuang sunglam hihsiang masa un, a polam leng a hong sian theihna ding in.
27"Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mko kama makaburi yaliyopakwa chokaa ambayo kwa nje yanaonekana kuwa mazuri, lakini ndani yamejaa mifupa ya maiti na kila namna ya uchafu.
27Laigelhmi leh Pharisai, lepchiahte aw, na tung uh gik hi: han nuhngou, polam kilawmtak a lang, a sunglam lah misi guhte leh nin chiteng a dim bangte na hi ngal ua.
28Hali kadhalika ninyi mnaonekana na watu kwa nje kuwa wema, lakini kwa ndani mmejaa unafiki na uovu.
28Nou leng huchi bang tak in polam ah mihing mitmuh in diktat tak in na lang ua, na sunglam u bel lepchiahna leh gitlouhna in a dim ngal a.
29"Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnajenga makaburi ya manabii na kuyapamba makaburi ya watu wema.
29Nou laigelhmi leh Pharisai, lepchiahte aw, na tung uh a gik hi: jawlneite han in na lam ua, mi diktat hante leng na jem ua.
30Mwasema: Kama sisi tungaliishi nyakati za wazee wetu hatungalishirikiana nao katika mauaji ya manabii!
30I pipute damlai a na om hihta leng, Jawlneite sisan a suahna ua panglou ding hi hang a, na chi uh.
31Hivyo mnathibitisha ninyi wenyewe kwamba ninyi ni watoto wa watu waliowaua manabii.
31Huchi in jawlneite thatte ta na hi uh chih na kitheisak uhi.
32Haya, kamilisheni ile kazi wazee wenu waliyoianza!
32Na pipute uh tehna dan uh hihdim ngal mai un.
33Enyi kizazi cha nyoka wenye sumu! Mnawezaje kuiepa hukumu ya moto wa Jehanamu?
33Gulte aw, gul suante aw, Gehenna vaihawmna bang chin na pel thei ding ua?
34Ndiyo maana mimi ninawapelekea ninyi manabii, watu wenye hekima na walimu; mtawaua na kuwasulubisha baadhi yao, na wengine mtawapiga viboko katika masunagogi yenu na kuwasaka katika kila mji.
34Ngai dih ua, huaiziak mah in na kiang uah, jawlneite, mipilte, laigelhmite ka hon sawl ding; khenkhat na hihlum ding ua, kros ah na kilhden ding uh, khenkhat na kikhopna in uah savun khau in na jep ding ua, kho teng ah na sawi jel ding uh.
35Hivyo lawama yote itawapateni kwa ajili ya damu yote ya watu wema iliyomwagwa juu ya ardhi. Naam, tangu kuuawa kwa Abeli ambaye hakuwa na hatia, mpaka kuuawa kwa Zakariya, mwana wa Barakia, ambaye mlimuua Hekaluni kati ya patakatifu na madhabahu.
35Huchi in, Abel mi diktat tak sisan akipan, Pathian biakin leh maitam kikal a Barak tapa Zakaria na thah uh sisan tan in, leitung a mi diktat sisan a suah tengteng uh noumau tungah a hongtung thei ding.
36Nawaambieni kweli, kizazi hiki kitapata adhabu kwa sababu ya mambo haya.
36Chihtaktakin ka hon hilh ahi, huai tengteng tuh tulai khangthakte tungah a hongtung ding.
37"Yerusalemu, Ee Yerusalemu! Unawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwako. Mara ngapi nimejaribu kuwakusanya watoto wako kwangu, kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mabawa yake, lakini hukutaka.
37Aw Jerusalem, Jerusalem, jawlneite that, na kiang a a honsawlte uh suang a na denglum, akpi in a noute a kha nuai a a op khawm bang in na tate bangzah vei op khawm ka tum a, himahleh na utkei uh:
38Haya basi, nyumba yako itaachwa mahame.
38En un, na in uh a vuak a taisan in a omta.Ka honhilh ahi. Toupa min a hongpai hampha hi, na chih masiah uh, tuban na hon mu nawntakei ding uh, a chi a.
39Nakwambia kweli, hutaniona tena mpaka wakati utakaposema: Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana."
39Ka honhilh ahi. Toupa min a hongpai hampha hi, na chih masiah uh, tuban na hon mu nawntakei ding uh, a chi a.