1Napenda kumjulisha kwenu dada yetu Foibe ambaye ni mtumishi katika kanisa la Kenkrea.
1Kenheredeki kilisenin görevlisi olan kızkardeşimiz Fibiyi size salık veririm.
2Mpokeeni kwa ajili ya Bwana kama iwapasavyo watu wa Mungu. Mpeni msaada wowote atakaohitaji kutoka kwenu, maana yeye amekuwa mwema sana kwa watu wengi na kwangu pia.
2Kutsallara yaraşır biçimde onu Rabbin adına kabul edin. Herhangi bir ihtiyacı olursa, kendisine yardım edin. Çünkü o, ben dahil, birçoklarına destek sağlamıştır.
3Salamu zangu ziwafikie Priska na Akula, wafanyakazi wenzangu katika utumishi wa Kristo Yesu.
3Mesih İsa yolunda emektaşlarım olan Priska ve Akvilaya selam edin.
4Wao walihatarisha maisha yao kwa ajili yangu. Wanastahili shukrani; si tu kutoka kwangu, bali pia kutoka kwa makanisa yote ya watu wa mataifa mengine.
4Onlar benim uğruma yaşamlarını tehlikeye attılar. Yalnız ben değil, öteki ulusların bütün kiliseleri de onlara minnettardır.
5Salamu zangu pia kwa kanisa linalokutana nyumbani kwao. Salamu zangu zimfikie rafiki yangu Epaineto ambaye ni kwa kwanza katika mkoa wa Asia kumwamini Kristo.
5Onların evindeki inanlılar topluluğuna da selam söyleyin. Asya İlinden Mesihe ilk iman eden sevgili kardeşim Epenetusa selam edin.
6Nisalimieni Maria ambaye amefanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu.
6Sizin için çok çalışmış olan Meryeme selam söyleyin.
7Salamu zangu kwa Androniko na Yunia, wananchi wenzangu waliofungwa gerezani pamoja nami; wao wanajulikana sana kati ya mitume; tena walikuwa Wakristo kabla yangu mimi.
7Mesihin elçileri arasında tanınmış ve benden önce Mesihe inanmış olan soydaşlarım ve hapishane arkadaşlarım Andronikusla Yunyaya selam edin.
8Salamu zangu kwa Ampliato, rafiki yangu katika kuungana na Bwana.
8Rabbe ait olan sevgili kardeşim Ampliatusa selam söyleyin.
9Salamu zangu zimfikie Urbano, mfanyakazi mwenzangu katika utumishi wa Kristo; salamu zangu pia kwa rafiki yangu Staku.
9Mesih yolunda emektaşımız olan Urbanusa ve sevgili kardeşim Stakise selam edin.
10Nisalimieni Apele ambaye uaminifu wake kwa Kristo umethibitishwa. Salamu zangu kwa wote walio nyumbani mwa Aristobulo.
10Mesihin beğenisini kazanmış olan Apellise selam söyleyin. Aristobulusun ev halkından olanlara selam edin.
11Salamu zangu kwa Herodiana, mwananchi mwenzangu; na kwa jamaa yote ya Narkisi iliyojiunga na Bwana.
11Soydaşım Herodiona selam söyleyin. Narkisin ev halkından Rabbe ait olanlara selam söyleyin.
12Nisalimieni Trufena na Trufosa wanaofanya kazi katika utumishi wa Bwana, na rafiki yangu Persi ambaye amefanya mengi kwa ajili ya Bwana.
12Rabbin hizmetinde çalışan Trifenayla Trifosaya selam edin. Rabbin hizmetinde çok çalışmış olan sevgili Persise selam söyleyin.
13Nisalimieni Rufo, mtu hodari sana katika kazi ya Bwana, na mama yake ambaye ni mama yangu pia.
13Rabbin seçkin kulu olan Rufusa ve bana da annelik etmiş olan annesine selam edin.
14Nisalimieni Asunkrito, Flegoni, Herme Patroba, Herma na ndugu wote walio pamoja nao.
14Asinkritus, Flegon, Hermes, Patrovas, Hermas ve yanlarındaki kardeşlere selam edin.
15Nisalimieni Filologo na Yulia, Nerea na dada yake, na Olumpa, pamoja na watu wote wa Mungu walio pamoja nao.
