Swahili: New Testament

Turkish

1 Corinthians

1

1Mimi Paulo, niliyeitwa kuwa mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Sosthene,
1Tanrının isteğiyle Mesih İsanın elçisi olmaya çağrılan ben Pavlus ve kardeşimiz Sostenisten Tanrının Korintteki kilisesine selam! Mesih İsada kutsal kılınmış, kutsal olmaya çağrılmış olan sizlere ve hepimizin Rabbi İsa Mesihin adını her yerde anan herkese Babamız Tanrıdan ve Rab İsa Mesihten lütuf ve esenlik olsun.
2tunawaandikia ninyi mlio kanisa la Mungu huko Korintho. Ninyi mmefanywa watakatifu katika kuungana na Kristo Yesu, mkaitwa muwe watu wa Mungu, pamoja na watu wote popote wanaomwomba Bwana wetu Yesu Kristo aliye Bwana wao na wetu pia.
4Tanrının Mesih İsada size bağışladığı lütuftan ötürü sizin için her zaman Tanrıma şükrediyorum.
3Nawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana wetu Yesu Kristo.
5Mesihle ilgili tanıklığımız sizde pekiştiği gibi Mesihte her bakımdan -her tür söz ve bilgi bakımından- zenginleştiniz.
4Ninamshukuru Mungu wangu daima kwa ajili yenu kwa sababu amewatunukia ninyi neema yake kwa njia ya Kristo Yesu.
7Şöyle ki, Rabbimiz İsa Mesihin görünmesini beklerken hiçbir ruhsal armağandan yoksun değilsiniz.
5Maana, kwa kuungana na Kristo mmetajirishwa katika kila kitu. Mmejaliwa elimu yote na uwezo wote wa kuhubiri,
8Rabbimiz İsa Mesih kendi gününde kusursuz olmanız için sizi sonuna dek pekiştirecektir.
6kwani, ujumbe juu ya Kristo umethibitishwa ndani yenu,
9Sizleri Oğlu Rabbimiz İsa Mesihle paydaşlığa çağıran Tanrı güvenilirdir.
7hata hampungukiwi kipaji chochote cha kiroho mkiwa mnangojea kufunuliwa kwake Bwana wetu Yesu Kristo.
10Kardeşler, Rabbimiz İsa Mesihin adıyla yalvarıyorum: Hepiniz uyum içinde olun, aranızda bölünmeler olmadan aynı düşünce ve görüşte birleşin.
8Yeye atawaimarisha ninyi mpaka mwisho mpate kuonekana bila hatia Siku ile ya Bwana wetu Yesu Kristo.
11Kardeşlerim, Kloinin ev halkından aranızda çekişmeler olduğunu öğrendim.
9Mungu ni mwaminifu; yeye aliwaita ninyi muwe na umoja na Mwanae Yesu Kristo Bwana wetu.
12Şunu demek istiyorum: Her biriniz, ‹‹Ben Pavlus yanlısıyım››, ‹‹Ben Apollos yanlısıyım››, ‹‹Ben Kefas yanlısıyım›› ya da ‹‹Ben Mesih yanlısıyım›› diyormuş.
10Ndugu, ninawasihi kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo: pataneni nyote katika kila jambo msemalo; yasiweko mafarakano kati yenu; muwe na fikira moja na nia moja.
13Mesih bölündü mü? Sizin için çarmıha gerilen Pavlus muydu? Pavlusun adıyla mı vaftiz edildiniz?
11Ndugu zangu, habari nilizopata kutoka kwa watu kadhaa wa jamaa ya Kloe, zaonyesha wazi kwamba kuna kutoelewana kati yenu.
14Hiç kimse benim adımla vaftiz edildiğinizi söylemesin diye Krispusla Gayustan başka hiçbirinizi vaftiz etmediğim için Tanrıya şükrediyorum.
12Nataka kusema hivi: kila mmoja anasema chake: mmoja husema, "Mimi ni wa Paulo," mwingine: "Mimi ni wa Apolo," mwingine: "Mimi ni wa Kefa," na mwingine: "Mimi ni wa Kristo,".
16Evet, bir de İstefanasın ev halkını vaftiz ettim; bunun dışında kimseyi vaftiz ettiğimi anımsamıyorum.
13Je, Kristo amegawanyika? Je, Paulo ndiye aliyesulubiwa kwa ajili yenu? Au je, mlibatizwa kwa jina la Paulo?
17Çünkü Mesih beni vaftiz etmeye değil, Mesihin çarmıhtaki ölümü boşa gitmesin diye, bilgece sözlere dayanmaksızın Müjdeyi yaymaya gönderdi.
14Namshukuru Mungu kwamba sikumbatiza mtu yeyote miongoni mwenu isipokuwa tu Krispo na Gayo.
18Çarmıhla ilgili bildiri mahva gidenler için saçmalık, biz kurtulmakta olanlar içinse Tanrı gücüdür.
15Kwa hiyo hakuna awezaye kusema amebatizwa kwa jina langu.
19Nitekim şöyle yazılmıştır: ‹‹Bilgelerin bilgeliğini yok edeceğim, Akıllıların aklını boşa çıkaracağım.››