15Filologusla Yulyaya, Nereusla kızkardeşine, Olimpasla yanlarındaki bütün kutsallara selam edin.
16Salimianeni ninyi kwa ninyi kwa ishara ya upendo. Salamu kwenu kutoka kwa makanisa yote ya Kristo.
16Birbirinizi kutsal öpüşle selamlayın. Mesihin bütün kiliseleri size selam ederler.
17Ndugu zangu, nawasihi muwafichue wote wanaosababisha mafarakano na kuwafanya watu wengine waanguke, kinyume cha mafundisho mliyofundishwa. Jiepusheni na watu hao,
17Kardeşler, size yalvarırım, aldığınız öğretiye karşı gelerek ayrılıklara ve sapmalara neden olanlara dikkat edin, onlardan sakının.
18maana watu wa namna hiyo hawamtumikii Kristo Bwana wetu, bali wanayatumikia matumbo yao wenyewe. Kwa maneno yao matamu na hotuba za kubembeleza hupotosha mioyo ya watu wanyofu.
18Böyle kişiler Rabbimiz Mesihe değil, kendi midelerine kulluk ediyorlar. Saf kişilerin yüreklerini kulağı okşayan tatlı sözlerle aldatıyorlar.
19Kila mtu amesikia juu ya utii wenu na hivyo mmekuwa sababu ya furaha yangu. Nawatakeni muwe na hekima katika mambo mema, na bila hatia kuhusu mambo mabaya.
19Sözdinlerliğinizi herkes duydu, bu nedenle sizin adınıza seviniyorum. İyilik konusunda bilge, kötülük konusunda deneyimsiz olmanızı isterim.
20Naye Mungu aliye chanzo cha amani hatakawia kumponda Shetani chini ya miguu yenu. Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.
20Esenlik veren Tanrı çok geçmeden Şeytanı ayaklarınızın altında ezecektir. Rabbimiz İsanın lütfu sizinle birlikte olsun.
21Timotheo, mfanyakazi mwenzangu, anawasalimu. Hali kadhalika Lukio, Yasoni, na Sosipatro, wananchi wenzangu, wanawasalimu.
21Emektaşım Timoteos, soydaşlarımdan Lukius, Yason ve Sosipater size selam ederler.
22Nami Tertio, ninayeandika barua hii nawasalimuni katika Bwana.
22Mektubu yazıya geçiren ben Tertius, Rabbe ait biri olarak size selamlarımı gönderirim.
23Gayo, mwenyeji wangu, pamoja na kanisa lote linalokutana kwake, anawasalimu. Erasto, mweka hazina wa mji huu, pamoja na Kwarto, wanawasalimu.
23Bana ve bütün inanlılar topluluğuna konukseverlik eden Gayus size selam eder. Kent haznedarı Erastusun ve Kuartus kardeşin size selamları var.
24Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi nyote. Amina.
25Tanrı, duyurduğum Müjde ve İsa Mesihle ilgili bildiri uyarınca, sonsuz çağlardan beri saklı tutulan sırrı açıklayan vahiy uyarınca sizi ruhça pekiştirecek güçtedir.
25Basi, sasa na tumsifu Mungu! Yeye anaweza kuwaimarisheni katika ile Habari Njema niliyohubiri juu ya ujumbe wa Yesu Kristo, na katika ile siri iliyofunuliwa na ambayo ilikuwa imefichika kwa karne nyinyi zilizopita.
26O sır şimdi aydınlığa çıkarılmış ve öncesiz Tanrının buyruğuna göre peygamberlerin yazıları aracılığıyla bütün ulusların iman ederek söz dinlemesi için bildirilmiştir.
26Lakini, sasa ukweli huo umefunuliwa kwa njia ya maandiko ya manabii; na kwa amri ya Mungu wa milele umedhihirisha kwa mataifa yote ili wote waweze kuamini na kutii.
27Bilge olan tek Tanrı'ya İsa Mesih aracılığıyla sonsuza dek yücelik olsun! Amin.
27Kwake Mungu aliye peke yake mwenye hekima, uwe utukufu kwa njia ya Yesu Kristo, milele na milele! Amina.