16(Samahani, nilibatiza pia jamaa ya Stefana; lakini zaidi ya hawa, sidhani kama nilimbatiza mtu mwingine yeyote.)
20Hani nerede bilge kişi? Din bilgini nerede? Nerede bu çağın hünerli tartışmacısı? Tanrı dünya bilgeliğinin saçma olduğunu göstermedi mi?
17Kristo hakunituma kubatiza, bali kuhubiri Habari Njema; tena, niihubiri bila kutegemea maarifa ya hotuba za watu kusudi nguvu ya kifo cha Kristo msalabani isibatilishwe.
21Mademki dünya Tanrının bilgeliği uyarınca Tanrıyı kendi bilgeliğiyle tanımadı, Tanrı iman edenleri saçma sayılan bildiriyle kurtarmaya razı oldu.
18Maana ujumbe kuhusu kifo cha Kristo msalabani ni jambo la kipumbavu kwa wale walio katika mkumbo wa kupotea, lakini kwetu sisi tulio katika njia ya wokovu ujumbe huo ni nguvu ya Mungu.
22Yahudiler doğaüstü belirtiler ister, Greklerse bilgelik arar.
19Maana Maandiko Matakatifu yasema: "Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, na elimu ya wataalamu nitaitupilia mbali."
23Ama biz çarmıha gerilmiş Mesihi duyuruyoruz. Yahudiler bunu yüzkarası, öteki uluslar da saçmalık sayarlar.
20Yu wapi basi, mwenye hekima? Yu wapi basi, mwalimu wa Sheria? Naye bingwa wa mabishano wa nyakati hizi yuko wapi? Mungu ameifanya hekima ya ulimwengu kuwa upumbavu.
24Oysa Mesih, çağrılmış olanlar için -ister Yahudi ister Grek olsun- Tanrının gücü ve Tanrının bilgeliğidir.
21Maana, kadiri ya hekima ya Mungu, watu hawawezi kumjua Mungu kwa njia ya hekima yao wenyewe. Badala yake, Mungu amependa kuwaokoa wale wanaoamini kwa njia ya kile ambacho wenye hekima wanakiona kuwa ni upumbavu, yaani ujumbe tunaohubiri.
25Çünkü Tanrının ‹‹saçmalığı›› insan bilgeliğinden daha üstün, Tanrının ‹‹zayıflığı›› insan gücünden daha güçlüdür.
22Wayahudi wanataka ishara, na Wagiriki wanatafuta hekima;
26Kardeşlerim, aldığınız çağrıyı düşünün. Birçoğunuz insan ölçülerine göre bilge, güçlü ya da soylu kişiler değildiniz.
23lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyesulubiwa. Kwa Wayahudi jambo hili ni kikwazo, na kwa watu wa mataifa ni upumbavu;
27Ne var ki, Tanrı bilgeleri utandırmak için dünyanın saçma saydıklarını, güçlüleri utandırmak için de dünyanın zayıf saydıklarını seçti.
24lakini kwa wale walioitwa, Wayahudi kwa Wagiriki, Kristo ni nguvu ya Mungu na hekima ya Mungu.
28Dünyanın önemli gördüklerini hiçe indirmek için dünyanın önemsiz, soysuz, değersiz gördüklerini seçti.
25Maana kinachoonekana kuwa ni upumbavu wa Mungu, kina busara zaidi kuliko hekima ya binadamu; na kinachoonekana kuwa ni udhaifu wa Mungu, kina nguvu zaidi kuliko nguvu za binadamu.
29Öyle ki, Tanrının önünde hiç kimse övünemesin.
26Ndugu, kumbukeni wakati mlipoitwa: wengi wenu hawakuwa wenye hekima hata kwa fikira za binadamu; wengi hawakuwa wenye nguvu au watu wa tabaka ya juu.
30Ama siz Tanrı sayesinde Mesih İsadasınız. O bizim için tanrısal bilgelik, doğruluk, kutsallık ve kurtuluş oldu.
27Ndiyo kusema, Mungu aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni upumbavu, ili awaaibishe wenye hekima; na aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni dhaifu, ili awaaibishe wenye nguvu.
31Bunun için yazılmış olduğu gibi, ‹‹Övünen, Rab'le övünsün.››
28Mungu ameyachagua yale ambayo kwa fikira za dunia ni mambo yaliyo duni na yanayodharauliwa, mambo ambayo hata hayakuwako, ili kwa hayo ayafutilie mbali yale ambayo kwa fikira za binadamu ni mambo ya maana.
29Basi, hakuna mtu awezaye kujivunia chochote mbele ya Mungu.
30Mungu mwenyewe ndiye aliyewaunganisha ninyi na Kristo Yesu. Mungu amemfanya Kristo awe hekima yetu; kwa njia yake sisi tunapatanishwa na Mungu, tunakuwa watu wake Mungu na kukombolewa.
31Basi, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Mwenye kutaka kujivuna, basi, na ajivunie kazi ya Bwana."